Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Sauti yangu huwa inabana hasa nikiongea kwa muda, yaani inakuwa haitoki, inakuwa kama vile imezuiwa na makohozi isitoke. Tiba yake itakuwa ni ipi?
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Habari zenu wadau, Kuna ugonjwa umeanza kuenea kwa kasi ambapo ukienda hospital madaktari wengi wanadai kutouelewa huu ugonjwa hasa hospitali za mikoani, Dalili zake zinafanya upande mmoja wa...
0 Reactions
15 Replies
9K Views
Nimekutana na huyu dada week mbili zilizopita. Amekuwa ni mtu mwenye huzuni kila ninapokuwa nae Hatimae Leo kanisimulia tatizo linalomsibu .Hii hali ilianza toka alipovunja ungo miaka miwili...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
JF Doctors Ninataka nijue kama kuna madhara ambayo mwanaume anaweza kupata kutoshiriki tendo la ndoa wakati alikuwa amezoea kufanya hivyo kwa mara kwa mara na mke wake. Hii inatokea wakati...
0 Reactions
6 Replies
4K Views
Habarini wana JF, Hivi kuna athari au madhara yoyote yanayoweza kujitokeza kwa mama au mtoto endapo mama hatafanya mapenzi tangu mimba ikiwa changa hadi siku ya kujifungua?
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Kwa wale mlioteseke na madawa mbalimbali ya kupunguza uzito, kuvaa mikanda na kuhangaika kwenye magym na kubeba vitu vizito pamoja na kuteseka kufunga au kushinda bila kula na kusababisha vidonda...
0 Reactions
3 Replies
4K Views
  • Redirect
Nimekuwa na sumbuliwa na vipele sehemu ya mgongoni na kifuani kidogo. Tatizo hili limenianza tangu mwaka 2006 mpaka sasa, nimetumia dawa mbali mbali za kujipaka lakini hali imekuwa haibadiliki...
2 Reactions
Replies
Views
Nilifanikiwa kupata mwenza wa maisha (kuoa) mnamo mwaka 2006 kipindi ninaoa mimi nilikua na uzani wa kilo 50 na wife alikua na kilo 42 maisha yalisonga tukapata mtoto wakwanza. Wife alijifungua...
3 Reactions
77 Replies
7K Views
Shirika la kimataifa la Save the Children limetahadharisha kuhusu mlipuko wa ugonjwa wa homa ya manjano katika nchi za Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Congo na Angola. Pia imesemekana kuwa hivi...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Naomba mawazo yenu katika tafiti hii ninayoifanya kuelewa tatizo au kero katika upatikanaji wa elimu, ushauri, na habari za kiafya. Mimi ni mfanyakazi wa afya ya jamii. Katika kazi zangu...
0 Reactions
0 Replies
918 Views
Nina tatizo kila nikinywa bia inapofikia ya tatu au ya nne huwa nashikwa na kwikwi, hivi ni kwanini inanitokea hivyo? Suluhisho ni nini? Pia Soma, Kwikwi kwa mtoto mchanga: Chanzo na Tiba -...
0 Reactions
202 Replies
127K Views
HIVI IPO DAWA YA KUTIBU PUMU NA KUPONA KABISA?
0 Reactions
1 Replies
800 Views
Vipele sehem za siri. Haviumi wala kuwasha vina mwezi sasa nashndwa kuvielewa vimetokana.ni vigum gum ivi naombeni msaada
1 Reactions
9 Replies
5K Views
Jamani kamakuna mtu anauelewa kuhusu jambo hili tusaidianae tuteushauri namawazo yakiutuuzima.
0 Reactions
39 Replies
8K Views
Naombeni msaada wa jinsi ya kupata dawa ya driclor coz nimesikia inatibu excessive underarm sweating.Plzzzz nisaidieni jamani
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Naomba kujua kama kuna watu hushauriwa na madaktari wasipande ndege mara kwa mara au kusafiri na flight za masafa marefu bila kutua na kupumzika kwa muda(non-stop flight). Kwa yoyote aliepanda...
4 Reactions
28 Replies
4K Views
  • Redirect
Mambo vp wadau Nilikua naitaji kujuzwa kama kufunga uzazi kwa njia ya njiti ina madhara yoyote kiafya kuna mwenzangu amefunga uzazi kwa njia hiyo yaani ana bleed tu damu hazikati mwezi wa 4...
1 Reactions
Replies
Views
  • Redirect
Habarini ndugu zangu Mimi ni kijana wa miaka 25. Nipo maeneo ya kanda ya ziwa. Hii ndo historia yangu ya ya kuanza kupiga punyeto. Mwaka 2013 ndo rasmi nilianzaga huu mchezo baada ya kusikia...
8 Reactions
Replies
Views
Aman ya Muumba wa mbingu na nchi iwe nanyi wadau. Nina shida kidogo ningependa kushea nanyi ili mnipatie ushauri na pengine kutatua tatizo hili. Nina mke wangu ana ujauzito wa miezi 4 kwa sasa...
1 Reactions
11 Replies
57K Views
Back
Top Bottom