<?xml version="1.0" encoding="ISO-8859-1"?>

<rss version="2.0" xmlns:dc="http://purl.org/dc/elements/1.1/" xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/">
	<channel>
		<title>JamiiForums | The Home of Great Thinkers - Jukwaa la Sheria (The Law Forum)</title>
		<link>https://www.jamiiforums.com/</link>
		<description>Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali</description>
		<language>en</language>
		<lastBuildDate>Fri, 24 May 2013 04:40:36 GMT</lastBuildDate>
		<generator>vBulletin</generator>
		<ttl>60</ttl>
		<image>
			<url>https://www.jamiiforums.com/template/JamiV1/default/misc/rss.png</url>
			<title>JamiiForums | The Home of Great Thinkers - Jukwaa la Sheria (The Law Forum)</title>
			<link>https://www.jamiiforums.com/</link>
		</image>
		<item>
			<title>Mwanafunzi huyu anataka msaada ili ajinasue katika makucha ya mwalim huyu</title>
			<link>https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-sheria-the-law-forum/456152-mwanafunzi-huyu-anataka-msaada-ili-ajinasue-katika-makucha-ya-mwalim-huyu-new-post.html</link>
			<pubDate>Thu, 23 May 2013 15:28:48 GMT</pubDate>
			<description>Juzi nilihadithiwa kisa hiki,kuna mwalim ambae aliwahi kusimamishwa kazi kutokana na kumpa uja jauzito Mwanafunzi,na baadae akarejeshwa kazi kwa kuweka katika ofisi ya ELIMU WILAYA YA MAGHARIBI UNGUJA. 
Hivi sasa yupo katika mapenzi mazito na...</description>
			<content:encoded><![CDATA[<div><!-- google_ad_section_start -->Juzi nilihadithiwa kisa hiki,kuna mwalim ambae aliwahi kusimamishwa kazi kutokana na kumpa uja jauzito Mwanafunzi,na baadae akarejeshwa kazi kwa kuweka katika ofisi ya ELIMU WILAYA YA MAGHARIBI UNGUJA.<br />
Hivi sasa yupo katika mapenzi mazito na Mwanafunzi mwengine na baada yakumposa na kukataliwa , ameendelea kuwa nae kisiri hivi sasa ameanza kuwa anamtisha na kumpiga mara kwa mara anamdai pesa za matumizi asipotoa huwa anampiga nakumtukana hadharani Mwanafunzi huyO kutokana navitisho amekua akimfichia Mwalimu huyo alokosa utu na kumfanya Mtumwa wake wa ngono.Juzi  alimfata usiku akiwa katika kituo cha kujiendeleza na kumpiga eti aliumwa hakwenda kumtizama, ilipidi walinzi na Walimu kumuokoa katika adhabu hiyo na hatimae baada kuhojiwa Mwanafunzi ndipo akasema kile kinacho msibu na keshamwambia kwamba roho yake iko kwa mikononi mwake, yupo tayari kwenda jela maisha kama atamzingua.<br />
Na mara kwa mara Mtovu huyo wa maadili hujifanya kuweka KAMBI ya masomo ili aweze kuwa nae muda wote kijana huyo na ameshamwambia akimsaliti atamjua yeye ni nani pamoja na kuripotiwa mara kwa mara kesi zake kituoni bado hakuna nafuu yoyote aliyopata Mwanafunzi huyo ambae anatarajiwa kufanya Mtihani wake wakumaliza kidato cha nne mwaka huyo.MSAADA JAMANI KUMUOKOA KIJANA HUYU NA ADHABU AIPATAYO<!-- google_ad_section_end --></div>

