Wakuu ile show ambayo nilikuwa ikingojewa kwa hamu kubwa imeanza sasa EAST AFRICA GOT TALENT 2019
Mashindano haya yakusaka vipaji yanafanyika nchini Kenya nakurushwa na baadhi ya television...
Licha ya wasanii wapatao 17 kutokea TZ kuwa nominated kwenye Afrimma mwaka huu, hakuna msanii wa hiphop ambaye amekuwa nominated ?
Ni wapi wasanii wetu wa ku-rap wanakwenda kombo au hiphop...
Mtunzi Nyemo Chilongani
Sehemu ya 01
“Nahitaji kubadilisha tairi, unaweza kunisaidia kaka?” ilisikika sauti ya mwanaume mmoja akimuuliza kijana aliyekuwa amekaa pembeni kwenye tofali.
“Hakuna...
Sorry waungwana nimeweka pes 17 kwenye PC yangu lakini kila nikitaka kulifungua linadaiwa Mara dx3-dill nikaidownload likawa linadai driver nyingine nikaidownload , bado linadai nyingine tena...
Je mawaziri watakaodumu nae bila kutumbuliwa katika huu muhula wa kwanza 2015-2020 hadi muhula wa pili 2020-2025 ndio watakuwa na kigezo cha kurithi kiti cha urais?
Hapa namaanisha mawaziri...
Wadau wa hii redio mbona imekua hivi tena.wanapiga bongoflava wakati tushazoea redio yetu hii inapiga international hits tu..
Kama mambo yenyewe yashakua hivi kwaheri itabakia tbc fm tu.
Chemistry bhana...nakumbuka unaingia exam room unakuta swali hujawahi kusikia tangu form one... Unaenda swali la pili linasema explain your answer in question one above...unaishiwa nguvu unasonga...
Japokuwa sikupenda kutokana na mambo mengi ya uchawi na miujiza miujiza, ila kiujumla ni series nzuri pengine kuliko zote kutokana na ilivyoandikwa. visa vya usaliti, utapeli, honor, kutokuepo kwa...
Hbr wapendwa.
Naomba kuwasilisha mawazo yangu ktk mahali hapa ili kutoa ninachoona kinaweza kubadili mtazamo wa jamii kwa wasanii wetu.Na pia kubadili mtazamo wa wasanii wetu ktk mbinu...
Tekno amekamatwa na Polisi baada ya picha na video kusambaa mtandaoni akisakata densi barabarani mjini Lagos akiwa na umati wa wanawake waliokuwa nusi uchi.
Kukamatwa huku kunakuja saa chache...
Kwa wale wapenzi Wa movies na Series Zilizotafsiliwa Tumeanzisha Channel huko Telegram inayotoa Movies na series zote zilizo tafsiliwa Bureee kabisa Kazi Yako nikuandaa Bando tu Nakupakua Vitu...
habari
Naomba msaada wa movie au series nzuri inayohusu maisha ya utafutaji hasa mali(utajiri). Ambayo muhusika anatoka from bottom to top katika utafutaji yaani anatoka katika maisha ya ufukara...
Show hii yaoneshwa CLOUDS na AZAM...lakini kawaida sanaa...
Nilitegemea makubwa sana na hii TV SHOW ambayo tumeitohoa kwa wenzetu huko kama America' got talent...
Nikategemea tutaona vipaji...
Nampongeza sana mtunzi na wahusika wote katika tamthilia inayoitwa MANENO YA KUAMBIWA ni moja kati ya tamthiria bora sana kuwahi kutokea Tanzania, ina mtiririko mzuri wa matukio huku ikiwa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.