Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Tukumbushane: Wimbo bora wenye jina la kike...

    Report Post
    Page 3 of 16 FirstFirst 1234513 ... LastLast
    Results 41 to 60 of 302
    1. #1
      Mzee Mwanakijiji's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th March 2006
      Location : Kijijini
      Posts : 29,514
      Rep Power : 46713
      Likes Received
      16405
      Likes Given
      8464

      Default Tukumbushane: Wimbo bora wenye jina la kike...

      Zimetungwa nyimbo nyingi sana katika Kiswahili ambazo zimepewa majina ya kike. Karibu zote zinahusu mapenzi, manung'uniko ya mapenzi, furaha n.k Nyimbo hizo zimebakia katika mioyo ya watu wengi na kwa hakika vizazi vinakumbuka mengi wanaposikia nyimbo hizo. Lakini ni ipi tunaweza kusema ndiyo wimbo wenye chati ya juu kabisa katika nyimbo zenye majina ya kike?

      Lakini kwanza, tukumbushane baadhi ya nyimbo hizo. Bendi na waimbaji mnawajua.. (Bluu unaweza kupakua)


      Georgina -
      Carolina - siyo hii ya ndombolo!
      Clara -
      Christina Moshi

      Mayasa
      Zuwena
      Cinderella
      Mwanameka
      Maria (i love u)
      Neema - huu yawezekana ni kati ya tatu bora
      Monica
      Sauda (M.V Mapenzi)
      Tuma
      Vicky
      Solemba
      Asha Mwana Seif
      Hiba
      Gloria
      Siwema
      Pamela
      Aza























      Last edited by Mzee Mwanakijiji; 21st January 2010 at 08:00.
      FirstLady1 likes this.
      [email protected]
      Tunapotaka kubadilisha watawala si kwa sababu tunataka kubadilisha sura; bali kubadilisha utawala! Yaani, tunataka kubadilisha jinsi tunavyotawaliwa siyo tu sura za wanao tutawala M. M. Mwanakijiji

    2. RukaaJuu Final

    3. #41
      Balantanda's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th July 2008
      Location : Kusadikika
      Posts : 8,985
      Rep Power : 7148
      Likes Received
      1743
      Likes Given
      1409

      Default Re: Tukumbushane: Wimbo bora wenye jina la kike...

      Hamisa-Remmy Ongala & Super Matimila
      "Tukosoane, turekebishane, tuwajibishane ndipo tusameheane" Regia Mtema.

    4. #42
      Natasha Ismail's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th July 2008
      Posts : 304
      Rep Power : 614
      Likes Received
      23
      Likes Given
      6

      Default Re: Tukumbushane: Wimbo bora wenye jina la kike...

      ....kila palipo na safari baharini kuna nahodha,nahodha wangu ni wewe mawimbi kuyakata .
      Chombo chetu kiendeshe kipate fika salama
      ....cheusi mangala usibadili mwendo huio mamngala eee mangalee binti africa....

    5. #43
      FirstLady1's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th July 2009
      Location : Mama Mwenye Nyumba
      Posts : 14,973
      Rep Power : 3703
      Likes Received
      3580
      Likes Given
      5769

      Default Re: Tukumbushane: Wimbo bora wenye jina la kike...

      Bongolendi -penzi haligawanyiki
      bht naomba lyrics za huu muziki;)
      No one is in charge of your happiness except you...
      God time is the best..

    6. #44
      Mzee Mwanakijiji's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th March 2006
      Location : Kijijini
      Posts : 29,514
      Rep Power : 46713
      Likes Received
      16405
      Likes Given
      8464

      Default Re: Tukumbushane: Wimbo bora wenye jina la kike...

      Quote By FirstLady1
      Orch marguis Intern....Kalubandika

      Kama wewe ungenipenda ya nini kunidanganya bwana wewe ,kujibandika madaraka siyo yako bwana weeeeeeeeeeeeeeeeeewe

      Nimesikia tetesi ...
      yenye majina ya kike bwana.. kalubandika???
      [email protected]
      Tunapotaka kubadilisha watawala si kwa sababu tunataka kubadilisha sura; bali kubadilisha utawala! Yaani, tunataka kubadilisha jinsi tunavyotawaliwa siyo tu sura za wanao tutawala M. M. Mwanakijiji

    7. bht
      #45
      bht's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th May 2009
      Posts : 9,949
      Rep Power : 2500
      Likes Received
      1434
      Likes Given
      909

      Default Re: Tukumbushane: Wimbo bora wenye jina la kike...