]]></content:encoded>
			<category domain="https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-sheria-the-law-forum/">Jukwaa la Sheria (The Law Forum)</category>
			<dc:creator>dega</dc:creator>
			<guid isPermaLink="true">https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-sheria-the-law-forum/456152-mwanafunzi-huyu-anataka-msaada-ili-ajinasue-katika-makucha-ya-mwalim-huyu.html</guid>
		</item>
		<item>
			<title>Sheria na kanuni za nchi zinaruhusu kutumia Jeshi kudhibiti ghasia za wananchi?</title>
			<link>https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-sheria-the-law-forum/455924-sheria-na-kanuni-za-nchi-zinaruhusu-kutumia-jeshi-kudhibiti-ghasia-za-wananchi-new-post.html</link>
			<pubDate>Thu, 23 May 2013 09:17:07 GMT</pubDate>
			<description>Hivi kwa mujibu wa katiba,kanuni na sheria za nchi ni sahihi kwa serikali kutumia jeshi la  wananchi kudhibiti fujo au ghasia za wananchi? 
 
Kama sheria na taratibu za nchi kweli zinaruhusu,kulikuwa na ulazima wa kutumia jeshi  au nia na madhumuni...</description>
			<content:encoded><![CDATA[<div><!-- google_ad_section_start -->Hivi kwa mujibu wa katiba,kanuni na sheria za nchi ni sahihi kwa serikali kutumia jeshi la  wananchi kudhibiti fujo au ghasia za wananchi?<br />
<br />
Kama sheria na taratibu za nchi kweli zinaruhusu,kulikuwa na ulazima wa kutumia jeshi  au nia na madhumuni ni kutisha raia?<br />
<br />
Watawala mnapaswa kutambua kuwa hakuna mahali popote duniani nguvu za dola ziliwahi kushinda nguvu ya umma.<!-- google_ad_section_end --></div>

]]></content:encoded>
			<category domain="https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-sheria-the-law-forum/">Jukwaa la Sheria (The Law Forum)</category>
			<dc:creator>Salary Slip</dc:creator>
			<guid isPermaLink="true">https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-sheria-the-law-forum/455924-sheria-na-kanuni-za-nchi-zinaruhusu-kutumia-jeshi-kudhibiti-ghasia-za-wananchi.html</guid>
		</item>
		<item>
			<title>Mahakama: Dr. Slaa ruksa kuoana na Josephine</title>
			<link>https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-sheria-the-law-forum/455865-mahakama-dr-slaa-ruksa-kuoana-na-josephine-new-post.html</link>
			<pubDate>Thu, 23 May 2013 08:23:12 GMT</pubDate>
			<description>Kutokana na kesi iliyokuwa imefunguliwa na Aminiel Mahimbo vs Josephine Mushumbusi kesi ya rufaa ya kupinga talaka iliyotolewa na mahakama ya mwanzo Sinza katika kesi ya ndoa namba 4/2012 , baada ya kesi hiyo kutupiliwa mbali na mahakama ya hakimu...</description>
			<content:encoded><![CDATA[<div><!-- google_ad_section_start -->Kutokana na kesi iliyokuwa imefunguliwa na Aminiel Mahimbo vs Josephine Mushumbusi kesi ya rufaa ya kupinga talaka iliyotolewa na mahakama ya mwanzo Sinza katika kesi ya ndoa namba 4/2012 , baada ya kesi hiyo kutupiliwa mbali na mahakama ya hakimu mkazi mahakama ya wilaya ya kinondoni ndugu Wambura, katika kesi ya rufaa namba 32/2012. <br />
<br />
Ametoa uamuzi huo baada ya kuridhika kwamba kulikuwa na ushahidi wa kutosha kwa mahakama ya mwanzo kutoa talaka hiyo na hivyo Josephine ni mtalikiwa rasmi.<br />
<br />
Kutokana na hukumu hiyo, Josephine ana haki ya kuolewa na mtu mwingine kwa kuwa ni mtalakiwa.<!-- google_ad_section_end --></div>

]]></content:encoded>
			<category domain="https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-sheria-the-law-forum/">Jukwaa la Sheria (The Law Forum)</category>
			<dc:creator>Haki sawa</dc:creator>
			<guid isPermaLink="true">https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-sheria-the-law-forum/455865-mahakama-dr-slaa-ruksa-kuoana-na-josephine.html</guid>
		</item>
		<item>
			<title>Swali la Kimajungu: Kwanini Mhuhujumu Uchumi Idd Simba yuko nje?</title>
			<link>https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-sheria-the-law-forum/455677-swali-la-kimajungu-kwanini-mhuhujumu-uchumi-idd-simba-yuko-nje-new-post.html</link>
			<pubDate>Thu, 23 May 2013 04:19:26 GMT</pubDate>
			<description><![CDATA[Ndugu wanabodi, 
 
