Jamii Intelligence

Mijadala fikirishi inayoibua fikra mbadala na mpya. Makazi ya wanazuoni

JF Prefixes:

  • Sticky
Nimeonelea nianzishe hii section ili watu tuwe tunapeana maneno ya hekima. Huu ni mwanzo na ruksa kuendeleza thread (mada) hii ili mradi uwe umejisajili. You may use any of the two official...
68 Reactions
4K Replies
761K Views
  • Sticky
  • Poll
Hii ni habari nzito iliyokuwa inasubiriwa... Kwa kuwa tumekuwa na matatizo sana kwenye mikataba, sijui na mradi huu utasalimika! Ni kampuni ile ile walioshinda tenda zamani wakanyimwa ikawa...
3 Reactions
2K Replies
316K Views
  • Sticky
Kuna mtu anayejua mshahara wa raisi wa Tanzania ni kiasi gani? Kuna mtu kaniambia ni $200,000 na kitu kwa mwaka...sikuamini lakini akanihakikishia kuwa taarifa zake ni za uhakika. Bado ninasita...
59 Reactions
1K Replies
469K Views
  • Sticky
Freemasonry is a fraternal organisation. Arising from obscure origins (theorised to be anywhere from the time of the building of King Solomon's Temple to the mid-1600s), it now exists in various...
41 Reactions
1K Replies
619K Views
  • Sticky
Wiki chache zilizopita niliwaletea historia ya fedha ya sarafu hapa nchini kwetu nikaahidi kumalizia na historia ya noti. Kwa bahati mbaya majukumu yamenizidi nikashindwa kupata nafasi ya...
37 Reactions
218 Replies
218K Views
  • Sticky
Nimesikia kuwa hivi karibuni, nchi zote za Afrika ya Mashariki zitatumia sarafu moja. Nimekuwa natafiti pole pole kutafuta picha za pesa tulizowahi kutumia hapa kwetu, nikaona nizitundike hapa...
35 Reactions
110 Replies
127K Views
Mungu aliumba vitu vinavyoonekana na visivyoonekana. Na kwa Bahati nzuri akaweka kizuizi kwa kupitia uwezo wake wa kiungu hili tusiweze kushuhudia viumbe hivyo ambavyo havionekani kwa macho yetu...
36 Reactions
991 Replies
248K Views
Wakuu amani kwenu, With due respect naomba kujuzwa masalafi ni nani na wahabi ni nani? Ni nini tofauti zao kiimani na kiutamaduni? Je, Wanachangama vipi na Waislamu wengine wa madhehebu tofauti...
3 Reactions
28 Replies
4K Views
Kabla ya Uchaguzi boss alitaka amuweke mrithi wake kwenye kampuni yake, mrithi anayemtaka yeye. Ila kutokana na upinzani mkubwa ndani ya kampuni maamuzi magumu ilibidi yafanyike Baada ya Uchaguzi...
215 Reactions
11K Replies
3M Views
Kwa mujibu wa nyaraka za Sumeria , zinazungumzia namna Binadamu alivyotokea , Binadamu alitengenezwa maabara (Genetic engineering) na kazi yake ilikuwa ni kufanya kazi kwenye migodi ya dhahabu...
11 Reactions
42 Replies
2K Views
Yes, dini ni kwa ajili ya watu wasio na ufikiri sahihi. Dini ina vitu ambavyo ni vya watu wa akili za chini sana. Vitabu vyote vya dini vina michanganyo isiyohitaji hata kutumia nguvu kujua kuwa...
105 Reactions
2K Replies
39K Views
Je Yesu alikufa siku tatu kama alivyojitabiria au siku tatu (masaa 72) hazikufika au hakumaanisha siku tatu kamili? ( siku tatu za Yesu zilikuwa za masaa 72?) Mathayo 12: 40 '' Kwa maana kama vile...
10 Reactions
230 Replies
25K Views
Kuna maswali mepesi yenye majubu magumu sana, hasa yale yanayo uskana na nature , Maswali kama Binadamu alitokea wapi au Dunia uli anzaje, haya ni maswali magumu yenye majibu magumu au hayana...
