<?xml version="1.0" encoding="ISO-8859-1"?>

<rss version="2.0" xmlns:dc="http://purl.org/dc/elements/1.1/" xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/">
	<channel>
		<title>JamiiForums | The Home of Great Thinkers</title>
		<link>https://www.jamiiforums.com/</link>
		<description>Jamii Forums: The Home of Great Thinkers. Where we Dare to Talk Openly!</description>
		<language>en</language>
		<lastBuildDate>Sat, 25 May 2013 12:31:15 GMT</lastBuildDate>
		<generator>vBulletin</generator>
		<ttl>60</ttl>
		<image>
			<url>https://www.jamiiforums.com/template/JamiV1/default/misc/rss.png</url>
			<title>JamiiForums | The Home of Great Thinkers</title>
			<link>https://www.jamiiforums.com/</link>
		</image>
		<item>
			<title>Bonge la suprise</title>
			<link>https://www.jamiiforums.com/jf-chit-chat/457236-bonge-la-suprise-new-post.html</link>
			<pubDate>Sat, 25 May 2013 12:21:08 GMT</pubDate>
			<description>haya bana thanks Elizabeth Dominic kwa suprise uliyonipa ghafla, hope salam kwa charminglady na JF wing ya RockCity mtazipata salamu, nawapenda sana 
 
ila usifikishe salamu kwa Chimbuvu</description>
			<content:encoded><![CDATA[<div><!-- google_ad_section_start -->haya bana thanks <b><a href="https://www.jamiiforums.com/member.php?u=61874" target="_blank">Elizabeth Dominic</a></b> kwa suprise uliyonipa ghafla, hope salam kwa <b><a href="https://www.jamiiforums.com/member.php?u=86898" target="_blank">charminglady</a></b> na JF wing ya RockCity mtazipata salamu, nawapenda sana<br />
<br />
ila usifikishe salamu kwa <b><a href="https://www.jamiiforums.com/member.php?u=93459" target="_blank">Chimbuvu</a></b><!-- google_ad_section_end --></div>

]]></content:encoded>
			<category domain="https://www.jamiiforums.com/jf-chit-chat/">JF Chit-Chat</category>
			<dc:creator>Joe Nyandigira</dc:creator>
			<guid isPermaLink="true">https://www.jamiiforums.com/jf-chit-chat/457236-bonge-la-suprise.html</guid>
		</item>
		<item>
			<title>CCM Itapokuwa Chama Cha Upinzani Chadema mtawapokeaje?</title>
			<link>https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/457234-ccm-itapokuwa-chama-cha-upinzani-chadema-mtawapokeaje-new-post.html</link>
			<pubDate>Sat, 25 May 2013 12:18:00 GMT</pubDate>
			<description>Inakuja siku CCM kitakuwa chama cha Upinzani. WanaChadema mtaongoza Serikali wakati huo. Nimedhani mkichangia mawazo kuhusu namna mtavyowapokea hawa Watani  zenu inaweza kuwasaidi kujua wapo salama hata nje ya Uongozi. 
 
WanaChadema hebu changieni...</description>
			<content:encoded><![CDATA[<div><!-- google_ad_section_start -->Inakuja siku CCM kitakuwa chama cha Upinzani. WanaChadema mtaongoza Serikali wakati huo. Nimedhani mkichangia mawazo kuhusu namna mtavyowapokea hawa Watani  zenu inaweza kuwasaidi kujua wapo salama hata nje ya Uongozi.<br />
<br />
WanaChadema hebu changieni mnapendekeza iwe nini hatma ya CCM watapokuwa chama cha Upinzani?  WanaChadema ni watu makini. Nina hakika michango itatoa picha halisi ya Future ya CCM nje ya serikali.<br />
<br />
Karibuni....<!-- google_ad_section_end --></div>