Kwa uelewa wangu, sheria ya Uhujumu Uchumi nchini inamnyima dhamana mtu "yeyote" aliyeshitakiwa mahakamani kwa kosa hilo. Lakini jambo la ajabu nilaloendelea kulishuhudia ni kwamba hata baada ya mashtaka ya akina Idd Simba...]]></description>
			<content:encoded><![CDATA[<div><!-- google_ad_section_start -->Ndugu wanabodi,<br />
<br />
Kwa uelewa wangu, sheria ya Uhujumu Uchumi nchini inamnyima dhamana mtu &quot;yeyote&quot; aliyeshitakiwa mahakamani kwa kosa hilo. Lakini jambo la ajabu nilaloendelea kulishuhudia ni kwamba hata baada ya mashtaka ya akina Idd Simba kurekebishwa na kuangukia kwenye makosa ya Uhujumu uchumi bado wameendelea kuwa nje kwa dhamana. Je hii sheria ya Uhujumu Uchumi ilishabadilishwa? Kama la, je nchi hii sheria moja huwa inatumika tofauti kwa watu wawili tofauti?<br />
Nawakaribisha wenye uelewa na si watu wanaokuja kutetea kwa misingi ya kabila au dini ya mtu.<!-- google_ad_section_end --></div>

]]></content:encoded>
			<category domain="https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-sheria-the-law-forum/">Jukwaa la Sheria (The Law Forum)</category>
			<dc:creator>Amiliki</dc:creator>
			<guid isPermaLink="true">https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-sheria-the-law-forum/455677-swali-la-kimajungu-kwanini-mhuhujumu-uchumi-idd-simba-yuko-nje.html</guid>
		</item>
		<item>
			<title>Msaada kuhusu usimamizi wa mirathi.</title>
			<link>https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-sheria-the-law-forum/455093-msaada-kuhusu-usimamizi-wa-mirathi-new-post.html</link>
			<pubDate>Wed, 22 May 2013 06:29:09 GMT</pubDate>
			<description>Ndugu zangu naombeni msaada wa sheria inayohusu haki ya msimamizi wa mirathi baada ya mirathi kutoka. 
 
Mama yangu alipata mtu ambaye alijitolea kua msimamizi wa mirathi, lakini baada ya Mirathi kutoka anadai kuwa kisheria Msimamizi wa mirathi...</description>
			<content:encoded><![CDATA[<div><!-- google_ad_section_start -->Ndugu zangu naombeni msaada wa sheria inayohusu haki ya msimamizi wa mirathi baada ya mirathi kutoka.<br />
<br />
Mama yangu alipata mtu ambaye alijitolea kua msimamizi wa mirathi, lakini baada ya Mirathi kutoka anadai kuwa kisheria Msimamizi wa mirathi inatakiwa apewe Thelusi moja ya thamani yote ya mirathi.<br />
<br />
Je ni sahihi kisheria? Ni hayo tu ndugu zangu.<!-- google_ad_section_end --></div>

]]></content:encoded>
			<category domain="https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-sheria-the-law-forum/">Jukwaa la Sheria (The Law Forum)</category>
			<dc:creator>Likwanda</dc:creator>
			<guid isPermaLink="true">https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-sheria-the-law-forum/455093-msaada-kuhusu-usimamizi-wa-mirathi.html</guid>
		</item>
		<item>
			<title>Je, kumjadili Ruge na JD bungeni kama jana, si kuingilia uhuru wa Mahakama?</title>
			<link>https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-sheria-the-law-forum/454525-je-kumjadili-ruge-na-jd-bungeni-kama-jana-si-kuingilia-uhuru-wa-mahakama-new-post.html</link>
			<pubDate>Tue, 21 May 2013 07:08:30 GMT</pubDate>
			<description>Wakati bunge likiendelea kujadili  bajeti ya Wizara ya habari, vijana, jana jioni wabunge wawili Ester Bulaya na Vicky Kamata walichangia mzozo kati ya Lady JD na Ruge. 
 
