Habari zenu
Leo nimeona ni vyema wana jikoni na wazazi tujadili na tubadilishane mawazo kuhusu lishe za watoto wetu kuanzia umri wa miezi 6 hadi mwaka.....
Nini madhumuni hasa
1)kwa wale...
Mie napenda kujaribu vitu vipya jikoni, mfano pishi jipya au hata viungo vipya au mchanganyo mpya wa viungo na pishi.
Japo kuna nyakati mara chache siyo mara nyingi huwa nikijaribu mchanganyo...
Natumaini wazima
Leo nawaletea recipe ya kupika samaki wa Nazi chukuchuku,wengine wanasema mchuzi ambao hauna mambo mengi
MAHITAJI
Samaki wabichi unaweza tumia pia wakavu...
Leo nimepta msosi wangu pendwa kbsa wa mix ya mayai na maharage
Nikachamganya na maparachichi kwa kweli leo siku imekwenda vzr siyo kaama juzi niliishia kunywa energy drink
Nimeambiwa nijiandae...
Habari wanajamii
naitwa Samwel Mayala
ninatafuta kazi za upishi
ninauzoefu wa miaka 19 katika tansinia ya hotel
ninaishi Dar es salaam
NInapika chakula Cha aina mbali mbali kama vile chakula...
Wadau hamjamboni nyote?
Nimeona niwape tahadhari kabla ya kuwatakia usiku mwema
Ni kwa wale Ndugu zangu wanaopenda kunywa uji wa ulezi kama mimi hapa.
Huu ni utafiti usio na chembe ya uongo...
Wadau hamjamboni nyote
Huu ni ushuhuda wa kweli kabisa uliothibitisha kuwa nilichokuwa nakifikiria kuhusu mihogo siyo kweli!
Leo Jumatano majira ya mchana hapa maeneo ya Mbuyuni nimekula mihogo...
Inakuwa na mchanganyiko wa
Soseji
Mayai mawili ya kukaanga
Uyoga
Viazi vilivyokaangwa vikakauka vizuri ama chips
Nyanya kipande unaila ikiwa mbichi
Maharage yasiyokaangwa
steak ndogo ya...
Wapishi wa nyama katika migahawa, Bar, hotel, sherehe na hata majumbani hakikisheni nyama zinaiva vizuri na kuwa laini kabisa. Iwe nyama ya kuchemsha, kuchoma au kukaanga nyama inatakiwa iwe...
Pika kande lako liive vizuri ,nunua maarage mazuri (mapya) ambayo hayajakaa dukani sana ambayo ni ya zamani yana rangi ya kahawi hayatakupa matokeo mazuri
Ukishayapika yakiiva unga kawaida weka...
Natumaini wazima
Kuna wakat tunakuwa na ndiz zimeiva sana kias umeamua huwez kuila pika hivi Kwa kutumia ndizi
Mahitaji
1)Ndizi za kuiva mbili 2) nganovijiko vya chakula vitatu 3)mayai...
Nimeandaa matunda parachich, Tango,Ndizi,passion,mchaichai Na tangawizi Ni juisi yangu pendwa Sana Huu mchanganyiko .
Nikasema niandae zangu baadae nikae nawatch movie huku nashushia juisi...
Natumaini mko poa,hongereni Kwa maandalizi ya sikukuu
Leo nimeandaa recipe ya pilau tamu la Nazi,karibun tujifunze
MAHITAJI
1)Mchele kilo moja.
2)Nyama iliyochemshwa Mimi nilitumia nusu...
Mwezi uliopita nilinunua Mayai thelethini ya kuku wa kienyeji.
Kwa ajili ya kula.
Nimetumia mayai kama 10. Halafu ukapita muda kama wiki. Bila kula mayai.
Juzi nikachukua kuchemsha, naona ni...
The Spice of Life: Unveiling the Hidden Powers of Culinary Herbs and Spices
For as long as humans have been cooking, herbs and spices have been our trusty companions in the kitchen. More than...
Unataka kula nyama ya nguruwe ambayo haijaiva vizuri ili ugundue nini?
Usile kitimoto ambayo haijaiva vizuri, hakikisha imepikwa kwa moto mkali, kama ni ya kuokwa hakikisha imeokwa kwa muda mrefu...
Habari zenu wapenzi
Karibuni tena tujifunze jinsi ya kupika tambi za mayai.✍🏻
Ni rahisi sana wala hutumii muda mrefu, niiingi moja kwa moja kwenye mada
Owky.
Mahitaji.
Tambi
chumvi
maji...
WAkuu habari za usiku huu?
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza. Naomba kufahamishwa jinsi ya kutengeneza juisi aina ya milkshake, vitu vinavyowekwa humo mpaka inakamilika kwa ajili ya kunywewa...
Mahitaji
Mayai 2
Unga wa ngano au Bread crumbs
Kijiko kimoja cha tangawizi
chumvi
Mixed spice au Viungo vya Pilau
oil
simba mbili au cubes
Maelezo
Weka nyama ya kusaga kweye chombo na jikoni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.