Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Naomba kufahamishwa juu ya kikomo cha kuomba kubadirishana. je kunamuda ambao ndo deadline ya tukio hilo? Nauliza hivyo kwani nipo kwenye mchakato wa kubadirishana na mfanyakazi toka halimashauri...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
BW Hamis Chagonja. Zaidi ya wanafunzi 52,000 wa mwaka wa kwanza watanufaika na mkopo wa elimu ya juu baada ya serikali kuongeza kiasi cha fedha sh 132 bilioni kwaajili ya kugharamia masomo yao...
0 Reactions
12 Replies
4K Views
Natafta shule nzuri ya kumhamishia kijana wangu. Dogo anategemea kuingia form 3 mwakani Kwa sasa anasoma Trust St. Patrick School ina kama maendeleo yake hayaridhishi.. Shule nadhani ndio...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Nataka kujua elim ya kidato cha sita ina msaada gani mtaani?
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Mambo vipi wadau Nipo 1st year now Niliomba loan nikapata 0% course y non-priority jamaa alokua ana support tution fees imetokea misunderstand he's no longer by my side I have to manage my...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wana JF habariza majukumu? nimatumaini yangu kuwa nyote ni wazima. Mimi ni mwalimu wa hesabu, hivyo mara nyingi nalazimika kuchapa kazi zangu za hesabu kama mitihani nk. Changamoto niliyonayo...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Habari. Natafuta shule kwa ajili ya mtoto wangu. nimeelekezwa shule ya wakorea maeneo ya Mbagala Kongowe? nani anaijua? naomba jina lake tafadhali.
0 Reactions
2 Replies
5K Views
Jamani mimi mwanajukwaa mwenzenu naomba kuuliza kuhusu chuo cha Paradigms college of health and Allied Sciences kilichoko Kimara Dar Es Salaam. Je kinatambulika na NACTE na vipi ukihitimu...
0 Reactions
5 Replies
5K Views
Je unaweza kusomea udaktari bila kupita advance, yaani kupitia chuo na ni colleges zipi unaweza kusomea?
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Ni mwalimu wa shule ya msingi. Njoo lindi aje tanga, moro, iringa, mbeya, njombe, songea au kibaha
0 Reactions
0 Replies
996 Views
Habari zenu wadau nimechaguliwa ualimu lakini sina leaving certficate je watanikubali?:
0 Reactions
7 Replies
990 Views
According to esteva(2010) "development occcupies the center of an incredbly powerful semantic constellation" over decades the concept has suffered the most dramatic in its meaning and...
0 Reactions
25 Replies
3K Views
Habari za jioni wana jukwaa,,naomba kwa yeyote mwenye link ambayo itanisaidia kupata current education and training policy
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Mungu mkubwa hatimaye lot ya 5 na 6 zimetoka na nimepata mkopo 88% jina la bwana lihimidiwe na hongera magufuli kwa kusikia kilio chetu
1 Reactions
30 Replies
4K Views
Nahitaji Scholarship kwa level ya Masters kama naweza kupata ndani ya Tanzania wakuu.
0 Reactions
0 Replies
771 Views
Wakuu,nina mashaka na utendaji wa tcu,kipindi tuko chuo,kuna jamaa alidisco tukiwa mwaka wa pili hiyo ilikua 2013,cha ajabu jamaa saivi ana cheti kizuri cha kufoji chenye upper second na yuko...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
mdogo wangu anasoma diploma ya geomatics sasa anataka akimaliza mwaka huu aombe degree atumie cerficate of geomatics na cheti cha form six(SDE PCM 2009),je nacte wanakubali au mpaka amalize diploma?
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wadau nimeona ITV leo mkurugenzi wa NACTE katangaza wanafunzi wote walioomba mkopo mwaka huu wamepata, lakini nina ndugu yangu hajapata kabisa anahangaika ku-appeal sasa hivi, yeyote mwenye...
0 Reactions
30 Replies
5K Views
Nikiwa bweni la Kimweri ground floor pale Sengerema sec. Rais Magufuli alinipiga fimbo tatu kwa kosa la kutokwenda darasani.. Niliona kama amenionea. Kwa wale mliopita Sengerema mnajua mazingira...
0 Reactions
35 Replies
9K Views
Back
Top Bottom