Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Habari zenu wakuu! Hivi huyu mtangazaji wa kipindi cha njia panda kinachorushwa kila jumapili Clouds Fm, Doctor Isaac Maro ni Doctor kweli? Na kama ni daktari kweli, anawezaje kumudu kazi zote...
4 Reactions
86 Replies
28K Views
LOS ANGELES - The Los Angeles home of Sean "Diddy" Combs was raided by Homeland Security Investigations Monday in connection with a federal sex trafficking case, authorities said. FOX 11 was first...
2 Reactions
6 Replies
322 Views
Watu wengi hawajui historia ya muziki wa bongofleva na hawajui umeanzia wapi. Fact ni kwamba muasisi wa muziki wa bongofleva ni Prince Dully Sykes aka Mr Misifa. Sound hii unayoiskia leo ya...
9 Reactions
85 Replies
2K Views
Ni miaka nane sasa imefika toka kuazishwa kwa tuzo hizi za heshima kwa kutambua mchango wa Malikia wa nguvu katika Jamii. Hongereni wote waliopata jana, walistahili. Kwa kuwa Clouds Media ni...
3 Reactions
24 Replies
1K Views
Dudubaya amezidi kumshukia Ruge mutahaba na kusema kuwa alikuwa akiwanyonya wasanii aliokuwa anasema anawainua Dudubaya ameendelea kusena kuwa Ruge ndio alisababisha Studio ya Bongo Records...
12 Reactions
242 Replies
36K Views
Awali ya yote nitangulize angalizo kwa vijana ambao maturity stage imewakuta miaka hii ya mitandao ya kijamii. Itabidi msome kimyakimya huku mkiwa mmeshika peni na karatasi kuchukua notes. Huu...
153 Reactions
2K Replies
175K Views
Habari wanajamii forum wote. Hii ni kwa wake wapenzi wa edm music. Kwa wafuatiliaji wa muziki huo nadhani mtakuwa mnakubaliana na Mimi kuwa Martin Garrix ndiye dj anayekimbiza zaidi kwa Sasa...
9 Reactions
66 Replies
2K Views
Guys mambo vipi. Poleni na majukumu ya hapa na pale. Nina swali dogo tu. Hivi kati ya Jay Z na Eminem nani zaidi kwenye Rap (HipHop kwa ujumla)?
3 Reactions
67 Replies
9K Views
Taasinia ya Sanaa ya michezo ya kuigiza hapa Tanzania inapitia changamoto nyingi sana zipo tunazoziona sisi mashabiki na pia zipo wanazokumbna nazo wasanii husika. Binafsi hiz ni baadhi ya...
5 Reactions
28 Replies
750 Views
Leo Machi 30, ni Kumbukumbu ya Siku ya Kuzaliwa kwa Paul Matthysse a.k.a P-Funk Majani, Mtayarishaji Mkubwa na Bora wa Muziki Tanzania. Alianza kujihusisha na Muziki mwanzoni mwa miaka ya 90...
20 Reactions
57 Replies
4K Views
Nawapongeza Maulid Kitenge na Nusrat Hanje kufunga pingu za maisha japo waliamua kufanya ndoa ya siri. Chumvi kapata chombo ya ukweli.
16 Reactions
76 Replies
7K Views
Wanamwita manju wa muziki. Huyu ni mtangazaji mkongwe na nguli wa maswala ya muziki na wanamziki, kupitia TBC. Ukimsikiliza Masoud, utaelewa umuhimu wa specialization katika utangazaji, uandaaji...
15 Reactions
61 Replies
2K Views
Mwigizaji na mtayarishaji wa Movies kutokea nchini Marekani, Mzee Robert De Niro amepata mtoto wake mwengine akiwa na miaka 80. Robert De Niro akiwa na umri wa miaka 80 na mtoto wake wa miezi 10...
7 Reactions
30 Replies
1K Views
Pamoja na kuwa na Elimu za Kuunga-unga Zembwela na Manara Wana maisha decent kuliko Maprofesa hapo SUA na kwingineko nchini
25 Reactions
395 Replies
18K Views
Huyu Msanii wanawake wanampendea nini? Naangalia hapa TV-E wanavyo mshangilia yani ukiacha sauti nzito sioni cha ajabu kutoka kwake lakini naona ndio msanii ambaye wanamshangilia sana...
4 Reactions
92 Replies
4K Views
Mlimbwende kunako kiwanda cha Utangazaji, Mjasiriamali na mwanamitandao maarufu Bongo, Niffer Jovin, maarufu kama "Niffer" amefunguka namna alivyohaha kujitafuta hadi kufikia mafanikio makubwa...
27 Reactions
524 Replies
34K Views
Mrisho Mpoto Watanzania wengi wanamjua Msanii Mrisho Mpoto ambaye anafahamika si tu kwa kazi zake, bali pia kwakuwa hutembea peku peku wakati mwingi. Mpoto amejipatia umaarufu kwa utaratibu wake...
1 Reactions
9 Replies
407 Views
Msanii wa Vichekesho Nchini Tanzania 🇹🇿 Umar Lahbedi Issa, Maarufu Kwa Jina la Mzee wa Mjegeje, Amefariki Dunia Leo Alfajili Katika Hospitali ya Mwananyamala Alipokuwa Akipatiwa Matibabu. Taarifa...
14 Reactions
69 Replies
4K Views
Take a break, na tujikumbushe enzi zile za RTD, ambapo kulikuwa hakuna FMs rado kama sasa. Hakika kulikuwa na watangazaji, vipindi bomba na hata nyimbo za kutambulisha vipindi zilikuwa makini...
14 Reactions
2K Replies
354K Views
Wakuu Salaam, Nisiwapotezee muda, miaka ya nyuma kulikuwa na shindano la wadada lililodhaminiwa na Twanga Pepeta na Manywele Entertainment. Sikumbuki lilifanyika mara ngapi lakini mwaka 2006...
2 Reactions
23 Replies
1K Views
Back
Top Bottom