JF Garage (Magari na Vyombo vya Usafiri)

Jukwaa maalum la mijadala kuhusu vyombo vya Usafiri (Magari, Pikipiki, Meli, Ndege n.k)
Naomba msaada Gari yangu aina ya ist inazima nikiwa kwenye mwendo mdogo tatizo litakuwa nini wadau?
2 Reactions
7 Replies
512 Views
Wakuu wazima humu, naomba ushauri wa kitaalam kwenye gari hii diesel model. Kuhusu ubora na changamoto zake
6 Reactions
72 Replies
2K Views
Za siku wakubwa. Leo naomba niwaletee uzi ambao asili yake ni kutoka kwenye group letu la whatsapp la ISAL Motors juu ya malalamiko kwamba kuna gari fulani ni bora kuliko ingine kwamaana ya kudumu...
16 Reactions
78 Replies
5K Views
Habarini Kwema !!!, na gari yangu aina ya Toyota Brevis nilinunua kwa mtu hii gari shida yake kubwa nikiwa naiendesha inazima tu gafra yani cjajua shida nn mana nilinunua mwezi wa 6 mwaka huu...
5 Reactions
29 Replies
9K Views
Sekta ya usafirishaji wa mizigo kwa kutumia magari (malori) ni muhimu sana hapa nchini na duniani kwa ujumla. Magari ya mizigo yanafika jirani zaidi na mlaji wa mwisho au sokoni ambako meli, reli...
16 Reactions
153 Replies
26K Views
Wataalam na wazoefu wa magari ninatatizo kwenye gari ambapo coolant inaisha mapema kwenye reservoir tank. Nilipo watalaam wachache kwa hiyo ukiuliza wanakwambia nunua uongeze.Nimenunua mara...
1 Reactions
2 Replies
187 Views
Kwema Wakuu Naomba kujuzwa spare parts za hii gari tajwa NISSAN HARDBODY J83 ENGINE QD32 napata wapi za mtumba imported na spare used za hapa hapa bongo (maana spare used za hapa bongo ni cheaper...
1 Reactions
6 Replies
217 Views
Duniani kila mtu na mapenzi yake, kuna watu hata wawe na gari ngapi lakini hawakosi pikipiki kubwa. Kuna watu hata uwape pikipiki ndogo lakini hawatakaa nazo au watatumia kwa shida tu lakini...
23 Reactions
331 Replies
31K Views
Baharia (Seafare) ni mfanyakazi yeyote katika meli. Katika meli kuna mabaharia ambao ni maofisa (Officers) na ambao si maofisa(Crew). Meli ina idara kuu 3 kulingana na mgawanyo wa majukumu na...
17 Reactions
116 Replies
23K Views
1. Wizi wa kutumia mfumo wa Keyless. Wizi wa keyless au wizi wa relay ni wizi ambao huusisha watu wawili ambao hufanya uhalifu huu kwenye magari ambayo yameegeshwa nyumbani. Wizi huu huusisha...
10 Reactions
18 Replies
1K Views
Habari zenu wakuu, Naomba uzoefu kwa ambaye ameshawahi kuitumia hii gari (Swift) anipe uzoefu wake kwenye mambo yafuatayo: 1. Uimara kwenye barabara zetu za mikoani. 2. Upatikanaji wa spare parts...
0 Reactions
16 Replies
8K Views
Wakuu poleni na majukumu, Naomba msaada wenu Gari yangu imekuwa na Tatizo la kuzima ninapokuwa naendesha na huwasha taa za check engine, taa ya gear box, handbreak na kadhalika lakini ikijizima...
13 Reactions
62 Replies
4K Views
Wakuu natumai mu wazima! Kuna wimbi la Be Forward kuleta magari mabovu ambayo yanasabibisha usumbufu mkubwa kwetu sisi wateja. Nimenunua Alphard- nikaambiwa imefanyiwa mpaka na Inspection, na...
26 Reactions
205 Replies
9K Views
Kwanini Tanzania bado wanaagiza Magari ya zamani sana. Yaani mpaka Leo mtu bado anaagiza Old Model Car.
5 Reactions
48 Replies
2K Views
Hello Great Thinkers, Naomba kuuliza hivi hizi Tractor za kuvuta trailers Ni ipi bora zaidi kati ya hizi za kichina HOWO na Scania. Ndio Naomba mungu mwaka huu ninunue kichwa kimoja kati ya hizi...
3 Reactions
255 Replies
79K Views
Wakuu. Najua wengi uwa tunajiuliza, inakuaje gari la mwaka 2015 linatoka Japan likiwa na Kilometa 100,000 linafika Tanzania baada ya mwaka mmoja linaonekana chakavu ova limekaa miaka 20 mbele? Ni...
14 Reactions
10 Replies
695 Views
Hatujawahi kosa jibu ama solution humu. Nimeona magari yanakuwa na Plate Number Nyeusi zikiwa na format ya namba na herufi za kawaida Mfano T 747 DFY Ila kibao kinakuwa cheusi. Humaanisha nini ?
4 Reactions
24 Replies
5K Views
Hakuna anayebisha kwamba kitendo cha kukutana na namba E zikiwa nyingi mtaani kinatosha kutupa ishara kwamba idadi ya magari yanayonunuliwa na kuingizwa Tanzania inazidi kuongezeka mara dufu siku...
9 Reactions
14 Replies
809 Views
Audi A4 ni line ya compact executive cars ambazo zimekua kwenye uzalishaji tangu 1994 huko German na Audi ambayo ni subsidiary ya Volkswagen Group, Subsidiary yani ni kama CCM na ACT hivi [Jokes]...
28 Reactions
84 Replies
14K Views
Chasis ya Scania Bus engine nyuma Miaka ya nyuma Scania ndio alikuwa mfalme wa kusafirisha abiria na mizigo hapa nchini. Wamiliki wa mabasi waliziamini sana Scania kwa uimara wake na mwendo...
62 Reactions
1K Replies
125K Views
Back
Top Bottom