<?xml version="1.0" encoding="ISO-8859-1"?>

<rss version="2.0" xmlns:dc="http://purl.org/dc/elements/1.1/" xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/">
	<channel>
		<title>JamiiForums | The Home of Great Thinkers</title>
		<link>https://www.jamiiforums.com/</link>
		<description>Jamii Forums: The Home of Great Thinkers. Where we Dare to Talk Openly!</description>
		<language>en</language>
		<lastBuildDate>Fri, 24 May 2013 13:25:44 GMT</lastBuildDate>
		<generator>vBulletin</generator>
		<ttl>60</ttl>
		<image>
			<url>https://www.jamiiforums.com/template/JamiV1/default/misc/rss.png</url>
			<title>JamiiForums | The Home of Great Thinkers</title>
			<link>https://www.jamiiforums.com/</link>
		</image>
		<item>
			<title>Suluhisho la yanayotokea Mtwara ni Sera ya Majimbo, Katiba Mpya ilitazame hili</title>
			<link>https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/456737-suluhisho-la-yanayotokea-mtwara-ni-sera-ya-majimbo-katiba-mpya-ilitazame-hili-new-post.html</link>
			<pubDate>Fri, 24 May 2013 13:23:53 GMT</pubDate>
			<description>Nimefuatilia yanayoendelea Lindi na Mtwara na hoja za Serikali pamoja na wadau mbalimbali nikagundua serikali inataka kupingana na ukweli tu bila sababu. Nimeshindwa kuelewa maana ya kauli ya *serikali kwamba mali zinazogundulika  sehemu yoyote ya...</description>
			<content:encoded><![CDATA[<div><!-- google_ad_section_start -->Nimefuatilia yanayoendelea Lindi na Mtwara na hoja za Serikali pamoja na wadau mbalimbali nikagundua serikali inataka kupingana na ukweli tu bila sababu. Nimeshindwa kuelewa maana ya kauli ya <b><i>serikali kwamba mali zinazogundulika  sehemu yoyote ya nchi hii ni mali za Watanzania wote</i></b>. Hao Watanzania wote maana yake nini na ni akina nani hao <b>Watanzania wote</b>!!?? <b>Maana sijaona namna madini, misitu, pembe za ndovu zilivyotunufaisha hasa mimi binafsi zaidi ya kila siku kusikia tuhuma za ujangili, ufisadi, mikataba mibovu n.k na ubaya wanaotajwa katika tuhuma na kashfa zote hizi ni kikundi kilekile cha watu au hicho ndio kinakula halafu Watanzania wote tunashiba??.</b> Sera ya Majimbo ndio suluhisho. Natamani Wasukuma, Wachaga, Watu wa nyanda za juu kusini, Kanda ya ziwa, Arusha na wote ambao rasilimali zao zinavunwa na hiki kikundi kinachojiita Watanzania wote tuamke na kuwashika mkono na ikibidi tuipake mikono yao kwenye mchanga ili wasiendelee kula tena la sivyo wtamaliza kila kitu maana hawashibi. Hawa ni madalali wan chi yetu na ndio maana wanapeana tu vyeo kwenye Chama na Serikali ili wawe na kinga na kujihakikishia usalama. Tuamke Watanzania. Wanapoonewa wa Mtwara tuwaunge mkono maana kesho itakuwa zamu ya watu wa Bahi, na Watanzania wengine kwa niaba ya Watanzania wote.<!-- google_ad_section_end --></div>

]]></content:encoded>
			<category domain="https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/">Jukwaa la Siasa</category>
			<dc:creator>Mtanke</dc:creator>
			<guid isPermaLink="true">https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/456737-suluhisho-la-yanayotokea-mtwara-ni-sera-ya-majimbo-katiba-mpya-ilitazame-hili.html</guid>
		</item>
		<item>
			<title>Jibwa la polisi Mtwara</title>
			<link>https://www.jamiiforums.com/jamii-photos/456736-jibwa-la-polisi-mtwara-new-post.html</link>
			<pubDate>Fri, 24 May 2013 13:20:46 GMT</pubDate>
			<description>Image: https://fbcdn-sphotos-d-a.akamaihd.net/hphotos-ak-prn2/968933_474852129256786_748239302_n.jpg keba la manjagu hilo</description>
			<content:encoded><![CDATA[<div><!-- google_ad_section_start --><img src="https://fbcdn-sphotos-d-a.akamaihd.net/hphotos-ak-prn2/968933_474852129256786_748239302_n.jpg" border="0" alt="" />keba la manjagu hilo<!-- google_ad_section_end --></div>

]]></content:encoded>
			<category domain="https://www.jamiiforums.com/jamii-photos/">Jamii Photos</category>
			<dc:creator>Bujibuji</dc:creator>
			<guid isPermaLink="true">https://www.jamiiforums.com/jamii-photos/456736-jibwa-la-polisi-mtwara.html</guid>
		</item>
		<item>
			<title>Kiboko ya wezi na majambazi!</title>
			<link>https://www.jamiiforums.com/tech-gadgets-and-science-forum/456733-kiboko-ya-wezi-na-majambazi-new-post.html</link>
			<pubDate>Fri, 24 May 2013 13:15:51 GMT</pubDate>
			<description>http://youtu.be/UxypTCLu63k</description>
			<content:encoded><![CDATA[<div><!-- google_ad_section_start --><div style="text-align: center;">
<iframe class="restrain" title="YouTube video player" width="640" height="390" src="//www.youtube.com/embed/UxypTCLu63k?wmode=opaque" frameborder="0"></iframe>
<br />
</div><!-- google_ad_section_end --></div>

