Jukwaa la Historia

  • Sticky
Watu wanasahau tu ila Museveni ni mtu mbaya sana! Inadaiwa kuwa sumu iliyopaswa imuue moja kwa moja baada ya kutoka kwenye ziara pale Kilwa Road kwenye sabasaba, hatimaye ikammaliza daktari wa...
88 Reactions
2K Replies
513K Views
  • Sticky
Mengi yamesemwa kuhusu Mzee wetu huyu na sisi tuliokuwa shuleni wakati ule tulilishwa kile ambacho naamini ni sumu. Wakubwa tuelimisheni ukweli kuhusu Mzee huyu. Oscar Kambona Kambona, the man...
22 Reactions
1K Replies
279K Views
  • Sticky
Leo ni miaka 23 tangu Waziri Mkuu Edward Moringe Sokoine atutoke ghafla na kuacha simanzi na wingu la huzuni. Siku ile ya machozi na majonzi imebakia katika kumbukumbu za Watanzania wengi kama...
18 Reactions
677 Replies
154K Views
  • Sticky
Mwalimu (RIP)Baba Wa Taifa Hili, na Mkewe Mama Maria Wakuu Wote Jamii Forums, Heshima mbele! Katika hiki kipindi cha mapumziko nimeona sio vibaya tukijikumbusha historia yetu ya taifa katika...
19 Reactions
2K Replies
485K Views
  • Sticky
Habari za kuaminika zinadai kuwa Kiongozi Mkuu wa Libya Muammar Gaddafi amekalia kuti kavu, habari zinasema kuwa hali iliyofikia hairudi tena nyuma, nae atakurupushwa na kung'olewa kama shina la...
10 Reactions
8K Replies
653K Views
  • Sticky
Hapa Nyerere akiikosoa Uingereza pia Hapa Nyerere akizungumzia Rhodesia Heheheeee Nyerere bana....kanifurahisha hapo aliposema 'jitu zima' hahahahaaaa. Nyerere na Mandela wakizungumza na...
78 Reactions
636 Replies
174K Views
  • Sticky
Mwaka 1964 siku thelathini baada ya uhuru wa bandia wa Zanzibar, wanamapinduzi kumi na nne wakiongozwa na mpigania uhuru John Okello aliwaongoza kwenye mapinduzi ya Zanzibar yaliyokuwa na umwagaji...
38 Reactions
897 Replies
224K Views
Naeleza mazishi yalivyokuwa kuanzia dakika ya 7. Labda unaweza kujifunza kitu kitokana na historia hii ambayo kwa hakika ni historia ya watu wa Dar-es-Salaam na utamaduni wao na vipi historia hii...
1 Reactions
1 Replies
836 Views
ZUHRA YUNUS, BBC, NA MAGOMENI MAPIPA Ilikuwa Zuhra Yunus anaondoka BBC sasa ishakuwa Zuhra kaondoka. Labda nianze kwa kusema kuwa nina ''sentiments,'' mapenzi na BBC Idhaa ya Kiswahili toka...
13 Reactions
24 Replies
4K Views
ZUBERI MTEMVU: MPANGAJI MIKAKATI WA TANU NA MUASISI WA UPINZANI Rai Oktoba 28 - Novemba 3, 1990 ======= Alhaj Zuberi Mwinshehe Manga Mtemvu Mpangaji mikakati wa TANU, mhamasishaji wa umma...
4 Reactions
17 Replies
6K Views
Afrika ilipoteza wana mapambano wawili kwa mpigo, Afrika imeshudia kumpoteza Kofi Annan Katibu Mkuu wa kwanza mweusi kutoka Afrika hii ni pigo kwa wana mapambano wa haki duniani. Lakini mapema...
1 Reactions
1 Replies
991 Views
Vimbwanga duniani vipo kama sisi tunaotaka kuwafahamu wasio julikana. Kwa huyu bwana zodiac killer ni moja ya watu waliotamba miaka 60 na wengine kama jack ripper na watu waliofanya vitendo viovu...