Wote wametoa maoni umalizwe nje ya mahakama. 
 
Maana yake nini? Maana yake...</description>
			<content:encoded><![CDATA[<div><!-- google_ad_section_start -->Wakati bunge likiendelea kujadili  bajeti ya Wizara ya habari, vijana, jana jioni wabunge wawili Ester Bulaya na Vicky Kamata walichangia mzozo kati ya Lady JD na Ruge.<br />
<br />
Wote wametoa maoni umalizwe nje ya mahakama.<br />
<br />
Maana yake nini? Maana yake yule aliyetumia uhuru usioingiliwa kikatiba wa kufungua kesi, aliona amefanya uamuzi sahihi.<br />
<br />
Anayajua yote hayo ya kufamaliza nje ya mahakama. Lakini akili yake imechagua uamuzi wa mahakamani kwa sababu ambazo sisi hatuwezi kumpangia.<br />
<br />
<br />
Sasa, tunapotoa maoni tena public kwamba aangalie uamuzi mwingine. Binafsi nilidhani ilikuwa ni sahihi kama angekuwa yuko katika hatua ya kutafakari options nyingi za suluhu.<br />
<br />
Kwamba kama katika options hizo za mawazo, tungekuwa na haki ya kusema, Bwana, tumia option fulani achana na option ya mahakamani.<br />
<br />
Sasa, mwenzetu ambaye hatuwezi kumfundisha options zinazomfurahisha, kaamua kwenda mahakamani. Sasa, baadhi yetu, tunasema option aliyochagua aachane nayo, achukue tunayoitaka.<br />
<br />
<br />
Tuliona hansard, ilivyotumika kama ushahidi kwenye kesi ya Prof. Costa Mahalu. Hansard ya jana inaonyesha majadiliano na mapendekezo hayo kwa suala la JD na Ruge.<br />
<br />
Je, mle bungeni, hili si jambo ambalo linajadiliwa mahakamani na haliruhusiwi kama yalivyowahi kugomewa mengi mle bungeni kwa sababu yana kesi Mahakamani?<br />
<br />
Huu ndiyo wasiwasi wangu.<br />
<br />
SAIDIA KUONDOA WASIWASI HUO<!-- google_ad_section_end --></div>

]]></content:encoded>
			<category domain="https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-sheria-the-law-forum/">Jukwaa la Sheria (The Law Forum)</category>
			<dc:creator>Nikupateje</dc:creator>
			<guid isPermaLink="true">https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-sheria-the-law-forum/454525-je-kumjadili-ruge-na-jd-bungeni-kama-jana-si-kuingilia-uhuru-wa-mahakama.html</guid>
		</item>
		<item>
			<title>SHERIA KWA LUGHA NYEPESI YA KISWAHILI, download this doc</title>
			<link>https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-sheria-the-law-forum/453890-sheria-kwa-lugha-nyepesi-ya-kiswahili-download-this-doc-new-post.html</link>
			<pubDate>Mon, 20 May 2013 05:10:14 GMT</pubDate>
			<description>Watu wengi wamekuwa wanashinda kujitetea au kutetea maslahi yao hata katika vitu vinavyohusu sheria laini kabisa. yapo mambo mengi ya jinai na madai. kuna vitabu vingi vimeandikwa, lakini leo naweka kimoja tu hiki, yeyote atakayesoma kitabu hiki...</description>
			<content:encoded><![CDATA[<div><!-- google_ad_section_start -->Watu wengi wamekuwa wanashinda kujitetea au kutetea maslahi yao hata katika vitu vinavyohusu sheria laini kabisa. yapo mambo mengi ya jinai na madai. kuna vitabu vingi vimeandikwa, lakini leo naweka kimoja tu hiki, yeyote atakayesoma kitabu hiki hatajutia hakika. download this document: <a href="https://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=94437&amp;d=1369026584"  title="Name:  SHERIA KWA KISWAHILI BOOK.doc
Views: 0
Size:  118.5 KB">SHERIA KWA KISWAHILI BOOK.doc</a><a href="https://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=94437&amp;d=1369026584"  title="Name:  SHERIA KWA KISWAHILI BOOK.doc
Views: 0
Size:  118.5 KB">SHERIA KWA KISWAHILI BOOK.doc</a><!-- google_ad_section_end --></div>


