<?xml version="1.0" encoding="ISO-8859-1"?>

<rss version="2.0" xmlns:dc="http://purl.org/dc/elements/1.1/" xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/">
	<channel>
		<title>JamiiForums | The Home of Great Thinkers - Mahusiano, mapenzi, urafiki</title>
		<link>https://www.jamiiforums.com/</link>
		<description>Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana. TAFADHALI: Zingatia sheria za JF!</description>
		<language>en</language>
		<lastBuildDate>Thu, 23 May 2013 09:45:35 GMT</lastBuildDate>
		<generator>vBulletin</generator>
		<ttl>60</ttl>
		<image>
			<url>https://www.jamiiforums.com/template/JamiV1/default/misc/rss.png</url>
			<title>JamiiForums | The Home of Great Thinkers - Mahusiano, mapenzi, urafiki</title>
			<link>https://www.jamiiforums.com/</link>
		</image>
		<item>
			<title>Nawaombeni ushauri kuhusu huyu mtoto</title>
			<link>https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/455944-nawaombeni-ushauri-kuhusu-huyu-mtoto-new-post.html</link>
			<pubDate>Thu, 23 May 2013 09:38:35 GMT</pubDate>
			<description>Baada ya kumaliza shule nilimpa girlfriend wangu mimba,baadae tulitengana nikamuacha akiwa na mimba ya miezi 7 mm nikaenda masomoni nchini kenya na yeye baadae alitoka kuja dsm kwa dadake,toka hapo tulipotezana,akiwa kwa dadake dar alijifungua mtoto...</description>
			<content:encoded><![CDATA[<div><!-- google_ad_section_start -->Baada ya kumaliza shule nilimpa girlfriend wangu mimba,baadae tulitengana nikamuacha akiwa na mimba ya miezi 7 mm nikaenda masomoni nchini kenya na yeye baadae alitoka kuja dsm kwa dadake,toka hapo tulipotezana,akiwa kwa dadake dar alijifungua mtoto wa kike baada ya kujifungua alikaa kwa mda wa miaka 3 akatokea jamaa mmoja akamuoa na yule mtoto,mwaka jana kwa mara ya kwanza alinipigia cm (cjui namba alipata wapi) akiniambia unajua kama nilikuwa na mwanao?nikamjibu najua,alimueleza na mtoto ukweli wote na kumpa no yangu toka hapo mtoto ananilalamikia anavyoteswa,mama yake alifanya mpango akamtoa mtoto na kumpakiza kwenye gari toka arusha kuja kwangu dar nae akaja tukaandikishana mahakamani kwamba amenikabidhi mtoto(kumbuka alimtoa bila mwanamme kujua)akamwacha mtoto kwangu yeye akarudi arusha kwa mumewe mimi nikamuingiza mtoto shule(yuko form 2),alivyofika kwa mumewe akaanza kumtisha kwamba atamkata mapanga asiporudisha mtoto,mwanamke akanipigia cm kunibembeleza nimrudishie mtoto ili anusuru ndoa yake,nilivyo mwambia mtoto kurudi alikataa kata kata kwamba amechoka na manyanyaso na hawezi kurudi,nilmdanganya kwamba aende atarudi baada ya mwezi toka alivyoenda ananipigia cm akilia na kulalamika kwamba yeye anataka aje kwa baba yake yani kwangu.je nifanye nini?<br />
<br />
<br />
mtoto ana miaka 16<!-- google_ad_section_end --></div>

]]></content:encoded>
			<category domain="https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/">Mahusiano, mapenzi, urafiki</category>
			<dc:creator>kamanyora</dc:creator>
			<guid isPermaLink="true">https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/455944-nawaombeni-ushauri-kuhusu-huyu-mtoto.html</guid>
		</item>
		<item>
			<title>I think have been single long enough....</title>
			<link>https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/455929-i-think-have-been-single-long-enough-new-post.html</link>
			<pubDate>Thu, 23 May 2013 09:19:58 GMT</pubDate>
			<description>hiii wana JF nataka ushauri nimekuwa single for almst 3 yrs bila kuwa na mahusiano serious sasa mda unazd kwenda umri nao unaenda.i meet gud guys and gentlemens ila nimekuwa muoga kuumizwa kimapenz na kuamini mtu soo most of the tym na end up...</description>
			<content:encoded><![CDATA[<div><!-- google_ad_section_start -->hiii wana JF nataka ushauri nimekuwa single for almst 3 yrs bila kuwa na mahusiano serious sasa mda unazd kwenda umri nao unaenda.i meet gud guys and gentlemens ila nimekuwa muoga kuumizwa kimapenz na kuamini mtu soo most of the tym na end up kuwakataa bt am tired of being alone at the same tym naogopa kupend............wats ur view.....<!-- google_ad_section_end --></div>