]]></content:encoded>
			<category domain="https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/">Jukwaa la Siasa</category>
			<dc:creator>Highlander</dc:creator>
			<guid isPermaLink="true">https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/457234-ccm-itapokuwa-chama-cha-upinzani-chadema-mtawapokeaje.html</guid>
		</item>
		<item>
			<title>Uchochezi,uchochezi...sasa ni propagana au Sera ya chama?..</title>
			<link>https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/457231-uchochezi-uchochezi-sasa-ni-propagana-au-sera-ya-chama-new-post.html</link>
			<pubDate>Sat, 25 May 2013 12:13:32 GMT</pubDate>
			<description><![CDATA[Kwanza naomba nionyeshe hisia zangu kwamba ninafadhaishwa na namna neno "uchochezi" linavotumiwa na moja ya viongozi wa chama kimojawpo hapa nchini. Mosi, pale ambapo jambo la kweli lililosemwa au kufanywa, hususani na wabunge wa chama pinzani mfano...]]></description>
			<content:encoded><![CDATA[<div><!-- google_ad_section_start -->Kwanza naomba nionyeshe hisia zangu kwamba ninafadhaishwa na namna neno &quot;uchochezi&quot; linavotumiwa na moja ya viongozi wa chama kimojawpo hapa nchini. Mosi, pale ambapo jambo la kweli lililosemwa au kufanywa, hususani na wabunge wa chama pinzani mfano hotuba za mawaziri vivuli wa upinzani kuitwa ni za kichochezi wakati huo hotuba hizo zina vithibitisho,takwimu na vielelezo vya kutosha juu ya hoja. Pili, mikutano ya hadhara  ambayo inahutubiwa na ccm haijawahi kuitwa ya kichochezi licha ya mikutano hiyo kutawaliwa na matusi na  maneno ya kuwagawa wananchi mf,kuwambia wananchi kuwa chadema ni chama cha kikabila,&quot;yaani wachaga&quot;,chadema chama cha kikristo, chadema ni chama cha kigaidi. Katika mikutano hiyo ya ccm viongozi wakubwa (Nape,Mwigulu na katibu mkuu Kinana) ndio wakitaja chadema hivyo. Ni kinyume na  matarajio, haijawahi kutokea wananchi kutoka na majeraha kwenye mikutano yake, mikutano ya chadema inaeleza ukweli unaoonekana kwa macho, mambo yenye ushahidi, wananchi ukupata elimu ya uraia...lakini maneno ya viongozi wa chadema yanaitwa uchochezi kuliko MANENO MABAYA KABISA YA CCM  DHIDI YA VYAMA VYA UPINZANI (kwamba ni vyama vya kikristo au waislam,vyama vya kikabila,vya kikanda nk).  Je, CCM na serikali huwa inamaanisha nini kuziita hoja &quot;zenye tija kwa taifa&quot; kuwa ni uchochezi ili mradi hoja zimetoka upande wa vyama vya upinzani?...Ni sababu zipi zinawasukuma kuwaita wananchi wachochezi wakati wowote wanapobaini jambo ambalo liko kinyume na haki yao na hatua yoyote ya wananchi kudai haki hiyo huitwa uchochezi?...serikali ya ccm bado inaamini kwamba wananchi ni wajinga juu ya haki wanazostahili kiasi kwamba wanapofanya hivo lazima ccm muamini kwamba kuna watu nyuma yake?...chadema waliibua ufisadi wa EPA,KAGODA,MEREMETA, RICHIMOND ,FEDHA ZA WIZI ZILIZOFICHWA USWISS,UFISADI WA RADA NK, je nao ni uchuchezi? Mbona tunaposema mikataba ya gesi mmeifanya kuwa ni siri mnatuita wachochezi kwani si kweli?...mwanabodi, wewe unasemaje juu ya hili kauli hii dhidi ya tz?...<!-- google_ad_section_end --></div>

]]></content:encoded>
			<category domain="https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/">Jukwaa la Siasa</category>
			<dc:creator>Prince Tumbo</dc:creator>
			<guid isPermaLink="true">https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/457231-uchochezi-uchochezi-sasa-ni-propagana-au-sera-ya-chama.html</guid>
		</item>
		<item>
			<title>News Alert: Basi kampuni ya roshen safari</title>
			<link>https://www.jamiiforums.com/habari-na-hoja-mchanganyiko/457230-basi-kampuni-ya-roshen-safari-new-post.html</link>
			<pubDate>Sat, 25 May 2013 12:07:59 GMT</pubDate>
			<description>Habarin za muda huu wana jf. Nipo safarin natoka iringa kuelekea dodoma kupitia njia ya mtera. Bwana huyu kaka dereva mwendo anaoendesha kama anaendesha tren bora liende yaan na ndo ni rafu road we acha siti kama tano za nyuma zimevunjika sasa...</description>
			<content:encoded><![CDATA[<div><!-- google_ad_section_start -->Habarin za muda huu wana jf. Nipo safarin natoka iringa kuelekea dodoma kupitia njia ya mtera. Bwana huyu kaka dereva mwendo anaoendesha kama anaendesha tren bora liende yaan na ndo ni rafu road we acha siti kama tano za nyuma zimevunjika sasa abiria wamekaa kama kwenye stuli na bado atujafika hali mbaya nawakilisha.<!-- google_ad_section_end --></div>

