KWA KADRI YA WALIVYOZIDI KUWAZUIA KUSALI NDIVYO WALIVYOPAZA SAUTI ZAO!
===================================
KWA KADRI YA WALIVYOZIDI KUWATESA NDIVYO WALIVYOZIDI KUONGEZEKA NA KUZIDI KUENEA...
Nipo Bank zaidi ya masaa matatu tunasubiri kuhudumiwa na teller mmoja tu madirisha Mengine yote hayana wahudumu, baada ya Malalamiko unaambiwa muone Meneja wa tawi meneja wa
Mwanamke anayejulikana kwa jina la Lidya ambaye ni mke wa Afisa Usalama wilaya ya Hai anayefahamika kwa jina la Sule anatuhumiwa kushirikiana na shemeji yake kupora pikipiki yenye no MC 111 CBF...
Pongezi kwa Wilaya zote nchini ambazo zimekamilisha/zinaendelea kujenga vituo vipya vya afya kwa fedha za Serikali.
Katika Wilaya ya Moshi Vijijini (Vunjo) kwa miaka mingi maeneo ya Kitowo...
DAR - ARUSHA = Basi la kawaida 22,700/=, Semi luxury bus 32,800/=, Luxury bus 36,000/=
DAR - BABATI via ARUSHA = Basi la kawaida 29,000/=, Semi luxury bus 41,800/=, Luxury bus 45,900/=
DAR -...
Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Joachim Wangabo amewaagiza wajumbe wa kamati ya Ulinzi na Usalama Mkoa wa Rukwa kuhakikisha Mkuu wa Shule ya Sekondari Mzindakaya, Dastan Mlelwa anafikishwa Mahakamani baada...
Katika upigaji wa kura za maoni za kuchagua viongozi wa serekali za mitaa na wajumbe kupitia chama cha mapinduzi,wengi wa wapiga kura hawakuwa wanachama na wala hawakuwemo kwenye mareja ya...
Hii itasaidi hata zile dharau dharau za kurushiana vijembe na kuitana tumbili au profeser rubish maana kila mmoja atakuwa anamuheshimu mwenzake.
Nimewasilisha
Nahitaji msaada ndugu zangu nimeolewa na mtu wa nje ya Tanzania (Indian) nimezaa nae watoto watatu (3). Tumeishi miaka kumi lakini ndoa yetu ina miaka mitano sasa.
Nimejitahidi sana kumtafutia...
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam imewahukumu wafanyakazi watatu wa Kampuni ya Simu za mkononi ya Tigo na wafanyabiashara wawili kutumikia kifungo cha nje cha miezi sita baada ya...
Taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa TAKUKURU imemfikisha Mahakamani mtumishi wa kituo cha mizani cha Mpemba kilichopo katika halmashauri ya mji wa Tunduma mkoani Songwe kwa kosa la kuomba na...
Mpaka mda huu namaliza kuandika nimetoka kuweka mkeka wa elfu ishirini na mbili.
Tangu nimeanza kucheza hii michezo nimeishakula elfu kumi na tatu tu lakini mimi nimeishacheza zaidi ya laki mbili...
Mimi yawezekana sio mchunguzi labda sababu natumia PC kuingia ila kiukweli sijaona tofauti ya JF ya wiki iliyopita na JF ya leo.
labda sababu walisema mabadiliko haya si ya kuonekana kwa macho...
Upungufu wa watumishi wa sekta ya afya ndio changamoto kubwa, changamoto nyingine ni watumishi wachache waliopo kufanya kazi zaidi ya uwezo wao. Mfano nesi mmoja kuwahudumia wagonjwa hadi 40 au...
Haki miliki ya picha GETTY IMAGES
Katika miaka michache iliyopita, Urusi imerudi upya kama nguvu ya kutambuliwa katika bara la Afrika.
Ushirikiano mwingi uliokuwepo katika enzi za uliokuwa...
Mimi yawezekana sio mchunguzi labda sababu natumia pc kuingia ila ki ukweli sijaona tofauti ya JF ya wiki iliyopita na JF ya leo
labda sababu walisema mabadiliko haya si ya kuonekana kwa...
Habarini wakuu,
Nimeleta swala hili hapa jamvini kwa kua hapa ni jungu kuu na wajuzi wa masuala ya kisheria hawatakosekana
Nina rafiki yangu anaishi mkoani Simiyu aliingia matatizoni kwa kuuziwa...
Kwa utaratibu ulivyo, king'amuzi kinatambulika kama kifaa cha mawasiliano kama ilivyo kwa simu na radio ya upepo na bidhaa hiyo ipo chini ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA).
Kuna wakati...
Wadau wa JF.
Nimepata taarifa ya mabadiliko makubwa kufuatia Uteuzi wa Professor Eliaman Sedoyeka kuongoza Chuo Cha Uhasibu Arusha hivi karibuni.
Msomi huyo Kijana, Mchapakazi, Mzalendo na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.