KITABU CHA SHEIKH PONDA KATIKA MADUKA YA KUUZA VITABU
Kitabu cha Sheikh Ponda ''Juhudi na Changamoto Kinapatikana Ibn Hazm Media Centre katika maduka yao ya kuuza vitabu yaliyopo katika Misikiti...
Wandugu, salam za mida hii.
Natafuta hotuba ya "SABABU TUNAYO, NIA TUNAYO NA UWEZO TUNAO."
Nataka kusikia hizo "sababu tunazo" na hoja ya Rais ya kwenda vitani kwa mapana na urefu, badala ya...
Swali hili linahitaji jibu; jibu lake linaweza kuwa rahisi au gumu. Lakini ni jibu linalotegemea ujuzi wa historia. Ni jibu linalojaribu kuangalia kama uamuzi wa serikali ya Tanzania kutekeleza...
Vijana ni nguzo ya taifa, hivyo taifa lolote halina budi kua na vijana wenye weledi wa mambo pamoja na utashi katika kufanya Mambo Jambo ambalo linaweza kuwapa historia kubwa hata baada ya mwisho...
Katika maziko ya Mzee Kitwana Kondo niliombwa nizungumze.
Sikiliza video hii kuna historia muhimu sana kueleza kuundwa kwa TANU.
Nilizungumza kuhusu kikao cha watu watatu nyumbani kwa Hamza...
The Bombay Africans in the 19th century,
Waafrika waliookolewa na wanamaji Waingereza kutoka jahazi zilizobeba watumwa kwenye Bahari ya Hindi; wengi walikuwa vijana, watoto au wanawake...
BURIANI HASSAN CHIKUSA MSOMI MKIMYA
Naamini si wengi wanamfahamu Hassan Chikusa na yote yaliyomsibu katika maisha yake.
Mimi nilimjua Hassan Chikusa kwa kuwa alikua jirani yangu akiishi kwa...
Wanasema kuishi na watu kuona mengi. Kuna mzee wangu ambaye nilinunua shamba kanda ya ziwa kwa wasukuma. Kupiga stori naye na mda mrefu kunieleza kuwa babu yake alikuwa mtawala wa mwisho wa...
Katika vitabu vingi vya kihistoria Adolf Hitler amekua akionekana kama kiongozi katili aliewahi kutokea duniani lakini watu hushindwa kuangalia upande mwema wa Adolf Hitler.
kwanza aliongeza...
KITABU KIPYA "JUHUDI NA CHANGAMOTO" KALAMU YA SHEIKH PONDA ISSA PONDA
Sheikh Ponda Issa Ponda ameandika kitabu.
Mwaka ni 1998 niko ndani ya basi la Raha Leo natokea Tanga. Karibu Maghrib...
MABANGO YA KITABU CHA SHEIKH PONDA KWENYE KUTA ZA NYUMBA MITAANI DAR ES SALAAM
Nakumbuka siku ya kwanza nilipokutana na Sheikh Ponda ilikuwa mwaka wa 1988 kwenye semina ya vijana Kiislam...
MZEE RUKHSA: SAFARI YA MAISHA YANGU
Leo nimeingia Maktaba nikawa naangalia makala ambazo nimeandika kuhusu mambo tofauti ya serikali wakati wa utawala wa Rais Ali Hassan Mwinyi.
Kilichonifanya...
KITABU "JUHUDI NA CHANGAMOTO" SHEIKH PONDA NA SUALA LA ELIMU
Siku moja Sheikh Ponda kanipigia simu akaniambia kuwa wamefungua shule na ananialika hapo shuleni nizungumze na wanafunzi.
Mimi...
Kama unafuatilia historia za Ulaya basi Ni lazima unamsikia skia mwamba wa Kuitwa Christopher Columbus nadhani ubongo wake ulifanya kazi katika kipindi muhimu ulaya cha Age Of Descovery...
Karl Marx alikuwa mwanafalsafa wa Ujerumani, mwanauchumi, mwanahistoria na mwanahabari ambaye anajulikana sana kwa kazi yake kama mwananadharia mkali wa kisiasa na mwanamapinduzi wa kisoshalisti...
BURIANI RAFIKI NA NDUGU YANGU SALUM ''SLIM'' SHAMTE 1951 - 2020
Nimeingia maktaba yangu ya picha ndani ya photo album natafuta picha moja ya Slim niliyompiga kiasi cha miaka 20 iliyopita mwezi...
National Alliance For Mass Advancement(NEMA)
Nimeingia Maktaba na nimekuta picha ambazo nilipiga mimi mweyewe kwa mkono na jicho langu ukumbi wa Arnautoglu miaka 28 iliyopita. Ilikuwa siku ambayo...
Nikiwa katika mahafali ya wanafunzi waliohitimu masomo yao katika chuo Cha Kingdom Builders Bible Academy (KBBA) kilichopo Isole mkoani Geita tarehe 18/08/2022 ndipo nilipofahamu kwa ufupi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.