Tofauti na matarajio ya wengi , Leo ni birthday ya mwanamuziki mkubwa nchini , Diamond Platnum's , hivyo watu walitegemea birthday wishes za kumiminika kutoka kwa mastaa wenzie, Ila hali imekau...
Please mods msiunganishe uzi huu
Nimeshangaa sana kijana kaweka video yake youtube then baadae kaifuta, kwa bahati nzuri niliishusha na nimeiweka hapa muitazame
SHUSHA VIDEO HAPA>> DOWNLOAD...
Doh Shikamoo KIKI
Kwahiyo keshapatikana Tz Sweet Heart au?
Hizi mambo za kunyang'anyana majina mbona mambo ya kiduanzi sana utoto mwiiingi mbona majina yako mengi.
Haya basi kama langu...
Kwa wale wanaosomea marketing au sheria watakua wanaelewa zaidi mambo ya BRAND PERSONIFICATION , na intellectual property rights ( patents , copyrights, trademark n so on). Wasanii wengi wanakua...
Waliozoea kusikiliza nyimbo za mapenzi kwa King kiba mtapata tabu sana
Nyimbo ya Hela ipo YouTube kwenye account ya alikiba go and listen the beautiful song
King music mpya inakuja...
Nyimbo zilizobeba ujumbe mkubwa na uhalisia wa maisha yetu kwa kifupi si tuu zilikuwa nyimbo bora .
Napelekwa mbali kifikra baada ya kusikiliza nyimbo za mwanamuziki huyu ambaye si tuu anajua...
Ndugu zangu kama ilivyokawaida ile redio station pendwa super brand namba moja nchini clouds FM na clouds media, wameanza msimu mpya wa tamasha lao la fiesta.
Katika hali ya tofauti kabisa na...
Aman iwe nanyi Leo ilikuwa ni siku ambayo nyota Wa muzik diamond amezaliwa
Mbali na kusherekea siku ya kuzaliwa jamaa kaenda kukod jumba kubwa na kupiga nalo picha kisha kuwambia watu kuwa ni...
nimejaribu kufatilia Sanaa wanayofanya wanamziki wa bongo nimekuja gundua bado wapo karne ya 20, fikiria mpaka leo mwanamziki anashindwa kuweka lyrics za nyimbo zake mtandaoni, sisi washabiki wao...
Ninachompendea lulu , licha ya kuwa alikua mdangaji kama wadada wengi wa mjini , na pengine ameshalala na mastaa wakubwa na viongozi mbali mbali wa serikalini ambao Wengine hatuwajui, lakini huyu...
Nasikiliza wimbo wa Mandojo na Domokaya, unaitwa Dingi, huu wimbo unaonekana kama ni true story ila sijabahatika kusoma au kusikia sehemu yoyote wakithibitisha kuhusu hili.
Jamaa wanazungumzia...
Msanii ak 47 wa uganda,amefarik ghafla baada ya kuteleza kwenye bafu alipokuwa bar.Mungu ampumzishe salama
Details as to the cause of death are still...
Naona hivi sasa Ustaa umeanza kunukia kwa video vixen maarufu nchini , Official Lynn . Awali habari za kuwa vixen huyo anatoka na diamond zilianza kuvuma miaka ya nyuma kidogo , mpaka ikadaiwa...
Rapa Kanye West amebadilisha jina lake kuwa Ye.
Akitangaza mabadiliko hayo kwenye Twitter siku ya Jumamosi, aliandika: "Nimekuwa nikijulikana kama Kanye West. Mimi ni YE."
West, 41, amekuwa...
Kwema humu..
kwa Tanzania unamkubali dj yupi anaecheza nyimbo za Hip Hop..?
na kituo gani cha Radio kinachocheza Nyimbo za Hip Hop
mimi naanza na
1. Dj Jeff Jerry-Kiss fm (Jafari mzonge) huyu...
Fiesta imeanzia moro jana, nimebahatika kupata picha chache kutokana na picha safari hii kuwa hadimu.
Lakini naambiwa Fid Q ndio alikuwa nyota wa mchezo.
Niliposikiliza voice note ya hamisa mobeto akiongea na mganga au shekhe kama anavyodai, nimegundua tabia halisi ya hamisa mobetto
1. Hana roho mbaya - Akiongea kwa sauti ya upole na ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.