Kwa mara nyingine tena nimeshuhudia jinsi Wabunge wa CCM wanavyobishia mambo huku wakiwa mbumbumbu katika suala linalojadiliwa. Yaani inafedhehesha sana kuona jinsi mbunge anasimama kubishia kitu...
IJUMAA iliyopita wakati mkutano baina ya Rais John Magufuli na wafanyabiashara kutoka wilaya zote nchini na wajumbe wa Baraza la Biashara la Taifa (TNBC) ukiendelea, kuna watu waliandika kwenye...
Kwa haya niliyoyaona kupitia hii video iliyopo mtandaoni,nakiri huyu mtu ni mbinafsi na anapendelea sana kwao kuliko hata hao wachaga.
Ubinafsi mwingine ni ule wa kutaka yeye tu ndio aonekane na...
Serikali ya Sudan Kusini imeiomba Tanzania kufanikisha makubaliano ya amani yaliyotiwa saini kati ya pande zinazohasimiana hasa wakati huu ambapo taifa hilo likijipambanua upya kwa kusaka fursa za...
Ndugu wadau, sina mengi zaidi. Kuna sifa kemkem huko youtube kuhusu msimamo wa huyu bwana juu ya bandari ya Bagamoyo. Tembelea hii link kisha soma comments zake uone.
Aisee hata mimi...
SERIKALI imeanza kufunga mashine za CT-Scan katika Hospitali za Rufaa za Mwananyamala, Temeke na Amana mkoani Dar es Salaam. Kauli hiyo aliitoa Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia...
Huyu akimaliza muda wake itakuwa imetosha. Watu wanaosomea masomo ya sayansi kiasili wengi wao hawaji kuwa viongozi wazuri,sijui ni makemikali ya huko maabara ndiyo yanachanganya bongo zao.Huyu wa...
KITUO cha Uwekezaji Tanzania (TIC), kimesema kwamba kilisajili miradi ipatayo 87 ya uwekezaji yenye thamani ya dola za Marekani milioni 1,482.23 (sawa na Sh. bilioni 40) kati ya Julai na Desemba...
Waziri MKuu Kassim Majaliwa, amewakaribisha wawekezaji kutoka nchini Rwanda kuja kuwekeza katika sekta mbalimbali na Serikali itawapa ushirikiano wa kutosha.
Ameyasema hayo leo Juni 11...
Baraza la Habari Tanzania na Mtandao wa Watetezi wa Binadamu Tanzania (THRDC) dhidi ya Waziri wa Habari,sanaa, utamaduni na Michezo, Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania TCRA na...
Wakati wa tume ya katiba, Mhe.Prof. Kabudi alipokuwa mjumbe wa tume ya katiba aliwahi kusema’ hata ugomvi wa mipaka kati ya Malawi na Tanzania haupo kwenye mikataba kwa sababu hakuna nchi...
WANANCHI wa Wilaya ya Bukoba mkoani Kagera na mikoa ya jirani inayozunguka Ziwa Victoria, wanatarajia kunufaika na meli mpya itakayokuwa na uwezo wa kubeba abiria 1,200 na tani 400 za mizigo...
Sehemu moja ya ujenzi wa Gati jipya katika Bandari ya Dar es Salaam ikiwa imekamilika na tayari imeanza kutumika kwa majaribio. Gati jipya hili limejengwa ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa mradi...
Inaonekana mwaka 2019 umeanza vizuri katika sekta ya utalii nchini Tanzania kutokana na watu kadhaa mashuhuri kuzuru vivutio vyake. Sehemu ambazo zimeonekana kuwavutia watu wengi zaidi ni hifadhi...
Angekuwa anaongea na waandishi wa habari sawa lakini wamiliki naona siyo sawa saizi yao ni Mwakyembe, Kabudi saizi yake ni mabalozi au ndio kuchanganyikiwa kwenyewe baada ya jana kudhalilishwa...
Mimi binafsi nakuheshimu kama "one of the best brains this country has ever had" lakini nakushauri kwa hadhi yako ebu acha kunyoa KIDUKU!
Kuna vitu vidogo vidogo ambavyo watu wengi wasio makini...
IKULU: Rais Dkt. John Magufuli amemteua Mohammed Abdallah Mtonga kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) kuanzia leo Juni 12,2019.
Mbunge Mulugo ni.mwalimu na mumiliki wa shule za English medium.Kamhoji waziri was elimu kuwa serikali itaanza lini kuwa na vyuo vya kutoa walimu wa kufundisha shule zao za English Medium kwani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.