	<div style="padding:10px">

	

	

	

	
		<fieldset class="fieldset">
			<legend>Attached Files</legend>
			<ul>
			<li>
	<img class="inlineimg" src="https://www.jamiiforums.com/template/JamiV1/default/attach/doc.gif" alt="File Type: doc" />
	<a href="https://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=94437&amp;d=1369026584">SHERIA KWA KISWAHILI BOOK.doc</a> 
(118.5 KB)
</li>
			</ul>
		</fieldset>
	

	</div>
]]></content:encoded>
			<category domain="https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-sheria-the-law-forum/">Jukwaa la Sheria (The Law Forum)</category>
			<dc:creator>MISHPACHA BRUCHA</dc:creator>
			<guid isPermaLink="true">https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-sheria-the-law-forum/453890-sheria-kwa-lugha-nyepesi-ya-kiswahili-download-this-doc.html</guid>
		</item>
		<item>
			<title>Mashitaka dhidi ya Serkali</title>
			<link>https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-sheria-the-law-forum/453322-mashitaka-dhidi-ya-serkali-new-post.html</link>
			<pubDate>Sat, 18 May 2013 17:27:24 GMT</pubDate>
			<description>Wana Jf Napenda kuleta kwenu wazo langu la muda mrefu, nimekua nalo kwa muda sasa nalo ni je kwa hivi sasa ninaweza kuanza kuandaa Mashitaka dhidi ya Chama kinachoondoka madarakani (ccm) watendaji wa serikali awamu ya pili awamu ya tatu na hii...</description>
			<content:encoded><![CDATA[<div><!-- google_ad_section_start -->Wana Jf Napenda kuleta kwenu wazo langu la muda mrefu, nimekua nalo kwa muda sasa nalo ni je kwa hivi sasa ninaweza kuanza kuandaa Mashitaka dhidi ya Chama kinachoondoka madarakani (ccm) watendaji wa serikali awamu ya pili awamu ya tatu na hii inayoondoka madarakani (baadhi wenye tuhumu kuntu) na wale wote ambao wame liletea taifa hili  umasikini KWA makusudi. AU nitakuwa nimefanya mapema? ushauli tafadhari<!-- google_ad_section_end --></div>

]]></content:encoded>
			<category domain="https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-sheria-the-law-forum/">Jukwaa la Sheria (The Law Forum)</category>
			<dc:creator>Nomile</dc:creator>
			<guid isPermaLink="true">https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-sheria-the-law-forum/453322-mashitaka-dhidi-ya-serkali.html</guid>
		</item>
		<item>
			<title>Msaada wa kisheria tafadhari</title>
			<link>https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-sheria-the-law-forum/453276-msaada-wa-kisheria-tafadhari-new-post.html</link>
			<pubDate>Sat, 18 May 2013 16:06:23 GMT</pubDate>
			<description>Nina ndugu yangu kawekwa rokap toka juz na polisi kwamba wamedhurum mtu pesa lakn mpaka sasa polisi hawana ushahidi wowote je nifanyeje?</description>
			<content:encoded><![CDATA[<div><!-- google_ad_section_start -->Nina ndugu yangu kawekwa rokap toka juz na polisi kwamba wamedhurum mtu pesa lakn mpaka sasa polisi hawana ushahidi wowote je nifanyeje?<!-- google_ad_section_end --></div>