      Quote By FirstLady1
      Bongolendi -penzi haligawanyiki
      bht naomba lyrics za huu muziki;)
      yemungu sasa unataka nikimbie jukwaa wewe!!! mimi mbona siujui huo mpendwa???

      Labda Balatanda anaweza kunisaidia......eti mpendwa B!!
      You dont have to win every Argument, Agree to Disagree

    8. Miaka 50

    9. #46
      Mzee Mwanakijiji's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th March 2006
      Location : Kijijini
      Posts : 29,514
      Rep Power : 46713
      Likes Received
      16405
      Likes Given
      8464

      Default Re: Tukumbushane: Wimbo bora wenye jina la kike...

      Jamani nyimbo bora.. labda tuseme zilizovuma!
      [email protected]
      Tunapotaka kubadilisha watawala si kwa sababu tunataka kubadilisha sura; bali kubadilisha utawala! Yaani, tunataka kubadilisha jinsi tunavyotawaliwa siyo tu sura za wanao tutawala M. M. Mwanakijiji

    10. #47
      Zion Daughter's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 9th July 2009
      Location : Mlimani
      Posts : 7,606
      Rep Power : 13888
      Likes Received
      3268
      Likes Given
      1768

      Default Re: Tukumbushane: Wimbo bora wenye jina la kike...

      Quote By Mzee Mwanakijiji
      Jamani nyimbo bora.. labda tuseme zilizovuma!
      Hongera,kumbe wewe ni KIRAKA (unafiti kila sehemu)
      Sihasa-unaongoza
      Mapenzi- hujayaacha nyuma
      Bongofleva na bolingo- undergorund
      Duuu,Very social yani!

      The POWER of LOVE !!!!

      Its true that we don't know what we have got until we lose it and we don't know what we have been missing until it arrive.

    11. #48
      Next Level's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th November 2008
      Location : Pwani
      Posts : 3,151
      Rep Power : 1171
      Likes Received
      76
      Likes Given
      42

      Default Re: Tukumbushane: Wimbo bora wenye jina la kike...

      Quote By Mzee Mwanakijiji
      Jamani nyimbo bora.. labda tuseme zilizovuma!
      Mzee....kwa mtazamo wangu hizo wanazotaja wadau, zilivuma sana enzi zile ss tunaanza kupata akili mkubwa.....vibao vya zamani sidhani kama kilikuwepo kibovu......wanamuziki walikuwa hawagangi njaa.....ni hobby tu ziliwafanya waimbe sio kama siku hizi.......!
      “When the missionaries came to Africa they had the Bible and we had the land. They said ''Let us pray'' we closed our eyes. When we opened them we had the Bible and they had the land.
      - Rev.Bishop Desmond Tutu.

    12. #49
      Sanda Matuta's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th May 2007
      Location : Mlingotini
      Posts : 1,051
      Rep Power : 895
      Likes Received
      69
      Likes Given
      101

      Default Re: Tukumbushane: Wimbo bora wenye jina la kike...

      Quote By Mzee Mwanakijiji
      Jamani nyimbo bora.. labda tuseme zilizovuma!

      Kuna tatizo nina liona hapa,sawa category ya "MAJINA YA KIKE" sawa ila swala ni,kunabaadhi ya nyimbo zilivuma sana 70's na nyingine 80's let 80's some early 90's na napenda ufahamu kwamba sisi pia ni vijana kwenye malika yetu kwa wakati wetu.

