Poleni na majukumu wadau.
Sijui kama watumiaji wa usafiri huu wa mabasi kama mnajisikia vibaya kama Mimi.
Yaani sauti inayotokana na Dereva kupita speed ya 80 Kutoka kwenye king'amuz...
Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Rorya imetoa tangazo kwa wananchi wenye mashamba yao, mali za kudumu kuhakikisha kuwa mashamba hayo, mali hizo ziwe zimetolewa katika muda wa wiki moja kupisha kazi ya...
Waliambiwa na watekaji ''Tell us your PIN or you're dead''
Wachumba Chris Williams na Tiffany Zyp raia wa New Zealand walitekwa na watu 4 wakiwa kwenye taksi Dar es Salaam juma lililopita na...
Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imepokea meli mpya ya mafuta MT MKOMBOZI II yenye thamani ya shilingi bilioni 36 iliyotengenezwa Shanghai nchini China
Akizungumza mara baada ya kuipokea meli...
Nimekusikia unasema eti utapita mtaa kwa mtaa kukagua mafundi wa mtaani kama wana vyet vya veta,
Unakagua ili?
Hivi wewe unavyojifikiria kati ya hao wanaotoka veta na wale wa mtaani wapi wanaujuzi...
Habari zenu mabibi na mabwana?
Mabaharia mpooooo?
Well, straight to the point..
Hivi nyinyi ndugu zetu, hii taaruma yenu ya habari hua mnafundishwa kila kitu?
Nyinyi ni wachumi wazuri.
Nyinyi ni...
Wakuu hali zenu, This is serious.
Nimeamua kuongeza jiko baada ya kuona idadi ya wanawake ni kubwa na wanaume wa shoka tupo wachache. Nimevutiwa na mtoto wa kinyamwezi na huenda akavalishwa jezi...
Kwa maono yangu ili tuwe waswahili hili kweli nchi hii inafaa kuitwa Swahili na tuwe watu tunaozungumza Kiswahili badala ya jina lililopo Tanzania/Tanganyika.
Hii itasaidia mambo mengi sana...
Wosia wa marehemu Dk Reginald Mengi umekuwa gumzo kubwa! Wengi wanaona kama mwanadada Jacquiline Ntuyabaliwe almaarufu K-Lynn aliyekuwa mkewe mpaka mauti yanamfika ameula kwa kuchukua mali zote za...
Kuna basi moja linalofanya safari kati ya Dodoma na Mbeya, jina kama la kikabila hivi, hili basi linakimbia balaa. Hivi karibuni nilipanda toka Mbeya kuja Moro, baadhi ya abiria wakasema ni...
Nahitaji kufanya utalii Mikoa kanda ya Ziwa na hasa Mwanza kwenye visiwa vya Saa Nane , Ukerewe, na kupacha chakula pale Malaika
kwa wale wenyeji nifahamisheni kufika sehemu hizo
1.Ukienda kuchukua loss report Polis wanaelwkeza watu kwenye stationary wanazozijua wao...in reference kwa Arusha ukiienda Central wanakuambia uende stationary inayoitwa Mlimani|Binafsi nilijua ni...
Baada ya kutembea kwa clip ya mzee wa upako ikimuonesha kama mgonjwa wa sukari hatimae amekana na kusema yeye bado anadunda na mungu anazidi kumpandisha juu kama konki liquid
Mwanga usio wa kawaida umeonekana katika anga la kusini mwa tanzania mwenyewe nikiwa shuhuda ilianza kuhisiwa kama ni moto lakini kadri ya muda ulipozidi kusonga mwanga ulionekana kusogea...
Miaka ya nyuma nilikua nafanya kazi kampuni flani ambapo mimi nilikua na Nafasi ya uongozi.
Nilikua na mahusiano na dada mmoja kiumri yeye alinizid almost 4 years yeye alikua kibarua cha ufagiaji...
Regnald Mengi kateuliwa kuwa mlezi wa Taasisi fulani fulani ya wanyama ila hakuongea kwenye hiyo habari, zaidi ya mzee Lembeli ambaye ni kati ya waliomteua, ndo aliongea kwa marefu. Dah mzee sasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.