]]></content:encoded>
			<category domain="https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-sheria-the-law-forum/">Jukwaa la Sheria (The Law Forum)</category>
			<dc:creator>Ren g</dc:creator>
			<guid isPermaLink="true">https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-sheria-the-law-forum/453276-msaada-wa-kisheria-tafadhari.html</guid>
		</item>
		<item>
			<title>msaada kama naweza kumshtaki afisa utumishi wangu</title>
			<link>https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-sheria-the-law-forum/453273-msaada-kama-naweza-kumshtaki-afisa-utumishi-wangu-new-post.html</link>
			<pubDate>Sat, 18 May 2013 15:47:25 GMT</pubDate>
			<description>mimi ni mwajiriwa wa halmashauri ya ulanga, nimeanza kazi zaidi ya miaka 5 ilopita, sijapandishwa daraja kwa uzembe wa afisa utumishi wangu, je naweza kumshtaki na kumdai fidia kwa kunifanyia dhulma ya wazi wazi? naombeni mawazo yenye kufaa wanajf.</description>
			<content:encoded><![CDATA[<div><!-- google_ad_section_start -->mimi ni mwajiriwa wa halmashauri ya ulanga, nimeanza kazi zaidi ya miaka 5 ilopita, sijapandishwa daraja kwa uzembe wa afisa utumishi wangu, je naweza kumshtaki na kumdai fidia kwa kunifanyia dhulma ya wazi wazi? naombeni mawazo yenye kufaa wanajf.<!-- google_ad_section_end --></div>

]]></content:encoded>
			<category domain="https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-sheria-the-law-forum/">Jukwaa la Sheria (The Law Forum)</category>
			<dc:creator>emkey</dc:creator>
			<guid isPermaLink="true">https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-sheria-the-law-forum/453273-msaada-kama-naweza-kumshtaki-afisa-utumishi-wangu.html</guid>
		</item>
		<item>
			<title>wanafunzi  wa vyuo vya cbe,udsm na veta wakamatwa na kufikishwa mahakamani kwa kosa kuuza miili yao</title>
			<link>https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-sheria-the-law-forum/452927-wanafunzi-wa-vyuo-vya-cbe-udsm-na-veta-wakamatwa-na-kufikishwa-mahakamani-kwa-kosa-kuuza-miili-yao-new-post.html</link>
			<pubDate>Fri, 17 May 2013 19:55:30 GMT</pubDate>
			<description>wanafunzi wawili wa kike wanaosoma elimu ya juu chuo kikuu cha udsm na cbe ya dar pamoja na mwanafunzi wa chuo 
chuo cha ufundi veta..wamefikishwa katika mahakama ya samora kwa kosa la kujiuuza...miili yao... 
 
katika operation ya inayoendelea...</description>
			<content:encoded><![CDATA[<div><!-- google_ad_section_start -->wanafunzi wawili wa kike wanaosoma elimu ya juu chuo kikuu cha udsm na cbe ya dar pamoja na mwanafunzi wa chuo<br />
chuo cha ufundi veta..wamefikishwa katika mahakama ya samora kwa kosa la kujiuuza...miili yao...<br />
<br />
katika operation ya inayoendelea wilaya ya kinondoni inasemekana kwamba katika baa ya corner iliyopo sinza maeneo ya<br />
africasana...kuwa katika operation inayoendesha na bwana charles kenyela..ya kuwakamata wanawake ndipo hapo ndipo katika kundi la wakina dada 21...watatu ndo waligundulika ni wanafunzi ...wanafunzi hawa majina yao ni<br />
<br />
1.yasinta kilimo umri miaka 21...mwanafunzi wa c.b.e<br />
<br />
2.morin masatu...umri miaka 20...mwanafunzi wa udsm <br />
<br />
3.na watatu alijulikana kama khadija mwanafunzi wa chuo...veta.<br />
<br />
kesi hiyoo...inayoendeshwa ambayo ipo chini ya hakimu william mtaki na muendesha mashitaka john kijumbe...kuwa<br />
watuhumiwa hao wamerudishwa ndani kwa kukosa mdhamana au kulipa faini ya shillingi laki mbili<br />
<br />
source:mpekuzi blog,michuzi blog na udaku specialy na watu waliokuwepo mahakamani leo...na kesho huenda ikaandikwa kwenye magazeti.....<!-- google_ad_section_end --></div>