]]></content:encoded>
			<category domain="https://www.jamiiforums.com/tech-gadgets-and-science-forum/"><![CDATA[Tech, Gadgets & Science Forum]]></category>
			<dc:creator>Dingswayo</dc:creator>
			<guid isPermaLink="true">https://www.jamiiforums.com/tech-gadgets-and-science-forum/456733-kiboko-ya-wezi-na-majambazi.html</guid>
		</item>
		<item>
			<title>Napinga mpango wa serikali wa kuendelea kujenga shule za sekondari kila kata</title>
			<link>https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/456732-napinga-mpango-wa-serikali-wa-kuendelea-kujenga-shule-za-sekondari-kila-kata-new-post.html</link>
			<pubDate>Fri, 24 May 2013 13:12:01 GMT</pubDate>
			<description>Nimekuwa nikifwatilia mwenendo mzima pamoja na mijadala mbalimbali inayohusu shule za Kata nchini, nimebaini kuwa mafanikio ya shule za Kata kwa kiasi flani ni Kata zilizopo mijini tu ndio inaweza kusaidia. Kwa Kata zilizopo maeneo ya pembezoni mwa...</description>
			<content:encoded><![CDATA[<div><!-- google_ad_section_start -->Nimekuwa nikifwatilia mwenendo mzima pamoja na mijadala mbalimbali inayohusu shule za Kata nchini, nimebaini kuwa mafanikio ya shule za Kata kwa kiasi flani ni Kata zilizopo mijini tu ndio inaweza kusaidia. Kwa Kata zilizopo maeneo ya pembezoni mwa Tanzania kwa kweli shule za Kata ni mtambo wa kufyatua Division Zero na kuliangamiza taifa letu. Zipo sababu nyingi zinazopelekea hili ila kubwa ni 1) ukosefu wa walimu, 2) ukosefu wa vifaa vya kufundishia na 3) ukosefu wa mabweni. <br />
<br />
<br />
<b>1)      </b><b>Ukosefu wa walimu</b><br />
Pamoja na serikali kutumia fedha nyingi kuajiri na kuwahudumia walimu, si walimu wengi wapo willing kwenda kuishi na kufundisha shule za Kata zilizopo pembezoni kwa Tanzania. Walimu hawapendi kwenda kuishi huko for obvious reasons kuwa maeneo hayo yametekelezwa na serikali ya hayapo friendly kwa maisha ya binadamu wa karne ya 21.<br />
<br />
 Maeneo hayo hayana maji, hayana umeme na mengine hayana hata usafiri achilia mbali maeneo yaliyo kame kabisa na yasiyostawisha mazao ya chakula. Kwa kukosekana moja ya mambo haya kwa kweli tutawalaumu bure walimu wanaokimbia maeneo yao ya kazi. Mbaya zaidi mishahara wanayopewa waalimu hao tunaowataka wayatoe maisha yao sadaka ni mdogo sana.<br />
<br />
Mwisho wa siku utakuta majengo ya shule yanabaki bila walimu au wanabaki walimu wachache wasioweza kufundisha madarasa yote waliyona. Katika hali hii, wanafunzi wa shule za kata humaliza shule bila kupata elimu bora na mwisho wa siku huishia kufail na ndo mwisho wa safari yao ya kielimu.<br />
<br />
<b>2)      </b><b>Ukosefu wa vifaa vya kufundishia</b><br />
Hapa namaanisha vitabu, maabara n.k., Uwepo wa vitabu mbalimbali mashuleni unarahisisha kuwapa wanafunzi uelewa mpana wa subject matter, bila vitabu mwanafunzi analazimishwa kuelewa only some % ya kile mwalimu anachokielewa. So kama mwalimu hajui kitu flani au hakukifundisha kitu flani pasipo vitabu mwanafunzi huyo hatokaa ajue kitu hicho. <br />
<br />
Furthermore, maabara ni muhimu sana katika kucement theoritical part ya lessons. Bila uwepo wa maabara, mwanafunzi huishia kupata only 50% ya full dose kwa masomo yanayohisisha vitendo/practicals. Hivyo utaona ukijumuisha mambo haya mawili utagundua kuna upotevu mkubwa wa fursa za kujifunza/kuelimika kwa wanafunzi wa shule za Kata.<br />
<br />
<b>3. Ukosefu wa Mabweni</b><br />
Shule nyingi za Kata zinakabiliwa na ukosefu wa mabweni, hali inayosababisha wanafunzi wasome wakitokea nyumbani au wapange vyumba “magheto” karibu na mahali shule ilipo. <br />
<br />
Ni ukweli uliowazi kuwa usomaji katika mazingira haya ni mgumu sana. Kumbuka huko vijijini hakuna umeme na pengine hata maji ya kunywa achilia mbali ya kuoga. Hivyo, mwanafunzi akitoka shule ambayo kimsingi haina walimu, akirudi tu nyumbani atatakiwa akachote maji, akirudi apike then ale afu asome kwa kutumia kibatari. <br />
<br />
Serikali! Hivi katika mazingira haya tunategemea nini hasa katika elimu yetu??Hapa kweli tunaweka mazingira linganifu na wale wanaosoma shule za serikali zilizokuwa well established na zilizopo mijini??? Mbona kwa mtindo huu wanafunzi waliochaguliwa shule za Kata tunawafanya waone kama wamelaaniwa na kuwa Serikali haiwahitaji??? <br />
<br />
<b>Maoni yangu<br />
<br />
</b>Pamoja na serikali kusema kwamba tumeanza na madarasa tutahamia kwengine, tukumbuke kuwa hapo kuna time lag na tukumbuke kuwa serikali ikishamsababishia Mwanafunzi apate zero leo hii, hiyo ndo imetoka. Hivyo ni either serikali ikamilishe kila kitu katika shule hizo ndo wanafunzi waanze kudahiliwa au ni vyema serikali ikabuni mpango mwingine, nionavyo mimi mpango huu ni questionable.<br />
<br />
Kama lengo kuu la mpango wa kujenga shule za Kata lilikuwa ni kuongeza idadi ya wanafunzi wanaofika kidato cha nne, naweza sema limefanikiwa. Ila kama lengo kuu lilikuwa ni kufuta ujinga kwa watanzania nasema mpango huu haujafanikiwa at all.<br />
<br />
Nchi za Scandnavia ambazo zipo mbali sana kimaendeleo hazina shule za Kata ingawa maji na umeme vimemfikia kila mwananchi. Kwanini hakuna shule za Kata??? Serikali za wenzetu zimejikita kwenye Quality services na sio Quantity. <br />
<br />
Imagine badala ya serikali kuspread meagre resources zake kwa kujenga madarasa kila Kata, serikali ingetumia fedha hizo kujenga one or two complex/big secondary schools kila makao makuu ya mkoa ambapo kuna huduma zote za jamii, kuna mabweni na vifaa vyote muhimu ya kufundishia kwa standard inayokubalika unadhani tungetoa elimu ya aina hii tunawaachia vijana wetu leo hii???<br />
<br />
Nasikitika kusema kuwa serikali imechangia kuwapotezea malengovijana hawa wanaofail leo hii kutokana na ubovu wa elimu inayotolewa na serikali. Kufuta matokeo na kuwazawadia marks za bure hakuta solve hili tatizo zaidi ya kuliangamiza zaidi taifa letu. Napenda kuishauri serikali kuwa, kuanza upya si ujinga. Tukubali kuwa kwenye ujenzi wa shule za Kata tulitereza. <br />
<br />
Tujenge mashule ya sekondary makubwa Mijini sehemu ambapo kuna huduma zote muhimu za jamii na hivyo kutufanya tuondokane na kutorokwa na walimu kama ilivyo sasa kwenye shule za kata. Aidha, tukiweza kufanya hivyo, tutawafanya wanafunzi wetu watumie library zetu za mikoa katika kukuza zaidi uelewa wao na mpango huu pia utawezesha hata utoaji wa elimu kwa njia ya mtandao kwani umeme ni guaranteed.<!-- google_ad_section_end --></div>

