<?xml version="1.0" encoding="ISO-8859-1"?>

<rss version="2.0" xmlns:dc="http://purl.org/dc/elements/1.1/" xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/">
	<channel>
		<title>JamiiForums | The Home of Great Thinkers - Habari na Hoja mchanganyiko</title>
		<link>https://www.jamiiforums.com/</link>
		<description>Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Usisite, liweke hapa uwahabarishe wenzako.</description>
		<language>en</language>
		<lastBuildDate>Tue, 21 May 2013 19:38:44 GMT</lastBuildDate>
		<generator>vBulletin</generator>
		<ttl>60</ttl>
		<image>
			<url>https://www.jamiiforums.com/template/JamiV1/default/misc/rss.png</url>
			<title>JamiiForums | The Home of Great Thinkers - Habari na Hoja mchanganyiko</title>
			<link>https://www.jamiiforums.com/</link>
		</image>
		<item>
			<title>Chuo Kikuu Cha Jordan Morogoro chageuka kituo cha kulelea wajawazito.</title>
			<link>https://www.jamiiforums.com/habari-na-hoja-mchanganyiko/454959-chuo-kikuu-cha-jordan-morogoro-chageuka-kituo-cha-kulelea-wajawazito-new-post.html</link>
			<pubDate>Tue, 21 May 2013 19:28:02 GMT</pubDate>
			<description>Salaam wana JF, 
Ninasikitishwa na hali ilivyo katika Chuo Kikuu Cha Jordan Morogoro.Ifahamike kuwa chuo hiki ni tawi la chuo kikuu cha Mt. Agustino Tanzania(SAUT)na kimeanzishwa mwaka 2010 kwa kozi ya Sanaa na Elimu(BAED)Awali, kilijulikana kama...</description>
			<content:encoded><![CDATA[<div><!-- google_ad_section_start -->Salaam wana JF,<br />
Ninasikitishwa na hali ilivyo katika Chuo Kikuu Cha Jordan Morogoro.Ifahamike kuwa chuo hiki ni tawi la chuo kikuu cha Mt. Agustino Tanzania(SAUT)na kimeanzishwa mwaka 2010 kwa kozi ya Sanaa na Elimu(BAED)Awali, kilijulikana kama Salvatorian Institute of Philosophy and Theology.Idadi kubwa ya wanafunzi wa kike hususan wale wa mwaka wa pili na wa tatu wanaosoma kitivo cha Elimu wana mimba ambazo inasadikika kuwa wamezipata wakiwa hapo hapo Chuoni.Wakati huo huo kuna idadi kubwa ya wanafunzi ambao tayari wamekwisha jifungua na kulazimika kuhama hostel na kupanga mitaani wakilea watoto wao wakati huo huo wakiendelea na masomo.<br />
Kutokana na hali hiyo,chuo hicho kwa sasa kimegeuka kituo cha kulelea wajawazito badala ya kuwa taasisi ya Elimu ya Juu.<!-- google_ad_section_end --></div>

