Leo tunakosa nguvu ya majadiliano ya kina yanayotawaliwa na nguvu ya hoja "critical thinking argumentation"mijadala yetu haikosi kushambuliana kwa maneno machafu na haitoi mahitimisho au mwanzo wa...
Majengo ya zamani ukiyaona leo huweza jiuliza mengi ni vipi/ mbinu gani walitumia kulijenga jengo hilo kwa jinsi ya uimara wake. Ukiambiwa ubora unaweza kushangaa jengo lina umri wa labda before...
Kuna mazingira fulani ya Malezi ya kizungu yameingia kwenye maisha yetu, Hasa kwa kina Mama, (Tena hawa masingo maza ndio usiseme) unakuta Mama anaenda kuogelea na mtoto wake wa kiume akiwa na...
Wakati serikali hii ya Rais Magufuli inajisifia kununua ndege na white elephant projects nyingine, World Bank wametoa ushauri kuwa mkazo uwe kwenye elimu na afya ili kuboresha human resources...
Five Russian mercenaries are believed to have been killed alongside 20 Mozambique servicemen during an ambush in the southeastern African nation, the independent Carta de Moçambique news outlet...
Nina wazo. Kwani si inawezekana sehemu zenye changamoto za barabara kukajengwa barabara za zege? Yaani cement na mchanga zikachanganywa na kajengea mabarabara?
Wakati mwingine hizi lami ni pesa...
Jaji Mkuu wa awamu ya tano, you will go down as the worst Chief Justice in history.
Mwenzako IGP jeshi lake linadhalilishwa hadi na vijikatibu kata vya Ccm wanatoa amri kwa mapolisi.
Huko...
Habari ndugu zangu, jamaa na marafiki katika familia hii pana ya JF
Wadau, katika siku za hivi karibuni kumetokea mirathi mbili ambazo zimeleta funzo kubwa kwa jamii yetu, hasa yenye familia pana...
Poleni na majukumu waheshimiwa mawaziri.
UTANGULIZI; Andiko hili linahusu malalamiko/kero za sisi wanakijiji wa MERERA kilichopo kata ya CHITA,tarafa ya MNGETA ,wilaya ya KILOMBERO mkoa wa...
Source: Vibaka wataka kujiorodhesha mikopo elimu ya juu kimtandao
TAARIFA za kushangaza zimesikika hivi karibuni kuwa kulikuwa na majaribio 2700 ya kuingia kwa mabavu au mbinu tofauti katika...
Cheap politics ndiyo zimetufikisha hapa. Nadhani Rais siyo muumini wa kufuata sheria, kanuni na utaratibu. Mambo mengi yanaendeshwa kwa kauli kuliko taratibu tulizojiwekea wenyewe.
Amekuwa...
Tangu mwaka huu nimejaribu kufanya research moja kubwa sana kwa hawa watoto wa kike katika Makanisa na kwenye mikutano mbalimbali kama kwenda Makanisa ya Romani (Makuburi, Kibangu, Msewe, Chuo...
Watusi ni moja kabila moja kubwa hapa nchini kwetu ambalo linapatikana haswa baadhi ya maeneo hapa nchini kama vile Tabora, Mpanda, Kigoma, Geita, Kagera, Karagwe, Bukoba na Kahama.
Ukifika...
Nimezunguka karibu maduka manne asubuhi na jioni kutaka kununua Mkate unaotengenezwa na BFP Ltd bila mafanikio, jibu nililopata kutoka kwa muuza duka "Kiwanda kimeishiwa na Sukari"
Hivi zile...
Wakuu nimepata safari ya ghafla hivyo natarajia kusafiri ndani ya siku tatu kwenda nje ya nchi.
Mwenye kufahamu, je hizi hati za kusafiria za Jamhuri ya Muungano wa Tanzania bado ni ruksa...
Simu yangu ina auto call record kina ninapopiga au kupigiwa. Hii call ya jana usiku saa tano na dakika 47 nimeisikiliza zaidi ya mara 3 na imenifikirisha nikaona ni bora niweze share na wadau...
Mimi kama mfanyakazi wa serikali naliandika hili nikiwa na huzuni kubwa. Hii ni kwa sababu posho za vikao na per diem zimekuwa sehem kuubwa sana za mapato yangu.
Lakini recently, nineanza kufanya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.