]]></content:encoded>
			<category domain="https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/">Mahusiano, mapenzi, urafiki</category>
			<dc:creator>malaika queen</dc:creator>
			<guid isPermaLink="true">https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/455929-i-think-have-been-single-long-enough.html</guid>
		</item>
		<item>
			<title>Kuto-oa au Kuto-olewa Kwa mwenye nia ya ndoa.Je ni uchawi au nguvu ya matamshi?</title>
			<link>https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/455862-kuto-oa-au-kuto-olewa-kwa-mwenye-nia-ya-ndoa-je-ni-uchawi-au-nguvu-ya-matamshi-new-post.html</link>
			<pubDate>Thu, 23 May 2013 08:21:19 GMT</pubDate>
			<description>++ 
Kuna watu katika jamii ambao wakitamka jambo basi lazima litatokea tu.Wakikuambia usiende safari,basi usiende kweli Ukibisha ukaenda unaishia kupata matatizo.Hapa siongelei watabiri wa nyota La! Hawa ni watu wa kawaida tu tunaishi nao. 
++...</description>
			<content:encoded><![CDATA[<div><!-- google_ad_section_start -->++<br />
Kuna watu katika jamii ambao wakitamka jambo basi lazima litatokea tu.Wakikuambia usiende safari,basi usiende kweli Ukibisha ukaenda unaishia kupata matatizo.Hapa siongelei watabiri wa nyota La! Hawa ni watu wa kawaida tu tunaishi nao.<br />
++<br />
Baadhi ya watu husema fulani &quot;ana mate mabaya&quot; wengine husema &quot;ni mchawi&quot; na wengine wenye uwezo huo hujificha ktk usemi kuwa &quot;nimeota tu&quot;<br />
Bahati mbaya jambo hili limehamia ktk ndoa.<br />
++<br />
Wapo watu ktk jamii ambao hawaoi au kuolewa si kwa sababu hawapendi,bali waliwahi kutamkiwa kwamba hawataoa au kuolewa!!<br />
Na maneno hayo ya mzaha yamegeuka ukweli unaowaumiza<br />
++<br />
Binti mmoja ambae alifikisha miaka 31 bila kuolewa,,alikuwa amejaribu kuwa na mahusiano mengi bila mafanikio.Mwisho alikata tamaa.Na kujiridhisha kuwa Mungu amemuacha!<br />
++<br />
Siku moja akiwa anatoka kazini (2001) alikutana na rafiki yake waliesoma nae kidato cha kwanza,,rafiki yake huyu alikuwa ana watoto wawili na mume mwenye kumjali..Waliposimuliana maisha yao,rafiki yake huyu alimwonea huruma mwenzake.Lakini kuna jambo alikumbuka,hakika alikumbuka!!<br />
++<br />
Walipokuwa darasani wakati mmoja,,walikuwa wasichana watatu ktk dawati..na walikuwa wanacheka tu darasani wakati mwalimu wao anafundisha.Vicheko vyao vilimkera mwalimu,mwl akauliza '..kwa nini wanacheka..?' hawakusema bali walicheka tu..Baada ya muda wenzake waliacha kucheka ila yeye tu aliendelea kucheka na Mwalimu alitamkia kwa sauti ya upole iliyobeba hasira &quot;..endelea kucheka tu,na kila ataekupenda akucheke maisha yako yote..&quot;<br />
++<br />
Binti huyu alipokumbushwa maneno hayo.Alilia.Na aliazimia kumtafuta mwl wake huyo.Alisafiri kila mahali na hatimae alimpata mwl huyo akiwa msaafu kijijini kwao.<br />
Mwl alikuwa ameshasahau Lakini alifuta maneno yake na kumwombea baraka.Miezi michache baadae 2002 alipata mchumba,,harusi ikapangwa na ndoa akafunga..Sasa ni mama wa watoto 3 huko Mwanza.<br />
++<br />
USHAURI<br />
Wale ambao wana nia ya dhati kuwa na ndoa na kila hatua ya kutimiza lengo lao wanakwama.Watazame kwa uangalifu HISTORIA YA MAISHA YAO..warekebishe.<br />
Naam yaliyopita yamepita ni msemo wa kujiliwaza tu.Yaliyopita hayajapita maana yanatuathiri hata leo.<br />
++<!-- google_ad_section_end --></div>

