Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Mnawakumbua watuma salamu wa enzi hizo?

    Report Post
    Page 1 of 11 123 ... LastLast
    Results 1 to 20 of 202
    1. #1
      Mzee Mwanakijiji's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th March 2006
      Location : Kijijini
      Posts : 29,512
      Rep Power : 46713
      Likes Received
      16402
      Likes Given
      8461

      Default Mnawakumbua watuma salamu wa enzi hizo?

      Kulikuwa na "mabingwa wa salamu" ambao walikuwa hawakosekani aidha kutuma salamu au kutumiwa salamu kwenye vipindi mbalimbali vya radio. Unayakumbuka majina yao?
      MO classic likes this.
      [email protected]
      Tunapotaka kubadilisha watawala si kwa sababu tunataka kubadilisha sura; bali kubadilisha utawala! Yaani, tunataka kubadilisha jinsi tunavyotawaliwa siyo tu sura za wanao tutawala M. M. Mwanakijiji

    2. RukaaJuu Final

    3. #2
      Fidel80's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd May 2008
      Location : UVUNGUNI
      Posts : 19,064
      Rep Power : 9500
      Likes Received
      3184
      Likes Given
      1232

      Default Re: Mnawakumbua watuma salamu wa enzi hizo?

      Dah namkumbuka Sita wa Sita toka Mwanza nafikiri.
      Alafu kuna Mwilo Bare mzee wa Naaaaaaaaaaaaaaaam huko huko kanda ya ziwa.
      **^^+..Ukiuza Utumbo usiogope nzi..+^^**
      Chuda Raha
      Email: [email protected]

    4. #3
      Nkamangi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th March 2008
      Location : No man's land
      Posts : 644
      Rep Power : 699
      Likes Received
      7
      Likes Given
      0

      Default Re: Mnawakumbua watuma salamu wa enzi hizo?

      Zakaria Ndemfoo wa Babati
      Saint Ivuga and rosemarie like this.

    5. #4
      Fidel80's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd May 2008
      Location : UVUNGUNI
      Posts : 19,064
      Rep Power : 9500
      Likes Received
      3184
      Likes Given
      1232

      Default Re: Mnawakumbua watuma salamu wa enzi hizo?

      Kuna S. Tingisha sijui wa wapi huyu jamani.
      Saint Ivuga likes this.
      **^^+..Ukiuza Utumbo usiogope nzi..+^^**
      Chuda Raha
      Email: [email protected]

    6. #5
      cheusimangala's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th February 2010
      Posts : 2,597
      Rep Power : 996
      Likes Received
      442
      Likes Given
      608

      Default Re: Mnawakumbua watuma salamu wa enzi hizo?

      husein makabureta!!!
      A baby is something you carry inside you for nine months, in your arms for three years and in your heart till the day you die

    7. Miaka 50

    8. #6
      Fidel80's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd May 2008
      Location : UVUNGUNI
      Posts : 19,064
      Rep Power : 9500
      Likes Received
      3184
      Likes Given
      1232

      Default Re: Mnawakumbua watuma salamu wa enzi hizo?

      Juhudi Mr.Luvanda kamanda wa wakinga.
      Lowena Msonda
      Saint Ivuga likes this.
      **^^+..Ukiuza Utumbo usiogope nzi..+^^**
      Chuda Raha
      Email: [email protected]

    9. #7
      Maria Roza's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st April 2009
      Posts : 6,436
      Rep Power : 1845
      Likes Received
      790
      Likes Given
      333

      Default Re: Mnawakumbua watuma salamu wa enzi hizo?

      Sabuni jina la mwanzo limenitoka nasikia huyu ni USWT sasa alikuwa mwalimu mkuu shule ya Mzimuni:o
      If u can't stand for something , u will fall for anything !

    10. #8
      BelindaJacob's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th November 2008
      Location : Санкт-Петербург
      Posts : 5,251
      Rep Power : 4146
      Likes Received
      1824
      Likes Given
      1290

      Default Re: Mnawakumbua watuma salamu wa enzi hizo?

      Chesko mzee wa matunda..jina hilo kupitia salam za radio one!
      Saint Ivuga likes this.

    11. #9
      Tiger's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th November 2007
      Location : Universal
      Posts : 746
      Rep Power : 735
      Likes Received
      103
      Likes Given
      10

      Default Re: Mnawakumbua watuma salamu wa enzi hizo?

      Thomas Mushi Kimboka
      Issa Hasan Majeshi aka kamanda wa salamu
      Kangomba H Kangomba.
      .
      .
      .

