Miaka nenda, miaka rudi nikingia toilet, nakuta kifo cha mende, nikingia sebuleni nakuta kifo cha mende, nikingia chumbani nakuta kifo cha mende, nikingia kitandani loooh salale ndio, majanga...
Km ww ni mtz na umepitia au upo ktk mahusiano na hujawahi kukutana na zawadi za 1;pipi ya kijiti(big bom) 2;apple[emoji2] [emoji3] [emoji2] either ww ndio ulitoa au ulipewa km hujapitia hii stage...
Katika pita pita zangu humu nimekutana na uzi wa Wanawake wa Jf wakutane .
Sasa na mimi nimeona siyo Vibaya na wanaume tukakutana kwenye Uzi wetu dhumuni ni kujadili;
____ Maujanja ya kusaka...
Mara baada ya sirikali ya awamu ya tano kuingia magogoni hawa memba wenzetu waliotikisa hili jukwaa wakati wa uongozi wa awamu ya nne wametoweka kama vile mvua za pwani,tafadhali mwenye taarifa...
Kapeace naomba ukipata off uje nikupikie bilinganya za nazi na hata ukitaka mbichi pia wewe njoo uchume shambani zipo nyingi sana na ni kubwa sampuli hii.
Wadogo zangu hamjambo, wakubwa wenzangu habari za saa hizi....
Hum ndani kuna avatar za kila namna....
zipo zinazochekesha
zingine zinazotisha balaa
zipo zinazovutia
Na zingine zinasisimua.
Kifupi...
Mume akamwambia mke wake:
"funga macho yako tufanye maombi akaanza kwa kimombo"
..lord i pray for grace,i pray for mercy i pray for joy, i pray for love, i pray fo hope, i pray for glory i pray...
Kwa nini hawa wake zetu, kabla ya kuolewa wanakuwa, watulivu sana na heshima, na adabu juu, ukishaoa na kuweka ndani tu, wanajitutumua kwa viburi, ujeuri, dharau, upendo, masikilizano, utoweka na...
Mimi ni mjasiliamali najihusisha na ufugaji wa kuku wa kienyeji na sasa ni mwaka wa nne. Tangu juzi kuna jogoo anawika kila ikifika saa mbili na nusu usiku (2:30). Kwa uzoefu wangu wa miaka minne...
Wakuu habari,
Kwa muda mrefu ndugu yetu DJ Sepetu amekuwa akihoji wenzie sasa Leo ni zamu yake kuhojiwa
NB Interview ni free.Kila mtu anaruhusiwa kuuliza swali
Wakuu habari,
Kwa muda mrefu ndugu yetu DJ Sepetu amekuwa akihoji wenzie sasa Leo ni zamu yake kuhojiwa
NB Interview ni free.Kila mtu anaruhusiwa kuuliza swali
Wakuu,
Habari za asubuhi? Wengine ndio tunatoka job since yesterday ndio tunaingia majumbani kwetu now. As wakuu wengine washatangulia church, hebu watu wajitolee waendeshe ibada hapa sasa hivi...
Nani yupo Tabora tutafutane? Nipo hapa maeneo ya Chuo cha uhazili kwa nje kuna Pub kali sana mpya....kama upo huku sogea hapa...jumamosi hii tutatafuna tu karanga za ndani ya hiyo geti hapo
C&P
UTAFITI
Kwa mujiub wa utatiif liuofanywa na Prfo. Jmebekillo wa chou kiuuk cha Dodoam, haukna haaj ya kuwa na mpaiinglo kweney heruif katiak maneon. Cha mhuimu ni kuaw na mpaiinglo kweney...
Mwanaume ni
binadamu wa jinsia ya kiume, kwa maana anafaa kuwa mume.
Ndiyo sababu kwa kawaida anaitwa hivyo aliyefikia utu uzima au walau ame balehe .
Kabla ya hapo huwa anaitwa mtoto wa kiume...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.