]]></content:encoded>
			<category domain="https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/">Mahusiano, mapenzi, urafiki</category>
			<dc:creator>Himidini</dc:creator>
			<guid isPermaLink="true">https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/455862-kuto-oa-au-kuto-olewa-kwa-mwenye-nia-ya-ndoa-je-ni-uchawi-au-nguvu-ya-matamshi.html</guid>
		</item>
		<item>
			<title>KAMA MZAZI: Mkuki kwa nguruwe</title>
			<link>https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/455834-kama-mzazi-mkuki-kwa-nguruwe-new-post.html</link>
			<pubDate>Thu, 23 May 2013 07:51:05 GMT</pubDate>
			<description>NILIWAHI kusoma hadithi moja kwenye magazeti iliyokuwa inamhusu mkuu 
mmoja wa kituo cha polisi aliyefaa kuitwa ‘Mtu Mzima Hovyo.’ 
 
Kwa mujibu wa hadithi hiyo, ‘afande’ huyo, licha ya umri wake mkubwa, 
alikuwa hashikiki kwa kupenda wasichana,...</description>
			<content:encoded><![CDATA[<div><!-- google_ad_section_start -->NILIWAHI kusoma hadithi moja kwenye magazeti iliyokuwa inamhusu mkuu<br />
mmoja wa kituo cha polisi aliyefaa kuitwa ‘Mtu Mzima Hovyo.’<br />
<br />
Kwa mujibu wa hadithi hiyo, ‘afande’ huyo, licha ya umri wake mkubwa,<br />
alikuwa hashikiki kwa kupenda wasichana, wengine wakiwa wadogo sana<br />
wanaofaa kuwa hata wajukuu zake! Afande huyo ‘mkware’ alikuwa akiwatokea<br />
hadi mabinti wadogo walio wachumba wa vijana wake wa kiume.<br />
<br />
Askari wa kike wote aliamini ni wake bila kusahau wanafunzi, wakiwemo wa<br />
sekondari. Alikuwa pia akiwasumbua, akitumia pesa zake ambazo wakati<br />
mwingine zilitokana na rushwa kuwalaghai ili kuwapata. Lakini afande<br />
huyo alikuwa na wivu sana kwa mkewe wa tatu ambaye alikuwa dogodogo,<br />
baada ya wakeze wa awali kushindwa kumvumilia.<br />
<br />
Kadhalika alikuwa akiwalinda sana mabinti zake wawili, mmoja akisoma<br />
shule ya msingi na mwingine sekondari dhidi ya wanaume walafi kama yeye.<br />
Afande huyo, kwa kutumia pesa zake alikuwa keshawatoa mimba mabinti<br />
kadhaa hadi mmoja kufa na yeye akatumia nafasi yake na pesa zake kuzima<br />
kesi hiyo. Haukupita muda, Mwenyezi Mungu akaanza kumgeuzia kibao.<br />
<br />
Binti yake yule wa sekondari aliyekuwa akimsomesha katika shule ya bei<br />
mbaya akakataa shule kwa kunogewa na mapenzi na kisha akapata ujauzito.<br />
Afande kabla hajatahamaki binti yake mdogo wa shule ya msingi akabakwa,<br />
tena jirani kabisa na kituo cha polisi ambacho yeye alikuwa bosi.<br />
<br />
Kwa mujibu wa hadithi hiyo, afande yule alihaha sana kumtafuta aliyempa<br />
mimba binti yake na yule aliyembaka mwanawe na alipowapata watuhumiwa<br />
hao, nusura awaue kwa kipigo ingawa iligundulika baadaye kwamba<br />
mtuhumiwa mmoja wapo, yule aliyehisiwa kumbaka mwanawe, hakuhusika kabisa.<br />
<br />
Wakati hayo yanafanyika, badala ya majirani kuguswa na yaliyompata<br />
mwenzao huyo, wengi, wakiwemo maaskari wenzake hususan wa kike aliyokuwa<br />
wakati mwingine akitumia nafasi yake kuwanyanyasa kijinsia, walikuwa<br />
wakishangilia na ndio waliosaidia kumkemea afande wao asiwaue watuhumiwa<br />
wake kwa kipigo.<br />
<br />
Adhabu dhidi ya afande huyo haikuishia hapo kwani alipata mshituko<br />
uliyompa kiharusi baada ya kushuhudia mkewe akifanya mapenzi na fundi<br />
aliyekuwa akimtengeneza gari lake, tena sebuleni kwake!<br />
<br />
Wengi miongoni mwetu tumekuwa tukitaka wadogo zetu, ndugu zetu ama<br />
wanetu, wawe watu safi katika jamii, wawe na tabia njema, wasiwe watu wa<br />
matusi, wasipate mimba, wasibakwe na mambo kama hayo lakini tuko tayari<br />
kuyafanya hayo ama kuyafumbia macho yanapokuwa yanawatokea watu wengine<br />
kwa vile eti hawatuhusu!<br />
<br />
Katika hadithi niliyowamegea, Afande nusura apagawe na kuua wakati<br />
mwanae alipobakwa, lakini yeye alikuwa akiwalaghai mabinti wadogo ambao<br />
akili zao bado hazijatambua sawa sawa jema na ovu kwa kuwapa vijisenti<br />
na kufanya nao ngono. Afande ‘wetu’ alipagawa kushuhudia mkewe akifanya<br />
mapenzi ‘na mtumishi wake’ wakati yeye aliona sawa tu kutembea na wake<br />
za wenziye.<br />
<br />
Yaani kwake ilikuwa ni hadithi ya ‘Mkuki kwa nguruwe kwa binadamu<br />
mchungu’. Ni vizuri tukakukumbuka kwamba usipende kuwafanyia wenzako<br />
mambo ambayo wewe mwenyewe usingependa ufanyiwe kama Afande wetu. Alamsiki.<br />
<br />
Source: Habari Leo (Nicodemus Ikonko)<!-- google_ad_section_end --></div>

