Gari yangu 1KZ inapoteza nusu lita ya maji kila siku, lakini haichemshi kamwe. Radiator ilishasafishwa hivi majuzi, mfuniko ushabadilshwa mara mbili, lakini bado inapoteza maji.
Kwenye reserve...
Ngoja nikupe facts why crown ni better kuliko mark x
Crown ina space kubwa ndani kuliko mark x, nia pana zaidi, hata. Ukiingiia kwa hizi gari mbili utajionea
Crown ina more comfortable seats...
Ukitaja magari kumi reliable ya toyota basi toyota prius haiwezi kosa top three, ni gari ambayo ni ngumu na reliable sanaa,comfortable ina smooth ride na nzuri sana kwa misele ya mjini na foleni...
Wakuu habari za wakati huu?
Ningependa kufahamu hizi gari zimekumbwa na shida gani mpaka watu kuanza kuziuza kwa kasi sana tena kwa bei kutupa kwa gari kali na yenye hadhi kama hii.
Imefikia...
Kwa muda sasa redio yangu haina remote kitu ambacho hunifanya ili nibadilishe njia ya matumizi ya redio au tv kunilazimu nisimame nikabonyeze button.
Je, ninaweza kupata remote yenye uwezo wa...
Jamani nimetafakari kuhusu biashara zangu nikaona bila kuwa na usafiri wangu binafsi nitaendelea kuteseka mno kwa kudandia dandia za watu.
Nimeamua kutafuta usafiri wangu binafsi kutoka kwa mtu...
[emoji599]: Unajua XT Kwenye Subaru Forester Inamaanisha nini?
T” inamaanisha “Turbo Charger” na X ni “maximum traction” ni sawa na kusema all-wheel-drive,na pia inauwezo mkubwa wa kutembea...
Hello wana JF,
Naomba mtu anayefahamu fundi wa Mitsubishi anisaidie kwa Arusha.
Gari inachelewa sana kubadili gear na inatembea kwa rpm kubwa sana kwa speed ndogo na kuna muda inakosa nguvu...
Wataalam za wakati huu..
Kijana wenu hapa nayependa Road trip but kwa pikipiki, last time nilisafiri na pikipiki cc110 kutoka Dar to Dodoma (kwenda na kurudi) pia nikasafiri tena toka Dar to...
Salamu,ifuatayo ni orodha ya Unreliable Cars ukiwa safarini.Hakuna uhakika wa kufika Kwa 100 asilimia
10. Nissan
09. RAM
08. Cadillac
07. Ford
06. Tesla
05. Chevrolet
04. GMS
03. Volks Wagen
02...
Habarini za mchana wadau, Natumai mko poa na mnaendelea na harakati za kutafuta maendeleo.
Wadau nahitaji kwa mwenye uzoefu kuhusu pikipiki anisaidie kuchagua kati ya boxer 150 na Tvs hlx 150...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.