]]></content:encoded>
			<category domain="https://www.jamiiforums.com/habari-na-hoja-mchanganyiko/">Habari na Hoja mchanganyiko</category>
			<dc:creator>MALLISA</dc:creator>
			<guid isPermaLink="true">https://www.jamiiforums.com/habari-na-hoja-mchanganyiko/454959-chuo-kikuu-cha-jordan-morogoro-chageuka-kituo-cha-kulelea-wajawazito.html</guid>
		</item>
		<item>
			<title>News Alert: Michael Mwita Ajitolea kutoa Hamasa kwa Wananchi Kushiriki ktk kuleta maendeleo</title>
			<link>https://www.jamiiforums.com/habari-na-hoja-mchanganyiko/454952-michael-mwita-ajitolea-kutoa-hamasa-kwa-wananchi-kushiriki-ktk-kuleta-maendeleo-new-post.html</link>
			<pubDate>Tue, 21 May 2013 19:04:54 GMT</pubDate>
			<description>Katka hali isiyokuwa ya kawaida Ndugu Michael Mwita ameamua kujitolea kutembelea vijiji mbalimbali ktk Wilaya ya Tarime akifanya mikutano ya hadhara na kuhamasisha wananchi kushiriki ktk shughuri za kimaendeleo ili kujiletea maendendelo yao. Akiwa...</description>
			<content:encoded><![CDATA[<div><!-- google_ad_section_start -->Katka hali isiyokuwa ya kawaida Ndugu Michael Mwita ameamua kujitolea kutembelea vijiji mbalimbali ktk Wilaya ya Tarime akifanya mikutano ya hadhara na kuhamasisha wananchi kushiriki ktk shughuri za kimaendeleo ili kujiletea maendendelo yao. Akiwa na kauli mbiu isemayo &quot;Maendeleo yetu yataletwa na sisi wenyewe&quot; amefanya mikutano ktk vijiji kadhaa ktk wilaya hiyo huko akichangia miradhi mbalimbali ikiwemo ujenzi wa Zahanati, nyumba za waalimu, Ununuzi wa madawadi, ujenzi wa Barabara na kadhalika.<br />
<br />
   Ndugu Michael ni Mkurugenzi Mtendaji wa Memorial Foundation Centre ambaye pia ni mzaliwa wa Tarime katika kijiji cha Tagota. &quot; Naamini tukiungana na kufanya kazi kwa bidii tutaebuka utegemezi katika Taifa letu&quot; namnukuu.<br />
<br />
Wadau<br />
 Je mnamuunga Mkono?<!-- google_ad_section_end --></div>

]]></content:encoded>
			<category domain="https://www.jamiiforums.com/habari-na-hoja-mchanganyiko/">Habari na Hoja mchanganyiko</category>
			<dc:creator>kembaki 2</dc:creator>
			<guid isPermaLink="true">https://www.jamiiforums.com/habari-na-hoja-mchanganyiko/454952-michael-mwita-ajitolea-kutoa-hamasa-kwa-wananchi-kushiriki-ktk-kuleta-maendeleo.html</guid>
		</item>
		<item>
			<title>Cardless ya crdb bank imenilaza njaa</title>
			<link>https://www.jamiiforums.com/habari-na-hoja-mchanganyiko/454932-cardless-ya-crdb-bank-imenilaza-njaa-new-post.html</link>
			<pubDate>Tue, 21 May 2013 18:19:19 GMT</pubDate>
			<description>Jamani, nimempiga mzinga jamaa aka-process kunitumia pesa kwa cardless, toka asubuhi hadi ucku huu jamaa hajapata response ya kuwa transaction imekamilika hata mimi sijapata NAMBA ingawa balance yake imepungua tayari. Tumepiga hizi namba 0714197700...</description>
			<content:encoded><![CDATA[<div><!-- google_ad_section_start -->Jamani, nimempiga mzinga jamaa aka-process kunitumia pesa kwa cardless, toka asubuhi hadi ucku huu jamaa hajapata response ya kuwa transaction imekamilika hata mimi sijapata NAMBA ingawa balance yake imepungua tayari. Tumepiga hizi namba 0714197700 na 0754557788 zinaita bila kupokelewa. Kwa wenye taarifa zaidi jamani tufanyeje?<!-- google_ad_section_end --></div>

]]></content:encoded>
			<category domain="https://www.jamiiforums.com/habari-na-hoja-mchanganyiko/">Habari na Hoja mchanganyiko</category>
			<dc:creator>isotope</dc:creator>
			<guid isPermaLink="true">https://www.jamiiforums.com/habari-na-hoja-mchanganyiko/454932-cardless-ya-crdb-bank-imenilaza-njaa.html</guid>
		</item>
		<item>
			<title>Kibanda ameponywa na ZABURI 35:10</title>
			<link>https://www.jamiiforums.com/habari-na-hoja-mchanganyiko/454920-kibanda-ameponywa-na-zaburi-35-10-a-new-post.html</link>
			<pubDate>Tue, 21 May 2013 17:54:17 GMT</pubDate>
			<description><![CDATA[Tunamshukuru Mungu kwa kumponya ndugu yetu Kibanda kutokana na mateso makali toka kwa watesi wake waliomteka na kusababisha ang'olewe jicho. Yote kwa yote, mstari wa 10 kwenye kitabu kitakatifu cha Zaburi sura ya 35, unatupa picha kamili ya uponyaji...]]></description>
			<content:encoded><![CDATA[<div><!-- google_ad_section_start -->Tunamshukuru Mungu kwa kumponya ndugu yetu Kibanda kutokana na mateso makali toka kwa watesi wake waliomteka na kusababisha ang'olewe jicho. Yote kwa yote, mstari wa 10 kwenye kitabu kitakatifu cha Zaburi sura ya 35, unatupa picha kamili ya uponyaji wake!<!-- google_ad_section_end --></div>

