Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
Usilaumu wenzako, upime vitendo vyako, Sijitie sononeko, ikumbuke jana yako, Ukipanda chokochoko, waja vuna machafuko, Kila mchana mbeleko, malipo yake anguko, Kila mpanda upepo, ndiye huvuna...
0 Reactions
0 Replies
754 Views
Nimesoma leo kwenye TV Channel E wanasema Lugha ya kiswahili ni ya pili Africa baada yaLugha ya Kiarabu. Kiarabu ndiye lugha inayoongoza kwa kuzungumzwa na watu wengi Africa. Hii inamaanisha...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
PRESENT PERFECT CONTINUOUS TENSE Kiswahili: Juma amekuwa akicheza mpira wa mguu English: Juma has been playing football SHERIA katika TENSE hii ni matumizi ya HAS BEEN kwa Pronoun au...
3 Reactions
15 Replies
6K Views
Nataka kujua tofauti baina ya neno "hamna" na "hakuna"...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Napenda kujua maana ya kutamalaki! kwa kingereza nini!
0 Reactions
4 Replies
21K Views
Habari wana jamvi.. katika pitapita zangu nimekutana na neno RAGHBA, ni neno la kiswahili lakini nimeshindwa kulielewa vizuri zaidi hasa mahala pa kulitumia. Tafadhali wataalamu wa lugha naomba...
0 Reactions
5 Replies
6K Views
Neno limekuwa neno, kiziwi kalisikia, Neno liwe la mfano, tupate kujifunzia, Neno lisiwe ndoano, kooni likanasia, Kuna neno na maneno, kuna neno lenye meno, Lipo neno la uchungu, kiasi bubu...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Wakuu msaada ambaye anaweza kunieleza au kunitumia utenzi wa fumo lyongo ubeti wa 6 na 7 anitumie kupitia 0654163844.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
First of all i would like to say that I am an average English speaker,though i would like to be very fluent in English,the fact that i do speak English very seldom and all along my studies i...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Hivi ipi ni lugha bora au zote ni sawa?
0 Reactions
25 Replies
11K Views
  • Redirect
Kuuliza sio ujinga, Toka nimeanza kusoma darasa la kwanza mpaka namaliza elimu ya juu sijui wahenga ni akina nani, mara utasikia mtu akisema wahenga walisema asiyesikia la mkuu…, wahenga...
2 Reactions
Replies
Views
Naomba msaada kwa kingereza wali unaitwaje?.
0 Reactions
9 Replies
6K Views
Naomba mtu aniandikie maana 5 tofauti ya sentensi ifuatayo: "Mau kampigia mpira Said"
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Haya maneno ya kubishana na kuchokoza yananitatiza sana kuyatumia niongeapo kiingereza. Msaada please
0 Reactions
33 Replies
7K Views
Wakuu poleni na majukumu ya kila siku ya kujenga taifa letu! Naombeni maana ya maneno haya "Courtesy visit" Natanguliza shukrani!
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Naomba msaada wa matumizi ya maneno 'had , Could na would
0 Reactions
30 Replies
16K Views
Wadau nahitaji kujuzwa makengeza ya macho kwa kiingereza yanaitwaje Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
0 Reactions
39 Replies
13K Views
Maneno "Rite"na "Ritual" yana nitatiza naomba msaada wenu wa tafsiri. Natanguliza shukrani.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Neno graduate linatumikaje ? Aliyemaliza la saba, form four,form six, certificates courses, diplomas, degrees, masters, phd. Wote wanaweza tumia neno graduate ?? Naombeni ufafanuzi wenu ma Great...
0 Reactions
9 Replies
4K Views
Back
Top Bottom