Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
  • Redirect
Vocabulary
0 Reactions
Replies
Views
  • Redirect
Vocabulary
0 Reactions
Replies
Views
  • Redirect
Phrasal verbs
0 Reactions
Replies
Views
  • Redirect
Prepositions
0 Reactions
Replies
Views
  • Redirect
Idiom Question
0 Reactions
Replies
Views
  • Redirect
Nationalities
0 Reactions
Replies
Views
  • Redirect
Nationalities
0 Reactions
Replies
Views
Nimekuwa nikishuhudia baadhi ya ndugu zetu wa nchi jirani wakitumia mofimu "kwa" katika namna ambayo siyo sahihi kwa mjibu wa Kiswahili sanifu na fasaha. Ninaelewa kuwa kuna utofauti wa kilahaja...
1 Reactions
0 Replies
204 Views
  • Redirect
Inatubidi tujifunze kutofautisha kati ya "KIBURI" na misimamo, tusije tukawa tuna "KIBURI" halafu tukadhani tunamisimamo. 📌
2 Reactions
Replies
Views
Utata (Ambiguity) ni hali ya neno au sentensi kuwa na maana zaidi ya moja. Mfano; Kima, kombe, meza, zama, barabara, kanda na katika sentensi "kaka zangu wote wana wake". SABABU ZA UTATA (i) Neno...
2 Reactions
0 Replies
2K Views
Tafsiri sisisi [ Literal translation] Hii ni aina ya tafsiri ambayo maneno hufasiriwa yakiwa pweke pweke kwa kuzingatia maana za msingi katika lugha chanzi bila kujali sana muktadha (Mwansoko na...
0 Reactions
0 Replies
372 Views
Nikiwa mtoto nilikua nikisema shikamoo kwa upesi sana lakini kadri navyozidi komaa kiakili napata ugumu wakulisema pale napokutana na watu walionizidi umri. "Shikamoo" ni neno la kiswahili sanifu...
1 Reactions
14 Replies
2K Views
Habarini wadau, Mimi ni mdau nilie kwenye utaratibu wa kurejeshwa kazini. Nina barua yenye check namba..... inanitaka niombe kazi nionapo tangazo limetangazwa ili niweze kurejeshwa upya kwenye...
0 Reactions
0 Replies
218 Views
Kiswahili ni lugha ambayo imetokana na Kiarabu na Kibantu na maneno mengine machache yaliongezeka kidogo kidogo kutoka lugha zingine za Afrika, Uropa na Asia. Kabla ya kuja wakoloni wa ki Uropa...
8 Reactions
250 Replies
36K Views
Jamani huwa nashndwa kujua au kutofautisha kti ya neno RAIA na MWANANCHI. Hebu nipeni ufafanunuzi.
2 Reactions
38 Replies
9K Views
Aichi—Anajua iachikyia--Kujenga Ichele—Kichaga Ichondi- --- Kondoo Iikyelyia—Kuogelea Ikawilyia—Kupalilia Ilyingoi---Jogoo inyi—Mimi Ipalipali- --Bahari Ipore---Yai Irikoso—Taji...
5 Reactions
33 Replies
39K Views
Kumekuwa na kasumba ya watendaji wakuu wa serikali kutoa maelekezona majibu kwa kutumia lugha ya kiingereza na kiswahli, Hali hii imepelekea wananchi wengi kubaki wasikilzaji wa sauti pasipo...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Siku ya Kimataifa ya Lugha ya Alama, inayojulikana pia kama International Day of Sign Languages, husherehekewa kila mwaka tarehe 23 Septemba. Siku hii ilianzishwa na Umoja wa Mataifa ili kuongeza...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Baada ya Maghribi, Mitaa ya Kariakoo Nipo jijini Dar es Salama, vitongoji vya mitaa ya Kariakoo, unyounyo na rafiki yangu, tukitembea sako kwa bako, hamadi kibindoni tukajikuta tupo mtaa ya...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nimeona likitumika mahali kadha wa kadha, asili ya ili neno bosheni ni nini? Na maana yake ni nini?
1 Reactions
6 Replies
789 Views
Back
Top Bottom