]]></content:encoded>
			<category domain="https://www.jamiiforums.com/habari-na-hoja-mchanganyiko/">Habari na Hoja mchanganyiko</category>
			<dc:creator>President Elect</dc:creator>
			<guid isPermaLink="true">https://www.jamiiforums.com/habari-na-hoja-mchanganyiko/454920-kibanda-ameponywa-na-zaburi-35-10-a.html</guid>
		</item>
		<item>
			<title>Eti ukisoma kiswahili unategemea utaajiriwa wapi! hii kauli ni kichefuchefu</title>
			<link>https://www.jamiiforums.com/habari-na-hoja-mchanganyiko/454878-eti-ukisoma-kiswahili-unategemea-utaajiriwa-wapi-hii-kauli-ni-kichefuchefu-new-post.html</link>
			<pubDate>Tue, 21 May 2013 16:41:02 GMT</pubDate>
			<description>Kuna wakati ukiifikiria hii serikali unaichukia na ccm kabisa. Tanzania nchi inayotambulika kwa kutumia lugha hii adhimu ya Kiswahili kwa mawasiliano na ndiyo inayotutambulisha Duniani kote, halafu nisome kiswahili mpaka level ya shahada ya kwanza...</description>
			<content:encoded><![CDATA[<div><!-- google_ad_section_start -->Kuna wakati ukiifikiria hii serikali unaichukia na ccm kabisa. Tanzania nchi inayotambulika kwa kutumia lugha hii adhimu ya Kiswahili kwa mawasiliano na ndiyo inayotutambulisha Duniani kote, halafu nisome kiswahili mpaka level ya shahada ya kwanza au hata stashahada halafu nikose ajira! serikali yetu bure kabisa. tutajasikia wanaofundisha kiswahili Korea,Japani na nchi nyingine ni Waingireza au Wajerumani. Yani serikali imeshindwa kabisa kuwa bunifu kutengeneza ajira inabaki kupumbaza wasomi na pambio la ujasiriamali,ccm serikali bure kabisa unless........<!-- google_ad_section_end --></div>

]]></content:encoded>
			<category domain="https://www.jamiiforums.com/habari-na-hoja-mchanganyiko/">Habari na Hoja mchanganyiko</category>
			<dc:creator>Kizotaka</dc:creator>
			<guid isPermaLink="true">https://www.jamiiforums.com/habari-na-hoja-mchanganyiko/454878-eti-ukisoma-kiswahili-unategemea-utaajiriwa-wapi-hii-kauli-ni-kichefuchefu.html</guid>
		</item>
		<item>
			<title>News Alert: Tbc inakiuka maadili kwa kutukatia matangazo Mtwara ili tusione wala kusikiliza bunge</title>
			<link>https://www.jamiiforums.com/habari-na-hoja-mchanganyiko/454872-tbc-inakiuka-maadili-kwa-kutukatia-matangazo-mtwara-ili-tusione-wala-kusikiliza-bunge-new-post.html</link>
			<pubDate>Tue, 21 May 2013 16:32:28 GMT</pubDate>
			<description>Televisheni ya taifa TBC kwa masikitiko makubwa wameamua kuzima/kukata matangazo kwa mikoa ya kusini Mtwara na Lindi. TBC kwa makusudi wameamua kukiuka maadili ya majukumu yao ya kutoa habari kwa watanzania, kwa lengo la kuwanyima haki ya msingi ...</description>
			<content:encoded><![CDATA[<div><!-- google_ad_section_start -->Televisheni ya taifa TBC kwa masikitiko makubwa wameamua kuzima/kukata matangazo kwa mikoa ya kusini Mtwara na Lindi. TBC kwa makusudi wameamua kukiuka maadili ya majukumu yao ya kutoa habari kwa watanzania, kwa lengo la kuwanyima haki ya msingi  wanakusini wasipate habari ususani kesho tarehe 22.05.2013, ambapo wananchi wa Mtwara wameamua kusimamisha huduma zote za kijamii mfn daladala, bodaboda, bajaji, aduka, masoko,migahawa nk kwa lengo la kuelekeza macho na masikio yao bungeni Dodoma kusikiliza msimamo wa wizara ya nishati na madini kama bado mradi wa ujenzi wa bomba la gas upo palepaleau umeahirishwa. ALIYOYASEMA SUGU JANA KUWA HAWA JAMAA WANA UCCM YANAJIDHIHIRISHA LEO MTWARA KWEUPEE<!-- google_ad_section_end --></div>

