Ndugu wana JamiiForums,
Tunashukuru kwa maoni yenu na Ushauri mnaotupa kila siku. Kupitia thread hii, tutapokea maoni, Ushauri, na malalamiko yenu. Tunawahakikishia kuwa tutachukua hatua stahiki...
Heri ya Pasaka wana JamiiForums,
Mimi ni Dkt. Dorothy Gwajima, Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Wenye Makundi Maalum.
Ninayo furaha kujiunga nanyi katika mtandao huu. Nimekuwepo...
Shirika la Umeme Tanzania - (Tanzania Electric Supply Company Limited - TANESCO), Tunaomba mtupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri kupitia huu uzi nasi tutawajibu.
Tunawaomba mzingatie...
JamiiCheck ni Moja kati ya Majukwaa yanayopatikana ndani ya tovuti ya JamiiForums.com. Jukwaa hili limewekwa mahsusi kwa ajili ya kufanya uhakiki, kutafuta uthibitisho au uhalisia wa habari...
DART Tumeanzisha ukurasa huu rasmi wa Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka (DART) kwa lengo la kupata maoni, ushauri , mrejesho na hata malalamiko yanayohusu huduma zetu. Aidha tunawahakikishia...
Huenda unaishi ndani ya Bara la Afrika, lakini kuna baadhi ya mambo hujawahi kuyasikia kabisa. Basi leo utakuwa pamoja nami katika muendelezo wa makala haya ya ๐๐ข๐๐๐ก๐๐ฆ๐ฎ ๐๐๐ซ๐ ๐ฅ๐ ๐๐๐ซ๐ข๐ค๐, ๐ง๐ ๐ฆ๐๐ฆ๐๐จ ๐ฒ๐...
Hebu Jifunze kumuheshimu kila mmoja pasipo Kujali umri au Cheo alichonacho kwasababu Unaweza ukahisi umefanikiwa Sana kwenye maisha yako lakini Kumbe bado mno nakwambia hivyo kwasababu hauwezi...
Umeshawahi kujiuliza nini kitatokea ikiwa mtu atakufa au kikundi cha watu watakufa wakiwa angani labda wako mwezini, mars nk?
Ikiwa imebaki mwaka mmoja shirika la Anga za juu nchini marekani NASA...
Habarini
Naomba tushee mauzoefu apa kwenye huu uzi. Naamini katika hatua za mwanzo katika umri fulani kila mdau alianza kutafuta pesa. Wengine wameanza mapema sana, wengine wamesoma wakachelewa...
Matukio ni mengi sana ya wanaume kubaka au ngono isiyo salama kwa siku za hivi karibuni.
Je Hizi hisia za kupiga haya matukio zina mwarobaini wake?
Unaweza kukubali kwa maoni yako au ukikataa kwa...
My mother used to cook beans, but before she cooked the beans, she picked the bad and dirty beans and threw them at our backyard and only cooked the good beans.
But when the rain came, the dirty...
๐น๐ฟ๐Salamu za Pongezi
"Menejimenti na watumishi wa Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya habari tunakupa hongera kwa kuteuliwa kuwa katibu Mkuu Kiongozi" - Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya...
Mimi nakukumbusha tu... December inakuja na kuondoka... usitumie hela zako zote kisa ni msimu wa sikukuu. Kuwa na nidhamu sana ya hela na priorities, isije kufika January ukaanza kusumbua watu...
Kwa mujibu wa wikipedia Black eyed Children (Or Black-eyed kids) are a contemporary legend of supposed paranormal creatures that resemble children between the ages of 6 and 16, (1) with pale...
Roho inaniuma sana, juzi nilichukua statement nikauta wamekata 11,000 kama government levy
Baadaye nikapita JF nikakuta taarifa kua kuna tozo ya miamala ya kibenki tangu july
Jana, nime withdraw...
MVUA kubwa ya mawe iliyoambatana na upepo mkali imeharibu zaidi ya ekari 300 za mazao ya pamba, mahindi, mtama na choroko katika Kijiji cha Kilalo, Wilaya ya Bariadi mkoani Simiyu.
Mvua hiyo...
Habari watu wangu wa nguvu baada ya kupigwa ban ya nguvu kabisa sasa nmeludi tena hapa na niwatoe hofu mm ni mzima kabisa naendelea na majukumu yangu kama kawaida natumai mu wazima wa afya
Sasa...
Kwa Kiswahili lugha yetu adhimu tuite ukanda wa raha.
Ukanda wa Raha Ni nini?
Ni eneo la hisia linalokupa faraja. Tuseme, huna kazi, unaishi kwa baba, na anakupa pocket money.
Hapo uko rahani...
Serikali ya Tanzania imeunga mkono Bunge la Umma la China kupitisha uamuzi wa kutunga sheria ya usalama wa taifa kwenye mkoa wa Hongkong.
Msemaji wa serikali ya Tanzania Bw. Hassan Abbas amesema...
Kuanzia saa 9 alasiri leo Novemba 10, 2018 (kwa majira ya Afrika Mashariki), JF inaweza kutoweka hewani.
Kuna mashambulizi kadhaa yatafanywa kwa mfulululizo ili kuiangusha na kuiondoa hewani...
ASKOFU wa Jimbo Katoliki la Mbinga, John Ndimbo amewaonya wabadhirifu wa fedha za miradi ya umma, kuacha uovu huo, kwani unaliangamiza taifa na kuumiza wananchi wa maeneo zilikoelekezwa kutumika...
Kigogo wa China amesema hawana lengo na hawataki kuwa fanya watumwa tena. Kwa maana wa Africa wengi mmeingiwa hofu ya โkwanini wanatupa misaada bila masharti magumu kama wengine?โ Misaada mingi...
Kigogo wa China amesema hawana lengo na hawataki kuwa fanya watumwa tena. Kwa maana wa Africa wengi mmeingiwa hofu ya โkwanini wanatupa misaada bila masharti magumu kama wengine?โ Misaada mingi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.