]]></content:encoded>
			<category domain="https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/">Jukwaa la Siasa</category>
			<dc:creator>Patriote</dc:creator>
			<guid isPermaLink="true">https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/456732-napinga-mpango-wa-serikali-wa-kuendelea-kujenga-shule-za-sekondari-kila-kata.html</guid>
		</item>
		<item>
			<title>Brand new phone for sell. Motorola droid2 global. price .laki 3 na Nusu .negotiate 0657926009</title>
			<link>https://www.jamiiforums.com/matangazo-madogo/456731-brand-new-phone-for-sell-motorola-droid2-global-price-laki-3-na-nusu-negotiate-0657926009-a-new-post.html</link>
			<pubDate>Fri, 24 May 2013 13:09:20 GMT</pubDate>
			<description>Motorola droid2 global. 
8gb internal 
Android operating system 
5 mp camera ina flash light.</description>
			<content:encoded><![CDATA[<div><!-- google_ad_section_start -->Motorola droid2 global.<br />
8gb internal<br />
Android operating system<br />
5 mp camera ina flash light.<!-- google_ad_section_end --></div>

]]></content:encoded>
			<category domain="https://www.jamiiforums.com/matangazo-madogo/">Matangazo madogo</category>
			<dc:creator>Sammy Sozigwa Jr</dc:creator>
			<guid isPermaLink="true">https://www.jamiiforums.com/matangazo-madogo/456731-brand-new-phone-for-sell-motorola-droid2-global-price-laki-3-na-nusu-negotiate-0657926009-a.html</guid>
		</item>
		<item>
			<title>msaada wa tafsiri tafadhali</title>
			<link>https://www.jamiiforums.com/nafasi-za-kazi-na-tenda/456730-msaada-wa-tafsiri-tafadhali-new-post.html</link>
			<pubDate>Fri, 24 May 2013 13:06:59 GMT</pubDate>
			<description>Jamani Za saa hizi. 
 
naombeni mnisaidie kunitafsilia kiwango hiki cha mshahara TAA SCALE 1</description>
			<content:encoded><![CDATA[<div><!-- google_ad_section_start -->Jamani Za saa hizi.<br />
<br />
naombeni mnisaidie kunitafsilia kiwango hiki cha mshahara TAA SCALE 1<!-- google_ad_section_end --></div>