]]></content:encoded>
			<category domain="https://www.jamiiforums.com/habari-na-hoja-mchanganyiko/">Habari na Hoja mchanganyiko</category>
			<dc:creator>UTENDE</dc:creator>
			<guid isPermaLink="true">https://www.jamiiforums.com/habari-na-hoja-mchanganyiko/454872-tbc-inakiuka-maadili-kwa-kutukatia-matangazo-mtwara-ili-tusione-wala-kusikiliza-bunge.html</guid>
		</item>
		<item>
			<title>Ushauri kwa halmashauri zetu!</title>
			<link>https://www.jamiiforums.com/habari-na-hoja-mchanganyiko/454870-ushauri-kwa-halmashauri-zetu-new-post.html</link>
			<pubDate>Tue, 21 May 2013 16:28:54 GMT</pubDate>
			<description>Hiki kiza cha mitaa yetu wakati wa usiku kimepitwa na wakati, miji yetu inatisha sana usiku kwa kiza. Siku zote mmekuwa mkilalamikia gharama na kwamba umeme haupatikani, sasa hizi si sababu za msingi tena. Sasa kuna taa za solar kwa ajili ya...</description>
			<content:encoded><![CDATA[<div><!-- google_ad_section_start -->Hiki kiza cha mitaa yetu wakati wa usiku kimepitwa na wakati, miji yetu inatisha sana usiku kwa kiza. Siku zote mmekuwa mkilalamikia gharama na kwamba umeme haupatikani, sasa hizi si sababu za msingi tena. Sasa kuna taa za solar kwa ajili ya barabara, zinazoweza kufanya miji yetu kuwa  hai wakati wa usiku na kuongeza usalama. Msitafute kisingizio tena, taa hizi hazihitaji maintanence wala kulipia luku. Ukishanunua na kufunga basi, tena kuna makampuni ya uwakala tayari kama SOlatek hamuhitaji kuzifuata Chini wala Dubai.<br />
Tumechoka kuishi gizani changamkeni wekeni taa za solar ili mitaa yetu ipate nuru!<br />
Nawakilisha!.<!-- google_ad_section_end --></div>

]]></content:encoded>
			<category domain="https://www.jamiiforums.com/habari-na-hoja-mchanganyiko/">Habari na Hoja mchanganyiko</category>
			<dc:creator>Shedafa</dc:creator>
			<guid isPermaLink="true">https://www.jamiiforums.com/habari-na-hoja-mchanganyiko/454870-ushauri-kwa-halmashauri-zetu.html</guid>
		</item>
		<item>
			<title>wale mapolisi wauza bangi,mmoja wao ni yule dereva wa karandinga aliemgonga mwenda kwa miguu Arusha.</title>
			<link>https://www.jamiiforums.com/habari-na-hoja-mchanganyiko/454868-wale-mapolisi-wauza-bangi-mmoja-wao-ni-yule-dereva-wa-karandinga-aliemgonga-mwenda-kwa-miguu-arusha-new-post.html</link>
			<pubDate>Tue, 21 May 2013 16:26:16 GMT</pubDate>
			<description>huyo jamaa analawama nyingi sana za madereva na waenda kwa miguu kwani alikua akiliendesha hilo karandinga kwa mwendo mkali na bila kujali usalama wa watu aliowabeba wala magari au watu wengine. 
leo hii kila anaesikia kua yule jamaa ni mmoja wa...</description>
			<content:encoded><![CDATA[<div><!-- google_ad_section_start -->huyo jamaa analawama nyingi sana za madereva na waenda kwa miguu kwani alikua akiliendesha hilo karandinga kwa mwendo mkali na bila kujali usalama wa watu aliowabeba wala magari au watu wengine.<br />
leo hii kila anaesikia kua yule jamaa ni mmoja wa wale mapolisi wauza bangi wanasema afadhali kwani alikua anahatarisha usalama wa watu wengi.<br />
leo hii anaenda kunyea debe .kweli jela haina mwenyewe.<!-- google_ad_section_end --></div>