0 Reactions
2 Replies
808 Views
kwa mujibu wa document zinazosambaa mitandaoni zitto kabwe na kamati nzima ya PAC ilikuwa inapokea pesa kutoka kwa singasinga,je ana uhalali upi kusoma taarifa wakati naye ni mtuhumiwa?nashauri...
1 Reactions
11 Replies
3K Views
TUKIAMUA KIZALENDO, UAMUZI WA ICSID KUHUSU IPTL MSHINDI ANAWEZA KUWA TANZANIA Septemba 12, 2016 Mahakama ya Usuluhishi wa migogoro ya uwekezaji iliwasilisha rasmi maamuzi yake Kwa pande...
2 Reactions
3 Replies
962 Views
Hawa watu hupatikana katika nchi ya Myanmar zamani Burma,wanawake wa kikayan huanza huzivaa bangili za shingoni,wakiwa bado wadogo sana Shingo za wanawake hawa hurefuka kiasi cha kwamba...
4 Reactions
114 Replies
22K Views
ROBERT GABRIEL MUGABE BABA WA AFRIKA PEKEE ALIOBAKI MADARAKANI. "Tokea kuwa Mwalimu mpaka mpigania Uhuru, sasa rais wa nyakati mpya Afrika" Na Comred Mbwana Allyamtu. 20/8/2017 MAKALA hii ni...
1 Reactions
0 Replies
2K Views
https://youtu.be/FxUtFHgXxDw ZIMA MOTO KATIKA UBORA WAKE Nimeikuta hii video mtandaoni na nikaiangalia kuanzia mwanzo hadi mwisho. Wakati mwingine nilikuwa nacheka peke yangu. Kwa nini nacheka...
2 Reactions
5 Replies
412 Views
Baada ya kusoma taazia ya Abdallah Tambaza sina nguvu ya kuandika chochote kuhusu rafiki yangu Mohamed Awadh maarufu kwa jina la Chico. Taazia ya Abdallah mimi imenitia simanzi kiasi ya machozi...
13 Reactions
83 Replies
11K Views
[Njama 638 za mauaji alizoepuka Fidel Castro - BBC Swahili] is good,have a look at it! Njama 638 za mauaji alizoepuka Fidel Castro - BBC Swahili
4 Reactions
18 Replies
5K Views
Wadau mimi ni mgeni humu lakini napenda uzi wangu wa kwanza kabisa huku uwe unahusu historia mahiri ya tawala za kale ambazo zimeleta ushawishi mkubwa kwenye siasa na ustarabu wa leo Mesopotamia...
2 Reactions
2 Replies
3K Views
ZIJUE BAADHI YA KOO ZA KIZARAMO, ASILI NA MAANA YAKE. Wazaramo/ wazaramu ni kabila linalopatikana mkowa wa Pwani, Daresalama na maeneo ya mkowa wa morogoro ( morogoro vijijini, hasa mvua na...
5 Reactions
32 Replies
15K Views
UTANGULIZI Kabla ya kujua habari ya vita kati ya Wangoni na Wandendeule yafaa tujue kwanza historia fupi juu ya kabila la Wandendeule ambao walikuwa ni wenyeji wa nchi ya ungoni ya leo, pia tujue...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Dini ya urasta ilianzishwa miaka ya 1920 na 1930 huko maeneo ya visiwa vya Caribbean. Mwanzilishi wa imani hii ni Marcus Garvey aliezaliwa mwaka 1887 na kufariki dunia mwaka 1940. Marasta...
19 Reactions
51 Replies
20K Views
"Siku ya tukio la kifo cha Sokoine mvua ilikuwa inanyesha wakati msafara wake ulipoondoka mjini Dodoma. Gari la polisi lilikuwa linaongoza msafara wake hivyo hapakuwa na wasiwasi wa usalama kwani...
3 Reactions
10 Replies
8K Views
Back
Top Bottom