]]></content:encoded>
			<category domain="https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/">Mahusiano, mapenzi, urafiki</category>
			<dc:creator>dist111</dc:creator>
			<guid isPermaLink="true">https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/455834-kama-mzazi-mkuki-kwa-nguruwe.html</guid>
		</item>
		<item>
			<title>Harusi za siku hizi vipi?</title>
			<link>https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/455804-harusi-za-siku-hizi-vipi-new-post.html</link>
			<pubDate>Thu, 23 May 2013 07:26:01 GMT</pubDate>
			<description>Yaani kuna haka kamtindo ka  kwenye send of  na  wedding wenye sherehe kurefusha muda pasipo sababu..zamani muda wa zawadi ulikuwa ni mmoja wa kuwatunza maharusi tu...siku hizi hii stlye ya kila mtu atunzwe,mara,dada mkubwa,mara wa kati,mara...</description>
			<content:encoded><![CDATA[<div><!-- google_ad_section_start -->Yaani kuna haka kamtindo ka  kwenye send of  na  wedding wenye sherehe kurefusha muda pasipo sababu..zamani muda wa zawadi ulikuwa ni mmoja wa kuwatunza maharusi tu...siku hizi hii stlye ya kila mtu atunzwe,mara,dada mkubwa,mara wa kati,mara shangazi,mara bibi inatoka wapi?si mkatunzane nyumbani?<!-- google_ad_section_end --></div>

]]></content:encoded>
			<category domain="https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/">Mahusiano, mapenzi, urafiki</category>
			<dc:creator>Chemwali</dc:creator>
			<guid isPermaLink="true">https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/455804-harusi-za-siku-hizi-vipi.html</guid>
		</item>
		<item>
			<title>yuko njia panda</title>
			<link>https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/455740-yuko-njia-panda-new-post.html</link>
			<pubDate>Thu, 23 May 2013 06:09:44 GMT</pubDate>
			<description>Wapendwa za asubuhi, 
Kuna mama mmoja ni rafiki yangu kaniomba mchango wangu,ana Binti yake.  Tumpe jina (Isha)ambaye ni mwalimu wa sekondari huko mkoani  katika pitapita zake wakatokea kupendana na mwalimu mwenzake FRED lakini wa shule tofauti,ila...</description>
			<content:encoded><![CDATA[<div><!-- google_ad_section_start -->Wapendwa za asubuhi,<br />
Kuna mama mmoja ni rafiki yangu kaniomba mchango wangu,ana Binti yake.  Tumpe jina (Isha)ambaye ni mwalimu wa sekondari huko mkoani  katika pitapita zake wakatokea kupendana na mwalimu mwenzake FRED lakini wa shule tofauti,ila yule mwenzie Fred ni mdogo kuliko Isha miaka mitatu nyuma ,isha amekua akimfuatilia Fred kwa kariBu ni mkarimu na anamjali ana roho nzuri,ila wakienda sehemu Fred lazima abaki nyuma lakini nyumBani ni mtu mzuri,akakutana na baba mmoja akamwambia mi nimekufatilieni sana na huyo mwenzako ila niamini ctaki kukuchezea nilishazunguka na ulimwengu hamna ambacho nisichokijua ntakupenda ntakujengea nyumba kwa sabaBu huyo baba ana watoto wake na Isha amekiri kweli anadeka kama mtoto kwa huyo Baba ,ila kinachomuuma Ni kuachana na fred ambaye isha anadai ni mkarimu na ana roho nzuri,afanye nini naombe  utoe mchango wako<!-- google_ad_section_end --></div>