]]></content:encoded>
			<category domain="https://www.jamiiforums.com/nafasi-za-kazi-na-tenda/">Nafasi za Kazi na Tenda</category>
			<dc:creator>preciouse</dc:creator>
			<guid isPermaLink="true">https://www.jamiiforums.com/nafasi-za-kazi-na-tenda/456730-msaada-wa-tafsiri-tafadhali.html</guid>
		</item>
		<item>
			<title>News Alert: Bila mashauriano taifa huangamia,</title>
			<link>https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/456728-bila-mashauriano-taifa-huangamia-new-post.html</link>
			<pubDate>Fri, 24 May 2013 13:04:57 GMT</pubDate>
			<description>Bila mashauriano taifa huangamia, 
Lazima Serekali iliyoko madarakani itambue na waelewe kwamba Mabomu, Risasi za moto haziwezi zikatatua mgogoro uliko Mtwara lazima watumie mazungumzo ili kupata Suluhisho la kudumu, vinginevyo watakufa watu na...</description>
			<content:encoded><![CDATA[<div><!-- google_ad_section_start --><font color="#0000cd"><span style="font-family: lucida grande">Bila mashauriano taifa huangamia,</span><br />
<span style="font-family: lucida grande">Lazima Serekali iliyoko madarakani itambue na waelewe kwamba Mabomu, Risasi za moto haziwezi zikatatua mgogoro uliko Mtwara lazima watumie mazungumzo ili kupata Suluhisho la kudumu, vinginevyo watakufa watu na suluhisho halitapatikana Kama serekali inania ya dhati ya kutatua tatizo la Mtwara Lazima hawa wananchi waelewe umuhimu wa gesi na itawanufaisha vipi wahusika Na njia pekee ya kuyafanya haya ni kupitia asasi za kiraia Vyama vya kisiasa ambavyo kwa mara kadhaa viongozi wa serekali wamevinyooshea vidole kuhusishwa na vurugu hizo,pili watumiei Ngo's</span><br />
<span style="font-family: lucida grande">Lazima serekali ijifunze kuweka mikataba yake wazi na sio kuifanya kwa siri kiasi ambacho kinaweza kikawafanya wananchi wakaona nikuibiwa huko,Tunahitaji Uwazi katika mikataba yote,Tunahitaji Mdahalo wa Kitaifa kuhusu Resilimali zetu,</span><br />
<span style="font-family: lucida grande">Nikweli tanzania tunafikia mahala pakuwekewa ulizi kiasi hiki, Sio ajabu kesho ukasikia Tarime nao wakidai dhahabu yao Keshokutwa tukasikia Arusha wakihoji juu ya wanyama wao ,Kilimanjaro nao Mlima wao wakidai faida inayopatikana hapo ,Nikweli tuna wanajeshi wakusambaza kila kona Ile dhana ya Amani mnayo ihubiri itakuwa wapi&quot; Lazima mtambue Bila mashauriano taifa huangamia Mabomu risasi sio suluhisho msipotumia mazungumzo taifa hili sio ajabu tukaliona likiwa katika hali ya vipandevipande.</span><br />
<span style="font-family: lucida grande">Bila mashauriano taifa huangamia,</span></font><img src="http://sphotos-b.ak.fbcdn.net/hphotos-ak-ash4/431055_462734057143927_330871221_n.jpg" border="0" alt="" /><!-- google_ad_section_end --></div>

]]></content:encoded>
			<category domain="https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/">Jukwaa la Siasa</category>
			<dc:creator>Imma Saro</dc:creator>
			<guid isPermaLink="true">https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/456728-bila-mashauriano-taifa-huangamia.html</guid>
		</item>
		<item>
			<title>hivi nani wewe ulikua unabebaje mfuko unapo toka shule??</title>
			<link>https://www.jamiiforums.com/jf-chit-chat/456727-hivi-nani-wewe-ulikua-unabebaje-mfuko-unapo-toka-shule-new-post.html</link>
			<pubDate>Fri, 24 May 2013 13:04:49 GMT</pubDate>
			<description>Image: http://sphotos-c.ak.fbcdn.net/hphotos-ak-frc3/972282_580765845288730_1753469690_n.jpg  
cc Passion Lady, Lady doctor, Madame B, Arushaone,  mathematics, Remmy Mrembo by Nature, Slave, mia</description>
			<content:encoded><![CDATA[<div><!-- google_ad_section_start --><img src="http://sphotos-c.ak.fbcdn.net/hphotos-ak-frc3/972282_580765845288730_1753469690_n.jpg" border="0" alt="" /><br />
cc <b><a href="https://www.jamiiforums.com/member.php?u=110201" target="_blank">Passion Lady</a></b>, <b><a href="https://www.jamiiforums.com/member.php?u=136132" target="_blank">Lady doctor</a></b>, <b><a href="https://www.jamiiforums.com/member.php?u=80055" target="_blank">Madame B</a></b>, <b><a href="https://www.jamiiforums.com/member.php?u=75985" target="_blank">Arushaone</a></b>,  <b><a href="https://www.jamiiforums.com/member.php?u=71830" target="_blank">mathematics</a></b>, <b><a href="https://www.jamiiforums.com/member.php?u=16543" target="_blank">Remmy</a></b> <b><a href="https://www.jamiiforums.com/member.php?u=40686" target="_blank">Mrembo by Nature</a></b>, <b><a href="https://www.jamiiforums.com/member.php?u=32978" target="_blank">Slave</a></b>, <b><a href="https://www.jamiiforums.com/member.php?u=34628" target="_blank">mia</a></b><!-- google_ad_section_end --></div>

