Iko wpi ile kampuni ya Marcon Kits ambayo inasemakana iliingia mkataba na Yanga wa kutengeneza vifaa vya michezo kwa thamani ya milioni 932 kwa mwaka?
Sent using Jamii Forums mobile app
MWANDISHI: NYEMO CHILONGANI.
SIMU: 0718 069 269.
MAHALI: DAR ES SALAAM
KAHABA KUTOKA CHINA 1
‘Nisikilize Rose. Unataka niseme nini ili ujue kwamba nakupenda? Unataka nifanye nini ili ujue...
Jamani nawauliza mashabiki wa Dimond kituo chake cha TV kimeishia wapi maana alitangaza atakizindua tarehe 1/5/15 mpaka leo natafuta channel ya kituo sipat or kisubusi changu kinanidanganya.
MTUNZI: NYEMO CHILONGANI.
MAHALI: DAR ES SALAAM.
SIMU: 0718 069 269.
NITAKAPOKUFA 1.
Mlango ulisikika ukigongwa kifujo fujo na mzee Kessi ambaye alikuwa ametoka kunywa pombe za kienyeji katika...
Ningependa kukiri kuwa mimi ni shangiliaji wa timu ya Yanga japo mpira kidogo umenipitia pembeni.
Ila kwa haya mashindano ya kombe la Afrika na hatua waliyofikia Simba, nimeamua kuwa upande wa...
Nisaidieni ule wimbo ameimba bidada Jolie na wenzake (siyo studio version) nataka audio yenyewe official kabisa!
Napitia magumu mpaka nimeukumbuka huo wimbo!
"Nimekubali matokeo, Jana yangu...
Napenda tuchangie tuone wapi muziki wetu unakwama hasa katika Live show.
Na hapa siongelei kikundi kimoja ni kwa ujumla. WCB ni katika label iko juu hapa Tz na ni kama kiongozi wa mzuki wetu na...
WAKALA WA SHETANI
SEHEMU: 01
MTUNZI: Ally Mbetu ‘Dr Ambe’
SIMU: 0713 646500...
WAKALA WA SHETANI
Kila mwanadamu yupo duniani kwa ajili ya kuishi, hakuna mwanadamu aliyeumbwa kupata mali...
RIWAYA;MAMA WA KAMBO.
MTUNZI;RAJA SAIDY
WHATSAPP;0756920739
SMS;0621047841.
UTANGULIZI
Katika siku hizi watu wengi uwalaumu mama wa kambo kwa sababu za kimsingi,ikiwemo na kuwanyanyasa wanao...
Hii ilitokea Mwaka 1915 huko Nchini Marekani Kusini mwa Mji wa Carolina Ambapo 'Essie Dunbar' Aliyekua na Umri wa Miaka 30 Alifariki Akiwa na Ujauzito Aliokua Akikaribia Kujifungua.
Wakati...
Nimekuwa namfuatilia Msanii Diamond juu ya upataji wa Tuzo mbalimbali kama tulivyozoea.
Ni muda sasa sijamsikia Msanii huyo kuibuka tena na Tuzo mbalimbali kama zamani je tatizo ni nini?
Sent...
Moja ya wanamuziki wa hip hop kutoka Los Angeles Marekani Nipsey Hussle amefariki dunia baada ya kupigwa risasi 6 nje duka lake la nguo ambalo lipo kati ya Slauson Avenue Crenshaw Boulevard...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.