      Sasa tuambie lika lipi haswa........?
      God inspired me,Do not seek any perfect trust of the people and do not depend on them for they will perish you.......'' Bahaeddin al Balkh (Maarif I/360)

    13. #50
      Suzzie's Avatar
      Member Array
      Join Date : 25th February 2009
      Posts : 89
      Rep Power : 539
      Likes Received
      0
      Likes Given
      7

      Default Re: Tukumbushane: Wimbo bora wenye jina la kike...

      siwema

    14. #51
      Balantanda's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th July 2008
      Location : Kusadikika
      Posts : 8,985
      Rep Power : 7148
      Likes Received
      1743
      Likes Given
      1409

      Default Re: Tukumbushane: Wimbo bora wenye jina la kike...

      Quote By Next Level
      Balanta....! unaweza shusha mistari hapa as well + ile kibao cha Monica........kukimbilia Zambia etc etc....?
      Mkuu lyrics hizi hapa

      1.Sauda

      Sauda,Sauda oooh,Sauda dada…
      Tangu tuwe wapenzi tumependana kikweli pendo letu la moyoni,
      Mioyo tusibadili wangu kipenzi dada tuepuke ushauri
      Kwa mahasidi wa penzi ooh Sauda kwa mahasidi wa penzi mama ooh Sauda

      Tangu tuwe wapenzi tumependana kikweli pendo letu la moyoni,
      Mioyo tusibadili wangu kipenzi dada tuepuke ushauri
      Kwa mahasidi wa penzi ooh Sauda kwa mahasidi wa penzi mama ooh Sauda

      Sauda ooooh mama,Sauda ooooh mamaaa

      Mv Mapenzi meli ya wapendwa nao,moyo kama bahari manahodha mimi na wewe

      Mv Mapenzi meli ya wapendwa nao,moyo kama bahari manahodha mimi na wewe


      (Gurumo) Duniani kuna mengi sawasawa na bahari,kuna papa na nyangumi tena wale wa hatri,hawapendi kuiona meli yetu baharini watafanya kila njia waifupishe safari

      Mv Mapenzi meli ya wapendwa nao,moyo kama bahari manahodha mimi na wewe

      Mv Mapenzi meli ya wapendwa nao,moyo kama bahari manahodha mimi na wewe



      (Gurumo) Duniani kuna mengi sawasawa na bahari,kuna papa na nyangumi tena wale wa hatri,hawapendi kuiona meli yetu baharini watafanya kila njia waifupishe safari Sauda eeh

      2.Kesi ya Khanga(Monica)-ZAITA Musica

      Mama nipe nauli nikamfuate Monika ee,amekimbilia Zambia na treni ya mizigo ee,kisa cha kukimbia madeni yamemzidi doti kumi za khanga alizokopa hajalipa ee,anatafutwa na Polisi popote hapatikani,na mimi rafiki yake nipo nje kwa mdhamana ee,nililala rumande siku mbili kituoni,usumbufu nilioupata kwa kweli sina raha ee

      Mama nipe nauli nikamfuate Monika ee,amekimbilia Zambia na treni ya mizigo ee,kisa cha kukimbia madeni yamemzidi doti kumi za khanga alizokopa hajalipa ee,anatafutwa na Polisi popote hapatikani,na mimi rafiki yake nipo nje kwa mdhamana ee,nililala rumande siku mbili kituoni,usumbufu nilioupata kwa kweli sina raha ee

      Naona bora niende Zambia nikamtafute Monika,nimlete Daresalama apambane na kesi yake,e Monika eeh uko wapi

      Naona bora niende Zambia nikamtafute Monika,nimlete Daresalama apambane na kesi yake,e Monika eeh uko wapi

      Mahakamani wameshapanga siku ya kusikiliza kesi,asipokuja nitapelekwa jela kutumikia kifungo,ee Monika eeeh uko wapi ee,Monika eeh

      Naona bora niende Zambia nikamtafute Monika,nimlete Daresalama apambane na kesi yake,e Monika eeh uko wapi

      Naona bora niende Zambia nikamtafute Monika,nimlete Daresalama apambane na kesi yake,e Monika eeh uko wapi eeeeh


      Mahakamani wameshapanga siku ya kusikiliza kesi,asipokuja nitapelekwa jela kutumikia kifungo,ee Monika eeeh uko wapi ee,Monika eeh


      Naona bora niende Zambia nikamtafute Monika,nimlete Daresalama apambane na kesi yake,e Monika eeh uko wapi

      Naona bora niende Zambia nikamtafute Monika,nimlete Daresalama apambane na kesi yake,e Monika eeh uko wapi eeeeh
      "Tukosoane, turekebishane, tuwajibishane ndipo tusameheane" Regia Mtema.