]]></content:encoded>
			<category domain="https://www.jamiiforums.com/jf-chit-chat/">JF Chit-Chat</category>
			<dc:creator>figganigga</dc:creator>
			<guid isPermaLink="true">https://www.jamiiforums.com/jf-chit-chat/456727-hivi-nani-wewe-ulikua-unabebaje-mfuko-unapo-toka-shule.html</guid>
		</item>
		<item>
			<title>Uefa</title>
			<link>https://www.jamiiforums.com/sports/456726-uefa-new-post.html</link>
			<pubDate>Fri, 24 May 2013 13:04:45 GMT</pubDate>
			<description>UEFA HIYOOOOOO 
http://www.bongocelebrity.com/2013/05/22/shuhudia-fainali-ya-kombe-la-uefa-jumamosi-hii-kupitia-dstv/</description>
			<content:encoded><![CDATA[<div><!-- google_ad_section_start -->UEFA HIYOOOOOO<br />
http://www.bongocelebrity.com/2013/05/22/shuhudia-fainali-ya-kombe-la-uefa-jumamosi-hii-kupitia-dstv/<!-- google_ad_section_end --></div>

]]></content:encoded>
			<category domain="https://www.jamiiforums.com/sports/">Sports</category>
			<dc:creator>Kafuta</dc:creator>
			<guid isPermaLink="true">https://www.jamiiforums.com/sports/456726-uefa.html</guid>
		</item>
		<item>
			<title>Post SMS Za Vichekesho Na Utani Hapa</title>
			<link>https://www.jamiiforums.com/jokes-utani-udaku-gossips/456725-post-sms-za-vichekesho-na-utani-hapa-new-post.html</link>
			<pubDate>Fri, 24 May 2013 13:02:24 GMT</pubDate>
			<description>Kama ubinadamu kazi mbona hatupewi mishahara?</description>
			<content:encoded><![CDATA[<div><!-- google_ad_section_start --><font color="#333333"><span style="font-family: Arial">Kama ubinadamu kazi mbona hatupewi mishahara?</span></font><!-- google_ad_section_end --></div>

]]></content:encoded>
			<category domain="https://www.jamiiforums.com/jokes-utani-udaku-gossips/">Jokes/Utani + Udaku/Gossips</category>
			<dc:creator>Cool Gentleman</dc:creator>
			<guid isPermaLink="true">https://www.jamiiforums.com/jokes-utani-udaku-gossips/456725-post-sms-za-vichekesho-na-utani-hapa.html</guid>
		</item>
		<item>
			<title>Uefa</title>
			<link>https://www.jamiiforums.com/sports/456724-uefa-new-post.html</link>
			<pubDate>Fri, 24 May 2013 12:51:57 GMT</pubDate>
			<description>SHUHUDIA FAINALI YA KOMBE LA UEFA JUMAMOSI HII KUPITIA DStv</description>
			<content:encoded><![CDATA[<div><!-- google_ad_section_start -->SHUHUDIA FAINALI YA KOMBE LA UEFA JUMAMOSI HII KUPITIA DStv<!-- google_ad_section_end --></div>

