Naamini wana JF mtakubaliana na mimi katika hili, hawa DJ wa redio free Africa sijui hawajasomea mpangilio wa burudani au ni jeuri tu, yaani utasikia usiku saa 4 na kuendelea muda ambao walio wengi tumepumzika, zinapigwa ndombolo, kwasa kwasa nk badala ya kupiga miziki raini wao wanavanga vanga tu, upuuzi mtupu
Nawashauri wajifunze kupitia redio nyingine nyingi, au Mh Diallo wapige msasa kidogo vijana wako.

Reply With Quote

Follow Us Here