Kwema wakuu nasumbuliwa sana na shida ya vidonda vya tumbo nimekunywa dawa napata nafuu hali inarudi pale pale nilikutwa na hpyrol nikameza dawa nikawa fresh niliporudi hosp kuchek nikakuta mdudu...
Habari za Saahizi Wana Jf
Kunavitu Duniani ni Enderevu Kwa wafanyabiashara Wakubwa DUNIANI , Hadi Wanakufa Ni Bilinear .
🖐️Watanyabiashara wa Dawa za meno wengi maisha yao yote wataendelea kupiga...
Habari wana JF wenzangu, samahani naomba mnisaidie naweza kumpa maziwa ya ng'ombe mtoto mdogo wa miezi miwili?
Na kama naweza kumpa naomba mnisaidie nayachanganya vipi ili nimpe natanguliza...
Wakuu naanza kwa salamu zangu za dhati kwenu pia poleni na mihangaiko ya siku nzima ya leo.
Kabla sijaenda kwenye maada. Naanza kwa kusema kuwa najiona kuwa na bahati sana kuwa katika jamii ya...
Wakuu naanza kwa salamu zangu za dhati kwenu pia poleni na mihangaiko ya siku nzima ya leo.
Kabla sijaenda kwenye maada. Naanza kwa kusema kuwa najiona kuwa na bahati sana kuwa katika jamii ya...
Hello Wana JF, great thinker.
Ndugu zanguni naomba tu serikali ya Namhuri ya Muungano wa Tanzania wautambue huu ugonjwa wa Acid reflux kama janga la kitaifa kwani huu ugonjwa ukikushika huwezi...
Kwa wenye uzoefu na malezi/uzazi...
Kila mzazi hutamani shape nzuri ya kichwa kwa watoto wake.
1. Je, ni kweli kuwa 'UTOSI' kufunga mapema sana husababisha komwe (forehead kuwa kubwa)?
2. Je...
ARTICLES • GOLDEN FUND • INTERVIEWS
After such cleaning of blood vessels, the pressure of the elderly ceases to spike, and 9 more supposedly "incurable" diseases go away!
Famous South African...
Nilidhamiria kutoka Mwanza na kwenda kupiga kambi katika Mkoa wa Tabora. Katika Manispaa ya Tabora, hakuna daladala katikati ya mji, kitu ambacho kilinishangaza, watu wengi hutumia bajaji na boda...
Habari wakuu,
Kuna kapepo ka ulevi kamenivagaa kakuchanganya Kvant na mo energy yaani yaani imekuwa kama utamaduni kwangu karbia kila muda.
Nikijskia kupiga gambe huwa nafanya haya mazoea nahisi...
Watu wenye uzito uliozidi (unaoitwa obesity) wanaweza au uwezekano wa kupata magonjwa ya moyo, kisukari, shinikizo la damu na masuala mengine ya kiafya.
Ni muhimu kutambua kuwa mzunguko...
Habari za majukumu ndugu zangu,Nina mtoto wa kiume miaka 4 Sasa lakini haongei ni kupiga makelele tu ana dalili hizi hapa chini
1. Ukimuita jina lake hageuki
2. Anapiga makelele tu
3.kuna wakati...
Nina tatizo la harufu kali ya kikwapa kiasi cha kunikosesha amani na kutokujiamini mbele za watu.
Nimejaribu kutumia njia karibu zote za asili kama kujisafisha na limao, ndimu, maji ya ukoko wa...
Kuna makundi 3 ya kina dada huwa nashindwa kuelewa afya zao naombeni ufafanuzi:
1. Kuna aina ya kina dada ambao miili yao huwa ni baridi kabisa kama mtu ametoka kuoga vile ukimshika ubavuni au...
Wasalam mabibi na mababu...
Kwanza yote kwa yote nashukuru Mungu wife kanizalia Katoto, mana miongoni mwa factor za kuonyesha urijali ni kupata katoto.
Sasa mara baada ya 40 kuisha nkasema...
Habari wakuu?
Naomba kuleta kwenu swala hili la ugonjwa wa GERD.
Je, kuna watu wameugua huu ugonjwa? Wamepona? Walitumia muda gani kupona? Ulitumia njia zipi/ matibabu gani Hadi kupona?
Vipi...
233. Na wazazi wa kike wanyonyeshe watoto wao miaka miwili kamili, kwa mwenye kutaka kutimiza kunyonyesha. Na ni juu ya mzazi wa kiume kuwapatia chakula chao na nguo kwa mujibu wa ada...
Wakuu habari ya leo, kwa miezi kadhaa nimehangaika na ugonjwa ambao hapo chini nimeweka dalili ninazozipata, vipimo na dawa nilizotumia lakini bado sijapata suluhisho. Kama kuna mwenye uzoefu...
Nimeanza kupata dalili za genital warts sehemu za siri kwenye shina la uume kuota vinyama (visundo sundo vidogo), nimejaribu dawa lakina bado sijapata matokeo mazuri.
Je, ni dawa gani inaweza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.