    12. #10
      Ng'wanza Madaso's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st October 2008
      Location : Sanga Nh'walugesha
      Posts : 2,175
      Rep Power : 984
      Likes Received
      203
      Likes Given
      844

      Default Re: Mnawakumbua watuma salamu wa enzi hizo?

      Quote By cheusimangala
      husein makabureta!!!
      Inaonekana ulikuwa ukisikiliza sana RFA
      THE DOG IS OK, BEWARE OF OWNER.

    13. #11
      AmaniGK's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th January 2008
      Location : MAHALI FLANI
      Posts : 826
      Rep Power : 746
      Likes Received
      64
      Likes Given
      150

      Default Re: Mnawakumbua watuma salamu wa enzi hizo?

      Walikuwa wananifurahisha wale akina sijui nani Mwanyika akiwa "Safarini Uingereza" yaani bila kuweka hicho kipengele cha safarini bado hainogi.. Watu walikua wabunifu.
      myao wa tunduru likes this.
      He who wants to keep his garden tidy doesn't reserve a plot for weeds

    14. #12
      Mama Mdogo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st November 2007
      Posts : 1,356
      Rep Power : 859
      Likes Received
      678
      Likes Given
      73

      Default Re: Mnawakumbua watuma salamu wa enzi hizo?

      Namkumbuka Wajadi Fundi, ila sina hakika kama alikuwa anaishi Ikwiri au Utete Rufiji. Zimekuwa siku nyingi!!!
      Wayne, Excellent and Mzalendo Mkuu like this.

    15. #13
      senator's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th August 2007
      Location : Ziwani
      Posts : 1,925
      Rep Power : 988
      Likes Received
      41
      Likes Given
      37

      Default Re: Mnawakumbua watuma salamu wa enzi hizo?

      Quote By tiger
      Thomas Mushi Kimboka
      Issa Hasan Majeshi aka kamanda wa salamu
      Kangomba H Kangomba.
      .
      .
      .
      Dah mdau hapo umegonga kwenyewe..huyo alikuwa bingwa wa salam enzi hizo
      Yupo mmoja anaitwa Saidi wa Mahuta shimboni...
      Don't regret what you said, regret what you didn't say when you had the chance....!"

    16. #14
      senator's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th August 2007
      Location : Ziwani
      Posts : 1,925
      Rep Power : 988
      Likes Received
      41
      Likes Given
      37

      Default Re: Mnawakumbua watuma salamu wa enzi hizo?

      Hapa MM utakuwa umetukumbusha mbali kweli Huyo WAJADI FUNDI WAJADI alikuwa nae moto kwenye salaam..dah wapo wengi kweli naona hii thread itakuwa balaaa inakumbusha mbaaali kweli wakati hakuna option ya kusikiliza radio nyingine zaidi ya RTD na external service yao!!..nakakumbuka hadi kale kamziki kao ka salamu...afu kulikuwa na kipindi maalum cha mabingwa wa salam..kadi ngapi wametuma ..afu zawadi zenyewe flana au pesa kiduchu enzi hizo
      Don't regret what you said, regret what you didn't say when you had the chance....!"

    17. #15
      Pasco's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 22nd September 2008
      Posts : 9,839
      Rep Power : 7368
      Likes Received
      6154
      Likes Given
      22277

      Default Re: Mnawakumbua watuma salamu wa enzi hizo?

      Quote By tiger
      Thomas Mushi Kimboka
      Issa Hasan Majeshi aka kamanda wa salamu
      Kangomba H Kangomba.
      .
      .
      .
      Duu, umenikumbusha mbali,
      Enzi hizo miaka ya mwanzo ya 90, nilikuwa na rafiki wa karibu, mtangazaji RTD, alinihadithia mambo mengi.
      Siku hizo mshahara wa Mtangazaji RTD akianza kazi ilikuwa ni Shilingi,
      3,660.65.
      Kikombe cha chai ya maziwa canteen yao pale Pugu Rd. ilikuwa Sh. 20, chapati, 20, andazi 10, mayai mawili ya kukaanga 40. Kipande cha kuku wa kukaanga ni sh.60.

      Hao mabingwa wa salamu, walikuwa kila ukisoma kadi yake, kuna mahali unapita, anakupiga na Sh. 100. ukimaliza kipindi cha salaam, ukishuka canteen, hiyo 100, unapata chai, chapati 2 na mayai mawili ya kukaanga, kipande cha kuku na soda juu.

      Jioni ukipita maeneo fulani, sio vi offer vinafululuza, akina dada ndio usiseme, enzi hizo redio yenyewe ilikuwa moja.

      Hawa mabingwa wa salamu, ndio walikuwa wakiongoza kumwaga hizo 100, wakifuatiwa na wanamuziki wanaotaka nyimbo zao zipigwe, hawa walikata fungu kubwa zaidi,

      Enzi hizo, Mghanii wetu akiwa 'Mzee Athumani Khalfani' akilipwa Sh.100 kughani kipindi cha nusu saa.