2 Reactions
9 Replies
321 Views
Mate...; Neuralphysiology ni somo linalojihusisha na jinsi neva zinavyotoa na kupokea taarifa hujikita zaidi katika ufanyaji kazi wa mfumo wa fahamu wa mwili. Autonomic Nervous System (ANS) Ni...
23 Reactions
64 Replies
14K Views
Do not comment on opinions, be honest. ======= There is no purpose of living. We just happen to be in a Goldilocks planet called earth that supports life. We are lucky the dinosaurs went...
1 Reactions
125 Replies
14K Views
  • Poll
INTRO Watu wengi wanaopenda kudadisi na kutafakari undani na ukweli wa mambo . Mara nyingi hugundua kwamba mfumo wetu wa maisha kiujumla una maswali mengi sana abayo hayana majibu kamili...
74 Reactions
4K Replies
250K Views
Kwema wanajamvi jukwaa la wenye kuumiza vichwa? Basi powa twende sasa, Huko Paiba Brazil kuna Mwamba au Jiwe kubwa lenye 250 feet in Length, Hilo limwamba ligumu lina michoro ya kushangaza sana...
8 Reactions
62 Replies
1K Views
Nawasalimu wote wanajukwaa,leo nataka tujifunze silaha kuu tano zinazotumika katika ulimwengu wa kiroho. Kama wengi tunavyojua kuwa katika ulimwengu wa kiroho kuna falme kuu mbili,falme ya kwanza...
120 Reactions
2K Replies
280K Views
Inaweza kukushangaza ila ndio ukweli, huo December 14 mwaka 1999 uli tokea mlipuko mkubwa sana wa bomu la nyuklia,, mlipuko ulio angamiza zaidi ya 98% ya watu wote duniani, na hao 2% walio...
39 Reactions
187 Replies
5K Views
Habari zenu wanajamvi, kama title ya topic ilivyo kuwa SEX IS A GATE WAY TO YOUR SOUL, kwamba tendo la ndoa (kwa wanandoa) / zinaa ( kwa wasio wanandoa) huweza kuwa njia huweza kuwa njia au...
17 Reactions
175 Replies
40K Views
Naomba kujua utofauti na uhusiano wa Mwili, Nafsi na Roho. Vipo wapi na vinatendaje kazi katika mwili wa mwanadamu. Nawasilisha.
7 Reactions
76 Replies
3K Views
Salute Nakumbuka kipindi nipo secondary kwenye masomo yangu pendwa hasa Biology karibia kila terminology nililiyokua nasoma kwenye definition yake ilikua inaanza na maneno “it’s a Greek word”...
34 Reactions
64 Replies
10K Views
I keep asking myself this simple questions. Is god dead? Imo yeah! I wonder if a thug's prayer reach? Not really because he himself killed god! Is pious pious because god loves pious? I don't...
1 Reactions
13 Replies
393 Views
Iko hivi ktk maswala ya kivita sio ukubwa wa nchi au wingi wa watu ulio nao ila niuwezo wa kivita pamoja na ujasusi. Ktk kile kilicho onekana sio kitu cha kawaida Israel walishambulia sehem ya...
9 Reactions
20 Replies
1K Views
Hii ndiyo nadharia inayosemwa inatakiwa kukubaliwa na kila binadamu na ndiyo nadharia inayoitwa na baadhi ya watu kuwa ni kamilifu na timilifu. Kuwa hakuna ajue wewe binadamu umetokea wapi na kwa...
36 Reactions
697 Replies
21K Views
Nianze na salamu za mwaka huu wa 2024 kwa wanajukwaa wote,nilibanwa kidogo na shughuli nyingi mwaka huu ila sasa nimerudi tena jukwaani. Tunaanza; Tambua kuwa nafsi ndiyo sehemu ya mtu iliyobeba...
43 Reactions
370 Replies
19K Views
Back
Top Bottom