Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: DJs Redio Free Africa mnaniboa

    Report Post
    Results 1 to 11 of 11
    1. #1
      Kaitaba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th June 2009
      Posts : 862
      Rep Power : 676
      Likes Received
      13
      Likes Given
      0

      Default DJs Redio Free Africa mnaniboa

      Naamini wana JF mtakubaliana na mimi katika hili, hawa DJ wa redio free Africa sijui hawajasomea mpangilio wa burudani au ni jeuri tu, yaani utasikia usiku saa 4 na kuendelea muda ambao walio wengi tumepumzika, zinapigwa ndombolo, kwasa kwasa nk badala ya kupiga miziki raini wao wanavanga vanga tu, upuuzi mtupu

      Nawashauri wajifunze kupitia redio nyingine nyingi, au Mh Diallo wapige msasa kidogo vijana wako.

    2. RukaaJuu Final

    3. #2
      Mntambo's Avatar
      Member Array
      Join Date : 11th February 2008
      Location : Dar es salaam,TZ
      Posts : 21
      Rep Power : 580
      Likes Received
      0
      Likes Given
      1

      Default Re: DJ`s Redio Free Africa mnaniboa.

      Nadhani ikumbukwe kuwa radio husikilizwa na watu wengi, na kuna wasikilizaji muda huo wa usiku wapo ktk shughuli zao nyingi tu,hivyo muziki kama huo unaweza kuwa unawaweka sawa wasipitiwe na usingizi.

    4. #3
      Van Walter's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 16th June 2009
      Posts : 158
      Rep Power : 537
      Likes Received
      1
      Likes Given
      0

      Default Re: DJ`s Redio Free Africa mnaniboa.

      teh teh..sa achen mada hizo..leteni za ukweli..we saa nne usiku kwani hulali waanza skiza mindombolo..kwenda kulala.

    5. #4
      Yo Yo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st May 2008
      Posts : 10,790
      Rep Power : 22906
      Likes Received
      1335
      Likes Given
      2579

      Default Re: DJ`s Redio Free Africa mnaniboa.

      Quote By Kaitaba
      Naamini wana JF mtakubaliana na mimi katika hili, hawa DJ wa redio free Africa sijui hawajasomea mpangilio wa burudani au ni jeuri tu, yaani utasikia usiku saa 4 na kuendelea muda ambao walio wengi tumepumzika, zinapigwa ndombolo, kwasa kwasa nk badala ya kupiga miziki raini wao wanavanga vanga tu, upuuzi mtupu

      Nawashauri wajifunze kupitia redio nyingine nyingi, au Mh Diallo wapige msasa kidogo vijana wako.
      miziki laini ni ipi?

    6. #5
      Balantanda's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th July 2008
      Location : Kusadikika
      Posts : 8,985
      Rep Power : 7148
      Likes Received
      1743
      Likes Given
      1409

      Default Re: DJ`s Redio Free Africa mnaniboa.

      Quote By Yo Yo
      miziki laini ni ipi?
      Labda anataka zile zamani tulikuwa twaiita BLUES(mambo ya Zero Distance) akiwa amelala na shori/wife,mambo ya Chombeza time,lol
      "Tukosoane, turekebishane, tuwajibishane ndipo tusameheane" Regia Mtema.

    7. Miaka 50

    8. #6
      JosM's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th October 2008
      Location : Dar es salaam/Kampala
      Posts : 687
      Rep Power : 683
      Likes Received
      3
      Likes Given
      13

      Default Re: DJ`s Redio Free Africa mnaniboa.

      Quote By Kaitaba
      Naamini wana JF mtakubaliana na mimi katika hili, hawa DJ wa redio free Africa sijui hawajasomea mpangilio wa burudani au ni jeuri tu, yaani utasikia usiku saa 4 na kuendelea muda ambao walio wengi tumepumzika, zinapigwa ndombolo, kwasa kwasa nk badala ya kupiga miziki raini wao wanavanga vanga tu, upuuzi mtupu

      Nawashauri wajifunze kupitia redio nyingine nyingi, au Mh Diallo wapige msasa kidogo vijana wako.
      Kaitaba, unajua maana ya radio Free Africa? unataka wapige miziki laini wakati sio utamaduni wao? ulishawahi kusikia nyimbo yoyote ya lil wayne RTD?.RFA inapatikana karibia africa nzima kwa hiyo ni lazima wapige nyimbo ambazo zina hasili ya africa .pia kuna kipindi chao cha usiku ambacho kinaitwa HAKUNA KULALA,sasa unategemea nini kipindi kinaitwa hakuna kulala hafafu wakupigie nyimbo laini ili ulale?
      Mtu aliye dhalimu ni chukizo kwa wenye haki,na mnyofu wa mwenendo ni chukizo kwa waovu.

