Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
Kwa Waswahili: Natafuta maana ya Kigwe na Kimori,! Anaeijua Aniambie Tafadhar
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Habari wana Jf, ni kiswahili cha lafudhi gani ukisikiapo unatamani mzungumzaji aendelee kuzungumza kutokana na raha na burudani unayoipata, binafsi mimi hupendelea sana kiswahili cha lafudhi...
1 Reactions
118 Replies
22K Views
Wanabodi habari yenu? Ninaomba kujua asili ya neno dem limetokea wapi na kwa nini lilianza kutumika kumaanisha msichana. Je lilianza kama msimu?
0 Reactions
17 Replies
9K Views
The price seemed reasonable, location Indifferent. The landlady swore she lived Off premises. Nothing remained But self-confession. 'Madam' , I warned, 'I hate a wasted journey - I am...
0 Reactions
2 Replies
812 Views
Limetumika sana kipindi cha uchaguzi na watangazaji wa Azam TV. Utawasikia "John Magufuli anakuwa rais takriban wa 5". Mimi nahisi kama wanachemka hivi. Nilidhani takriban ni kama...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Tuipende Tanzania nchi Tuliyo Zaliwa Kuna mlima mrefu, kwa sifa twajivunia ukiwekwa kwenye safu, urefu kuukadiria Hapawi ulinganifu, Africa yote pia Tuipende Tanzania nchi tuliyo zaliwa...
2 Reactions
3 Replies
5K Views
Tazama ndani nafsini,taona upo shimoni. Miguu nasa topeni,lilozito mchangani. Kwa maji mferejini,yaendayo mashambani Yenye kasi kama nini,yabeba vita sabini. Kwenye vita vya kunguru,mwewe huwa...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
  • Redirect
Jamani kumekuwa na matumizi tofauti ya hili neno wengine hutumia pasipo kujua wakimwona mtu mweupe tuu basi ni mzungu,je hata mchina ni mzungu muhind je? au wazungu ni watu wa ulaya peke yake ? na...
0 Reactions
Replies
Views
sote twendeni sanjari,kwa nguvu pia na hari. Tuvisahau viburi,tuifanye kwa hiyari. Tena tukiwa tayari,kama vile tu mandari. Kwa nguvu ka majabari,tuupande kihodari. Kwa miguu ama gari,tuukwee...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Volunters waliopo Arusha wanaozungumza kijerumani na wanahitaji mtu anayezungumza lugha yao ili kubadilishana mawazo. Napatikana, nataka nikuze lugha yangu ya german kupitia wao. Hakuna malipo...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari MWANANCHI. Jina langu ni Iddy Ninga ninaishi Tengeru Arusha. Nimetuma shairi hili kama kumbukumbu ya mateso na ukatili alofanyiwa mtoto Nasra mvungi. 1>shairi naliandika,machozi...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Hivi nini maana halisi ya neno afande likimaanisha askari? Nini asili na chanzo cha neno 'Afande'? Linanikera.
0 Reactions
13 Replies
15K Views
Wanyamwezi,nisaidiani....Barakakwa kinyamwezi nini, au mwenye orodha ya Majina ya Kinyameezi na maans zake
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Once Upon a Time Once upon a time, son, they used to laugh with their hearts and laugh with their eyes: but now they only laugh with their teeth, while their ice-block-cold eyes search...
2 Reactions
0 Replies
754 Views
Flowers for Fatma for defending the truth,barb for Maria for defending the indefensible.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
MCHAPALO kwa kiswahili
0 Reactions
0 Replies
761 Views
hivi wanasarufi katika isimu ya lugha ya kiswahili,hii sentensi ni sahihi au si sahihi? "samahani kaka,naweza kukuuliza swali?" NB:katika fikra zangu,nimeona kuwa hii...
1 Reactions
16 Replies
2K Views
  • Redirect
Habari, Nashangaa watu Tanzania peke yake hutumia neno shikamo kama salamu ya kumtunikia mtu heshima ilhali ni utumwa wa kisaikolojia, shikamo ni neno la kiharabu humaanisha nipo chini ya miguu...
0 Reactions
Replies
Views
Nawasalimu wadau. Ningependa kujuzwa kama kuna mtu anaweza kunisaidia kujua asili ya neno hili MSHUA/ M-SURE kama linavyotumika kumaanisha baba
0 Reactions
3 Replies
6K Views
Its urgent please! Naomba anayejua anisaidie wakuu!
0 Reactions
25 Replies
24K Views
Back
Top Bottom