Nenda mjini kwenye maduka ya jumla, nunua yeboyebo fasion za kisasa, yebo 1 kwa bei ya jumla utainunua kwa sh elf 2, wewe mtaani kwako utaiuza elf 2500,-ukiuza pea 10 maana yake una faida ya elf...
Wadau habarini za muda huu, naomba mwenye uelewa na madini yafuatayo anipe shule kidogo juu ya aina ya madini, soko lake na bei.
Kuna rafiki yangu amepata sehemu yapo lakini hajui yanatumika kwa...
Wakuu
Kuna ambaye amewahi kukopa UTT Microfinance kupitia umiliki wake wa vipande au share alizonazo DSE? Naombeni kufahamu interest yao ni asilimia ngapi
Asanteni
Naomba mtu anaefahamu biashara ya nywele za bandia ikiwa ni rasta pamoja na kofia za kawaida wigi, anielekeze ikiwa utachukulia kariakoo bei nish ngap na utauza vipi, lkn pia soko lake liko vip...
For anyone who want to be V-pesa agency and make more money every single day, Please call now on 0718371221 / 0764705712 Paul Alex) au 0684666945 Edwin chapa) or email paulchapa0744@yahoo.com for...
kaorodhesha hapo kama upo instagram nadhan utakuwa umeona makampuni aliyotaja na forex ikiwemo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ,ukiona mtu anajitangaza sana na...
Habari wakuu binafsi nimekuwa na wazo la kuwa mfanya biashara muda mrefu.
sasa katika kutafuta wazo bora la biashara nikaona bora nifanye biashara ya kuagiza mayai mikoa inayo fuga kuku kwa...
habar zenu wakuu
Kuna kijana katoka kijijin kaja kwangu kwa lengo nimtaftie kazi ila kwa haraka haraka vyuma vimekaza mno so nikaona ni bora nimuwekee hata ki biashara tu kidogo ili...
Kwa wale wataalam wa Madini, naweza kujua haya mawe ni Madini gani?
Ningependa kwa anaeyajua anieleweshe.
Note:km hujui kitu ni bora ukapotezea huu uzi. Wapo wengine asili yao ni...
Wakuu salama?
Nipo kijj flan HV...Geita.
Hapa hakuna sehemu ya kuangalia mpira tofauti na kwa mwal mmoja ambaye ameweka nyumbani lakn ana azam na TV ndogo lakn jamaa wanaenda kuangalia.
Nimeona...
Salaam wanajamvi, ni matumaini yangu mko wazima wa afya mkiendelea na mihagaiko ya kila siku kwa ajili ya kujipatia mkate.
Kama kichwa cha habari kinavyoeleza ninaomba mwenye uelewa na hawa watu...
Za asubuhi waungwana,
Nadhani wote tunafahamu hizi namba za malipo ambazo tunatumia kuzilipa kampuni mbalimbali, zinakuaga tarakimu sita kama sikosei. Mfano kwa wale wanaobet, Premier Betting ni...
Habari za muda huu wanaJF?
Natumai hamjambo!
Leo hii nimejitokeza ili kuweza kupata experience ya biashara za nywele bandia (mawigi) na urembo mbalimbali unaohusu wanawake!
Naomba kujua...
Wana JF wa uwanja huu naomba msaada kidogo kwa wenye kuelewa wanisaidie
Kwa mfano nataka kufungua biashara yangu kitu muhimu kwenye biashara ni Leseni ya Biashara.
Lakini naomba kujua je ni...
Habari wadau!
Naomba mtu mwenye uzoefu katika kuuza dagaa kwa jumla (hasa kanda ya ziwa) anipe uzoefu wa biashara hiyo, ikiwa ni pamoja na kujua upatikanaji wa dagaa, maeneo ambayo dagaa nzuri...
Kuwa makini sana na hawa watu wanaojiita Focus bikoba,ni matapeli sana na wanatoa matangazo kuwa wanakopesha ukiwafatilia wanakudanganya unatuma hela ili wakusajili alafu wanakugeuka,watu wengi...
Msaada wa haraka wadau, ninataka kuanza biashara, ila sina kitambulisho cha kura wala cha taifa ( vilipotea),
Je inawezekana kuanza biashara yaani kupata namba ya mlipakodi na leseni bila kuwa na...
A newCanadian cryptocurrency that will be launched on March 1, 2018. Register now and get free 1000 tokens. Each token could be worth a few cents up to about $1 when launched in March which means...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.