    15. #52
      Che Kalizozele's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th July 2008
      Location : Area C
      Posts : 782
      Rep Power : 709
      Likes Received
      23
      Likes Given
      11

      Default Re: Tukumbushane: Wimbo bora wenye jina la kike...

      Gloria

      Najifuta machozi siyaamini macho yangu, maamaaa aaaaa gloria eeeeeee
      Hivi unayosema ni kweli,hivi unayosema ni kweli mamaaax2
      Niliuza nyumba gloriax2
      Sababu yako wewe Gloria
      Hivi unayosema ni kweli mamax2
      Unadai talaka hata kesi haijakwisha,mamaa aaaah Gloria eeeex2
      Penzi lisilo na fadhira mamaaa tele vioja vimejaa,mimi na ndugu zangu sasa tuko kizimbani

      Chorus
      Wanipa uchungu oooh mama,yooo gloria mama hiyooooox2

      Hakimu aliponihukumu nipelekwe gerezani kwa utapeli wangu-(aaaa mamaa) ulitoa kauli nikitoka gerezani hunitaki tena tusijuane tena

      Hakimu aliponihukumu nipelekwe gerezani kwa ukataji wangu -(aaaa mamaa) ulitoa kauli unitaki tena tusijuane tena

      Rudia chorus

      Nimenunua penzi pasipo mapenzi,nimekuwa kama chizi simulizi mjinix2

      Rudia chorus

      Niliwahi kumsikiliza Moshi mwenyewe kabla hajatoa ule wimbo wake wa ajali,akasema hii ndio ngoma yake bora zaidi akidahi kila sauti na kila chombo kilikuwa kiko sawa sawia.
      SIWEZI KUMRIDHISHA RUHANI WAKATI KITI ANAUMIA.

    16. #53
      Che Kalizozele's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th July 2008
      Location : Area C
      Posts : 782
      Rep Power : 709
      Likes Received
      23
      Likes Given
      11

      Default Re: Tukumbushane: Wimbo bora wenye jina la kike...

      Quote By Balantanda
      Mkuu lyrics hizi hapa

      1.Sauda

      Sauda,Sauda oooh,Sauda dada…
      Tangu tuwe wapenzi tumependana kikweli pendo letu la moyoni,
      Mioyo tusibadili wangu kipenzi dada tuepuke ushauri
      Kwa mahasidi wa penzi ooh Sauda kwa mahasidi wa penzi mama ooh Sauda

      Tangu tuwe wapenzi tumependana kikweli pendo letu la moyoni,
      Mioyo tusibadili wangu kipenzi dada tuepuke ushauri
      Kwa mahasidi wa penzi ooh Sauda kwa mahasidi wa penzi mama ooh Sauda

      Sauda ooooh mama,Sauda ooooh mamaaa

      Mv Mapenzi meli ya wapendwa nao,moyo kama bahari manahodha mimi na wewe

      Mv Mapenzi meli ya wapendwa nao,moyo kama bahari manahodha mimi na wewe


      (Gurumo) Duniani kuna mengi sawasawa na bahari,kuna papa na nyangumi tena wale wa hatri,hawapendi kuiona meli yetu baharini watafanya kila njia waifupishe safari

      Mv Mapenzi meli ya wapendwa nao,moyo kama bahari manahodha mimi na wewe

      Mv Mapenzi meli ya wapendwa nao,moyo kama bahari manahodha mimi na wewe



      (Gurumo) Duniani kuna mengi sawasawa na bahari,kuna papa na nyangumi tena wale wa hatri,hawapendi kuiona meli yetu baharini watafanya kila njia waifupishe safari Sauda eeh

      2.Kesi ya Khanga(Monica)-ZAITA Musica

      Mama nipe nauli nikamfuate Monika ee,amekimbilia Zambia na treni ya mizigo ee,kisa cha kukimbia madeni yamemzidi doti kumi za khanga alizokopa hajalipa ee,anatafutwa na Polisi popote hapatikani,na mimi rafiki yake nipo nje kwa mdhamana ee,nililala rumande siku mbili kituoni,usumbufu nilioupata kwa kweli sina raha ee

