JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Kuna mambo yanafurahisha na kusikitisha kwa pamoja Kuna vitu havikwepeki hasa suala mbususu Yani utajizuia lakini kwa mwanaume ngumu pamoja na ugumu huo na tunaweza kumudu kufanya starehe ya namna...
4 Reactions
12 Replies
269 Views
Enzi nipo shule ya msingi nilikua napenda kusoma vitabu vyenye hadithi tamu sana ila ukiangalia vitabu vya enzi hizi hakuna kitabu kinachonipa hamasa ya kukisoma Enzi hizo nilisoma hadithi kv...
3 Reactions
90 Replies
20K Views
........When a man truly loves his woman the only thing he would ever want to change about her is HER LAST NAME...from her own to his!....... Jamani mi nataka mtu wakunipa jina...
3 Reactions
504 Replies
29K Views
Siku ya leo maandalizi ya vyakula yanakuwa mengi na kila mtu na aina ya chakula anachovutiwa nacho Ungependelea chakula gani kati ya hvi..? -Biriani nyama -Biriani kuku -Birian samaki -Wali...
4 Reactions
37 Replies
769 Views
RULES OF DATING SOMEONE'S WIFE; 1. Never take photos with her. 2. If you called and she hangs up, don't call her back, the husband is around. 3. Don't text her love messages. 4. Satan should...
3 Reactions
18 Replies
419 Views
Tumeamua mimi na familia yangu tunafunga kwaanzia leo usiku hadi alhamis jioni mfululizo. Hatutashinda njaa Bali tunafunga. adriz
0 Reactions
8 Replies
216 Views
Naombeni mwaliko kwenye sherehee ya IDDI . Unique Flower .
5 Reactions
28 Replies
379 Views
Eid mubaraak ndugu zangu, ramadhaan imekamilika na Eid fitr imeingia hatuna budi kusherehekea. Panapo majaaliwa kesho nikiufinya mtoko utakuwa kwenda kuwatembelea wagonjwa. VIPI WEWE MTOKO WAPI?
0 Reactions
13 Replies
252 Views
Aliyeko karibu na Mufti tusaidieni kumuuliza kama kesho ni sikukuu. Confirmed kesho ni Eid
3 Reactions
25 Replies
666 Views
Usiwe na ujasiri sana kufanya mazungumzo au kukutana na watu usiowafahamu mtandaoni. Kwa upande wako mwana-Jamiiforums unanini ya kusema kuhusu haya maelezo..?
6 Reactions
36 Replies
670 Views
DISCLAIMER (KANUSHO): Uzi huu ni maalumu kwa ajili ya burudani tu, Maudhui yake hayana nia ya kukashifu, kudharau au kuchukulia poa harakati/imani/mitazamo au kazi za watu.. Tufurahie na kucheka...
91 Reactions
363 Replies
11K Views
Hawa wanawake bwana sijui wapoje aisee sijui mgnga wao yuko wapi sijui amekufa au nae amerogwa maan haiwezekani wakati namuoa mke wangu hili jumba langu yeye amelikuta la milioni 200 halafu eti...
2 Reactions
14 Replies
519 Views
Kuna kautafiti kasiko rasmi nimekafanya kuhusu makabila yenye wanawake wenye viburi hapa Tanzania. 1. Wachaga 2. Wakurya 3. Wanyakyusa 4. Wahaya 5. Wapare 6. Wasukuma 7. Wameru 8. Wajaluo Yani...
47 Reactions
293 Replies
16K Views
1. Single mother Watanzania wengi walikuwa hawajui single mother ni nani 2. Wanaume wa dar 3. Mizagumuo 4. Kataa ndoa 5...
1 Reactions
28 Replies
647 Views
Wakuu jana maana kukutana na yule demu muathirika wa virusi.vya ukimwi niliamua kurudi kimya kimya maskani ila mke wangu sikumkuta kumuuliza dada wa kazi akaniambia ameelekea mwanza tokea jana...
1 Reactions
5 Replies
115 Views
Ama kweli hawa wezi wanapaswa kuuawa aisee sio.poa yaani hawa washenzi wanarudishana nyuma kabisa yaani milioni 10 imeenda hivi hivi pale stendi ya mabasi Mbezi kwa Magufuli yaani hapa kichwa...
12 Reactions
68 Replies
1K Views
Ni level gani ya elimu imekupa marafiki ambao umedumu nao hadi leo, kati ya 1. Primary 2. Secondary 3. A level 4. Chuo 5. Kitaa
4 Reactions
18 Replies
352 Views
Wadau hamjamboni nyote Leo nimepewa ofa na rafiki yangu huko maeneo ya Skansca Salasala Nimefurahi sana kwa huduma husika shukrani kwa Ndugu yangu Gharama zake za kutisha Nimeweka...
8 Reactions
28 Replies
846 Views
Uvaa nguo kwanza, alafu upaka mafuta sehemu za wazi za mwili wake baada ya kuvaa nguo. Sasa wale wanaojipakaga mafuta mwili mzima tuwaiteje?
7 Reactions
88 Replies
1K Views
Back
Top Bottom