]]></content:encoded>
			<category domain="https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-sheria-the-law-forum/">Jukwaa la Sheria (The Law Forum)</category>
			<dc:creator>C programming</dc:creator>
			<guid isPermaLink="true">https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-sheria-the-law-forum/452927-wanafunzi-wa-vyuo-vya-cbe-udsm-na-veta-wakamatwa-na-kufikishwa-mahakamani-kwa-kosa-kuuza-miili-yao.html</guid>
		</item>
		<item>
			<title>Msaada jamani</title>
			<link>https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-sheria-the-law-forum/452838-msaada-jamani-new-post.html</link>
			<pubDate>Fri, 17 May 2013 16:29:41 GMT</pubDate>
			<description>Naomba kujua ikiwa wazazi wanatengana na wanamtoto wa miaka 2 je uhalili wa baba kumchukua mtoto ni miaka mingapi?</description>
			<content:encoded><![CDATA[<div><!-- google_ad_section_start -->Naomba kujua ikiwa wazazi wanatengana na wanamtoto wa miaka 2 je uhalili wa baba kumchukua mtoto ni miaka mingapi?<!-- google_ad_section_end --></div>

]]></content:encoded>
			<category domain="https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-sheria-the-law-forum/">Jukwaa la Sheria (The Law Forum)</category>
			<dc:creator>CHIKITITA</dc:creator>
			<guid isPermaLink="true">https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-sheria-the-law-forum/452838-msaada-jamani.html</guid>
		</item>
		<item>
			<title>Msaada wa kisheria hapa kuhusu uamuzi wa mahakama: Ukweli unapogeuka uongo kutumia mahakama</title>
			<link>https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-sheria-the-law-forum/452141-msaada-wa-kisheria-hapa-kuhusu-uamuzi-wa-mahakama-ukweli-unapogeuka-uongo-kutumia-mahakama-new-post.html</link>
			<pubDate>Thu, 16 May 2013 10:41:33 GMT</pubDate>
			<description>If a person is judged not guilty, it does not mean that the person is proved innocent; it only means that there was not enough evidence to reach the guilty verdict. 
 
Je ushahidi unatafutwa na nani mpaka unakuwa ushahidi? 
Je aliyestahili kuleta na...</description>
			<content:encoded><![CDATA[<div><!-- google_ad_section_start -->If a person is judged not guilty, it does not mean that the person is proved innocent; it only means that there was not enough evidence to reach the guilty verdict.<br />
<br />
Je ushahidi unatafutwa na nani mpaka unakuwa ushahidi?<br />
Je aliyestahili kuleta na kuhakiki ushahidi kama hajafanywa ipasavyo inathibitishwaje?<!-- google_ad_section_end --></div>