]]></content:encoded>
			<category domain="https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/">Mahusiano, mapenzi, urafiki</category>
			<dc:creator>Eversmilin Gal</dc:creator>
			<guid isPermaLink="true">https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/455740-yuko-njia-panda.html</guid>
		</item>
		<item>
			<title>mke wangu hata kama ana miaka 100 nami nina miaka 80 lazima anipikie siwezi kujipilisha</title>
			<link>https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/455734-mke-wangu-hata-kama-ana-miaka-100-nami-nina-miaka-80-lazima-anipikie-siwezi-kujipilisha-new-post.html</link>
			<pubDate>Thu, 23 May 2013 06:00:05 GMT</pubDate>
			<description>Kweli duniani kuna mambo.Na mwanamke anashida hadi mwisho wa dunia. Nasema hivi kwa sababu, kuna mzee mmoja miaka kama 70 nilimshangaa nilipomsikia akisema kuwa, kwake hata kama mkewe ana miaka 100 lazima ampikie yeye hawezi kujipikilisha na mke...</description>
			<content:encoded><![CDATA[<div><!-- google_ad_section_start -->Kweli duniani kuna mambo.Na mwanamke anashida hadi mwisho wa dunia. Nasema hivi kwa sababu, kuna mzee mmoja miaka kama 70 nilimshangaa nilipomsikia akisema kuwa, kwake hata kama mkewe ana miaka 100 lazima ampikie yeye hawezi kujipikilisha na mke yupo, hayo ndiyo majukumu aliokabidhiwa na Mungu.Tena akapigilia msumari kuwa mtoto wake wa kike  akipata mimba nyumbani kwake kabla ya kuolewa hiyo ni digrii yake, kamwe hawezi kumhangaikia.Jamani huu mfumo dume kweli utaisha katika uso wa dunia hii?.Waataalam wa masuala ya uzee katika hili mnasemaje, bibi kizee wa miaka  miaka 80 na babu wa  miaka hiyo ni nani bado anaonekana mwenye nguvu? nini kifanyike kumwokoa mwanamke mzee?<!-- google_ad_section_end --></div>

]]></content:encoded>
			<category domain="https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/">Mahusiano, mapenzi, urafiki</category>
			<dc:creator>makwetu</dc:creator>
			<guid isPermaLink="true">https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/455734-mke-wangu-hata-kama-ana-miaka-100-nami-nina-miaka-80-lazima-anipikie-siwezi-kujipilisha.html</guid>
		</item>
		<item>
			<title>Faida za mabinti wa “kisasa” kupiga mizinga mikubwa mikubwa!</title>
			<link>https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/455647-faida-za-mabinti-wa-%93kisasa%94-kupiga-mizinga-mikubwa-mikubwa-new-post.html</link>
			<pubDate>Thu, 23 May 2013 01:18:43 GMT</pubDate>
			<description>Vijana wengi tumekuwa tukilalamika kwamba mabinti wa siku hizi wana mizinga ya reja reja ten mikubwa. 
Ila hili jambo ukiliangalizia katika “big screen” ni jambo ambalo linakufanya utafute hela if you really want to be with a girl of your dreams...</description>
			<content:encoded><![CDATA[<div><!-- google_ad_section_start --><span style="font-family: Tahoma"><font color="#000000">Vijana wengi tumekuwa tukilalamika kwamba mabinti wa siku hizi wana mizinga ya reja reja ten mikubwa.</font></span><br />
<span style="font-family: Tahoma"><font color="#000000">Ila hili jambo ukiliangalizia katika “big screen” ni jambo ambalo linakufanya utafute hela if you really want to be with a girl of your dreams though sio lazima a girl of your dreams awe mpiga mizinga!!!!! Jambo hili zuri nahisi vijana wengi hatujaligundua na badala yake tunalichukulia in a negative way na kubakia tunawalalamikia hawa mabinti, ila kumbe katika hali halisi wanatusaidia.  Maana katika hali ya kawaida lets say kama umeajiriwa somewhere, mshahara peke yake hautoshi kumkeep huyo binti  unayemuita wa kisasa au wa mizinga! Sasa kulingana na mahitaji yake kuwa makubwa lazima utatafuta njia nyingine za kupata hela tuseme labda utawekeza mahali. Lengo likiwa kuhimili mizinga ya huyo binti na kuendelea kumuweka karibu, ila mwisho wa siku unajikuta katika kuwekeza kwako una make faida zaidi ya hizo demands na kwa maana hiyo unakuwa na salio ambalo unaweza kujifanyia maendeleo yako mengine. Ila kama huyo binti asingekuwa na hizo demands kubwa ungeridhika na mshahara wako, maana utakuwa unawatosha na mwisho wa siku hata kuwekeza mahali huwezi fikiria , na maendeleo yako bila shaka yatakuwa si sawa na yule anayemmiliki binti wa kisasa!!!!!!!!!! Nahitimisha kwa kuwatia moyo mabinti wa kisasa waendelee na moyo wao huo huo wa kupiga mizinga tena mikubwa ili tutoke hapa tulipo kama Taifa!</font></span><br />
<div style="text-align: center;"><div style="text-align: center;"><span style="font-family: Tahoma"><font color="#000000">~~~Nawasilisha~~~</font></span></div></div><!-- google_ad_section_end --></div>