]]></content:encoded>
			<category domain="https://www.jamiiforums.com/habari-na-hoja-mchanganyiko/">Habari na Hoja mchanganyiko</category>
			<dc:creator>BACHELA</dc:creator>
			<guid isPermaLink="true">https://www.jamiiforums.com/habari-na-hoja-mchanganyiko/457230-basi-kampuni-ya-roshen-safari.html</guid>
		</item>
		<item>
			<title>News Alert: CHUKI ZA DR? KIGWANGALA  KWA  RC na DC  MTWARA HIZI HAPA!!!!</title>
			<link>https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/457228-chuki-za-dr-kigwangala-kwa-rc-na-dc-mtwara-hizi-hapa-new-post.html</link>
			<pubDate>Sat, 25 May 2013 11:50:47 GMT</pubDate>
			<description><![CDATA[Ndugu wana bodi, 
 
 nimependa niwape tu machache juu ya kwanini Khamisi Kigwangala anapendekeza RC Mtwara pamoja na DC wake wang'olewe au watolewe kafara. 
 
Katika fukunyungu za kisiasa Simbakalia amekuwa akiombwa muda mrefu na Wananzega ( ambako...]]></description>
			<content:encoded><![CDATA[<div><!-- google_ad_section_start -->Ndugu wana bodi,<br />
<br />
 nimependa niwape tu machache juu ya kwanini Khamisi Kigwangala anapendekeza RC Mtwara pamoja na DC wake wang'olewe au watolewe kafara.<br />
<br />
Katika fukunyungu za kisiasa Simbakalia amekuwa akiombwa muda mrefu na Wananzega ( ambako ndo kwao)kuwa agombee Ubunge wa Jimbo la Nzega suala ambalo amekuwa akilikataa kwa sababu kuwa siasa za Nzega zimejaa ufitini na yeye hahitaji siasa za kufitiniana.<br />
<br />
Dr? Kigwangala amekuwa akimhofia Simbakalia kwa muda mrefu sana juu ya uwezekano wa kuja kuwa mpinzani wake ndani ya CCM kwa jimbo la NZEGA. Hvyo, Kigwangala kupendekeza RC Mtwara aondolewe ni mbinu za kutaka kummaliza nguvu Mzee Simbakalia. Anaimani kuwa kama ndugu Simbakalia ataondolewa katika nafasi yake ya sasa ya Ukuu wa Mkoa atakuwa amepungua nguvu na hivyo kuwa na uwezo mdogo wa kuja kuwa Mpinzani wake Mkuu kwa siasa za 2015.<br />
<br />
Lazima mkumbuke pia kuwa pale NZEGA yupo pia Hussein BASHE ambaye pia ni threat kwa Kigwangala na amekuwa akitumia mbinu chafu za kuhakikisha wawili hao wanakwisha nguvu za kisiasa ili awe na uwanja mpana na huru kwa 2015.<br />
<br />
so, watch out guys maamuzi ya Wanasiasa siyo ya kuwaamini kabisa.<br />
<br />
Bado naamini kuwa kumfukuza RC na DC siyo suluhisho la mgogoro wa Mtwara kwa mambo yafuatayo:-<br />
<br />
1. Siyo signatories katika mkataba wa gesi<br />
2. Siyo wahusika wa kuwapa elimu wana Ntwara juu ya mkataba wa gesi na watakavyofaidika, ni kazi ya Wizara na Waziri aliyesaini mkataba huo<br />
3. RC huyu na DC wake wamehamishiwa katika mkoa huo hivi karibuni kukiwa hayo mambo ya gesi yamesha anza muda mrefu pale Mtwara na Wizarani!!!<br />
4. RC na DC hawana mamlaka za kisheria za kuagiza JWTZ, POLISI toka nje ya Mtwara kuja kupiga wanamtwara, ni IGP na Mkuu wa JWTZ.<br />
p<b>&#8203;</b><br />
<br />
Tuwe makini na wanasiasa!<!-- google_ad_section_end --></div>

