Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
Je, yuko sahh au mimi ndiyo sijui??
2 Reactions
12 Replies
600 Views
Wakuu naomba msaada kucheua Kwa English ni nini mfano unasema "John amecheua.."
0 Reactions
4 Replies
445 Views
Nianze na misemo ya kisukuma na maana zake 1. Chujaga mhela utizaguchuja nhola Bora umkose nyati atakuhurumia kuliko kukosea kuoa. 2. Kushema Chonja kubundala Huu ni sawa ule msemo mtaka cha...
0 Reactions
0 Replies
184 Views
Yaani Nawaza Kisichowezekana Nimejiuliza sana, nikajiuliza tena na tena, hivi kwa nini Watoa Huduma wote wanatakiwa wawe na vyeti vya kufuzu masomo yao, na kama haitoshi, pale wanapotaka...
2 Reactions
2 Replies
186 Views
Wadau, siku hizi moyo wa kusoma vitabu vya aina zote-vya Taaluma na Riwaya umepungua sana na imepelekea Watunzi wa Riwaya kutoandika tena vitabu. Leo nawakumbuka baadhi ya Waandishi/ Watunzi wa...
5 Reactions
203 Replies
57K Views
Salaam, Shalom!! Tukiwa msibani , kumeibuka ubishi hapa, Kuna watu wamegoma kabisa kulitumia Jina "MWENDAZAKE", kama lilivyotumika msiba wa Magu, Jina linalotumika kumtambulisha Mzee wetu...
1 Reactions
31 Replies
1K Views
Usaini mkataba, upewe mengi manoti, Tupe mgodi wa shaba, wenye ya kudumu hati, Masharti yote saba, yapite kimkakati, Saini hu mkataba, upewe mengi manoti. Utalindwa kisiasa, mkataba kisaini...
0 Reactions
2 Replies
181 Views
Yamebainika mengi sana leo, kwenye kumbukumbu ya kifo cha Rais wa Tanzania awamu ya 5. Tusirudie yaliyosemwa, bali ninataka kujua asili ya Neno Amirati na labda na aliyelipendekeza kwamba ndio...
1 Reactions
34 Replies
1K Views
Nataka kujua kwa Kiingereza Kurwa (sina uhakika sijui ni Kulwa au Kurwa) anaitwaje na Doto naye anaitwaje
0 Reactions
22 Replies
3K Views
  • Redirect
Amir, meaning "prince," "commander," and "leader," is a male name of Arabic origin. For followers of Islam, Amir is a significant name that enjoys evergreen popularity across the globe. It
0 Reactions
Replies
Views
Inye bojo, mwaguma! Nataka kujua maana ya jina Kahatano.
2 Reactions
4 Replies
479 Views
Huu ni uzi maalum kwa ajili ya kurekebisha makosa ya uandishi wa maneno na sarufi katika lugha za Kiswahili na Kiingereza. Nitaanza na maneno ya kiingereza chart na chat. Mara nyingi watu...
2 Reactions
3 Replies
269 Views
Lugha ya Ishara ni lugha ya kuona ambayo hutumia mikono, mwili na mienendo ya uso kusiliana. Kuna zaidi ya lugha ya ishara 135 ulimwenguni kote, na karibu asilimia 20 ya idadi ya watu duniani wana...
0 Reactions
2 Replies
213 Views
السلم اليكم All جميعا 🌺 الحدالله to be المسم في كليحل 🙏يربي ه‍دنا الصرط المستقبم 🌹 And they will all wish for a good fast month RAMADHANI KARIM.🌹
11 Reactions
52 Replies
890 Views
Naomba nielemishwe kuhusu utabiri unaotolewa na Watalaam. Anaposema kuwa eneo fulani watapata mvua ya WASTANI na juu ya WASTANI ana maana gani?.
0 Reactions
0 Replies
222 Views
Baba mimi ni mtoto wako wa ngapi kuzaliwa?
1 Reactions
41 Replies
8K Views
1. Naanza ona mikasa, yawezaleta balaa, Viongozi wengi tasa, kwa hoja zisizo zaa, Hasa kwa Wana siasa, wao ni kama tabia, Wajifanya ni matasa, wafanyacho wakijua. 2. Ni kutafuta majanga, kuvunja...
0 Reactions
14 Replies
1K Views
Habari za wakati huu wadau! Natambua uwepo wa watu wenye asili ya kabila maarufu pale mkoani mbeya yaani Wanyakyusa. Kutokana na mihangaiko ya maisha wengi wetu tumejikuta tumekosa fursa ya...
2 Reactions
91 Replies
35K Views
1. Mgeni siku ya kwanza, mpe mchele na panza, mtilie kifuuni, mkaribishe mgeni. 2. Mgeni siku ya pili, Mpe maziwa na samli, Mahaba yakizidia, Mzidishie mgeni. 3. Mgeni siku ya tatu, Nyumbani...
2 Reactions
5 Replies
1K Views
Adhabu ya kaburi aijua maiti, The touture of the grave is only known by the corpse Akiba haiozi, A reserve will not decay Asifuye mvuwa imemnyea. He who praises rain has been rained on. Akili...
4 Reactions
6 Replies
7K Views
Back
Top Bottom