Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.6K
Threads
7.6K
Posts
193.6K

JF Prefixes:

Habari wanaJF, Kwa mujibubwa Mwenyekiti wa Chadema kanda ya kusini, Cecil Mwambe amethibitisha taarifa za ofisi za chama hicho zilizopo Lindi mjini kuchomwa moto usiku wa kuamkia leo Picha za...
5 Reactions
56 Replies
5K Views
Na Mwandishi wetu Mihambwe Afisa Tarafa Mihambwe *Ndg. Emmanuel Shilatu* ameanza ziara ya kutembelea *Kata kwa Kata* kwa lengo la kusikiliza na kutatua kero za Wananchi akiambatana na Watendaji...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Watu wasiojua historia ya utawala hapa Tanzania, utawasikia wakisema kuwa awamu hii ya tano imezidi kwa kufukua makaburi ya Jakaya Kikwete na kumdhalilisha. Lakini kihistoria, kila awamu ilifanya...
3 Reactions
9 Replies
1K Views
  • Redirect
Wapo wanaosema hawa Mawaziri Wakubwa Wastaafu wapo CDM kimkakati zaidi wa kuua upinzani nchini,wapo wanaosema hawa jamaa wapo CDM kwa dhati kabisa na wamehama ccm mazima na wameongeza nguvubya...
0 Reactions
Replies
Views
Hello , Leo ningependa niangazie sehemu muhimu sana ktk jamii yetu na sehemu hii imechukua nafasi kubwa sana nayo si nyingine bali ni vijana. Mara nyingi tumekuwa ni watu tunaolalamika kwa kuona...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Kuna hatua/kauli kadhaa ambazo Mh Rais Magufuli alizifanya/alizitamka, wengi zilitukwaza. Hazikutukwaza kwa sababu hatupendi kuzisikia bali tulijua athari zake katika uchumi wetu na maisha yetu...
3 Reactions
4 Replies
1K Views
Rais Magufuli, kwa muda mrefu yamekuwepo malalamiko juu ya katiba ya sasa ya Jamhuri ya Muungano, wala hayakuanza wewe ulipoingia madarakani. Serikali iliyokutangulia ikiongozwa na Raisi Kikwete...
4 Reactions
7 Replies
1K Views
Dr Marcus ni mwanaharakati aliyejikita kwenye tafiti za maswala ya kibunge na maendeleo kwa ujumla. Nimewahi kuhudhuria moja ya kampeni zake wakati akigombea ubunge pale Morogoro, ni mtu makini...
5 Reactions
86 Replies
6K Views
Serikali ya Tanzania imesema pato la wastani la kila Mtanzania lilifikia Tsh. Milioni 2.4 mwishoni mwa mwaka jana kutoka Tsh. Milioni 2.3 mwaka 2017. Hayo yameelezwa leo Alhamisi Juni 13, 2019 na...
1 Reactions
55 Replies
6K Views
Bado naona wapambe wengi wa Magufuli wanafikiri anafurahiushwa sana na michezo yao ya kukandamiza wapinzani. Ukweli ni kwamba mzee huyu sasa hataki kingine ni maendeleo tu na ameshtuka watu...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Afisa wa TBS ndugu Henry Msuya amesema Shirika lake liko katika hatua za mwisho za kuweka viwango vya mifuko mbadala inayopaswa kutumiwa Msuya amesema kiukweli hii mifuko inayotumika sasa bado...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Mwandishi Wetu | Raia Mwema | Toleo la 293 | 8 May 2013 WAKATI Jeshi la Polisi likipitishiwa na Bunge bajeti ya takriban Sh. bilioni 364.2 kwa mwaka wa fedha...
2 Reactions
27 Replies
4K Views
Ndugu wanabodi,ni wazi kuwa Sudani chini ya Rais Al Bashir ilikuwa na intelligence kubwa kubaini wasaliti. Sudani ilikuwa na jeshi imara huku kitengo cha Usalama kikiwa kazini kwa muda wote...
3 Reactions
7 Replies
2K Views
Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mipango, Bw. Doto James amewashukuru Wadau wa Maendeleo kwa kuisaidia Serikali kuimarisha mifumo ya usimamizi wa fedha za umma iliyosaidia kuongeza tija katika...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wastani wa wa pato ni tsh 6500,japo haijafafanuliwa sana kwa sababu haiwezekani IMF waseme uchumi umeshuka kutoka asilimia 7 mpaka 4,halafu hao ambao wanaishi kwenye uchumi huo pato lao...
4 Reactions
29 Replies
3K Views
WANANCHI wa Kata ya Sanzawa katika Halmashauri ya Wilaya ya Chemba mkoani Dodoma wameipongeza Serikali kwa kuboresha huduma za afya kuwapelekea dawa, vifaa tiba na vitendanishi vya maabara kwa...
0 Reactions
1 Replies
740 Views
Habari wakuu, poleni na majukumu ya kila siku. Ni muda sasa tangu Balozi wa Marekani nchini Tanzania Bwana Mark Childress amalize muda wake wa kuhudumu hapa chini ( mwezi wa 10 mwaka 2016) na...
5 Reactions
104 Replies
8K Views
Waziri wa Ujenzi, Usafirishaji na Uchukuzi Zanzibar, Dk Sira Ubwa Mamboya amesema Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar inaendelea kutekeleza Miradi miwili ya Ujenzi wa Jengo la Abira la uwanja wa...
0 Reactions
1 Replies
944 Views
Wakati wa vikao vya Bunge mwezi April, Godbless Lema alisema Waziri wa Viwanda na Biashara aliyetimuliwa juzi na Rais Magufuli Bwan.Kakunda hakuwa na uwezo wa kuongoza Wizara hiyo wala kuleta...
25 Reactions
91 Replies
7K Views
Jumatatu njema raia, Miezi michache iliyopita kuliibuka taarifa kuwa sasa ni marufuku kwa Mtanzania kusafiri kwenda nje ya nchi kama hatokuwa na mkataba wa kazi au sababu ingine maalumu. Nami...
14 Reactions
43 Replies
4K Views
Back
Top Bottom