Muhimu ni gari liwe jipya, zero kilomita. Gari lolote linakubalika, cha msingi liwe la kutembelea.
Zingatia kwamba hiyo milioni thelathini inapaswa "kucover" gharama zote mpaka liwe tayari kuanza...
Habari za weekend Wakuu, Madere na Wapenzi wa magari. Bila shaka leo ni siku nyingine ya kujifunza kitu ambacho pengine tumekutana nacho sana hasa sisi washinda barabarani. Kwa kawaida mfumo wa...
Picha: Toyota Wish New Model
Nimeziona hizi gari natamani kufahamu ubora na mapungufu yake. Ninahitaji gari ndogo kwa mizunguko ya town na safari za Dar Morogoro.
So iwe inatumia mafuta vizuri...
Kama ilivo heading,
Kwa kipato chalaki sita keshi nitaweza KUMILIKI Corolla sprinter, carina au ist second hand? Japo Kuna kibiashara kinaningizia japo 150000-220000 per month tofauti na kipato...
Habari za jioni. Naomba kujuzwa kuhusu magari yanayouzwa Na Jan Japan kwenye show rooms zao hapa Tanzania. Je ni waaminifu? Kwa maana hawacheezei speedometer au kubadilisha vifaa by magari...
Ni kweli baadhi ya mafundi siyo waamifu..
Hivyo unatakiwa kuwa na utaratibu huu.. ili gari yako iwe salama pindi inapokuwa gareji..
1. Kuwa na sehemu maalumu ya kufanyia service Gari yako
2...
Habari zenu wakubwa!
Kama mada inavyo jieleza mimi nina miliki leseni ya daraja d. Ila nataka niongeze daraja mpaka e. Sasa nashindwa kuelewa natakiwa kwenda veta au n.I.T?
Na je kama ni veta...
Wezi wa plate number za magari (Watekaji)
Kuna mtindo mpya wa utekaji umejitokeza. Watekaji wanakufuata pale unapo paki Gari lako hasa maeneo ya maegesho.
Unapo acha Gari lako kwenye maegesho...
Hizi ndio generations za Mercedes-Benz S Class kuanzia mwaka 1965 hadi 2020.
Utoto wangu naikumbuka Mercedes-Benz S Class ya Bob Makani, Sea View Upanga. Ilikuwa model ya 1979 S 500.
Mbeya...
1. Matatizo ya Mazida Verisa.
2.Naomba kujua Kama inaweza kuinuliwa Juu maana kako Chini Sana
3.Naiataji kujua ubora wa Mazida Verisa au Vtz ipi nzuri zaidi kwa Ubora wa uimara wake.
Habari zenu wana Jamiiforum bila kuwachosha naombeni ushauri juu ya hii bajaji.
Ni kampuni ya Sinoray J3 ina uwezo wa kubeba watu 8, cc 200. Inatumia rejeta nimeiona nikaipenda sana na bei yake...
Yanga Kigali
Simba Lusaka!
Tuombe heri.
Kwa sasa tunakamilisha tu vibali na matambiko, October kazi inaanza rasmi. Chuma itakuwa inalalia Kigoma mara 4 kwa wiki.
Sasa mji huo mimi ni mgeni...
Wakuu, samaleko. 😎
Hizi "water marks/stains" kwenye vioo zinaathiri sana ung'aavu kamili wa kioo na kupunguza muonekano mzuri.
Ni jinsi gani ya kuziondoa? Ni ngumu mno kuzitoa, ni sugu...
Habari za week end Wakuu?
Niende kwenye mada moja kwa moja. Ni hivi, huku Japan (Niko kwa Sasa) gari zinazoonekana kwa wingi barabarani ni:
1. Gari ndogo zenye ukubwa wa 650cc engine size.
2...
Wakuu Habari.
Leo nilipenda tujuzane kidogo kuhusu BMW 3 Series. Kila mtu aliewahi kumiliki au kuendesha au ata kama kuna fundi aweze kutupatia Experience yake kidogo kuhusu hizi gari. Hii...
Habari ya majukumu wadau. Nimejaribu kutafuta humu taarifa kuhusu Toyota Noah generation ya 2008 sijaweza kupata.
Naomba mwenye uzoefu wa hili gari anisaidie ili nifanye maamuzi. Nahitaji gari ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.