Habari.!
Binafsi naamini kuna muda uongo unaruhiwa inategemea nikatika hali gani. Sasa kuna binti kisa chake kilitatanisha na kusababisha ugumu wa kumuamini. Kisa chenyewe ni hiki.
Kuna bint...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt John Pombe Magufuli ameweka jiwe la msingi la ujenzi wa Mahandaki manne ya reli ya kisasa – SGR Kilosa mkoani Morogoro, Juni 29, 2020.
Mahandaki 4...
Mama yangu angefikiria nini?"
"Katika mbio, (angalia picha), mwanariadha Abel Mutai anayewakilisha Kenya, alikuwa miguu michache kukata utepe kumaliza mbio AKIWA mshindi wa kwanza, lakini gafla...
Jamani kusema ukweli Polisi nawaogopa na kuwaheshimu, ingawa polisi wetu wanasifika kwa kufuata sheria lakini kauoga huwa kapo.
Yaani polisi wenyewe kwa wenyewe huogopana kushikana, mfano polisi...
Zabuni ya ujenzi wa Stendi ya Mabasi ya kisasa na soko la Kimataifa vimeshatangazwa kuwakaribisha wakandarasi kuwasilisha maombi ya ujenzi.
Hivi ndivyo Dodoma inavyokwenda kuwa ndani ya muda...
Aliyekuwa Mkurugenzi wa Jiji la Arusha Dkt. Maulid Suleimani Madeni anawasalimu na Kwa sasa yupo Jijini Dar es Salaam kuendelea na majukumu mengine ya kifamilia na ujenzi wa Taifa.
Leo nilitakiwa nipate huduma katika Tawi hilo kwa kulipia mapato ya TRA lakini nilipofika pale sikuamini macho yangu. Tawi lile lina madirisha matano ya kutolea huduma lakini ni dirisha moja tu...
Jamani,sisi wenzenu tuko mikoani na huenda kuja huko Dar inaweza kuwa hata 2022.
Sasa nasi tunapenda tujue ujenzi wa flyover ya Ubungo umefikia wapi. Tumeni picha na sisi tuwe na updates tukija...
Wakuu hii Nchi ni kama umefungulia brek kila kona ya Nchi ni maendeleo tu
Hili soko jipya na la kisasa likikamilika linaweza funika hata Kariakoo
Wakazi wa Ilala wamemwagia pongezi Rais Magufuli...
Baada ya kufanya biashara ya duka la vyakula kwa muda mrefu nimepata wazo la kufanya biashara ya madini,nataka nianze na madini ya thamani ndogo na kati.
Nakumbuka marehemu babu yangu alikuwa...
Kwa upande wng siku nlipojua kusoma na kuandika ilikua ni furaha sana. Nakumbuka nlikua nnasoma kila bango la Barabarani pia nlikua nnatembea na vipande vya Magazeti mfukoni. Baada ya kujua...
Nimekuwa nafuatilia huu utaratibu wa wanafunzi kurudi shuleni leo. Serikali imejaribu sana kutoa miongozo jinsi wanafunzi watapokelewa na kusisitiza wanafunzi wasirudishwe.
Nimekuwa leo...
Siku ya nne leo tangu vituo vya kuuzia mafuta ya vyombo vya usafiri kufungwa mafuta yamekuwa adimu kulingana na mahitaji.
Vituo hivyo vilifungwa kukiwa na tetesi za uchakachuaji wa vipimo.
Adha...
Habari wakuuu
Nlikua naomba kujua anything kuhusiana na kozi ya cadeth(officer) kule monduli interms of jinsi gani kujiunga wanakàa muda gani wakiwa kambini and anything about cadeth so kwa...
Leo wadogo zetu wameanza rasmi mtihani wao wa kidato cha Sita, nawatakia kila la kheri...
Baadhi yetu humu tumepitia huko, je ni nini unakikumbuka siku kama hii?
Mimi nakumbuka Tulipata Gaka...
Joining instruction ina malipo ya ada laki 4 na inataribu zote za shule kama za binafsi,ina mambo mengi kila kitu ni pesa.
Lakini kwenye mkutano wa wazazi tumeambiwa ni shule ya Serikali pia ni...
Kuna vyeti vimeokotwa kwa anayemfahamu ndugu FRANK. S. KAVISHE.
Shule ya msingi kasoma shule ya Mtendeni iliyoko mkoani Tabora.
Elimu ya sekondari kasoma shule ya Uyui iliyoko Tabora.
Chuo...
TRA mnatukwamisha kutoa mizigo bandarini, tangu juzi hakuna system benki tumeshindwa lipa mpaka jana ndo imekubali, sasa leo hatujapata hata CRO malipo hayaonekani na tunataka kutoa mizigo...
Nipo hapa nimeshajaribu kupiga huduma kwa Wateja lakini ninachokutana nacho, mtandao unasumbua Ata anayeongea humsikii, unaskiliza mikoromo tu mpaka masikio yanauma.
Internet ndo kabisa Kwenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.