      Jameni watu wametoka mbali!. Wee acha tuu!.
      Mungu awarehemu watangazaji wote waliotangulia, na walibakia mpaka sasa, wapewe pongezi nyingi, na hata wazuri waliochipukia na wanaoendelea kuchipukia pia pongezi, ukiondoa wale wachache wana vamia fani.

    18. #16
      Gokona's Avatar
      Member Array
      Join Date : 16th February 2010
      Posts : 62
      Rep Power : 483
      Likes Received
      1
      Likes Given
      1

      Default Re: Mnawakumbua watuma salamu wa enzi hizo?

      mimi nasema wadau hao jamaa walikuwa wanatembeleana tu kwa kufahamiana kwa salamu,mimi namkumbuka baba dulla one.Nasikia kipindi hiko mtuma salamu anatoka tanga anakwenda kumsalimia mwenzake wa mwanza na akifika anapokelewa na anakirimiwa enzi hizo utu na ubinadamu ulikuwepo sio sasa mtu anapata ajali unamsachi kabla ya kumpa huduma.
      Excellent likes this.

    19. #17
      Gokona's Avatar
      Member Array
      Join Date : 16th February 2010
      Posts : 62
      Rep Power : 483
      Likes Received
      1
      Likes Given
      1

      Default Re: Mnawakumbua watuma salamu wa enzi hizo?

      zamani watanzania walikuwa wanapendana,wanajaliana katika raha na shida na ilikuwa ukimsalimia mtu kupitia redio pekee ya taifa,RTD huyo alietumiwa salamu anajisikia na kama watu walisikia jina lake watamtafuta na kumwambia na nikumfata alipo maana simu ya kiganjani ilikuwa bado kipindi hiko .Wewe angalia watu walivyokuwa wastaarabu unaweza ukatuma barua kwa mzee wako labda huko Rombo mkuu kwa kumpa mtu anaesafiri na bus na akipita maeneo hayo anaidondosha huku bus linakwenda itapodondokea inaokotwa na lazima ifike kwa mlengwa salama ,jaribu sasa uone.

    20. #18
      Sikonge's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th January 2008
      Location : Sikonge, Tabora
      Posts : 7,857
      Rep Power : 2332
      Likes Received
      2868
      Likes Given
      5528

      Default Re: Mnawakumbua watuma salamu wa enzi hizo?

      Pasco,

      Kumbe kununua waandishi wa habari kumeanza siku nyingi? Loohh

      Ni vizuri kufahamu hilo maana wengine tunafikiri hii kitu imeanza na ufisadi.
      JF-BAN1 likes this.
      Nguruwe pita leo sina Mkuki(By Malila wa JF).

    21. #19
      Lizy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th February 2008
      Location : Shambani
      Posts : 259
      Rep Power : 627
      Likes Received
      2
      Likes Given
      0

      Default Re: Mnawakumbua watuma salamu wa enzi hizo?

      Quote By Maria Roza
      Sabuni jina la mwanzo limenitoka nasikia huyu ni USWT sasa alikuwa mwalimu mkuu shule ya Mzimuni:o
      Mashaka Sabuni, wa Nyakato Mwanza.

    22. #20
      Son of Alaska's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd June 2008
      Location : london
      Posts : 2,486
      Rep Power : 1057
      Likes Received
      620
      Likes Given
      248

      Default Re: Mnawakumbua watuma salamu wa enzi hizo?

      Thobias Mnyani wa uhuru na msimbazi. Rashid nguruwe wa korogwe.Bingwa wa salam tanzania alikuwa Zakaria Ndemfoo,radio zote za kiswahili kuanzia germany,south africa nk lazima utamsikia- Aliwahi kusema asiposikia jina lake redioni hupungua nusu kilo

    Page 1 of 11 123 ... LastLast

    Similar Topics

    1. Watuma salamu RTD
      By Kwame Nkrumah in forum Celebrities Forum
      Replies: 41
      Last Post: 22nd July 2012, 23:40
    2. Marekani, Canada, Australia, UK Watuma Salamu za Pongezi kwa JK
      By Ng'wanangwa in forum Tanzania 2010-2015
      Replies: 18
      Last Post: 10th November 2010, 23:37
    3. Enzi hizo
      By The Boss in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 27
      Last Post: 2nd June 2010, 18:18
    4. Enzi hizo duh!!!!
      By Son Of Dead Millionare in forum Jokes/Utani + Udaku/Gossips
      Replies: 2
      Last Post: 21st February 2007, 08:48

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...