]]></content:encoded>
			<category domain="https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-sheria-the-law-forum/">Jukwaa la Sheria (The Law Forum)</category>
			<dc:creator>Logatho Mwolokujova</dc:creator>
			<guid isPermaLink="true">https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-sheria-the-law-forum/452141-msaada-wa-kisheria-hapa-kuhusu-uamuzi-wa-mahakama-ukweli-unapogeuka-uongo-kutumia-mahakama.html</guid>
		</item>
		<item>
			<title>Hukumu ya uonevu yatolewa leo katika mahakama ya wilaya karatu. Wanasheria msaada.</title>
			<link>https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-sheria-the-law-forum/451673-hukumu-ya-uonevu-yatolewa-leo-katika-mahakama-ya-wilaya-karatu-wanasheria-msaada-new-post.html</link>
			<pubDate>Wed, 15 May 2013 14:44:43 GMT</pubDate>
			<description>Ni CC/99/2012. Mshtakiwa alishtakiwa kwa kosa la kulala na mwanafunzi wa sekondary, bila hata ushahidi wa kidaktari wala hata dada aliyekuwa rafiki wa mtuhumiwa kufika mahakamani kutoa ushahidi, kesi ikaingiliwa na DC, mtuhumiwa kafungwa miaka 30...</description>
			<content:encoded><![CDATA[<div><!-- google_ad_section_start -->Ni CC/99/2012. Mshtakiwa alishtakiwa kwa kosa la kulala na mwanafunzi wa sekondary, bila hata ushahidi wa kidaktari wala hata dada aliyekuwa rafiki wa mtuhumiwa kufika mahakamani kutoa ushahidi, kesi ikaingiliwa na DC, mtuhumiwa kafungwa miaka 30 leo.<br />
<br />
Sheria inasemaje kwa kuwa hakukuwa na vipimo vya ki-daktari kuonesha kuwa kitendo hicho kilifanyika, pia shahidi muhimu ambaye ndiye dada anayesemekana kuwa alifanya kitendo hicho hakuitwa mahakamani kutoa ushahidi. Pia hakupimwa kuonesha manii hivyo kukosekana ushahidi muhimu (concrete evidence).<br />
<br />
KUHUSIKA KWA MKUU WA WILAYA.<br />
<br />
Mkuu wa wilaya bila ya kufanya utafiti kama wahusika walikuwa wapenzi ama la yeye alichosema ni kuwa madhali mtuhumiwa amekuwa na mahusiano na mwanafunzi afungwe miaka 30 na ndicho kilichofanyika leo.<br />
<br />
Jina la mfungwa Emanuel Andrea. Kesi ilifunguliwa 29/09/2012.<!-- google_ad_section_end --></div>

]]></content:encoded>
			<category domain="https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-sheria-the-law-forum/">Jukwaa la Sheria (The Law Forum)</category>
			<dc:creator>Arushaone</dc:creator>
			<guid isPermaLink="true">https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-sheria-the-law-forum/451673-hukumu-ya-uonevu-yatolewa-leo-katika-mahakama-ya-wilaya-karatu-wanasheria-msaada.html</guid>
		</item>
		<item>
			<title>Ni ipi tofauti ya Victor Ambrose na Abdulrahaman Kinana?</title>
			<link>https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-sheria-the-law-forum/451069-ni-ipi-tofauti-ya-victor-ambrose-na-abdulrahaman-kinana-new-post.html</link>
			<pubDate>Tue, 14 May 2013 12:26:01 GMT</pubDate>
			<description>Victor Ambrose ni kijana aliyekamatwa na jeshi la polisi na kushtakiwa kulipua kanisa huko Arusha. Kijana huyu ambaye anafanya biashara ya kuwabeba watu na pikipiki, maarufu kama bodaboda, alikodishwa na mtu anayesadikiwa kufanya kitendo hiko cha...</description>
			<content:encoded><![CDATA[<div><!-- google_ad_section_start -->Victor Ambrose ni kijana aliyekamatwa na jeshi la polisi na kushtakiwa kulipua kanisa huko Arusha. Kijana huyu ambaye anafanya biashara ya kuwabeba watu na pikipiki, maarufu kama bodaboda, alikodishwa na mtu anayesadikiwa kufanya kitendo hiko cha kinyama. Kama walivyo vijana wengi wanaofanya hiyo kazi, wao kazi ya ni kutoa huduma ya usafiri tuu na wala hawaulizi wateja wao ni kitu gani au jambo gani wanalotegemea kulitenda.<br />
<br />
Swali ambalo ninajiuliza, kama watu watu wengi wameweza kukubaliana na utetezi uliotolewa na Abdulrahaman Kinana kuwa yeye ni mmiliki wa meli na wala hajui kinachopakiwa kwenye meli (meno ya tembo). Kwa nini, tusitumie sheria hiyo hiyo tunapoangalia hii issue ya Ndugu Ambrose?<!-- google_ad_section_end --></div>

]]></content:encoded>
			<category domain="https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-sheria-the-law-forum/">Jukwaa la Sheria (The Law Forum)</category>
			<dc:creator>Rufiji</dc:creator>
			<guid isPermaLink="true">https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-sheria-the-law-forum/451069-ni-ipi-tofauti-ya-victor-ambrose-na-abdulrahaman-kinana.html</guid>
		</item>
	</channel>
</rss>
