Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
Ndugu zangu kuna Msukuma anakijua vizuri zaidi basi please: Umo wing'we anambeleje kutafsiri Lugano lwenulu na mambo gose du. Tusaidiane tafadhali wasukuma. Nitumie tafsiri yake kupitia...
0 Reactions
1 Replies
329 Views
Moja ya maneno ninayoyaona sana yakitumika na baadhi ya watu mitandaoni hata baadhi ya wasanii pia...!! DAMSHI PAMBE TUNUNU CHUCHUNGE TUKINAO
2 Reactions
29 Replies
15K Views
My dear Tanzanian compatriots, my fellow JF companions, it is with great eloquence and fervor that I implore you to eschew your linguistic provincialism and embrace the vast expanse of the English...
10 Reactions
41 Replies
2K Views
It is with great erudition and lexical dexterity that I make the assertion that Diamond Platinumz, the prodigious Tanzanian musician, should consider transitioning to singing in English. While it...
2 Reactions
14 Replies
851 Views
Imeibuka kasumba kwa wanaume nao kuiga misemo ambayo kusema kweli inatia ukakasi haiwezekan mwanaume na wewe unatumia neno tyuuu aisee tuangalie baadhi ya maneno sio kila kitu tunaiga binafsi...
2 Reactions
60 Replies
7K Views
  • Redirect
Ninasikitika sana na ongezeko la watu wa jinsi ya kiume wanavyoandika na kutumia maneno kama tyu! Yako maneno mengi yenye kero kubwa mfano "xaxa" akimaanisha "sasa". Hata hivyo kati ya maneno...
3 Reactions
Replies
Views
"In humans (homo sapiens): The storytellers control the world, Of course, each of us free to tell stories."
1 Reactions
3 Replies
348 Views
Habari zenu wakuu? Kuna hili swali Huwa najiulizaga muda mrefu sipatii jibu pengine hapa naweza pata ufahamu! Nilipenda kujua muwa ni nini he ni tunda, kinywaji, mboga, nyasi au nini? Asanteni
6 Reactions
28 Replies
1K Views
Hizi ni 'brand zenye hati miliki ya kitanzania' Vitumbua, chapati, makange, ugali, kachumbali, mtori, "ebyenshoro(wahaya)", "enumbu", "ensharazi", "amakongo", "entutunu", "ebila", "ebitomasi"...
7 Reactions
42 Replies
2K Views
Wajuvi wa lugha mnisaidie,kwakuzingatia mzizi wa neno,kitenzi na matamshi upi ni usahihi wa maneno au sentensi hizi: Onyesha-onesha Kaka wake-kakaake Hajala-hajakula Hajaja-hajakuja NB...
2 Reactions
4 Replies
301 Views
Ujue kwenye hii dunia Lugha ya mawasiliano Worldwide is English ila sisi Tanzania tunaendekeza sana Kiswahili. Watu tukienda huko nje tunashindwa vingi coz our English ni poor kabisa mm ningekua...
0 Reactions
6 Replies
518 Views
  • Redirect
#EBBB EXTRA QUIZ 20/50: Spoken English Expression: ~~~ WhatsApp: WhatsApp Business | Transform Your Business WhatsApp Channel: Kachele Online
0 Reactions
Replies
Views
  • Redirect
#EBBB EXTRA QUIZ 21/50: Topic: Idiom: ~~~ WhatsApp: WhatsApp Business | Transform Your Business WhatsApp Channel: Kachele Online
0 Reactions
Replies
Views
  • Redirect
Spoken English Expression: ~~~ WhatsApp: WhatsApp Business | Transform Your Business WhatsApp Channel: Kachele Online
0 Reactions
Replies
Views
'Otherwise these is absolutely rubbish;' by PhD Holder and JamiiForums Great Thinker dr namugari Tafadhali Wordsmiths Wengine akina jiwe angavu na Division One Mimi GENTAMYCINE nataka Kukijua...
6 Reactions
11 Replies
826 Views
Hakuna maana yoyote ya kijinadi kama taifa la Kiswahili kama kwenye vyombo vyetu vya habari vinakuwa na makosa mengi kwenye matamshi ya Kiswahili. Au la basi mmoja wa Watangazaji anayekidhi...
0 Reactions
0 Replies
225 Views
Wasalaam wana bodi! Ndg zangu nimesikitishwa sana na ukimya wa waziri wa sanaa, utamaduni ,michezo na burudani ndg Nape Mnauye kwa kutokuona jinsi lugha adhimu ya kiswahili kinavyoharibiwa na...
0 Reactions
1 Replies
928 Views
Wana JamiiForums naomba msaada wa kujua nini maana ya neno MSHUA. Wakati gani hutumika, mazingira gani husika, jinsia gani hutumia na ni muhusika ni nani hasa anapaswa kuitwa MSHUA. Hovi karibuni...
0 Reactions
8 Replies
751 Views
Straight to the point;- Nauliza, " Usambe" ni nini?" [emoji848]
0 Reactions
2 Replies
961 Views
Je mwigulu nchemba alipaswa kuwa wziri wa pesa au waziri wa fedha? Au utafauti wake ni Nini na kwa nini asiitwe waziri wa pesa.
0 Reactions
10 Replies
583 Views
Back
Top Bottom