]]></content:encoded>
			<category domain="https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/">Mahusiano, mapenzi, urafiki</category>
			<dc:creator>chopeko</dc:creator>
			<guid isPermaLink="true">https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/455647-faida-za-mabinti-wa-%93kisasa%94-kupiga-mizinga-mikubwa-mikubwa.html</guid>
		</item>
		<item>
			<title>Nitakuoa</title>
			<link>https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/455632-nitakuoa-new-post.html</link>
			<pubDate>Wed, 22 May 2013 22:37:20 GMT</pubDate>
			<description><![CDATA["i will marry you" 
this is the bigest and common lie spoken by many men/boys to cheat women/girls. 
 
"nitakuoa" 
ni uongo unaozunguzwa sana na wanaume kuwahadaa wanawake. 
WATCHOUT.]]></description>
			<content:encoded><![CDATA[<div><!-- google_ad_section_start -->&quot;i will marry you&quot;<br />
this is the bigest and common lie spoken by many men/boys to cheat women/girls.<br />
<br />
&quot;nitakuoa&quot;<br />
ni uongo unaozunguzwa sana na wanaume kuwahadaa wanawake.<br />
WATCHOUT.<!-- google_ad_section_end --></div>

]]></content:encoded>
			<category domain="https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/">Mahusiano, mapenzi, urafiki</category>
			<dc:creator>Mshinga</dc:creator>
			<guid isPermaLink="true">https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/455632-nitakuoa.html</guid>
		</item>
		<item>
			<title>Natafuta mwenzi wa kuishi nae</title>
			<link>https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/455621-natafuta-mwenzi-wa-kuishi-nae-new-post.html</link>
			<pubDate>Wed, 22 May 2013 21:36:55 GMT</pubDate>
			<description>Mimi ni kijana,umri wangu miaka 26,nina kipato cha kawaida kwa kazi ya kujiajiri,dini yangu mkristo,nahtaj mweza wa maisha,awe mrefu wa wastan,mnene kiasi,sibagui dini,rangi wala kabila ila anatakiwa awe mwajiriwa ama amejiajiri,kwa aliye serious...</description>
			<content:encoded><![CDATA[<div><!-- google_ad_section_start -->Mimi ni kijana,umri wangu miaka 26,nina kipato cha kawaida kwa kazi ya kujiajiri,dini yangu mkristo,nahtaj mweza wa maisha,awe mrefu wa wastan,mnene kiasi,sibagui dini,rangi wala kabila ila anatakiwa awe mwajiriwa ama amejiajiri,kwa aliye serious ani pm nitampatia namba ya simu.narudia tena niko serious.<!-- google_ad_section_end --></div>

]]></content:encoded>
			<category domain="https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/">Mahusiano, mapenzi, urafiki</category>
			<dc:creator>ilisha juniour</dc:creator>
			<guid isPermaLink="true">https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/455621-natafuta-mwenzi-wa-kuishi-nae.html</guid>
		</item>
		<item>
			<title>Mapenzi ya vituko</title>
			<link>https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/455571-mapenzi-ya-vituko-new-post.html</link>
			<pubDate>Wed, 22 May 2013 19:22:12 GMT</pubDate>
			<description>Hivi jamani wanaume wengine bado wana mapenzi ya kizamani ya kuwafanyia vituko mademu na wao kujiona vidume,kama demu humtaki kwa nini usimwambie ukweli,sawa ataumia lakini yatapita atasahau kuliko vituko unavyomfanyia,unaanzisha mahusiano na demu...</description>
			<content:encoded><![CDATA[<div><!-- google_ad_section_start -->Hivi jamani wanaume wengine bado wana mapenzi ya kizamani ya kuwafanyia vituko mademu na wao kujiona vidume,kama demu humtaki kwa nini usimwambie ukweli,sawa ataumia lakini yatapita atasahau kuliko vituko unavyomfanyia,unaanzisha mahusiano na demu mwingine halafu unadai ni rafiki tu wakati meseji mnazotumiana ni za mapenzi,mara kwenye facebook unaweka picha yake kwenye profile yako. Nini sasa hicho! Wanaume tuhamie digitali tuachane na mambo ya kizamani,mapenzi yawe ya kumaanisha.<!-- google_ad_section_end --></div>