]]></content:encoded>
			<category domain="https://www.jamiiforums.com/sports/">Sports</category>
			<dc:creator>Kafuta</dc:creator>
			<guid isPermaLink="true">https://www.jamiiforums.com/sports/456724-uefa.html</guid>
		</item>
		<item>
			<title>Uchafu wa Waziri Ghasia na dharau zake kwa Ofisi ya Waziri Mkuu kwa kifua cha JK</title>
			<link>https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/456721-uchafu-wa-waziri-ghasia-na-dharau-zake-kwa-ofisi-ya-waziri-mkuu-kwa-kifua-cha-jk-new-post.html</link>
			<pubDate>Fri, 24 May 2013 12:50:06 GMT</pubDate>
			<description>Kwa kawaida ofisi ya Waziri Mkuu ndio yenye dhamana na mamlaka ya Serikali za Mitaa chini ya Waziri Mkuu mwenyewe. Lakini hali sasa sivyo kwa Mhe. Hawa Ghasia kujiamulia atakayo kinyume cha maelekezo ya Waziri Mkuu huku akitamba kuwa karibu sana na...</description>
			<content:encoded><![CDATA[<div><!-- google_ad_section_start --><font size="4">Kwa kawaida ofisi ya Waziri Mkuu ndio yenye dhamana na mamlaka ya Serikali za Mitaa chini ya Waziri Mkuu mwenyewe. Lakini hali sasa sivyo kwa Mhe. Hawa Ghasia kujiamulia atakayo kinyume cha maelekezo ya Waziri Mkuu huku akitamba kuwa karibu sana na Rais na Mke wa Rais na mtoto wa Rais. <br />
<br />
Hawa huyuhuyu ndiye anayenuka kwenye ufisadi wa korosho Mtwara kwa makampuni yake kusambaza pembejeo dhaifu, chache na nje ya muda huku ikilipwa mabilioni ya pesa za wakulima.<br />
<br />
Ni Hawa huyuhuyu ambaye alipata kashfa ya kujipatia takriban dola milioni 3 toka kwa moja ya makampuni ya mafuta na kashfa hii TAKUKURU waliizima kwa kuogopa nyumba kubwa ambayo anatamba inamlinda.<br />
<br />
Ni Hawa huyuhuyu kwa miaka yake nane ya Uwaziri amenunua nyumba lukuki Mtwara ambazo nyingine amegeuza hostel, kupangisha, kuishi mwenyewe na nyingine kuziacha tu, ndio maana katika vurugu zote nyumba zake ndio za kwanza kuchomwa.<br />
<br />
Hawa kwa kipindi kifupi amekuwa akitengeneza mitandao ya wizi kwenye Halmashauri akishirikiana na mumewe ambaye amekuwa mwekahazina wa muda kwenye Halmashauri na alimalizia Manispaa ya Temeke kabla ya kupelekwa ubalozini India aliko mpaka sasa.<br />
<br />
Amekuwa akiwahamisha, kuwasimamisha na kuwatisha wakurugenzi wote wanaombania kutimiza matakwa yake ya wizi.<br />
<br />
Hawa amekuwa akilinda watumishi wezi wanaomsaidia kwenye mambo yake ya wizi, inasemekana anatumika na kambi moja ya urais inayoongoza kwa matumizi ya fedha kuwakusanyia fedha kwa mipango yao ya kuingia Ikulu 2015 kitendo ambacho wapo wanaohisi JK ameshtuka na wapo wanaohisi bado hasa ikizingatiwa kuwa Ghasia amesikika kwenye moja ya mikutano yake jimboni Mtwara akibeza jitihada za mama Salma kutwaa jimbo la Lindi mjini.<br />
<br />
Mfano, mwekahazina Kabilinge Stima ambaye amehamishiwa Ilala toka Mvomero alikokula shilingi bilioni 1.3 na Baraza la Madiwani kutaka arudishwe kujibu tuhuma bado Waziri amemkingia kifua. Baada ya moto kuzidi Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Joel Bendera, aliunda Tume ambayo kumbukumbu zinaonyesha Ghasia na Waziri mwingine mmoja kupiga simu lukuki kukwamisha zoezi hilo. Baada ya tume kuwasilisha taarifa ya siri kwa Mkuu wa Mkoa ambayo Stima anayo kabla hata ya Mkuu wa Mkoa, imeelekeza achukuliwe hatua lakini mpaka leo kimya. <br />
<br />
Katibu mkuu wa CCM A. Kianana na Katibu wa Siasa na uenezi Nape Nnauye kwenye ziara yao ya mkoa wa Morogoro walielezwa upotevu wa fedha hizo za miradi nao wakatoa maagizo ya kisiasa ambayo mpaka leo hayajatekelezwa. Aidha, yawezekana Stima amewahonga; maana anasifika kwa kuhonga hela nyingi, akitumia utajiri wa kutisha aloupata kwenye Halmashauri za Moshi, Geita na Mvomero na anamiliki Hotel mbili za ghorofa 6 maeneo ya Sinza na Kijitonyama au Kinana amemwogopa Ghasia kupitia kwa JK.<br />
<br />
Naibu Katibu Mkuu wa TAMISEMI Bw. Kidaka amemwandikia Stima barua ya kurudi Mvomero na akaishia kutukanwa matusi ya nguoni na ndugu Hawa Ghasia, kitendo ambacho kilimfanya asuse ziara ya Kampala alokuwa aende na Waziri Ghasia.<br />
<br />
Huko Ilala alikohamia Stima, kwa kushirikiana na Ghasia amekwamisha mradi wa kukusanya mapato kupitia Benki kitendo ambacho kingekwamisha wizi wao kwenye Halmashauri hiyo tajiri kuliko zote.<br />
<br />
Baada ya kuona Mkurugenzi wa Halmashauri hiyo hakubali kushiriki wizi, Ghasia kwa kumtumia swahiba wake kwenye kambi ya urais kuandika barua kumtuhumu mkurugenzi na Meya kwa ubadhirifu na kupelekea Waziri Ghasia kumpumzisha Mkurugenzi Gabriel Fuime 24/1/2013 kinyume na kanuni za Utumishi na maagizo ya Waziri Mkuu kwa barua yake ya 7/12/2013. Mpaka sasa inakaribia miezi 6 kwa taratibu za utumishi wa umma Fuime yuko nyumbani akitumia kodi za umma bila mashtaka yoyote.<br />
<br />
Stima anasifika kuwa karibu na kila kiongozi wa kamati ya bunge ya LAAC kwa kuwahonga pesa nyingi sana. Inasemekana hata Dr. Slaa akiwa mkiti wa LAAC  alikuwa karibu sana na Stima anayejiita 'Rais wa waweka hazina wote nchini' na ndiye aliyekuwa anamkusanyia Dr. Slaa migawo yake. Stima alifikia kufadhili harusi ya moja wa kada wa CHADEMA aliyefahamika kwa jina moja tu la Mrema kwenye hoteli yake kwa heshma ya Dk.Slaa <font color="#696969"><font size="3"><span style="font-family: book antiqua"><i>(najua wengi hamtaamini ninachoeleza hapa, subiri karibuni mtaelewa na kwakuwa wote hawa ni members wa JF, waje wapinge tutashuka na viambatanisho ambavyo vimeshasambazwa kwa vyombo kadhaa vya habari)</i></span></font></font>.<br />
<br />
Hawa Ghasia anatajwa kuhusika na maelekezo ya kuvunja mkataba wa uendelezaji wa kiwanja na. 288 Toure Drive baina ya Halmashauri ya Jiji na mwekezaji Silverstine kinyume na utaratibu, ili ampe kiwanja hicho mali ya wananchi wa jiji la Dar es Salaam mfanyabiashara wa Kiasia aliyempa rushwa za wazi wazi. Mfanyabiashara huyo anadai alitoa kiwanja anachoishi Rais mstaafu Mzee Mwinyi Mikocheni chenye ukubwa wa mita za mraba 1,900 na akapewa kiwanja cha mita za mraba 900 Msasani na hivyo anataka aongezwe hiki 288 chenye mita za mraba 3800. Ukweli ni kwamba alipewa kiwanja chole rd cha mita za mraba 1,800 na amemwuzia mfanyabiashara Mohamed Dewji.<br />
<br />
Baada ya Swahiba yake Ghasia Dr. Masaburi ambaye ameuza UDA kitapeli na madiwani wake kushiba hela za mhindi wakaazimia kwenye baraza la madiwani kuvunja mkataba huo. Mkurugenzi Mussa Singiza aliyehamia Dar mwaka jana kumshauri waziri kufata taratibu za sheria amehamishiwa Jiji la Mbeya kupisha wakubwa wafanye yao.<br />
<br />
Hivi tunavyozungumza wakurugenzi nchini wamemwomba Waziri Mkuu wakutane naye faragha kumteta Ghasia na wako waloapa wakisimamia uchaguzi 2015 wataiangusha CCM.<br />
<br />
Wiki mbili zilizopita, kwenye kipindi cha jahazi cha Clouds FM, alisikika Meya wa Halmashauri hiyo Jerry Silaa akifoka kuingiliwa na TAMISEMI kinyume cha sheria namba 8 ya 1982 ya mamlaka za miji hasa kwenye eneo la ukusanyaji wa mapato kwa kukwamisha utumiaji wa benki ya NMB ambayo kwenye mkutano wa Arusha walimsifu Meya Silaa kwa kubuni mfumo huu lakini wakaogopa kusema haujaanza licha ya mikataba kusainiwa.<br />
<br />
Ghasia anamtuhumu Meya Silaa kumiliki makampuni 6 yanayofanya kazi ndani ya Halmashauri na amemlisha maneno Mh. Pinda na amesikika akisema hadharani. Viongozi hawa wawili hawazungumzii umiliki huo unapingana vipi na sheria na.4 ya 1979, na.8,9,10 za 1982. Vilevile hawaelezi kampuni hizo kama zilifata utaratibu wa kupata zabuni na hawaelezi utendaji wake wa kazi walizopewa.<br />
<br />
Maneno ya kampuni ndio yanatumika kuziba midomo viongozi wengi wanaopingana na Ghasia na hivi karibuni Mh. Kigwangwalla ameshughulikiwa kwa staili hiyo hiyo. Tofauti yao ya Kigwangwala imeonyesha wana hisa na majina ya wamiliki. <br />
<br />
Edward Hosea ameshindwa kumchukulia hatua Stima kwa maagizo ya Mkuchika ambaye wako karibu sana na Ghasia.<br />
<br />
</font><br />
<font color="#008080"><font size="4"><i>Hii ni part 1, tutaendelea kutoa ufafanuzi zaidi kadiri muda utakavyoruhusu</i></font></font><!-- google_ad_section_end --></div>