]]></content:encoded>
			<category domain="https://www.jamiiforums.com/habari-na-hoja-mchanganyiko/">Habari na Hoja mchanganyiko</category>
			<dc:creator>Mtoto wa tembo</dc:creator>
			<guid isPermaLink="true">https://www.jamiiforums.com/habari-na-hoja-mchanganyiko/454868-wale-mapolisi-wauza-bangi-mmoja-wao-ni-yule-dereva-wa-karandinga-aliemgonga-mwenda-kwa-miguu-arusha.html</guid>
		</item>
		<item>
			<title>News Alert: Mjadala wa waTanzania UK Kufanyika University of Reading</title>
			<link>https://www.jamiiforums.com/habari-na-hoja-mchanganyiko/454853-mjadala-wa-watanzania-uk-kufanyika-university-of-reading-new-post.html</link>
			<pubDate>Tue, 21 May 2013 16:18:44 GMT</pubDate>
			<description><![CDATA[Salaams wapendwa wanaJF, this is definitely worth your attention and please do not feel obliged to comment if it ain't for you. 
 
Siku ya Jumamosi tarehe 01/06/2013, waTanzania waishio UK watakutana kwa ajili ya mjadala mkubwa utakaohusu maswala...]]></description>
			<content:encoded><![CDATA[<div><!-- google_ad_section_start -->Salaams wapendwa wanaJF, this is definitely worth your attention and please do not feel obliged to comment if it ain't for you.<br />
<br />
Siku ya Jumamosi tarehe 01/06/2013, waTanzania waishio UK watakutana kwa ajili ya mjadala mkubwa utakaohusu maswala yafuatayo: Elimu; Katiba;Muungano; na Utaifa. Mjadala utafanyika kwenye ukumbi wa mikutano wa University of Reading. Kwa maelezo zaidi mtembelee bwana Michuzi <a href="http://issamichuzi.blogspot.co.uk/2013/05/mjadala-wa-watanzania-uk-kufanyika.html" target="_blank">MICHUZI: Mjadala wa waTanzania UK Kufanyika University of Reading</a><!-- google_ad_section_end --></div>

]]></content:encoded>
			<category domain="https://www.jamiiforums.com/habari-na-hoja-mchanganyiko/">Habari na Hoja mchanganyiko</category>
			<dc:creator>Dr A. Paurine</dc:creator>
			<guid isPermaLink="true">https://www.jamiiforums.com/habari-na-hoja-mchanganyiko/454853-mjadala-wa-watanzania-uk-kufanyika-university-of-reading.html</guid>
		</item>
		<item>
			<title>Letisia Nyerere</title>
			<link>https://www.jamiiforums.com/habari-na-hoja-mchanganyiko/454822-letisia-nyerere-new-post.html</link>
			<pubDate>Tue, 21 May 2013 15:29:29 GMT</pubDate>
			<description>Kwanza na-declare interest mi ni CDM. 
Huyu mama akiwa anaongea huwa anakera sana. Sijui kwanini exposure yote ya majuu haija- muexpose.  
Akianza tu kuongea hata wabunge wenzake wa chadema wanaona aibu. 
Pia hajui kuvaa. Lile kichwani sijui ni...</description>
			<content:encoded><![CDATA[<div><!-- google_ad_section_start -->Kwanza na-declare interest mi ni CDM.<br />
Huyu mama akiwa anaongea huwa anakera sana. Sijui kwanini exposure yote ya majuu haija- muexpose. <br />
Akianza tu kuongea hata wabunge wenzake wa chadema wanaona aibu.<br />
Pia hajui kuvaa. Lile kichwani sijui ni linini!<!-- google_ad_section_end --></div>

