Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
Habari zenu wakuu. Pamoja na kuhamasika na kazi za waandishi mbalimbali kama vile Kezilahabi, Shaaban Robert, Mohamed Said, Andanenga, Penina Mhando, Haji Gora, Charles Mloka, Theobald Mvungi...
0 Reactions
4 Replies
19K Views
Kwa wale wote wapenzi wa lugha ya Taifa - Kiswahili.Naomba niwaeleze hiki kitu kinachonishangaza sana. Rais wa China alipotembelea nchi yetu mwaka 2014 alikaribishwa Ikulu na Rais wetu.Kwenye...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Naweza kuongea Finnish, Norwegian na Kiinrereza, na hivi karibuni nimeanza kusoma Kiswahili. Napenda kiswahili kwa sababu kina pronouns, verbs and their tenses, including their negative forms...
2 Reactions
30 Replies
5K Views
Kama unaweza kuongea na kufundisha kifaransa , ni pm kuna kazi ..
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wana JF naomba msaada wa mtu mwenye notes za kifaransa hasa kuanzia intermediate level ili niweze kujiendeleza. Pia nakaribisha ushauri wowote utakaonisaidia katika kujiendeleza katika lugha hii...
0 Reactions
19 Replies
3K Views
Wataalamu wa lugha ya kiswahili husikeni na kichwa hapo juu. Tumezoea kuwaita ndugu zetu wenye albinism zeruzeru, nini asili (etiology) ya neno hili?
0 Reactions
17 Replies
5K Views
Nadhani si vibaya kushare maneno mbalimbali na machimbuko yake kwenye lugha zetu za asili Kwa leo mimi naanza na neno "sandauna" kutoka kwenye lugha ya kihaya Kimsingi hili neno linamaanisha...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Hebu niwaulize nimeshuhudia utumizi wa mnyambuliko wa vitenzi ambao mwalimu wangu aliniambia sio sahihi. Hivi kukujaga ama kukujanga ni sahihi kwa sababu lugha nyingi za kibantu zina mfumo huo...
0 Reactions
3 Replies
6K Views
  • Redirect
habari wanajamvi, naombeni msaada wa vitendawili hivi: "mbuzi wangu hula udongo tu." "watoto wa tajiri wa nguo hulala na kutembea uchi." Kuna mdogo wangu hapa amepewa HW tafadhali nisaidien...
0 Reactions
Replies
Views
Naombeni kirefu cha maneno ya kiswahili ya JUAMA na SHIETA. Nisaidieni wana jf.
0 Reactions
1 Replies
7K Views
Jifunze lugha zaidi ya 18 kwa app ya JW LANGUAGE.Ina Lugha Kama vile English,Swahili,Chinese Simplified,Spanish,France,Japanese,etc. App inapatikana kwa iOS,Android na windows.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
habari wakuu mimi nipo mkoani ( mbeya) natamani sana jifunza kiingereza lakin kila ukiulizia utajibiwa ras simba! je hatoi masomo onlinee,,,,ili kutusaidia na wa mikoani" Asanteni.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Ni changamoto zipi ambazo mwanalugha anaweza kuzipata anapojishughulisha na semantiki na pragmatiki.
0 Reactions
0 Replies
684 Views
Dear sir / madam African Cultural Embassy Association (ACEA), is a non-governmental Association, nonprofit making, but government aided organization, that promote, protects, preserve and...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
wote hawa ni magwiji wa riwaya za kipelelezi ingawa mzee beka ni mzuri sana kwenye riwaya za mapenzi. Taharuki - ni mbinu ya kusimulia au kuandika riwaya/ hadithi kwa kufanya hadhira na/...
1 Reactions
41 Replies
15K Views
Hivi huu usemi kuwa BOSI HANUNIWI una maana gani? Hata leo asubuh nimesikia mtu akisema hivi.Jamani anayejua zaidi atujuze.
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Nahitaji kujua kuongea lugha ya Kiingeleza (English) kwa ufasaha kwa anaejua nifanye kitu gani ili niweze fanikiwa naomba anisaidie, kusoma maneno ya kiingeleza naweza na kuelewa naelewa vizuri...
0 Reactions
42 Replies
16K Views
Habari Za Mchana Wana Jf Naombeni Msaada Nataka Kujua Maana Ya Negro Nakumbuka Nilivokua Mdogo Baba Angu Aliniambia Negro Ni Wamarekani Weusi,nikanote Ivo Mpaka Leo Lakin Juzi Nimelizungumza Hilo...
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Utasikia Mtu Anasema "TAMU KAMA NIN" AU "Chungu KAMA NIN" AU "Mkali KAMA NIN" AU "Mkarimu KAMA NIN" AU "Mkarimu KAMA NIN".... N.K Hii "KAMA NINI " Ni Kama Nini? ?? Sijui Kama Mnanielewa Apo...
0 Reactions
9 Replies
9K Views
Nchi ya Ujapani imefanya majaribio ya treni inayopelekwa kwa kutumia nguvu za Sumaku na wameweza kufika Mwendokasi wa 603km/saa na hawaongei Kiingereza, siajabu wewe na baba yako mnajua...
2 Reactions
10 Replies
2K Views
Back
Top Bottom