]]></content:encoded>
			<category domain="https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/">Jukwaa la Siasa</category>
			<dc:creator>Ex Spy</dc:creator>
			<guid isPermaLink="true">https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/456721-uchafu-wa-waziri-ghasia-na-dharau-zake-kwa-ofisi-ya-waziri-mkuu-kwa-kifua-cha-jk.html</guid>
		</item>
		<item>
			<title>Nataka kugombea ubunge Kilosa kupitia CUF</title>
			<link>https://www.jamiiforums.com/tanzania-2010-2015/456714-nataka-kugombea-ubunge-kilosa-kupitia-cuf-new-post.html</link>
			<pubDate>Fri, 24 May 2013 12:44:51 GMT</pubDate>
			<description>Ndugu wadau naamini kiafya ni wazima!,,nahuzunishwa sana na kudumaa kimaendeleo kwa wilaya yangu ya kilosa,hakika inaniuma pale ninaposhuhudia serikali ya CCM ikiwa ndio chanzo cha kudidimia kwa jimbo letu,,WABUNGE WA CCM wameshindwa kazi,,,ifike...</description>
			<content:encoded><![CDATA[<div><!-- google_ad_section_start -->Ndugu wadau naamini kiafya ni wazima!,,nahuzunishwa sana na kudumaa kimaendeleo kwa wilaya yangu ya kilosa,hakika inaniuma pale ninaposhuhudia serikali ya CCM ikiwa ndio chanzo cha kudidimia kwa jimbo letu,,WABUNGE WA CCM wameshindwa kazi,,,ifike mahali wanakilosa tubadilike,,binafsi nipo tayari kupambana kuitetea Wilaya yangu kupitia Chama cha Wananchi CUF,,naamini ni chama chenye sera nzuri zinazolenga kumkomboa mtu wa tabaka la chini,,lengo ni kuhakikisha siasa inatumikia uchumi wa nchi tofauti na ilivyo sasa ambapo tunashuhudia watawala wa CCM wakishindana kufakamia rasimali za madini,gesi inavunwa bila hata sera kuandaliwa,tembo wanapukutika,elimu inazidi kudidimia,,wanakilosa na watanzania kwa ujumla tuamke usingizini mustakbali wa taifa letu kwa maslahi yetu na ya vizazi vijavyo upo mikononi mwetu.<!-- google_ad_section_end --></div>

