Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Sijui jina halisi ni lipi ila sisi tumezoe kuita ivyo nikama funza ila huwezi kumuona kwa macho wanapenda kukaa kwe vidole vya miguu wanawasha sana na kuuma ukipatumbua sehem yenye nyungu nyungu...
0 Reactions
1 Replies
172 Views
Ni hivi, Mimi nikiongea sana au hata story yakuadithia kwa dakika kadhaa huwa koo linakauka na sauti inapotea na kukwaruza kwaruza, Ni kwann eti? Au kuna chakula natumia ndo chanzo cha...
2 Reactions
22 Replies
319 Views
Leo nimekaa na mke wangu tunakula ghafla maziwa yakamuuma akaniambia mtoto anakojoa ndani ndo Mana yananiuma, maana mtot ana miezi miwil alikuwa amelala. Nikamwambia acha Imani zako za kiswahili...
2 Reactions
14 Replies
474 Views
Habarini za wakati huu memberz wenzangu. Nimekuja humu kuomba ushauri/ tiba ya ugonjwa unaonisumbua. Ni takriban mwezi wa 6 huu nagusa mfano wa kipele/kinundu kirefu kinachouma ndani ya uke...
3 Reactions
53 Replies
1K Views
Habarini wanajukwaa, kwa wale wenzangu ambao kidogo mmegusa Biology Huwa nikila parachichi hususani ninaposhushia na ubwabwa, nahisi hali ya msisimko wa mwili kuongezeka. Nimefanyia majaribio...
0 Reactions
145 Replies
121K Views
Kwa mujibu wa wataalamu wanasema kuwa kama ilivyo muhimu kwa chakula na maji katika mwili wa BINADAMU basi usingizi nao ni muhimu hivyo hivyo. Ndani ya mwili wa binadamu kuna kitu kinaitwa...
2 Reactions
4 Replies
168 Views
Mwaka 2017, mtafiti wa mambo ya usingizi Dr. Tomath Roth aligundua kuwa tatizo la kukosa usingizi wa kutosha (Insomnia) linaweza kuathiri kiasi cha theluthi moja ya watu wote duniani katika muda...
5 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari wadau mimi nikijana ( 26 ) nasumbuliwa na ganzi mkononi na miguuni pia sometime miguu uwaka moto na mikono pia nikienda hospital naambiwa sina tatizo nimepima kisukari , presha, vidonda vya...
1 Reactions
33 Replies
2K Views
Yaani mitaani tunaona hakuna stori nyingine zaidi ya maokoto. Siku hizi wanawake ndo Wana hit na ku run Ndo maana hata ukitangaza kumpenda mtu mtaani swali la kwanza utaulizwa ni UNA HELA?
10 Reactions
56 Replies
922 Views
Katika mwezi mtukufu wa Ramadhani, tende ndiyo tunda linaloliwa kwa wingi, pengine kuliko tunda lingine. Pamoja na kuwa ni tunda lenye ladha tamu na nzuri mdomoni, lakini kisayansi pia...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
  • Redirect
Wakuu kumbe ulaji wa hizi tende zikichanganywa na korosho na maziwa matokeo yake yanakuwa muruwa hivi kwenye mambo ya sita kwa sita hlf wakuu hamsemi
2 Reactions
Replies
Views
Wadau wa nguvu wazoefu wa mazoezi naombeni ushauri wenu Ninachunika paja la kulia just day 1 ya mazoezi ya kutembea. Je, ni hizi boxer za kawaida ndio shida kwa maana haziwezi accomodate aina...
1 Reactions
29 Replies
557 Views
Muktasari: Kifupi, kama unadhani kuwa tiba na kinga za maradhi ni vidonge na sindano pekee, basi umepotea, ulizia tena upya maana binadamu ameumbwa kwa namna ya ajabu sana na anapopatwa na...
3 Reactions
17 Replies
3K Views
Kwa kweli mi utafiti wa kisayansi utakuja kunikuta baadaye tayari nishafikaga huko. Unajua mambo mengi tu yaliyopo kiasili, huwa tayari ndio ukweli sema tu unasubiria sayansi kuja kutoa maelezo...
0 Reactions
4 Replies
507 Views
Mamlaka za kudhibiti dawa za Tanzania, Rwanda na Zimbabwe zimesitisha toleo la dawa za kikohozi za watoto za kampuni ya Johnson & Johnson, kama hatua ya tahadhari baada ya mamlaka za Nigeria...
1 Reactions
15 Replies
1K Views
Habari zenu wadau. Nimekuwa nasumbuliwa na kupatwa na vichomi katika moyo sijui tatizo ni nini? Mwenye kujua aina hii ya maradhi na jinsi ya kutibiwa anipe mwongozo. Msaada
4 Reactions
13 Replies
301 Views
Habari za usiku Baada ya kupata magonjwa siku za karibuni ikanibi niende hospital ya Benjamin hapa Dodoma. Nikacheki vipimo vyote ila nilipofika kwenye kipimo cha damu daktari alikuwa ananipa...
5 Reactions
58 Replies
4K Views
Habari wadau, Nimekuwa nikisikia muda mrefu watu wakiongea kwamba mtu mwenye damu group O ni vigumu sana kupata Magonjwa mbali mbali ikiwemo ugonjwa hatari wa ukimwi! Vile vile kuna ushahidi wa...
7 Reactions
117 Replies
92K Views
Habari ya muda huu ndugu wana jamii forum, mimi ni kijana wa kiume umri ni miaka 30. Nina shida ndugu zanguni naomba msaada wenu hata wa kimawazo maana sijui nianzie wapi. Ni hivi, kwa muda sasa...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Wanabodi nawasalimu kila mmoja kutokana na umri wake, Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 22 nilizaliwa nikiwa mzima bila ulemavu wowote mpaka naingia kidato cha nne ndipo nikapata tatizo la...
2 Reactions
35 Replies
5K Views
Back
Top Bottom