Habari ta muda na wakati huu wapendwa?
Mwenzenu napenda sana kujua Kiingereza lakini ina niwia vigumu kutumia viunganishi vyake, Kwamba vinatumika wapi na kwa muda gani? Hili ndilo tatizo langu...
For 1000 years, Arabic was the primary international language of commerce, scholarship and politics, much as English is in today's world. In fact, over the centuries English adopted many words...
naomba kuelimishwa juu ya mnyama huyu:
mbuzi dume anaitwa 'beberu', na kondoo dume aitwaje? tupia jibu tusaidiane kupambana na adui 'ujinga' maana kanisumbua kwa muda sasa.....
Tanzania tunajaribu kuiendeleza lugha ya Kiswahili lakini tunafikiri tutachukua muda gani kutumia tafsiri kama hizi katika maongezi yetu ya kawaida badala ya kuendelea kutumia maneno ya...
Habari wanajf!
The great thinkers neno hili limekua likinisumbua kimantiki!
Sina tatizo nalo katika morphological rules wala syntax yake bali its semantic components of the phrase word!(meaning)...
Kwanza niwatakie heri ya pasaka na jumapili njema ya kwanza ya mwezi wa 4.
Wandugu mimi nimekuwa najiuliza bila kupata jibu nimekuwa nikiingia kwenye mitandao mbali mbali hasa instagram unakuta...
Nimekuwa nikisikia redio na televisheni zetu zikitumia neno "Taarifa ya Habari". Huwa nina wasiwasi na matumizi ya maneno haya mawili kwa pamoja. Ninaomba wataalamu wa kiswahili wanisidie kujuwa...
Avoid These 20 English Words When in Other Countries
France
Preservative. Avoid asking about preservatives in France; you'll probably be met with strange looks. It means ‘condom' in...
Habari za wakati huu wanajamii?
Natumaini mnaendelea vyema na shughuli zenu za hapa na pale.
Waungwana naomba kujuzwa tofauti ya maneno "nipo" na "niko"
mfano: kama ninaendesha gari natokea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.