Jukwaa la Mapishi

Mijadala mbalimbali ya wanajamii inayohusiana na mapishi
  • Sticky
Habari zenu Leo nimeona ni vyema wana jikoni na wazazi tujadili na tubadilishane mawazo kuhusu lishe za watoto wetu kuanzia umri wa miezi 6 hadi mwaka..... Nini madhumuni hasa 1)kwa wale...
30 Reactions
338 Replies
269K Views
Mie napenda kujaribu vitu vipya jikoni, mfano pishi jipya au hata viungo vipya au mchanganyo mpya wa viungo na pishi. Japo kuna nyakati mara chache siyo mara nyingi huwa nikijaribu mchanganyo...
0 Reactions
2 Replies
48 Views
Natumaini wazima Leo nawaletea recipe ya kupika samaki wa Nazi chukuchuku,wengine wanasema mchuzi ambao hauna mambo mengi MAHITAJI Samaki wabichi unaweza tumia pia wakavu...
11 Reactions
31 Replies
290 Views
Leo nimepta msosi wangu pendwa kbsa wa mix ya mayai na maharage Nikachamganya na maparachichi kwa kweli leo siku imekwenda vzr siyo kaama juzi niliishia kunywa energy drink Nimeambiwa nijiandae...
11 Reactions
54 Replies
1K Views
Habari wanajamii naitwa Samwel Mayala ninatafuta kazi za upishi ninauzoefu wa miaka 19 katika tansinia ya hotel ninaishi Dar es salaam NInapika chakula Cha aina mbali mbali kama vile chakula...
0 Reactions
1 Replies
70 Views
Wadau hamjamboni nyote? Nimeona niwape tahadhari kabla ya kuwatakia usiku mwema Ni kwa wale Ndugu zangu wanaopenda kunywa uji wa ulezi kama mimi hapa. Huu ni utafiti usio na chembe ya uongo...
3 Reactions
25 Replies
618 Views
Wadau hamjamboni nyote Huu ni ushuhuda wa kweli kabisa uliothibitisha kuwa nilichokuwa nakifikiria kuhusu mihogo siyo kweli! Leo Jumatano majira ya mchana hapa maeneo ya Mbuyuni nimekula mihogo...
13 Reactions
54 Replies
899 Views
Inakuwa na mchanganyiko wa Soseji Mayai mawili ya kukaanga Uyoga Viazi vilivyokaangwa vikakauka vizuri ama chips Nyanya kipande unaila ikiwa mbichi Maharage yasiyokaangwa steak ndogo ya...
0 Reactions
2 Replies
166 Views
Wapishi wa nyama katika migahawa, Bar, hotel, sherehe na hata majumbani hakikisheni nyama zinaiva vizuri na kuwa laini kabisa. Iwe nyama ya kuchemsha, kuchoma au kukaanga nyama inatakiwa iwe...
17 Reactions
85 Replies
1K Views
Pika kande lako liive vizuri ,nunua maarage mazuri (mapya) ambayo hayajakaa dukani sana ambayo ni ya zamani yana rangi ya kahawi hayatakupa matokeo mazuri Ukishayapika yakiiva unga kawaida weka...
1 Reactions
6 Replies
214 Views
Niko Mwanza kitaliii…. wapi napata kitimoto nzuri ya kuchoma
3 Reactions
59 Replies
1K Views
Natumaini wazima Kuna wakat tunakuwa na ndiz zimeiva sana kias umeamua huwez kuila pika hivi Kwa kutumia ndizi Mahitaji 1)Ndizi za kuiva mbili 2) nganovijiko vya chakula vitatu 3)mayai...
19 Reactions
30 Replies
1K Views
Nimeandaa matunda parachich, Tango,Ndizi,passion,mchaichai Na tangawizi Ni juisi yangu pendwa Sana Huu mchanganyiko . Nikasema niandae zangu baadae nikae nawatch movie huku nashushia juisi...
20 Reactions
190 Replies
3K Views
Natumaini mko poa,hongereni Kwa maandalizi ya sikukuu Leo nimeandaa recipe ya pilau tamu la Nazi,karibun tujifunze MAHITAJI 1)Mchele kilo moja. 2)Nyama iliyochemshwa Mimi nilitumia nusu...
29 Reactions
99 Replies
2K Views
Habari wakuu, Husika hapo juu, ni mboga ipi naweza kupika kwa haraka ili niepuke kwenye migahawa Maana nikirud home nakua nimechoka sana Asanteni
4 Reactions
57 Replies
1K Views
Mwezi uliopita nilinunua Mayai thelethini ya kuku wa kienyeji. Kwa ajili ya kula. Nimetumia mayai kama 10. Halafu ukapita muda kama wiki. Bila kula mayai. Juzi nikachukua kuchemsha, naona ni...
0 Reactions
13 Replies
477 Views
  • Poll
The Spice of Life: Unveiling the Hidden Powers of Culinary Herbs and Spices For as long as humans have been cooking, herbs and spices have been our trusty companions in the kitchen. More than...
0 Reactions
0 Replies
191 Views
Unataka kula nyama ya nguruwe ambayo haijaiva vizuri ili ugundue nini? Usile kitimoto ambayo haijaiva vizuri, hakikisha imepikwa kwa moto mkali, kama ni ya kuokwa hakikisha imeokwa kwa muda mrefu...
2 Reactions
9 Replies
634 Views
Habari zenu wapenzi Karibuni tena tujifunze jinsi ya kupika tambi za mayai.✍🏻 Ni rahisi sana wala hutumii muda mrefu, niiingi moja kwa moja kwenye mada Owky. Mahitaji. Tambi chumvi maji...
9 Reactions
22 Replies
1K Views
WAkuu habari za usiku huu? Kama kichwa cha habari kinavyojieleza. Naomba kufahamishwa jinsi ya kutengeneza juisi aina ya milkshake, vitu vinavyowekwa humo mpaka inakamilika kwa ajili ya kunywewa...
1 Reactions
17 Replies
688 Views
Mahitaji Mayai 2 Unga wa ngano au Bread crumbs Kijiko kimoja cha tangawizi chumvi Mixed spice au Viungo vya Pilau oil simba mbili au cubes Maelezo Weka nyama ya kusaga kweye chombo na jikoni...
4 Reactions
0 Replies
261 Views
Back
Top Bottom