      Mama nipe nauli nikamfuate Monika ee,amekimbilia Zambia na treni ya mizigo ee,kisa cha kukimbia madeni yamemzidi doti kumi za khanga alizokopa hajalipa ee,anatafutwa na Polisi popote hapatikani,na mimi rafiki yake nipo nje kwa mdhamana ee,nililala rumande siku mbili kituoni,usumbufu nilioupata kwa kweli sina raha ee

      Naona bora niende Zambia nikamtafute Monika,nimlete Daresalama apambane na kesi yake,e Monika eeh uko wapi

      Naona bora niende Zambia nikamtafute Monika,nimlete Daresalama apambane na kesi yake,e Monika eeh uko wapi

      Mahakamani wameshapanga siku ya kusikiliza kesi,asipokuja nitapelekwa jela kutumikia kifungo,ee Monika eeeh uko wapi ee,Monika eeh

      Naona bora niende Zambia nikamtafute Monika,nimlete Daresalama apambane na kesi yake,e Monika eeh uko wapi

      Naona bora niende Zambia nikamtafute Monika,nimlete Daresalama apambane na kesi yake,e Monika eeh uko wapi eeeeh


      Mahakamani wameshapanga siku ya kusikiliza kesi,asipokuja nitapelekwa jela kutumikia kifungo,ee Monika eeeh uko wapi ee,Monika eeh


      Naona bora niende Zambia nikamtafute Monika,nimlete Daresalama apambane na kesi yake,e Monika eeh uko wapi

      Naona bora niende Zambia nikamtafute Monika,nimlete Daresalama apambane na kesi yake,e Monika eeh uko wapi eeeeh
      Kaka unatisha si kidogo,nimekuvulia kofia,au mwenzetu unakachip kwenye head,ha ha ha ha.
      SIWEZI KUMRIDHISHA RUHANI WAKATI KITI ANAUMIA.

    17. #54
      Mzee Mwanakijiji's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th March 2006
      Location : Kijijini
      Posts : 29,514
      Rep Power : 46713
      Likes Received
      16405
      Likes Given
      8464

      Default Re: Tukumbushane: Wimbo bora wenye jina la kike...

      Quote By Sanda Matuta
      Kuna tatizo nina liona hapa,sawa category ya "MAJINA YA KIKE" sawa ila swala ni,kunabaadhi ya nyimbo zilivuma sana 70's na nyingine 80's let 80's some early 90's na napenda ufahamu kwamba sisi pia ni vijana kwenye malika yetu kwa wakati wetu.

      Sasa tuambie lika lipi haswa........?
      hata kama zilivuma miaka ya 50 lakini ni za Kiswahili.. labda tutatafuta santuri.. tayari ninazo kadhaa hapa.. tutafikia tupate 10 bora..
      [email protected]
      Tunapotaka kubadilisha watawala si kwa sababu tunataka kubadilisha sura; bali kubadilisha utawala! Yaani, tunataka kubadilisha jinsi tunavyotawaliwa siyo tu sura za wanao tutawala M. M. Mwanakijiji

    18. #55
      Bujibuji's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th February 2009
      Location : NYUMBANI PANONO
      Posts : 13,858
      Rep Power : 11197
      Likes Received
      7046
      Likes Given
      5235

      Default Re: Tukumbushane: Wimbo bora wenye jina la kike...

      Cheusi mangala
      KAZI NDIO MSINGI WA MAENDELEO. NCHI MASIKINI HAIWEZI KUENDELEA KWA MSINGI WA FEDHA. NCHI MASIKINI HAIWEZI KUJITAWALA KAMA INATEGEMEA MSAADA KUTOKA NCHI ZA NJE- J. K. NYERERE

    19. #56
      FirstLady1's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th July 2009
      Location : Mama Mwenye Nyumba
      Posts : 14,973
      Rep Power : 3703
      Likes Received
      3580
      Likes Given
      5769

      Default Re: Tukumbushane: Wimbo bora wenye jina la kike...