]]></content:encoded>
			<category domain="https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/">Jukwaa la Siasa</category>
			<dc:creator>JAPUONY</dc:creator>
			<guid isPermaLink="true">https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/457228-chuki-za-dr-kigwangala-kwa-rc-na-dc-mtwara-hizi-hapa.html</guid>
		</item>
		<item>
			<title>News Alert: Wana jf tuzingatie sheria za  uandishi kwenye post zetu.</title>
			<link>https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-elimu-education-forum/457226-wana-jf-tuzingatie-sheria-za-uandishi-kwenye-post-zetu-new-post.html</link>
			<pubDate>Sat, 25 May 2013 11:49:09 GMT</pubDate>
			<description>Nachukizwa mtu ameandika kicha cha news yake ambacho hakiendani na main body,juu cha news sentensi ukiingia kwenye body unakuta swali yaan vitu viwili tofauti,napenda jf ila siku hadi siku wanaonikera wanaongezeka mpaka kufungua post ya mtu inatia...</description>
			<content:encoded><![CDATA[<div><!-- google_ad_section_start -->Nachukizwa mtu ameandika kicha cha news yake ambacho hakiendani na main body,juu cha news sentensi ukiingia kwenye body unakuta swali yaan vitu viwili tofauti,napenda jf ila siku hadi siku wanaonikera wanaongezeka mpaka kufungua post ya mtu inatia uvivu maana utakutana na vitu vya ajabu!<br />
Hili ni ombi jamani utanguliza au hints ni maelezo mafupi ya main body kwahiyo hakikisheni vinashabihian.<br />
Nawasilisha<!-- google_ad_section_end --></div>

]]></content:encoded>
			<category domain="https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-elimu-education-forum/">Jukwaa la Elimu (Education Forum)</category>
			<dc:creator>i2thedi</dc:creator>
			<guid isPermaLink="true">https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-elimu-education-forum/457226-wana-jf-tuzingatie-sheria-za-uandishi-kwenye-post-zetu.html</guid>
		</item>
		<item>
			<title>Hatimaye CHADEMA watua Songea</title>
			<link>https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/457223-hatimaye-chadema-watua-songea-new-post.html</link>
			<pubDate>Sat, 25 May 2013 11:40:17 GMT</pubDate>
			<description>Mchana huu gari la matangazo limekuwa likipita na kutangaza mkutano wa chadema hapo kesho.Kwa mujibu wa matangazo hayo ni kuwa wanakuja viongozi wa kitaifa.Sasa sijui kama wataenda huko vijijini nilikopendekeza kwenye bandiko langu hapa JF au...</description>
			<content:encoded><![CDATA[<div><!-- google_ad_section_start -->Mchana huu gari la matangazo limekuwa likipita na kutangaza mkutano wa chadema hapo kesho.Kwa mujibu wa matangazo hayo ni kuwa wanakuja viongozi wa kitaifa.Sasa sijui kama wataenda huko vijijini nilikopendekeza kwenye bandiko langu hapa JF au la.Kesho nitakuwa eneo la tukio ambalo ni Matarawe japo nipo njiani kuelekea kijijini.Nikimaliza shughuli zangu huku basi nitawahi haraka mjini.<br />
<br />
Nawasilisha<!-- google_ad_section_end --></div>

]]></content:encoded>
			<category domain="https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/">Jukwaa la Siasa</category>
			<dc:creator>Ngalikivembu</dc:creator>
			<guid isPermaLink="true">https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/457223-hatimaye-chadema-watua-songea.html</guid>
		</item>
		<item>
			<title>Jamani CCM, kwani siasa lazima mtupikie wali?</title>
			<link>https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/457220-jamani-ccm-kwani-siasa-lazima-mtupikie-wali-new-post.html</link>
			<pubDate>Sat, 25 May 2013 11:34:48 GMT</pubDate>
			<description>wana jamvi,ktk kampen znazoendelea iyela mbeya za udiwani leo ni ufunguzi wa kampeni kwa ccm hapa iyela ila cha kushangaza kumepikwa wali ili wananchi wale,mimi najiuliza hvi makwetu hamna huo wali na je hzo ni sera gani jaman?mbna za kizamani sana...</description>
			<content:encoded><![CDATA[<div><!-- google_ad_section_start -->wana jamvi,ktk kampen znazoendelea iyela mbeya za udiwani leo ni ufunguzi wa kampeni kwa ccm hapa iyela ila cha kushangaza kumepikwa wali ili wananchi wale,mimi najiuliza hvi makwetu hamna huo wali na je hzo ni sera gani jaman?mbna za kizamani sana wananchi wengi ni waelewa sasa hamna wa kuwadanganya kwa wali hapa.<!-- google_ad_section_end --></div>