]]></content:encoded>
			<category domain="https://www.jamiiforums.com/habari-na-hoja-mchanganyiko/">Habari na Hoja mchanganyiko</category>
			<dc:creator>KakaJambazi</dc:creator>
			<guid isPermaLink="true">https://www.jamiiforums.com/habari-na-hoja-mchanganyiko/454822-letisia-nyerere.html</guid>
		</item>
		<item>
			<title><![CDATA[kuporomoka kwa maadili kat&#305;ka jeshi la polisi nani walaumiwe, na nini kifanyike]]></title>
			<link>https://www.jamiiforums.com/habari-na-hoja-mchanganyiko/454806-kuporomoka-kwa-maadili-kat-ka-jeshi-la-polisi-nani-walaumiwe-na-nini-kifanyike-new-post.html</link>
			<pubDate>Tue, 21 May 2013 15:02:58 GMT</pubDate>
			<description>nashindwa kupata jibu hapa nani wakumlaumu kwa matukio yote machafu yanayofanywa na jeshi la police. 
je ni viongozi wa ngazi zajuu katika jeshi la police,raisi wetu kwauteuzi mbovu wa viongozi wa jeshi la police,katiba yetu iliyompa madaraka...</description>
			<content:encoded><![CDATA[<div><!-- google_ad_section_start -->nashindwa kupata jibu hapa nani wakumlaumu kwa matukio yote machafu yanayofanywa na jeshi la police.<br />
je ni viongozi wa ngazi zajuu katika jeshi la police,raisi wetu kwauteuzi mbovu wa viongozi wa jeshi la police,katiba yetu iliyompa madaraka makubwa raisi au mmomonyoko wa maadili katika jeshi letu la police unaosabab&#305;shwa na aj&#305;ra za k&#305;ndugu z&#305;l&#305;zopelekea jeshi la police kuwa jalala la wahuni.nasema jalala sababu jeshi la police limejaa vilaza,wavuta bangi na waliofake vyeti.kwamaoni yangu mimi nailaumu katiba tuliyonayo sasa &#305;mempa raisi madaraka makubwa sana ya uteuzi, waliyotunga katiba hawakukumbuka kuwa akili za wanadamu hazifanani matatizo yamekuja pale nchi ilipokabidhiwa kilaza namajuku yote muh&#305;mu ya nchi hususani uteuz&#305; wa v&#305;ongoz&#305; yako ch&#305;n&#305; yake wewe unategemea n&#305;n&#305; k&#305;tafany&#305;ka.WATANZAN&#304;A TUSIFANYIE MZAA KATIKA HAYA TUNAYOYAONA SASA HUN&#304;MWANZO TU KTAKUJA KILAZA KINGINE KIFANYE MADUDU ZAIDI YA KILAZA ALIYETOKA. TUSIKUBALI KUBURUZWA KATIKA MCHAKATO WAKUPATA KATIKA MPYA.ASANTEN&#304; ...... AMAN&#304; NA UPENDO DAIMA.<!-- google_ad_section_end --></div>

]]></content:encoded>
			<category domain="https://www.jamiiforums.com/habari-na-hoja-mchanganyiko/">Habari na Hoja mchanganyiko</category>
			<dc:creator>black and white</dc:creator>
			<guid isPermaLink="true">https://www.jamiiforums.com/habari-na-hoja-mchanganyiko/454806-kuporomoka-kwa-maadili-kat-ka-jeshi-la-polisi-nani-walaumiwe-na-nini-kifanyike.html</guid>
		</item>
		<item>
			<title>Waliosoma UDOM</title>
			<link>https://www.jamiiforums.com/habari-na-hoja-mchanganyiko/454803-waliosoma-udom-new-post.html</link>
			<pubDate>Tue, 21 May 2013 14:58:03 GMT</pubDate>
			<description>Nawaombeni kwa yeyote anayefahamu alipo kijana anayeitwa mmassy jerome ambaye alisoma udom na alimaliza mwaka 2011.Huyu jamaa amewahi kuwa Spika wa bunge pale,mbunge na mwenyekiti wa kamati fulani.Naomba kufahamu aliko na namba ya yake ya simu kwa...</description>
			<content:encoded><![CDATA[<div><!-- google_ad_section_start -->Nawaombeni kwa yeyote anayefahamu alipo kijana anayeitwa mmassy jerome ambaye alisoma udom na alimaliza mwaka 2011.Huyu jamaa amewahi kuwa Spika wa bunge pale,mbunge na mwenyekiti wa kamati fulani.Naomba kufahamu aliko na namba ya yake ya simu kwa sababu ninamtafuta kwa gharama yoyote.Ukiwa unafahamu aliko au namba yake nitumie via 0713734894<!-- google_ad_section_end --></div>