]]></content:encoded>
			<category domain="https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/">Mahusiano, mapenzi, urafiki</category>
			<dc:creator>Lady Bird</dc:creator>
			<guid isPermaLink="true">https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/455571-mapenzi-ya-vituko.html</guid>
		</item>
		<item>
			<title>Msaada juu ya vipodozi</title>
			<link>https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/455491-msaada-juu-ya-vipodozi-new-post.html</link>
			<pubDate>Wed, 22 May 2013 16:44:38 GMT</pubDate>
			<description>Mchumba(msichana) wangu ni mweupe japo si sana. Amekua akitumia lotion ya blue lady lakn sasa nataka nimbadilishie lotion au mafuta. Kwa yeyote anayejua mafuta au lotion nzuri kwa specification za mchumba wangu naomba anisaidie. Kuna mdau...</description>
			<content:encoded><![CDATA[<div><!-- google_ad_section_start -->Mchumba(msichana) wangu ni mweupe japo si sana. Amekua akitumia lotion ya blue lady lakn sasa nataka nimbadilishie lotion au mafuta. Kwa yeyote anayejua mafuta au lotion nzuri kwa specification za mchumba wangu naomba anisaidie. Kuna mdau alinishauri kuhusu cream ya body white kwa yeyote anayeijua naomba ufafanuzi wake je haibadilishi ngozi?<!-- google_ad_section_end --></div>

]]></content:encoded>
			<category domain="https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/">Mahusiano, mapenzi, urafiki</category>
			<dc:creator>bishankara</dc:creator>
			<guid isPermaLink="true">https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/455491-msaada-juu-ya-vipodozi.html</guid>
		</item>
		<item>
			<title>Waafrika washushwa kwenye ndege kisa wananuka!!!</title>
			<link>https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/455419-waafrika-washushwa-kwenye-ndege-kisa-wananuka-new-post.html</link>
			<pubDate>Wed, 22 May 2013 14:26:12 GMT</pubDate>
			<description>*ATLANTA — **A local woman is upset that a refugee family from Africa was kicked off a flight to Atlanta because of the way they smelled.* 
 
Rochelle Jones was happy to see the refugee family heading to their new home last week. She took several...</description>
			<content:encoded><![CDATA[<div><!-- google_ad_section_start --><font color="#444444"><span style="font-family: Arial"><b>ATLANTA — </b></span></font><font color="#444444"><span style="font-family: Arial"><font color="#444444"><span style="font-family: Arial"><font color="#ff0000"><b>A local woman is upset that a refugee family from Africa was kicked off a flight to Atlanta because of the way they smelled.</b></font><br />
<br />
Rochelle Jones was happy to see the refugee family heading to their new home last week. She took several photos of them boarding their connecting flight at LaGuardia International Airport.<br />
<font color="#444444"><span style="font-family: Arial"><br />
“I love this pic, family sticking together. Welcome to the USA,” Jones said.<br />
</span></font><b><font color="#ff0000"><span style="font-family: Arial">Once on board, passengers on American Eagle Flight 4657 sat for more than an hour before the family was escorted off the place because they smelled too badly.</span></font></b><br />
<br />
<font color="#444444"><span style="font-family: Arial">“After complaints from other customers aboard the aircraft… We make these decisions with the comfort of our customers and crew members in mind, and always with careful consideration,” airline spokesman Matt Miller told Channel 2’s Tony Thomas via email.<br />
<br />
</span></font><font color="#ff0000"><b><span style="font-family: Arial">“It broke my heart to see those kids walk off with their little bags and to see this whole family walking off,” Jones said.<br />
<br />
</span></b></font><font color="#444444"><span style="font-family: Arial">A representative for the resettlement group World Relief told Thomas the family is from the Central African Republic and they came seeking asylum. World Relief said it does not know why the family was kicked off the flight.<br />
<br />
</span></font><font color="#444444"><span style="font-family: Arial">Jones said she wishes she had said more at the time to defend the family.</span></font><br />
<br />
<font color="#444444"><span style="font-family: Arial">“Two hours is nothing compared to what a refugee has been through,” Jones said.<br />
<br />
</span></font><font color="#444444"><span style="font-family: Arial">The family was booked on another flight for the following day and is now in metro Atlanta trying to adjust to their new life.<br />
<br />
<b><a href="http://www.wsbtv.com/news/news/local/atlanta-bound-reugees-removed-plane-over-smell/nXx2k/" target="_blank">Source<br />
<br />
</a></b></span></font><br />
<font color="#ff0000"><b><br />
</b></font></span></font><br />
</span></font><!-- google_ad_section_end --></div>