    9. #7
      StaffordKibona's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st April 2008
      Location : Tabora
      Posts : 673
      Rep Power : 700
      Likes Received
      28
      Likes Given
      2

      Default Re: DJ`s Redio Free Africa mnaniboa.

      Nakuunga mkono JosM. naamini kama hauna utata music haikuzuii kulala. kuna walinzi wa doria, machangudoa, polisi wa zamu wanahitaji music wakati huo

    10. #8
      Kaitaba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th June 2009
      Posts : 862
      Rep Power : 676
      Likes Received
      13
      Likes Given
      0

      Default Re: DJs Redio Free Africa mnaniboa

      Nawashukuru wana JF kwa maoni yenu, nimejifunza kitu, kuwa wale sela yao ni hakuna kulala,

      Hivyo basi ni redio ya machangudoa, majambazi, maana askari hawawezi kuisikiliza badala yake wana redio calls.

      All in all nawashukuruni sana

    11. #9
      JosM's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th October 2008
      Location : Dar es salaam/Kampala
      Posts : 687
      Rep Power : 683
      Likes Received
      3
      Likes Given
      13

      Default Re: DJs Redio Free Africa mnaniboa

      Quote By Kaitaba
      Nawashukuru wana JF kwa maoni yenu, nimejifunza kitu, kuwa wale sela yao ni hakuna kulala,

      Hivyo basi ni redio ya machangudoa, majambazi, maana askari hawawezi kuisikiliza badala yake wana redio calls.

      All in all nawashukuruni sana
      Mkuu naona unafika mbali huko sasa.Ina maana wewe unataka wapige nyimbo laini kwa kuwa radio nyingi zinafanya hivyo? ni utaratibu wao tu walio jipangia,kama unaona wanakuboa usisikilize radio yao.
      Mtu aliye dhalimu ni chukizo kwa wenye haki,na mnyofu wa mwenendo ni chukizo kwa waovu.

    12. #10
      dmaujanja1's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 24th November 2008
      Posts : 134
      Rep Power : 561
      Likes Received
      9
      Likes Given
      177

      Default Re: DJs Redio Free Africa mnaniboa

      Kaitaba wewe Muhaya wa wapi? kaka siubadilishe FM station au umelazimishwa kusikiliza hiyo RFA.
      Wadau wa 9t shift wengi husikiliza RFA.

    13. #11
      Kyachakiche's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th February 2009
      Posts : 824
      Rep Power : 691
      Likes Received
      38
      Likes Given
      127

      Default Re: DJs Redio Free Africa mnaniboa

      Quote By JosM
      Mkuu naona unafika mbali huko sasa.Ina maana wewe unataka wapige nyimbo laini kwa kuwa radio nyingi zinafanya hivyo? ni utaratibu wao tu walio jipangia,kama unaona wanakuboa usisikilize radio yao.
      Mkuu uliyosema hapa tuko pamoja, hata hivyo kwani ndhombolo au kwasakwasa zinatakiwa kupigwa muda gani kama si usiku. Kuna wengine muda huo ukifika wanaondoa kwenye redio zao ama cassette, cd,dvd,mp3,santuri, nk na kuendelea kula mangoma ya RFA bila wasiwasi. Ikumbukwe pia maeneo mengi inakosikika hayana umeme kinachotumika ni betri za kawaida, ukipiga kanda moja betri kwishnei, unaenda dukani tena kununua betri nyingine, lakini kwa redio, unatune tu RFA disco linaendelea kama kawa, hamna noma wala nini!

    Similar Topics

    1. Vodacom mnaniboa sana....!!!!
      By Sajenti in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 0
      Last Post: 10th November 2011, 11:04
    2. Replies: 1
      Last Post: 12th December 2010, 16:23
    3. Replies: 1
      Last Post: 3rd August 2010, 16:25
    4. Redio Free Afraica, Magazeti na kiswahili
      By Msongoru in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 9
      Last Post: 22nd July 2010, 09:59

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...