]]></content:encoded>
			<category domain="https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/">Jukwaa la Siasa</category>
			<dc:creator>Superbrand</dc:creator>
			<guid isPermaLink="true">https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/457220-jamani-ccm-kwani-siasa-lazima-mtupikie-wali.html</guid>
		</item>
		<item>
			<title>Madiwani wapendekeza kuigawa Mbeya</title>
			<link>https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/457219-madiwani-wapendekeza-kuigawa-mbeya-new-post.html</link>
			<pubDate>Sat, 25 May 2013 11:34:21 GMT</pubDate>
			<description>*HABARI  
 
Na Godfrey Kahango, Mbarali.  (email the author)  
 
Posted  Ijumaa,Mei24  2013  saa 21:56 PM* 
*KWA UFUPI* 
 
 
* Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbarali, mkoani Mbeya, wametoa mapendekezo yao juu ya mchakato wa kuugawa Mkoa wa...</description>
			<content:encoded><![CDATA[<div><!-- google_ad_section_start --><font color="#999999"><span style="font-family: Arial"><b><font size="3"><span style="font-family: lucida console">HABARI <br />
<br />
Na Godfrey Kahango, Mbarali.  (email the author) <br />
<br />
Posted  Ijumaa,Mei24  2013  saa 21:56 PM</span></font></b></span></font><br />
<font color="#444444"><span style="font-family: Arial"><font color="#333333"><b><font size="3"><span style="font-family: lucida console">KWA UFUPI</span></font></b></font><br />
<br />
<ul><li style=""><font size="3"><span style="font-family: lucida console">Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbarali, mkoani Mbeya, wametoa mapendekezo yao juu ya mchakato wa kuugawa Mkoa wa Mbeya, ili kupata mikoa miwili kwa lengo la kusogeza huduma kwa wananchi.</span></font></li></ul><br />
<br />
</span></font><br />
<br />
<br />
<font color="#333333"><span style="font-family: Times New Roman"><font color="#000080"><font size="4"><span style="font-family: courier new">Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbarali, mkoani Mbeya, wametoa mapendekezo yao juu ya mchakato wa kuugawa Mkoa wa Mbeya, ili kupata mikoa miwili kwa lengo la kusogeza huduma kwa wananchi.</span></font></font><br />
</span></font><br />
<font color="#333333"><span style="font-family: Times New Roman"><font color="#000080"><font size="4"><span style="font-family: courier new">Mchakato huo unakuja baada Serikali ya Mkoa wa Mbeya, kumwomba Rais Jakaya Kikwete kuugawa mkoa huo, ili kutoa unafuu kwa watendaji wa Serikali katika kuwahudumia wananchi.</span></font></font><br />
</span></font><br />
<font color="#333333"><span style="font-family: Times New Roman"><font color="#000080"><font size="4"><span style="font-family: courier new">Habari zilisema tayari Rais Kikwete ameridhia maombi hayo na kuagiza kufanyika kwa mchakato huo.</span></font></font><br />
</span></font><br />
<font color="#333333"><span style="font-family: Times New Roman"><font color="#000080"><font size="4"><span style="font-family: courier new">Kw upande wake, Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Abbas Kandoro, amewataka madiwani wa hamashauri zote kuketi na kuanza mchakato wa mapendekezo kuhusu namna ya kuugawa mkoa huo.</span></font></font><br />
</span></font><br />
<font color="#333333"><span style="font-family: Times New Roman"><font color="#000080"><font size="4"><span style="font-family: courier new">Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbarali walitoa mapendekezo yao juzi katika kikao chao.</span></font></font><br />
</span></font><br />
<font color="#333333"><span style="font-family: Times New Roman"><font color="#000080"><font size="4"><span style="font-family: courier new">Akisoma taarifa ya mapendekezo hayo katibu wa baraza hilo, Brown Mwakibete, alisema timu</span></font></font><br />
</span></font><br />
<font color="#333333"><span style="font-family: Times New Roman"><font color="#000080"><font size="4"><span style="font-family: courier new">ya wataalamu iliketi na kutafakari kwa kina namna ya kuugawa mkoa huo kwa kuzingatia maagizo ya mkuu wa mkoa.</span></font></font><br />
</span></font><br />
<font color="#333333"><span style="font-family: Times New Roman"><font color="#000080"><font size="4"><span style="font-family: courier new">Diwani Mwakibete, alisema madiwani wa halmashauri hyo wamependekeza jina la mkoa mpya liwe Rungwe ukiwa na Wilaya za Kyela, Rungwe,</span></font></font><br />
</span></font><br />
<font color="#333333"><span style="font-family: Times New Roman"><font color="#000080"><font size="4"><span style="font-family: courier new">Ileje na Mbozi na makao makuu ya yawe Tukuyu.</span></font></font><br />
</span></font><br />
<font color="#333333"><span style="font-family: Times New Roman"><font color="#000080"><font size="4"><span style="font-family: courier new">Alisema pia wametaka jina la mkoa wa zamani libaki kuwa Mbeya ukiwa na Wilaya za Momba, Chunya, Mbeya na Mbarali na Makao makuu yakiwa Mbeya.</span></font></font><br />
</span></font><br />
<font color="#333333"><span style="font-family: Times New Roman"><font color="#000080"><font size="4"><span style="font-family: courier new">Alisema kamati hiyo haikuona haja yaa kuanzisha wilaya mpya kutokana na sababu za kijiografia.</span></font></font><br />
</span></font><!-- google_ad_section_end --></div>

