International Forum

News and Stories from rest of the World

JF Prefixes:

Rwanda is looking for 1.3 billion U.S. dollars to fund the construction of the proposed Isaka-Kigali standard gauge railway (SGR) that links Rwanda and Tanzania, a senior Rwandan official said...
0 Reactions
3 Replies
820 Views
Katika tukio hilo Askari 20 wamejeruhiwa wakati walifanya jitihada za kutuliza ghasia hizo katika gereza la Acarigua Gereza hilo lilijengwa kwa ajili ya kuhifadhi Wafugwa 250 lakini kwa sasa lina...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Saudia kuwanyonga wanazuoni 3 mashuhuri baada ya Ramadhani Utawala wa Aal-Saud umepanga kuwanyonga wanazuoni watatu mashuhuri nchini Saudi Arabia baada ya mwezi mtukufu wa Ramadhani, ikiwa ni...
1 Reactions
84 Replies
8K Views
WORLD NEWS MAY 24, 2019 / 5:34 PM / UPDATED 3 HOURS AGO Pentagon accuses Iran's Revolutionary Guards over tanker attacks WASHINGTON (Reuters) - The U.S. military on Friday accused Iran’s...
0 Reactions
1 Replies
704 Views
Baada ya kupambana sana, leo tumeshuhudia kitu ambacho inawezekana kwa wana demokrasia wetu kikawa ni ndoto ama kigumu sana kukifanya. Waziri Mkuu wa kwa Malkia aka Uingereza atangaza kuachia...
2 Reactions
4 Replies
893 Views
Tume ya uchaguzi nchini Malawi imetangaza matokeo ya awali ya uchaguzi wa urais uliofanyika juzi Mei 21, ambapo kiongozi wa upinzani anaongoza kwa wingi wa idadi ya kura zilizopigwa. Kiongozi...
3 Reactions
8 Replies
2K Views
Uturuki: Tumejiandaa kukabiliana na vikwazo tarajiwa vya Marekani Mei 23, 2019 07:51 UTC Serikali ya Uturuki kupitia Waziri wake wa Ulinzi imetangaza utayarifu kamili wa nchi hiyo kwa ajili ya...
1 Reactions
30 Replies
2K Views
Marekani imemfungilia mashitaka mapya muasisi wa tovuti ya uvujishaji wa nyaraka za siri Wikileaks, Julian Assange, ikimtuhumu kwa kuiweka Marekani katika kitisho cha kukumbwa na "madhara makubwa"...
2 Reactions
2 Replies
1K Views
Buenos Aires. Rais wa zamani wa Argentina, Cristina Fernandez de Kirchner amefunguliwa mashitaka ya rushwa, siku tatu baada ya kutangaza kuwania nafasi ya makamu wa rais katika uchaguzi wa Oktoba...
2 Reactions
3 Replies
1K Views
Plastic straws, drink stirrers and cotton buds will be banned in the UK from next April, the government has confirmed in its latest attempt to stem the flow of waste and promote the use of...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Meli za kivita za Marekani zafika mipaka ya China, hali ya taharuki yaendelea Mei 20, 2019 10:42 UTC Jeshi la Marekani limetuma meli zake za kivita ambazo zimefika karibu na visiwa vya China...
4 Reactions
25 Replies
4K Views
Serikali ya Marekani yalegeza kwa muda vikwazo vya kibiashara ilivyoweka wiki iliyopita dhidi ya kampuni ya simu ya China Huawei, hatua inayolenga kupunguza hali ya kuvurugwa wateja wake. Hatua...
6 Reactions
30 Replies
4K Views
  • Redirect
Waziri Mkuu wa Uingereza Theresa May ametangaza kujiuzulu na ataachia ofisi Juni 7, 2019 kutokana na sakata la Brexit source : Mwananchi
0 Reactions
Replies
Views
Maeneo nyeti 300 ya Saudi Arabia na Imarati kulengwa na makombora ya Ansarullah ya Yemen Mei 22, 2019 04:11 UTC Harakati ya Ansarullah ya Yemen imetangaza kuwa mashambulizi yaliyojiri Mei 14...
0 Reactions
14 Replies
1K Views
Kanda ya video imeonyesha kuwa nyota wa Hollywood Arnold Schwarzenegger akishambuliwa katika hafla moja nchini Afrika Kusini. Gavana huyo wa zamani wa jimbo la California mwenye umri wa miaka 71...
0 Reactions
40 Replies
5K Views
Erdogan: Uturuki kuunda na Russia mifumo ya makombora ya S-500 Mei 19, 2019 12:49 UTC Rais Recep Tayyip Erdogan wa Uturuki amesema kuwa nchi yake na Russia kwa pamoja zitaunda mifumo ya makombora...
2 Reactions
14 Replies
3K Views
Mamlaka za Taifa hilo zimeeleza kuwa uwepo wa Tembo kwa wingi unakuza migogoro ya Wanyama na Wanadamu kwasababu Tembo hao hufanya uharibifu wa vitu mbalimbali yakiwemo mazao Imeelezwa kuwa zuio...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Algeria na Argentina zimethibitishwa na kutambulika rasmi na Shirika la afya ulimwengu WHO kuwa zimetokomeza ugonjwa wa malaria. Hatua hii inamaanisha katika kipindi cha miaka mitatu iliyopita...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Maduro aliamuru Jeshi la Venezuela kuwa tayari kukabiliana na askari vamizi wa Marekani Mei 23, 2019 11:08 UTC Rais Nicolas Maduro wa Venezuela ameliamuru jeshi la nchi hiyo kujiweka tayari...
1 Reactions
0 Replies
677 Views
Back
Top Bottom