Tuna maswali kadhaa ya kujiuliza je demokrasia ni kubadilisha utawala mmoja na kwenda mwingine kwa njia ya kura? mantiki nzima ya demokrasia iko katika hili tu au ni zaidi ya hapo? je demokrasia...
Awali: pongezi kwa wote wanaohusika na mradi huo wa kuboresha Jiji la Dar es Salaam.
Pili: Wahaya wana msemo: ukienda kuomba maziwa, angalau basi uje na kihansi (kibuyu).
Tatu: Barabara nyingi...
Kwa wakazi na washaija watumiao Bandari Street, ile barabara ya kutokea Gerezani Ilala mpaka mzunguruko wa barabara ya Bandari na ya Kilwa, aghalabu pana foleni ndefu inayosababishwa na reli...
Ni watu wenyewe ndio hufanya taifa likue na liendelee. Serikali ina nguvu kidogo sana ya kufanya hili litokee. Nguvu kubwa imelala kwa wananchi. Serikali ni mratibu tu. Lakini watu ndio wenye...
Kifo hakizoeleki. Kila mmoja anayo namna yake ya kuonyesha huzuni yake baada ya kufiwa; kwa mfano, wengine hulia kwa kupiga kelele, japo wengine hukaa kimya. Huzuni ni kitu kisichoonekana kwa...
There is an urgent need for policies to allow for homeschooling in Tanzania. At the moment the legal and policy landscape does not provide for homeschooling. Now is the time.
EDIT 1: WHAT IS...
Nianze na swali: Hivi unaweza kupeperusha bendera ya taifa mahali uishipo hata ikiwa wewe si kiongozi mtaani?
Nakumbuka wimbo ufuatao tuliimba chekechea, ile iliyoko pale karibu na 'Holofea'...
Pongezi lukuki kwa juhudi za Serikali-Mtandao, mfano mzuri ukiwa Government electronic Payment Gateway (GePG), mfumo wa malipo ya kielektroniki kwa serikali.
GePG imeleta maboresho makubwa kwa...
Najiuliza ni kiasi gani Spika na maamuzi ya kumsulubu CAG kwa wiki mbili na kulifanya jambo la kujaza kurasa za magazeti kuongelea kauli ya CAG na matumizi ya neno dhaifu..... na sasa ripoti...
Najiuliza.. Leo mwanasiasa anakuja jimboni na kusema nitawaletea pikipiki, nitanunua lori, na wananchi tunashangilia na kumpa kura zetu kwa kuwa kaahidi kutuletea pikipiki na lori.
Leo chama...
Nitaongea kwa ufupi sana!
Tatizo la kukomaa kwa umadhubuti mfumo wa Ufisadi na kukosekana Uwajibikaji ambao umeliletea Taifa letu hujuma na taswira chafu kuhusiana na Rushwa, Ujangili, Madawa ya...
Ripoti ifuatayo inatudokeza mambo mbalimbali kuhusiana na mpango wa DART - Dar Rapid Transit - yaani Mradi wa Mabasi ya Abiria yaendayo kasi. Bila ya shaka watu wengi wamekuwa wakifiria kwua hiyo...
Nasikitika sana kuona member wanao unga mkono uzi ulio pewa jina sawa na uzi huu usemavo apo juu, na kumpa like.
Nanukuu kauli.. "Cartoon pic"
"Mtoto- baba ukitaka upande chati kisiasa...
Nimetoka kusikiliza Symposium ya Baraza la Wachumi Tanzania na Benno Ndulu nikajiuliza swali hili dakika ya nne baada ya kumsikiliza Benno.
Je Tanzania kuna sera ya Job Creation ambayo ni...
Taifa linalofanya mzaha kwenye maisha ya kifamilia haliwezi kuendelea, kwakuwa huko ndipo watoto hukuzwa na mazao yake kuonekana baadae katika ngazi ya Taifa. Na hao huingia katika taasisi zetu...
Ni miaka miwili na miezi kumi tangu ndugu John Joseph Pombe Magufuli aapishwe kuwa Rais wa Tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Ni mengi ya kutafakarisha yametokea tangu Magufuli awe Rais, na...
Kama elimu yetu haitajengwa kulingana na malengo ya kitaifa, watu wetu watakua pasipo malengo ya kitaifa na pasipo utaifa.
Naweza kusema itajenga watu wabinafsi wasio na malengo ya kitaifa. Kwa...
Kufikiri kwamba watoto wetu watakuwa wenye tabia njema wakati sisi hatuna tabia njema ni kama kuwa na matumaini kwamba kunguru atazaa kuku siku moja. Tutawafundishaje tabia njema wakati sisi...
Nilikuwa ninaangalia taarifa ya habari BBC na walieleza bank ya Uingereza ina akiba ya tani 50 za dhahabu. Hii ni alibaki ambayo unaweza kutumika kama nchi ikiwa na hali mbaya ya fedha.
Sehemu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.