]]></content:encoded>
			<category domain="https://www.jamiiforums.com/habari-na-hoja-mchanganyiko/">Habari na Hoja mchanganyiko</category>
			<dc:creator>Miken</dc:creator>
			<guid isPermaLink="true">https://www.jamiiforums.com/habari-na-hoja-mchanganyiko/454803-waliosoma-udom.html</guid>
		</item>
		<item>
			<title>News Alert: Serikali inapo haribu hela!</title>
			<link>https://www.jamiiforums.com/habari-na-hoja-mchanganyiko/454797-serikali-inapo-haribu-hela-new-post.html</link>
			<pubDate>Tue, 21 May 2013 14:46:21 GMT</pubDate>
			<description>Stendi ya gongo la mboto hivi sasa inajengwa, na watu wanavunjiwa vibanda vyao vya biashara. Kinachonisikitisha ni kwamba kwa miaka 3 tu iliyo pita stendi hii imesharekebishwa zaidi ya mara tatu, ni kama vile watu wanao pewa kazi hii huwa hajui...</description>
			<content:encoded><![CDATA[<div><!-- google_ad_section_start -->Stendi ya gongo la mboto hivi sasa inajengwa, na watu wanavunjiwa vibanda vyao vya biashara. Kinachonisikitisha ni kwamba kwa miaka 3 tu iliyo pita stendi hii imesharekebishwa zaidi ya mara tatu, ni kama vile watu wanao pewa kazi hii huwa hajui wajengeje ili stendi kutumika hata kwa miaka 10 bila kurebisha! Matokeo yake kila mwaka ni kubomoa na kujenga upya. Huu ni uharibifu wa fedha za umma na ni ufisadi!<!-- google_ad_section_end --></div>

]]></content:encoded>
			<category domain="https://www.jamiiforums.com/habari-na-hoja-mchanganyiko/">Habari na Hoja mchanganyiko</category>
			<dc:creator>Zacharia Kifyasi</dc:creator>
			<guid isPermaLink="true">https://www.jamiiforums.com/habari-na-hoja-mchanganyiko/454797-serikali-inapo-haribu-hela.html</guid>
		</item>
		<item>
			<title>Mada ya utafiti</title>
			<link>https://www.jamiiforums.com/habari-na-hoja-mchanganyiko/454786-mada-ya-utafiti-new-post.html</link>
			<pubDate>Tue, 21 May 2013 14:25:05 GMT</pubDate>
			<description>Wadau toeni maoni yenu jùu ya mada hii ya utafiti niliyo ichagua ruksa kukosoa hata kutoa mawazo kwa lengo la kuboresha.SOMO:FASIHI YA KISWAHILI:MADA:ATHARI ZA SERA ZA KIUCHUMI NA KISIASA  KATIKA MAENDELEO YA FASHI SIMULIZI.UHAKIKI WA MAJIGAMBO...</description>
			<content:encoded><![CDATA[<div><!-- google_ad_section_start -->Wadau toeni maoni yenu jùu ya mada hii ya utafiti niliyo ichagua ruksa kukosoa hata kutoa mawazo kwa lengo la kuboresha.SOMO:FASIHI YA KISWAHILI:MADA:ATHARI ZA SERA ZA KIUCHUMI NA KISIASA  KATIKA MAENDELEO YA FASHI SIMULIZI.UHAKIKI WA MAJIGAMBO NCHINI TANZANIA<!-- google_ad_section_end --></div>

