Habari wadau.?
Yaweza kuonekana ni ulizo la ajabu, ila kwangu limekua gumu.
Kuna mtu ninafanya naye project moja siku ya pili sasa na huja ikatuchukua hadi week moja.
Kazi hiyo inatulazimu...
Habari za leo wakuu,
Nina muda wa wiki mbili Sasa Niko porini,
Limeibuka tatizo kwenye sikio langu la kushoto,
Nimeenda hospitali nimetumia dawa nilizopewa lakini hali bado haijatengemaa...
Naumwa vibaya sana kama vile nachoka choka ukipimwa huna kitu ila unazìma zima tu sana sana kichwa.
Sina kachanga sina presha ni nini?
Tahadhari naomba watu ambao hawana ushauri wasicoment.
Habari ndugu zangu wa JF ..kama heading inavyojieleza naomba msaada wenu kwa ushauri najua JF ina kila aina ya watu nimeamua Nije apa kwakuwa nina amini hii ni nyumba ya kila kitu.
Tatizo langu...
Ujumbe muhimu kwa [WANAWAKE WENYE CHANGAMOTO YA U.T.I NA P.I.D]
Je wewe ni mwanamke unahangaika na ugongwa wa U.T.I SUGU na P.ID?
Kama jibu ni ndio ningependa kuongea na wewe.
Kwa jina naitwa...
Happy new year beautiful people.
Dear nutritionists mlioko JF naomba mnishauri diet itakayonisaidia kurudisha kilo zangu zilizopotea.
Nimekonda hadi nahisi watu wanahisi nina umeme(God forbid)...
Miaka 2 iliyopita nimekua nikiishi kwa kutumia bisacodl Nimeteseka sana.
Mwaka huu nilisafr kwenda nyumban kwa wazazi nilikaa huko miezi 3 nilipokua NYUMBANI choo nilikua napata vzuri kabisa 💯%...
Wanabodi habari za mchana.
Nimepata tatizo la kupata ganzi katika miguu wakati wa kukaa especially wakati wa kujisaidia katika choo cha kukaa!nikiinuka nakua napata ganzi sana!
Naomba msaada...
CHANZO CHA PICHA,ISTOCK/BBC THREE
Inawezekana ukafikiria kuwa ni jambo la ajabu kunywa mkojo wako kama 'kipimo cha kuishi' katika dharura kama hiyo lakini watu wengi katika maeneo mbali mbali...
Muktasari:
Kifupi, kama unadhani kuwa tiba na kinga za maradhi ni vidonge na sindano pekee, basi umepotea, ulizia tena upya maana binadamu ameumbwa kwa namna ya ajabu sana na anapopatwa na...
Natafakari sana mchakato wa maji ya chupa pamoja na ubora wake kwenye mwili baada ya kughoshiwa, sina hakika kama yana tija kwenye afya ya mwili na naona wanywaji wakiongezeka sana
wataalamu...
Habari za leo wakuu,
Nasikia watu mtaani wakisema
matumizi ya njia za uzazi wa
mpango kama kuweka vijiti
huchangia wanawake kuwa na
matumbo makubwa,
Je, wataalamu, Kuna ukweli wowote...
Kuna MTU ana shida ya ngozi anatokewa na kipele kidogo kwenye ngozi baada ya Muda kidogo kinabadilika kinakuwa kikubwa kiasi chenye majimaji NDANI yake, akikitumbua kinapona baada ya Muda mfupi...
Kando na pipi za pamba, unajua ni bidhaa gani nyingine zinazoweza kusababisha saratani?
Maelezo ya picha,
Uuzaji wa pipi za pamba umepigwa marufuku katika jimbo moja huko India
Uchunguzi...
Mambo 5 ya kujua kuhusu nimonia
Pneumonia ni maambukizi kwenye mapafu. Mara nyingi husababishwa na bakteria au virusi. Ni ugonjwa unaoathiri mfumo wa kupumua.
Watoto lakini pia watu wazima...
PUNYETO ni janga la vijana wengi na pengine hadi watu wakubwa kabisa.
PUNYETO inaweza ikakutesa mwili, akili, roho na nafsi.
Hata mimi nilikua huko, ila nimeweza kuacha na kuwa huru.
Japo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.