Salaam WanaJukwaa.
Kama wewe ni Mwanafunzi au umepata nafasi ya Kuingia Chuo, bila shaka msamiati wa neno "Kimbwete au Vimbwete" haukupigi Chenga.
Naam, usishangae sana na kudhani...
Mkazi wa Mkako, Ruvuma (Mlinzi wa Shule) Beatus Mwingira amefariki Dunia baada ya kujipiga risasi chini ya kidevu kwa bunduki.
Uchunguzi wa awali unaonesha chanzo ni msongo wa mawazo baada ya...
Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) kupitia kampuni ya udalali ya LJ International Ltd imetangaza kuzipiga mnada mali za Mbunge wa Geita Mjini, Joseph Kasheku maarufu kama Musukuma.
Mali zilizotajwa...
Nyota huwakilisha nguvu ya Taifa hivyo kuwa na nyota mbili ktk bendera ni kuwakilisha nguvu ya nchi Bara na visiwani.Pia tutatoa ajira kwa wabunifu kushauri ziwekwe pembe ipi,na ziwe za rangi ipi...
Heshima kwenu wakuu.
Kuna hiki kinywaji kinaitwa Al Qaswus nimeona watu wengi wakinywa lakini nashindwa kuelewa kina faida gani mwilini mpaka kipendwe na watu kiasi hiki.
Ningependa pia kujua...
Habari wanajamvi,
Kama kichwa cha hapari hapo juu kinavyosema, ninatafuta kujua historia ya Ukoo wa Mndolwa. Ukoo huu una patikana Tanga maeneo ya Korogwe.
Ninacho tafuta mimi nikujua family...
Mimi binafsi nishaibiwa mara kadhaa ila njia ya polisi haikuwahi nisaidia kabisa.
Sasa kuna rafiki yangu aliibiwa pikpik akaenda kwa mtaalamu, pikpik ikaganda huko Tanga na iliibiwa Dar, akaifata...
Swali kubwa ninaulizwa na wazazi/walezi kila siku juu ya matatizo ya watoto kuchelewa kuongea ni: Nani anaweza kunisaidia kulimaliza tatizo hili la kuchelewa kuongea kwa mtoto wangu?
Binafsi huwa...
Habari za weekend wakuu??
Nahitaji ushauri kutoka kwa wajuzi wa biashara ya usafirishaji. Kuna gari mbili za mizogo zote zina uwezo wa kubeba mizigo hadi tani 6 zina box body zote zimepata kazi...
Hawa jamaa zetu akili zao wanazijua wenyewe[emoji23][emoji23] yaani wameona mashimo yamekaa kwa muda mrefu bila mamlaka husika za huko kwao kuchukua hatua, wakaona ni bora wapande...
Ni mambo ya kushangaza kuona watu na akili na busara zetu bado tunashikilia misemo isiyokuwa na maana bali kupotosha jamii, eti utasikia ikisemwa; "Mpe mchawi alee mwanao" au utasikia; "Mnyonge...
Habari zenu wakuu,poleni kwa makujumu,
Leo nimekuja hapa kuwapa Taarifa,Kazi ya Police ni pamoja ma kulinda usalama wa Raia, Nk. Katika hali isiyo ya kawaida kuna MAASIKARI police wanao tembea...
Mi kwa mtazamo wangu sheria nyingi za TCRA huwa zinawekwa kwa ajili ya kusumbua raia wema.
Kama ilivyokuwa katika usajili wa alama za vidole walioteseka ni raia wema tu wahalifu walikaa kimya na...
Corona ni ugonjwa hatari unaouwa na pia kuambukiza kwa haraka sana.
Study nyingi kuhusu huu ugonjwa zimetupa ufahamu wa kujua unaambukizwa vipi na kwa kiasi kikubwa kufahamu namna ya kuweza...
Hivi hawa wadudu bado wapo dunia hii au kuna mambwiga wanadakwa na kuingizwa cha kike...?
My name is Sergeant Susan Baines.
I am united state of American
soldier working as United Nations...
Je, kinachomfanya mtu afaulu? Nikua na akili au kufikiri?
Mimi naona ni kufikiri, maana kila mtu ana akili lakini uwezo wa fikra ni tofauti. Na hata kama ukisoma halafu huwezi kufikiri lazima...
Habarini!
Sina elimu kabisa ya masuala ya uchumi, ni mwendo wa kusikia na kushabikia tu.
taarifa zinasema tumeingia uchumi wa kati jana, benki ya dunia (WB) nasikia ndio wenye mamlaka ya kufanya...
Hiki ni kipimo kinachotumika kuonesha mapato yote ya Nchi yanayotokana na pato la mtu mmojammoja na biashara pamoja na yale yanayotokana na vyanzo vya nje. Ni kipimo kinachoendelea sana na Benki...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.