Joseverest wadau huyu jamaa yangu ni mtu mmoja huwa mara nyingi hana ugomvi na watu mpole sana nadhan upole wake ni sababu ilikuwa awe padre lakini akahairisha kutokana na raha za dunia...
Uzi huu utakuwa maalumu kwa ajili ya kuweka matukio ya mechi za watani wa jadi, Simba na Yanga!
Imekuwa ni desturi timu hizi zinavyokutana basi, kunakuwa na vituko na matukio ya aina tofauti...
Amani iwe nanyi wapendwa katika bwana,
Husika na kichwa hapo juu kinavyosomeka,
Vibosile huwa ni vikwazo sana kwa wapendanao.
Unaweza ukawa na msichana wako mkali tu tena mnapendana kinoma...
Tarehe kama ya leo, 27.10. siku ya jumapili miaka 26 iliyopita Bi. Aisha, akiwa mjamzito, alitoka kidogo nyumbani akifanya mazoezi kama ilivyo ada ya kina mama Wajawazito. Katika mazoezi yake...
Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana
Kama kichwa cha habar kinavyosomeka hapo juu
Leo nimeamua nije ya maada ya kufa mtu yaan ya kukata na shoka
Heshima ya mwanaume ni kupiga pu:mbu kweli...
Aman iwe nanyi wapendwa katika
Kama kichwa cha habar kinavyosomeka hapo juu
Ngoja niache maneno mengi nitililike na story moja kwa moja
Hii story lazima iwakonge kumoyo
Ilikuwa hivi,
Nilikuwa...
Ni kweli daktari ni mtu anayelipwa mshahara mkubwa na serikali au hata sekta Binafsi!
Engineers hawalipwi hela nyingi kama daktari....swali linakuja je kwanini sasa wahandisi wengi ni matajiri...
Wadau sitaki niwachoshe nataka numjue huyu radhi coz nina hasira hasa leo baada ya kukosa nishati ya umeme nikiuliza eti Tanesco wameomba radhi huyu radhi ni nani timu ikifungwa inaomba radhi ccm...
Asalam alayqum wana jf
Today I celebrate ME! The birth of Me! The person I have grown to be! The person I will become! The sister, daughter, friend, girlfriend; I am! and the Mother I will be...
Kwa ufupi,Me nakumbuka, miaka ya 90's baada ya misukosuko kadhaa ya kifamilia nikajikuta nipo mikononi kwa mjomba wangu,
Kwavile nilikuwa bado sijapata uhamisho wa shule, basi Mtoto wa kiume...
Hivi dunia ilipofikia je kuna mwanamke asiyependa kumuomba hela wala kupokea pesa ya mwanamme!
Wenye wanawake Wa hivyo au kama wewe ni mwanamke Wa hivyo
Tuambie unawezaje!
Japan Airport wameweka kioo kubwa ukisimama mbele yake inataja jina lako na nchi unayo elekea.
Mpemba mmoja alisimama mbele ya kioo akaambiwa jina lake ni Awadhi Mkufu Mbaruku na ndege yake...
Basi siku iyo kwenye pitapita zangu nikapita maeneo ya sinza pale usiku nikajiokotea linyau nikalipa alfu 5000 nikaenda kulibanjua nkainamisha mzigo nikaanza kupiga kiuno ***** piga kiuno mpaka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.