Maendeleo ya binadamu yamepiga hatua sana pale binadamu walipoamua kuishi pamoja.
Tatizo moja la kimsingi kabisa lililopelekea binadamu kuwa na serikali ni changamoto ambazo binadamu alikuwa...
Kwa sie tuishio mitaani huku Tanzania,hakika kuelekea uchaguzi wa 2015 naona kuna joto ambalo halipaswi kupuuzwa ambalo liko kwenye kada ya wenye ufahamu juu ya nani aweza kuwa RAIS WA TANZANIA...
SEHEMU YA KWANZA
Mabadiliko ya uongozi ndani ya CCM yaliyotokea hivi karibuni yameleta matumaini kwa baadhi ya watanzania kwamba – ujio wa Mangula utarudisha imani na uhai wa CCM kwa umma...
Katika taifa letu la Tanzania rushwa imeenea katika maeneo mengi hususani kwenye utoaji huduma kwa wananchi (service delivery). Kila taifa hutumia njia tofauti kukabiliana na rushwa, baadhi ya...
Katika kipindi cha hivi karibuni, vyama vya upinzani nchini Tanzania vimekuja na mbinu mpya za kisiasa ambazo zinahusisha Political Movements (vuguvugu la kisiasa); Vyama hivi ni viwili –...
Hili ni jambo ambalo hunisumbua sana akilini mwangu, na ninaoma tulijadili kwa usikivu bila mipasho na ushabiki, ikiwezekana. Unaweza kuingia ofisini kwa mtu ukamkuta anaongea mambo ya kiumbea na...
SEHEMU YA KWANZA: UTANGULIZI
Ingawa huu ni mdahalo, kuna mambo kadhaa muhimu ambayo yanahitaji kuwekwa sawa ili kuepuka upotoshwaji wa hoja. Hivyo nitaomba uvumilivu kidogo. Taifa lipo...
Viongozi vijana nchini Tanzania wamegawanyika katika makundi mawili. (1) Real Leaders and (2) Leaders Wannabees.
Aina hizo mbili za viongozi wanaweza kutofautsiha kama ifuatavyo:
Viongozi wa...
The Beautiful Young African Woman And The Old White Lover-A Sickening Trend?
Have you taken a quiet stroll through the priced restaurants in town on a good day or night? Especially the Accramall...
Kwa mzalendo yeyote yule hamu yake kubwa ni kuona Taifa lake likipiga hatua. Mabadiliko haya sio mabadiliko ya mali tu bali total transformation of human being.
Binadamu akibadilika kiakili na...
Kwanza ningependa kumshukuru mungu muumba kunipa nafasi hii ya kuandika waraka huu kwenu ndugu zangu. Namuomba anielekeze fikra nilizonazo zitoke kama ninavyokusudia kutoka kichwani kwangu na...
Wakuu - Heshima Mbele
Naomba kuuliza ni zipi tofauti za madaraka na mamlaka kati ya Meya, Mkuu wa Wilaya na Mbunge. Na mipaka yao ni ipi. Pia kati yao ni nani anaongoza vitengo na taasisi...
Kama ni ya Kisiasa je siasa gani tunataka? Na je siasa hiyo ndiyo itakayoweza kubadili hali duni ya wengi na kuleta hayo yanayodaiwa kuwa ni maisha bora? Na hayo masha bora ni yapi? Ni ya kisasa...
Napendekeza nadharia tete (Hypotheses) zifuatazo, lengo kuu ikiwa ni kutupa sote nafasi ya kuzipima nadharia hizi tete, kwa kutumia uzoefu wetu na uelewa wetu juu ya utamaduni wa CCM, hasa kwa...
Somo la hisabati ni somo ambalo naweza kusema limekuwa ni daraja la mafanikio ya binaadamu kitaaluma (ambayo mpaka sasa duniani kote ndio kitu kinachochukuliwa kama mlango wa mafanikio ya kimaisha...
Lifuatalo ni zoezi la utabiri juu ya mshindi Urais uchaguzi Mkuu 2015 baina ya CCM na Chadema; Lakini kabla hatujaenda kwenye hatua nyingine yoyote, ningependa kuwasilisha takwimu za idadi ya...
Obama kafanikiwa kutetea kiti chake cha urais. Uchaguzi umeenda haraka na kwa uwazi na matokeo yametoka bila kigugumizi. Mshindani wake kakubali matokeo na mwisho wa siku maisha yanaendelea...
Na. Martin M. Malima
Tangazo la Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Zuberi Kabwe la kugombea Urais kama atapitishwa na Chama chake cha Chadema linaripotiwa na vyombo vya habari kuzua tafrani...
Wakuu inaweza kuwa ni rahisi sana kunyosheana vidole na kuumizana kutokana na hali inayoendelea sasa hapa Tanzania.
Naona ni busara tukijadili THEORIES zinazoweza kutueleza ni kwanini hili...
Kwanza niseme RUSHWA kama neno lilivyo ni KOSA pale linapotawala jamii fulani
Lakini kwa mantiki ya KUOMBA na KUPOKEA SIO kosa hata kama ulichoomba ni rushwa, kifo au Sumu!
Bado wahusika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.