]]></content:encoded>
			<category domain="https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/">Jukwaa la Siasa</category>
			<dc:creator>nngu007</dc:creator>
			<guid isPermaLink="true">https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/457219-madiwani-wapendekeza-kuigawa-mbeya.html</guid>
		</item>
		<item>
			<title>Iam back baada ya likizo ndefu</title>
			<link>https://www.jamiiforums.com/jf-chit-chat/457218-iam-back-baada-ya-likizo-ndefu-new-post.html</link>
			<pubDate>Sat, 25 May 2013 11:30:55 GMT</pubDate>
			<description>Wooote pigeni nduuuuuru.....aisee likizo kumbe tamu kweri.....muda wote niko na mashori hao wamepiga vithong watamu rangi za chokoleti aisee.... 
http://www.youtube.com/watch?v=StQRS8MLZMY 
 
anko snoop killed this shit....way back life lilipokuwa...</description>
			<content:encoded><![CDATA[<div><!-- google_ad_section_start -->Wooote pigeni nduuuuuru.....aisee likizo kumbe tamu kweri.....muda wote niko na mashori hao wamepiga vithong watamu rangi za chokoleti aisee....<br />

<iframe class="restrain" title="YouTube video player" width="640" height="390" src="//www.youtube.com/embed/StQRS8MLZMY?wmode=opaque" frameborder="0"></iframe>
<br />
<br />
anko snoop killed this shit....way back life lilipokuwa life not nowadays wajinga wajinga kibao JF wanaume kama wanawake umbea umbea.....bog dudes who smoke shit hawezi kuwa mbwiga mbwiga....songi la ukweli dak 3:01 anko kafunika <br />
<br />

<iframe class="restrain" title="YouTube video player" width="640" height="390" src="//www.youtube.com/embed/3tI339nHY00?wmode=opaque" frameborder="0"></iframe>
<br />
Damn memories like fawk old&#65279; song but still slaps...<br />
<br />

<iframe class="restrain" title="YouTube video player" width="640" height="390" src="//www.youtube.com/embed/fGeNDnYcQOA?wmode=opaque" frameborder="0"></iframe>
<!-- google_ad_section_end --></div>

