Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
Nipo ndani ya jukwaa la lugha na pia napenda kutumia fursa hii kuwashukuru members wote wa jamii forums. Lengo langu nikutaka kukuletea fursa mbalmbali za kujifunza lugha wakati unapokua KWENYE...
38 Reactions
83 Replies
5K Views
Mzuka wana JF! Ni matumaini yangu wote wazima wa afya na mwenyezi Mungu anaendelea kutujalia uzima, amani, nguvu, afya na faraja wakati huu mgumu wa kumpoteza ndugu yetu Bernard Kamilius Membe...
5 Reactions
47 Replies
2K Views
Watanzania mmenishinda! Msemo wa mitano tena umeshika kasi. Kila kikitokea kitu hasi mtu anaposti......mitano tena! Saa hapa ni kukata tamaa au kebehi za wazi? Kwa kweli Watanzania ni watu wa...
1 Reactions
16 Replies
2K Views
Wakazi wa makkah ambao ni maquraish walikuwa na mashaka juu ya Utume wa Muhammad rehma na amani ziwe juu yake, hivyo walitaka kujiridhisha je huyu kweli ni Mtume wa Mungu au laa! Basi kwakuwa...
6 Reactions
9 Replies
337 Views
1. Nchonyo-sehemu ya haja kubwa 2. Mwandu-uke 3. Kifuku-masika 4. Kureresa-hali ya pombe kutokuwa kali kuwa tamutamu 5. Kukaruka-pombe kuChacha yaani kuwa kali iliyochangamka 6...
2 Reactions
20 Replies
868 Views
Mbwa wa jirani Mbwa wa jirani Mtaji ni wangu Hajui niliupate Amenikuta nanunua na kuuza Hajawai nipa hata mia Mbwa wa jirani wanibwekeaje mimi Mbwa wa jirani Hacha fokea mimi Mbwa wa jirani...
0 Reactions
1 Replies
163 Views
1 - English: Wazungumzaji bilioni 1.456 2 - Mandarin Chinese (普通话): Wazungumaji bilioni 1.138 3 - Hindi (मानक हिन्दी, हिन्दी): Wazungumzaji milioni 609.5 4 - Spanish (castellano, español)...
1 Reactions
24 Replies
858 Views
Habari Wakuu, Katika Jukwaa letu la Lugha nimeweka huu uzi tusaidiane kwenye kujulishana maneno ya Kiingera ya kutumia ili walau mtu unapoandika Kiingereza usionekana kama upo kawaida sawa...
1 Reactions
4 Replies
280 Views
Hamjambo wanaJF, Hili neno chawa au Machawa Huwa najiuliza maswali mengi bila majibu!Nikiwa Mtanzania Mwenye afya ya akili timamu huwa najiuliza sana, mtu anawezaje kujiita au kuitwa Chawa!Nikiwa...
0 Reactions
8 Replies
744 Views
Habari zenu. Jina langu ni James Munn na mimi ni mwandishi wa kozi mpya ya msingi ya Kiingereza kwa wazungumzaji wa Kiswahili, inayoitwa Kiingereza - Hatua kwa Hatua. Ninaamini kuwa katika miaka...
0 Reactions
4 Replies
347 Views
Vitabu vingi vya sarufi vinadai kwamba badiliko hili ni sawa lakini siamini Wakuu wa lugha ya kiswahili, lahaja ipi inaruhusu "ninyi"?
0 Reactions
5 Replies
259 Views
Mwenzenu ninajongea, taratibu nawajia Kwa haya yalotokea, ya kisima nawaambia Hofu menisogelea, na nguvu zimeishia kisima nimekiacha, maji hayanyweki tena Kisima nilitumia, na mtu...
7 Reactions
46 Replies
10K Views
Anatafutwa mwalimu mahiri wa lugha ya Kikinga. SIFA: 1. Ajue kuongea, kusoma na kuandika kikinga na KISWAHILI 2. Awe tayari kufanya kazi popote kwa muda wa miezi sita. 3. Umri kuanzia miaka...
0 Reactions
0 Replies
194 Views
Habari wadau, wapi ninaweza kupata vitabu alivyoandika mwandishi nguli wa hadithi Agoro Anduru. Baadhi ya kazi zake nnazotafuta; 1. A Bed of Roses and Other Writings 2. Loyalty to My Friend 3...
2 Reactions
10 Replies
5K Views
Tupia ambacho google imeshindwa!! Mi naanza na hili neno[emoji3][emoji3][emoji3]
0 Reactions
10 Replies
750 Views
Dear all I hope this list will be of use to teachers and students of English. Further details of the script used to illustrate pronunciation will be provided in a future post. Have a nice...
0 Reactions
0 Replies
163 Views
Napenda sana kujua kifaransa, lakini sijapata mwalimu mzuri , naweza kupata wapi msaada?
3 Reactions
41 Replies
3K Views
Chapa ya Mnyama Mrefu tena mpole,rangiye ya kupendeza Rangi kama ya vipele,manyoa ya kuteleza Wale wazee wa kale,wao walipendekeza Chapa ya huyo mnyama,yafaa wakilogewa. Mwenye mwendo wa...
0 Reactions
2 Replies
564 Views
Habari ndugu wana JF, Naomba kufahamu kichomi kwa kiingereza kinaitwaje?? Kuna mtu anajisikia kuumwa kichomi, maeneo ya chini ya kitovu.. Shukrani sana..
0 Reactions
47 Replies
43K Views
Pelekea na Sababisha Pelekea ni mnyambuliko wa neno peleka ambalo maana yake ni kumchukua mtu au kitu na kukifikisha mahali panapotakiwa. Kwa kuzigatia maana ya peleka na...
3 Reactions
5 Replies
816 Views
Back
Top Bottom