]]></content:encoded>
			<category domain="https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/">Mahusiano, mapenzi, urafiki</category>
			<dc:creator>Nyani Ngabu</dc:creator>
			<guid isPermaLink="true">https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/455419-waafrika-washushwa-kwenye-ndege-kisa-wananuka.html</guid>
		</item>
		<item>
			<title>Eb nifumbuen macho</title>
			<link>https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/455407-eb-nifumbuen-macho-new-post.html</link>
			<pubDate>Wed, 22 May 2013 14:14:04 GMT</pubDate>
			<description>Mim ni mwanaume nina miaka 28,nimeoa kabla ha2jaoana mke wangu alikuwa na tabia ya kila nikimhitaji anasema hajisikii,nikadhan kuwa anahofu nitamchezea na kumuacha lakin cha kushangaza hata 2lipoingia kwny ndoa tatizo ndo linaongezeka ukiuliza...</description>
			<content:encoded><![CDATA[<div><!-- google_ad_section_start -->Mim ni mwanaume nina miaka 28,nimeoa kabla ha2jaoana mke wangu alikuwa na tabia ya kila nikimhitaji anasema hajisikii,nikadhan kuwa anahofu nitamchezea na kumuacha lakin cha kushangaza hata 2lipoingia kwny ndoa tatizo ndo linaongezeka ukiuliza naambiwa hajisikii kudo,sasa nauliza huo ndo upungufu wa nguvu za kike au nin? Naomba ufafanuz na majibu yenu<!-- google_ad_section_end --></div>

]]></content:encoded>
			<category domain="https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/">Mahusiano, mapenzi, urafiki</category>
			<dc:creator>Ilambo</dc:creator>
			<guid isPermaLink="true">https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/455407-eb-nifumbuen-macho.html</guid>
		</item>
		<item>
			<title>wanawake/wadada lazima mujitambue</title>
			<link>https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/455374-wanawake-wadada-lazima-mujitambue-new-post.html</link>
			<pubDate>Wed, 22 May 2013 13:33:54 GMT</pubDate>
			<description>Wanawake lazima mujitambue unatembea na mutu yenye hela halafu haikupi hela.Unatembea na muheshimiwa hata China hujafika. 
Lazima ujekuliza una matatizo gani? 
Mutaishia kulalamika kuwa mnabakwa na waheshimiwa wakati huna hadhi ya kupewa hela. 
Wewe...</description>
			<content:encoded><![CDATA[<div><!-- google_ad_section_start --><span style="font-family: comic sans ms"><font size="3">Wanawake lazima mujitambue unatembea na mutu yenye hela halafu haikupi hela.Unatembea na muheshimiwa hata China hujafika.<br />
Lazima ujekuliza una matatizo gani?<br />
Mutaishia kulalamika kuwa mnabakwa na waheshimiwa wakati huna hadhi ya kupewa hela.<br />
Wewe utapewa biriani tu la Ijumaa  na Chips zenye pilipili .<br />
Bora utulie na wasiokuwa na hela wenzako uitwe muke ya mtu.<br />
Mimi nimechukia sana munataka hela unavaa nguo za mutumba mwanaume atakupa elufu 40 au 60.<br />
You are not class at all.<br />
Why he should bother to spend his money on you?<br />
Mutafununuliwa kila siku ila hamutopewa hela.<br />
Lazima mujikubali mulivyo.<br />
Mnakuja kwa Deo Bendi kuwinda wanaume zetu mie wangu keshasema hachukui nyie.<br />
<br />
</font></span><!-- google_ad_section_end --></div>

]]></content:encoded>
			<category domain="https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/">Mahusiano, mapenzi, urafiki</category>
			<dc:creator>Zahra White</dc:creator>
			<guid isPermaLink="true">https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/455374-wanawake-wadada-lazima-mujitambue.html</guid>
		</item>
	</channel>
</rss>