]]></content:encoded>
			<category domain="https://www.jamiiforums.com/jf-chit-chat/">JF Chit-Chat</category>
			<dc:creator>Yo Yo</dc:creator>
			<guid isPermaLink="true">https://www.jamiiforums.com/jf-chit-chat/457218-iam-back-baada-ya-likizo-ndefu.html</guid>
		</item>
		<item>
			<title>Chama gani kipo makini? Nataka kujiunga nacho</title>
			<link>https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/457217-chama-gani-kipo-makini-nataka-kujiunga-nacho-new-post.html</link>
			<pubDate>Sat, 25 May 2013 11:27:20 GMT</pubDate>
			<description>Ndugu wana jf. Mm n mtanzania na sijajiunga na chama chochote,Nataka kujiunga na chama makini ambacho kwao hawana ufisadi na Rushwa wanaipinga kwa dhati. Wadau nijiunge na chama gani?</description>
			<content:encoded><![CDATA[<div><!-- google_ad_section_start -->Ndugu wana jf. Mm n mtanzania na sijajiunga na chama chochote,Nataka kujiunga na chama makini ambacho kwao hawana ufisadi na Rushwa wanaipinga kwa dhati. Wadau nijiunge na chama gani?<!-- google_ad_section_end --></div>

]]></content:encoded>
			<category domain="https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/">Jukwaa la Siasa</category>
			<dc:creator>Elineema J Mosi</dc:creator>
			<guid isPermaLink="true">https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/457217-chama-gani-kipo-makini-nataka-kujiunga-nacho.html</guid>
		</item>
		<item>
			<title>Nyonga</title>
			<link>https://www.jamiiforums.com/jf-doctor/457216-nyonga-new-post.html</link>
			<pubDate>Sat, 25 May 2013 11:20:09 GMT</pubDate>
			<description>Ndugu zangu,nina miezi mitatu nyonga ya paja la kulia inauma sana,chanzo nilibeba jiwe kubwa kwa mikono yangu ghafla nikasikia nyonga imeumia sana nilikuwa nahangaika kwenye banda langu...mwenye kujua dawa anisaidie</description>
			<content:encoded><![CDATA[<div><!-- google_ad_section_start -->Ndugu zangu,nina miezi mitatu nyonga ya paja la kulia inauma sana,chanzo nilibeba jiwe kubwa kwa mikono yangu ghafla nikasikia nyonga imeumia sana nilikuwa nahangaika kwenye banda langu...mwenye kujua dawa anisaidie<!-- google_ad_section_end --></div>

]]></content:encoded>
			<category domain="https://www.jamiiforums.com/jf-doctor/">JF Doctor</category>
			<dc:creator>BUNUNGULI</dc:creator>
			<guid isPermaLink="true">https://www.jamiiforums.com/jf-doctor/457216-nyonga.html</guid>
		</item>
		<item>
			<title>Ajali ya basi Gairo</title>
			<link>https://www.jamiiforums.com/habari-na-hoja-mchanganyiko/457215-ajali-ya-basi-gairo-new-post.html</link>
			<pubDate>Sat, 25 May 2013 11:19:43 GMT</pubDate>
			<description>Wakuu kwa yeyote mwenye taarifa zaidi atufahamishe nimepigiwa simu na ndugu yangu kuwa kuna ajali ya basi imetokea muda si mrefu maeneo ya Gairo ni basi la kampuni ya Champion na lori la mizigo watu sita wamefariki hapohapo na majeruhi ni wengi...</description>
			<content:encoded><![CDATA[<div><!-- google_ad_section_start -->Wakuu kwa yeyote mwenye taarifa zaidi atufahamishe nimepigiwa simu na ndugu yangu kuwa kuna ajali ya basi imetokea muda si mrefu maeneo ya Gairo ni basi la kampuni ya Champion na lori la mizigo watu sita wamefariki hapohapo na majeruhi ni wengi yeyote mwenye taarifa zaidi atujulishe<!-- google_ad_section_end --></div>