]]></content:encoded>
			<category domain="https://www.jamiiforums.com/tanzania-2010-2015/">Tanzania 2010-2015</category>
			<dc:creator>Mkomawatu</dc:creator>
			<guid isPermaLink="true">https://www.jamiiforums.com/tanzania-2010-2015/456714-nataka-kugombea-ubunge-kilosa-kupitia-cuf.html</guid>
		</item>
		<item>
			<title>CCM Tafuteni Namna ya Kusuluhisha Mgogoro wa Wamasai Ngorongoro Haraka</title>
			<link>https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/456713-ccm-tafuteni-namna-ya-kusuluhisha-mgogoro-wa-wamasai-ngorongoro-haraka-new-post.html</link>
			<pubDate>Fri, 24 May 2013 12:44:24 GMT</pubDate>
			<description>Wamasai wa Ngorongoro wana madai lukuki kuhusu maisha yao kwenye eneo la NCA. Kwa mujibu wa Star TV wanasema  kwamba kama madai yao hayatasikilizwa mapema, watafunga lango la kuingia Ngorongoro tarehe 1/6/2013. Enyi ccm msifanye kosa la kumpeleka...</description>
			<content:encoded><![CDATA[<div><!-- google_ad_section_start -->Wamasai wa Ngorongoro wana madai lukuki kuhusu maisha yao kwenye eneo la NCA. Kwa mujibu wa Star TV wanasema  kwamba kama madai yao hayatasikilizwa mapema, watafunga lango la kuingia Ngorongoro tarehe 1/6/2013. Enyi ccm msifanye kosa la kumpeleka Mkuu wa mkoa Arusha kusuluhisha maana hana conflict resolution techniques wala community entry method. Kwa kuwa swala linahusu maliasili, pia asiende waziri Kagasheki maana huyu ana aina ya ubabe fulani utakaowaudhi sana wamasai.<!-- google_ad_section_end --></div>

]]></content:encoded>
			<category domain="https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/">Jukwaa la Siasa</category>
			<dc:creator>HYGEIA</dc:creator>
			<guid isPermaLink="true">https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/456713-ccm-tafuteni-namna-ya-kusuluhisha-mgogoro-wa-wamasai-ngorongoro-haraka.html</guid>
		</item>
		<item>
			<title>Tetesi: Hujuma: Vituo nyeti/muhimu vya umma hatarini kulipuliwa</title>
			<link>https://www.jamiiforums.com/jamii-intelligence/456711-hujuma-vituo-nyeti-muhimu-vya-umma-hatarini-kulipuliwa-new-post.html</link>
			<pubDate>Fri, 24 May 2013 12:43:09 GMT</pubDate>
			<description>Habari wanajukwaa. 
Kuna habari zilizothibitishwa pasipo shaka kuwa kuna kundi la watu wasioitakia mema nchi yetu, wanapanga hujuma ya kulipua maeneo nyeti ya umma kwa malengo ya kisiasa na kuvuruga amani ya nchi na kutaka kuonyesha kwamba Dola...</description>
			<content:encoded><![CDATA[<div><!-- google_ad_section_start -->Habari wanajukwaa.<br />
Kuna habari zilizothibitishwa pasipo shaka kuwa kuna kundi la watu wasioitakia mema nchi yetu, wanapanga hujuma ya kulipua maeneo nyeti ya umma kwa malengo ya kisiasa na kuvuruga amani ya nchi na kutaka kuonyesha kwamba Dola haina uwezo wa kulinda raia na mali zao kwa upande mmoja na mali za umma kwa upande mwingine.<br />
yapo majina nimetajiwa na chanzo changu yanayohusika na njama hizi lakini siwezi kuyataja hapa kwa sasa.<br />
<br />
<font color="#ff0000">Maeneo nyeti yanayolengwa ni haya yafuatayo;<br />
1.BUNGE <br />
2.VYUO VIKUU VYA UMMA HASA UDSM, UDOM NA SUA.<br />
3.HOSPITALI YA MUHIMBILI<br />
4.OFISI ZA USALAMA WA TAIFA<br />
5.OFISI ZA WIZARA YA NISHATI NA MADINI, OFISI YA RAIS UTAWALA BORA,WIZARA YA FEDHA, WIZARA YA SHERIA NA KATIBA NA WIZARA YA MAMBO YA NDANI.</font><br />
<br />
Mpango huu utatekelezwa kwa awamu. <br />
<br />
mtonyaji amenieleza kuwa wanaopanga mkakati huu wapo hapa nchini na wanashirikiana na wenzao kutoka mataifa ya nje.<br />
<br />
NB;1- <font color="#ff0000">Wahusika wa maeneo hayo wachukue tahadhari  na wananchi wasaidie kutoa taarifa wanazozitilia mashaka kuhatarisha usalama.</font><br />
<br />
<font color="#ff0000">      2- NAWAOMBA MODS WASIIONDOE THRED HII; WAIACHE WATU WACHANGIE KWA UHURU ILI KUISAIDIA NCHI YETU.</font><br />
<br />
NTAWALETEA HABARI ZAIDI KADRI NTAKAVYOKUWA NAPATA TAARIFA ZAIDI KUHUSIANA NA MIPANGO YA WATU HAWA/KUNDI HILI.<!-- google_ad_section_end --></div>

]]></content:encoded>
			<category domain="https://www.jamiiforums.com/jamii-intelligence/">Jamii Intelligence</category>
			<dc:creator>bungeni</dc:creator>
			<guid isPermaLink="true">https://www.jamiiforums.com/jamii-intelligence/456711-hujuma-vituo-nyeti-muhimu-vya-umma-hatarini-kulipuliwa.html</guid>
		</item>
	</channel>
</rss>
