Labda nianze kwa kutoa pole kwa wale wote walioguswa na vifo vya wasio na maarifa 20 huko Moshi. Najua ni majonzi lakini ni majonzi yenye funzo kwetu sote.
Kipindi cha babu wa Loliondo, maelfu ya...
Salaam,
Hapo jana palisambaa mitandaoni taarifa ya Marekani kupitia waziri wao wa mambo ya, Pompeo kumzui Rc Makonda na mkewe kuingia katika taifa hilo, kutoka na kuwa na ushahidi wa vitendo...
'Title IX' ni sheria ya kuwalinda wanafunzi wa shule za primary na Sekondary pindi wapatapo mimba wakiwa shuleni huko Marekani.
Kimsingi sheria hii inazuia unyanyapaa wa aina yeyote ile dhidi ya...
Habari wana JF,
Kila nikijaribu kudadavua kauli ya Marekani zidi ya RC Makonda wana maana gani, jibu sipati.
Mara najiuliza au kuuwa watu wasio na hatia ndiyo kuwanyima haki ya kuishi. Kama...
Hakuna namna, kama wew unategemea internet katika kufanya kazi zako huna namna ya kuwakwepa voda, maan mitandao mingine hakuna kitu, slow sana. Airtel wana bando za maana sana ila internet ipo...
Kwa heshima na moyo wa masikitiko nawaombea faraja wafiwa wote katika Ibada ya Mwamposa!
Ninaimani serikali yangu sikivu haitalifumbia hili macho ili kuweka standard katika namna ya ku deal na...
Ikiwa tuna Hospitali za mikoa na rufaa na magari ya hospital yapo kwanini Polisi wabebe maiti?
Utakuta kuna matukio mengi tu yanatokea ikiwa mauaji, ajali au maiti zilizotelekezwa njiani na...
Ulimwengu huu wa teknolojia ambapo kuna mambo kama utandawazi na mengineyo unanishangaza sana. Ni wakati ambapo mtu anawe za kuanzisha habari kubwa na kuisambaza.
Turudi kwenye hoja, Suala la RC...
Bwana Yesu Asifiwe
Watumishi wa MUNGU naombeni msaada wenu haraka sana nipo katika hali ngumu.
Naomba mniombee nitoke kwa shetani.
Nipo katika ufalme wa shetani naombeni watumishi wa MUNGU...
Habari!
Nimeona watu wengi sana wanaumia au kuangaika pasipo sababu za msingi kwa kupenda miujiza au kujinasibu yeye ni muumini wa dhehebu au dini fulani.
Nakuomba usome ujumbe huu;
1. Nyoka...
Kumbe Tanzania tulikuwa katika huu mchakato wa kupata Entry na parmenent uraia wa Marekani, lakini sikua nafahamu mwanzoni nilikua nahisi ni kwa nchi kama Somalia, Sudan, Syria, Eritrea n.k.
Kwa...
Nimepata kusoma mahali fulani kwamba Yesu Kristo alifundisha neno la Mungu, aliponya wagonjwa na kufufua waliokufa, lakini sijawahi kusoma popote ambapo imeandikwa kwamba aliwahi kusababisha...
Ufilipino imeripoti kifo cha mtu mmoja kutokana na virusi vya corona, cha kwanza kilichokwisha thibitishwa kutokana na ugonjwa huo nje ya China.Takriban watu wawili walioondolewa na Ujerumani...
Tanzania ndio nchi pekee duniani yenye utajiri usiofikirika,
Viongozi na wananchi tuweni makini na Mali tulizonazo. Kwasasa kuna makundi ya watu wanaokuja Tanzania kutoka ng'ambo kwa kujifanya...
Huyu anaemiliki ubunifu wa ishara ya vidole viwili juu Duniani ni nani wakuu?
Huyu mtu atakua anajisifu sana kua misheni yake ishakamilika duniani, na ameshaikamata Dunia, kwani kila ukiangalia...
Nimepewa kipeperushi hapa
Kuna ibada inatwa sijui ya kukanyaga mafuta..
Yani mguu unauma.. Kila mtu nenda kwa mwamposa.. Yani utapona kabisa.. Imani yako tu
Mwingine tena kanijia na kipeperushi...
Kwa kuwa USA inajali sana mambo yanayoendelea Tanzania ni vyema ikatoa pole kwa Serikali ya Tanzania baada ya kutokea maafa ya watu wapatao 40 moja ikiwa imesababishwa na mvua kubwa na jingine...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.