]]></content:encoded>
			<category domain="https://www.jamiiforums.com/habari-na-hoja-mchanganyiko/">Habari na Hoja mchanganyiko</category>
			<dc:creator>testa</dc:creator>
			<guid isPermaLink="true">https://www.jamiiforums.com/habari-na-hoja-mchanganyiko/457215-ajali-ya-basi-gairo.html</guid>
		</item>
		<item>
			<title>SPIKA kumnyima Nafasi SENDEKA kutoa Mwogozo; Je, Demokrasia imezingatiwa?</title>
			<link>https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/457213-spika-kumnyima-nafasi-sendeka-kutoa-mwogozo%3B-je-demokrasia-imezingatiwa-new-post.html</link>
			<pubDate>Sat, 25 May 2013 11:17:20 GMT</pubDate>
			<description>Bunge la Mchana siku ya Jumamosi wakati akihitimisha Hotuba ya Wizara ya Nishati na Madini mh Prof Muhongo alimuita Sendeka kuwa ni muongo kwa kutaka kumlisha Mh Rais Maneno ambayo hakuyasema. Hii ni baada ya Mh Sendeka wakati akichangia hotuba hiyo...</description>
			<content:encoded><![CDATA[<div><!-- google_ad_section_start -->Bunge la Mchana siku ya Jumamosi wakati akihitimisha Hotuba ya Wizara ya Nishati na Madini mh Prof Muhongo alimuita Sendeka kuwa ni muongo kwa kutaka kumlisha Mh Rais Maneno ambayo hakuyasema. Hii ni baada ya Mh Sendeka wakati akichangia hotuba hiyo alisema kua Rais hajatimiza Ahadi aliyowahi kutoa kuwa baada ya kuisha kwa Mkataba wa kampuni ya Tanzaniteone serikali itatwaa Mgodi huo na kumilikisha Wachimbaji wadogo wadogo.<br />
Migodi hiyo ipo Mererani wilayani Simanjiro mkoaniManyara.<br />
<br />
Akimjibu Sendeka Mh Waziri alisema kua siku moja aliwahi kumuuliza swala hilo na yeye waziri alienda kwa Mh Rais na kumuuliza lakini Mh rais alisema kua hayo maneno hakuwahi kuzungumza isipo kua Sendeka anamsingizia.<br />
Mh waziri alionya wale wote wenye tabia ya kuzungumza  vitu vya uongo na kumlisha Rais maneno ambayo hakusema. <br />
Mh Waziri Muhongo Wakati akikamilisha kujibu hoja za Wabunge ndipo Mh Sendeka akaomba Muongozo lakini Spika alimkatalia.<br />
Je Spika kumnyima Sendeka nafasi ya kuwasilisha Muongozo ni Demokrasia au anabalance mambo ili na wabunge wa Upinzani wakiomba muongozo awanyime kama tulivyoona?<!-- google_ad_section_end --></div>

]]></content:encoded>
			<category domain="https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/">Jukwaa la Siasa</category>
			<dc:creator>sokoinei</dc:creator>
			<guid isPermaLink="true">https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/457213-spika-kumnyima-nafasi-sendeka-kutoa-mwogozo%3B-je-demokrasia-imezingatiwa.html</guid>
		</item>
		<item>
			<title>Tetesi: Hatutajulikana kama pesa tunazo.</title>
			<link>https://www.jamiiforums.com/habari-na-hoja-mchanganyiko/457212-hatutajulikana-kama-pesa-tunazo-new-post.html</link>
			<pubDate>Sat, 25 May 2013 11:14:04 GMT</pubDate>
			<description>Siku kadhaa zilizo pita maeneo ya nyamhongoro igoma mwanza watu wapatao 7 wamevamia guest mida ya saa 12 jioni kabla ya yote wali piga lisasi hewani ili kutisha wananchi lakni wananchi wali kakamaa natkupambana nao na kufanikiwa kuwauja wahalifu 2...</description>
			<content:encoded><![CDATA[<div><!-- google_ad_section_start -->Siku kadhaa zilizo pita maeneo ya nyamhongoro igoma mwanza watu wapatao 7 wamevamia guest mida ya saa 12 jioni kabla ya yote wali piga lisasi hewani ili kutisha wananchi lakni wananchi wali kakamaa natkupambana nao na kufanikiwa kuwauja wahalifu 2 walikutwa na risasi 700 .<!-- google_ad_section_end --></div>

]]></content:encoded>
			<category domain="https://www.jamiiforums.com/habari-na-hoja-mchanganyiko/">Habari na Hoja mchanganyiko</category>
			<dc:creator>Fabian leonard</dc:creator>
			<guid isPermaLink="true">https://www.jamiiforums.com/habari-na-hoja-mchanganyiko/457212-hatutajulikana-kama-pesa-tunazo.html</guid>
		</item>
	</channel>
</rss>