]]></content:encoded>
			<category domain="https://www.jamiiforums.com/habari-na-hoja-mchanganyiko/">Habari na Hoja mchanganyiko</category>
			<dc:creator>Allam</dc:creator>
			<guid isPermaLink="true">https://www.jamiiforums.com/habari-na-hoja-mchanganyiko/454786-mada-ya-utafiti.html</guid>
		</item>
		<item>
			<title>Mtoto wa mjini Ndiye Mshamba wa mwisho mjini</title>
			<link>https://www.jamiiforums.com/habari-na-hoja-mchanganyiko/454768-mtoto-wa-mjini-ndiye-mshamba-wa-mwisho-mjini-new-post.html</link>
			<pubDate>Tue, 21 May 2013 13:48:58 GMT</pubDate>
			<description>Kukiwa kuna ubishi mwingi wa watu waliozaliwa mjini  ni wajanja sana kuliko waliozaliwa kijijini, ubishi huu umekuwepo tangu enzi za mababu lakini siku hizi ndio imethibitika kuwa, wengi wanojiona ni watoto wa mjini ndio washamba zaidi kuliko...</description>
			<content:encoded><![CDATA[<div><!-- google_ad_section_start -->Kukiwa kuna ubishi mwingi wa watu waliozaliwa mjini  ni wajanja sana kuliko waliozaliwa kijijini, ubishi huu umekuwepo tangu enzi za mababu lakini siku hizi ndio imethibitika kuwa, wengi wanojiona ni watoto wa mjini ndio washamba zaidi kuliko waliozaliwa kijijini. <br />
Kwanza watoto wengi waliozaliwa kijijini wamepata virutubisho vyote vinavyotokana na matunda, majani, dawa za kienyeji, ndizi mbichi na mbivu, karanga kupata vitamini zaid kupitia jua , mayai ya kienyeji ya kanga, kuku na samaki wa haina zote, hivyo uwafanya wakue vizuri na kuweka akiba ya akili nyingi , ambavyo huwapeleka kuwa vinara kwenye uongozi wa juu pindi wapatapo madaraka baada ya kumaliza shule.  Tena watu hawa huwa ni wafnyabiashara wazuri sana mjini, kwani hukutana na hali ngumu ya maisha ambavyo ujenga akili ya kujinyanyua , ndio maana wengi wamefanikiwa kimaisha. Wakati watoto wa mjini, hawapati virutubisho vya kutosha kutokana na umaskini uliotukukuka, mlo mara moja, mapambano ya kati ya konda wa daladala. hivyo uonekana ni watu wa vurugu kama vile kuvuta bangi sigara, utoro shuleni, vibinti kuanza mapenzi kabla ya umri wake. Watoto hawa hutegemea sana urithi wa nyumba au vibanda vilivyojengwa na baba zao, hupenda kujenga vijiwe vya umbeya kama vile kucheza bao, kuzingira maclabu mbalimbali kama vile vijiwe vya mpira na nk. watu hawa huwa hawajishughulishi na uzalishaji kwani wengi wana dharau kazi, uendekeza ushirikina hivyo kuwafanya waache kimaendeleo na watu wa kuja kutoka mikoa mbali mbali kama vile moshi, arusha kagera, mtwara, kigoma mbeya na songea. Watoto wamjini wengi hawajui jiographia ya nchi kwa vile hawajawahi kutembea nje ya mji wao hivyo kuwafanya wawe washamba wa vyombo kama vile meli treni, magari makubwa, ndege na mabasi.<br />
Nahitishisha kwa kusema kuwa watoto wa mjini ndio washamba wa mjini kwa kuwa wao ndio wanuza mali za mababu zao na kusogezwa zaidi kuwafanya wanaoitwa washamba kuwanunua kwa kasi zaidi. Kama kuna ubishi rejea watawala hasa mawazir, makatibu wakuu, wakuu wa mikoa wote wamezaliwa vijijini.<!-- google_ad_section_end --></div>

]]></content:encoded>
			<category domain="https://www.jamiiforums.com/habari-na-hoja-mchanganyiko/">Habari na Hoja mchanganyiko</category>
			<dc:creator>mgt software</dc:creator>
			<guid isPermaLink="true">https://www.jamiiforums.com/habari-na-hoja-mchanganyiko/454768-mtoto-wa-mjini-ndiye-mshamba-wa-mwisho-mjini.html</guid>
		</item>
	</channel>
</rss>