      Quote By Mzee Mwanakijiji
      yenye majina ya kike bwana.. kalubandika???
      hahaha haya noted
      No one is in charge of your happiness except you...
      God time is the best..

    20. #57
      FirstLady1's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th July 2009
      Location : Mama Mwenye Nyumba
      Posts : 14,973
      Rep Power : 3703
      Likes Received
      3580
      Likes Given
      5769

      Default Re: Tukumbushane: Wimbo bora wenye jina la kike...

      i salute you balatanda
      No one is in charge of your happiness except you...
      God time is the best..

    21. #58
      Sanda Matuta's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th May 2007
      Location : Mlingotini
      Posts : 1,051
      Rep Power : 895
      Likes Received
      69
      Likes Given
      101

      Default Re: Tukumbushane: Wimbo bora wenye jina la kike...

      Quote By Mzee Mwanakijiji
      hata kama zilivuma miaka ya 50 lakini ni za Kiswahili.. labda tutatafuta santuri.. tayari ninazo kadhaa hapa.. tutafikia tupate 10 bora..
      Noted!
      God inspired me,Do not seek any perfect trust of the people and do not depend on them for they will perish you.......'' Bahaeddin al Balkh (Maarif I/360)

    22. #59
      Balantanda's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th July 2008
      Location : Kusadikika
      Posts : 8,985
      Rep Power : 7148
      Likes Received
      1743
      Likes Given
      1409

      Default Re: Tukumbushane: Wimbo bora wenye jina la kike...

      Quote By FirstLady1
      Balatanda naomba mistari kidogo kwenye huu muziki..

      Asha mwanaSeif niambie mpenzi wangu,imekuwaje leo mama uko kimya hivyo,ni lipi jambo limekuudhi nieleze leo,sema Asha seema mpenzi wangu kama mimi nimekuudhi unieleze

      Nashukuru mume wangu kwa kuniuliza ooh,unakunywa pombe huonekani mpaka siku tatu,nachekwa na wenzangu,watoto wanateseka,hata huruma huna kwa hawa malaika, nachekwa na wenzangu,watoto wanateseka,hata huruma huna kwa hawa malaika

      Ulevi ulio nao bwana unanitia aibu,huna mapenzi oo kwangu mimi na watoto(mama Maika), Ulevi ulio nao bwana unanitia aibu,huna mapenzi oo kwangu mimi na watoto

      (TX) Aa mama,nimekubali maneno yako mama(ooh mama) wakale walisema mjinga kwa kwenda kwa kurudi anajuaa,pabaya na pazuri lelele

      Ulevi ulio nao bwana unanitia aibu,huna mapenzi oo kwangu mimi na watoto(mama Maika), Ulevi ulio nao bwana unanitia aibu,huna mapenzi oo kwangu mimi na watoto

      (Mbwembwe) Natubu mbele yako hata kwa hawa malaika,unisamehe Duniani hata mbinguni,nasema…

      Ulevi ulio nao bwana unanitia aibu,huna mapenzi oo kwangu mimi na watoto(mama Maika), Ulevi ulio nao bwana unanitia aibu,huna mapenzi oo kwangu mimi na watoto
      "Tukosoane, turekebishane, tuwajibishane ndipo tusameheane" Regia Mtema.

    23. #60
      Koiya's Avatar
      Member Array
      Join Date : 26th November 2008
      Posts : 51
      Rep Power : 545
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: Tukumbushane: Wimbo bora wenye jina la kike...

      "Rose wa ua mwenzio na umia sanaa"
      "Rose wa ua jinsi ulivyoumbika suraa"
      Only God can judge me

    Page 3 of 16 FirstFirst 1234513 ... LastLast

    Similar Topics

    1. Wenye watoto wa kike soma hapa
      By Shadow in forum International Forum
      Replies: 8
      Last Post: 13th October 2012, 15:53
    2. Wimbo ulio bora
      By Felixonfellix in forum Mahusiano, mapenzi, urafiki
      Replies: 15
      Last Post: 6th October 2011, 21:29
    3. Kimbunga kupewa jina la kike
      By bitimkongwe in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 0
      Last Post: 31st August 2011, 17:50

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...