Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Natangaza nia yangu juu ya kutengeneza filamu ya kipelelezi, ila naomba msaada wa yafuatayo...

    Report Post
    Results 1 to 7 of 7
    1. #1
      sifongo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th June 2011
      Posts : 983
      Rep Power : 603
      Likes Received
      369
      Likes Given
      283

      Default Natangaza nia yangu juu ya kutengeneza filamu ya kipelelezi, ila naomba msaada wa yafuatayo...

      Habari wanajamvi na wapenzi wa filamu, nina nia ya kutengeneza filamu ya kipelelezi ila kuna vitu nahitaji kuvijua hasa vitengo vya usalama ndani Serikali, mfano ninajua kwamba kuna kitengo kinahusika na ufuatiliaji wa pesa haramu nadhani kipo BOT au WIZARA YA FEDHA kwa anayefahamu anisaidie na jina lake pia, na katika vikosi vya usalama wa Taifa nafahamu TISS peke yake, na je ndani ya TISS kuna vitengo vingine au la? Na kutokana na ugumu wa kupata mavazi ya polisi hapa Nchini katika moja ya Scene zangu kuna sehemu mauaji yametokea na nia yangu ni kufanya watu wa usalama wa Taifa (ambao sijajua ni Division gani) wanaiwahi ile maiti na kutaka polisi wasijue kitu kama vile wafanyavyo CIA, MI6 na vikosi vingine vya kijasusi kwenye Movie au Novel za mbele sasa tatizo langu sijajua je vikosi kama hivyo vipo hapa Nchini na je vinafanya kazi chini ya order kutoka mamlaka gani?
      Kingine ni jina la kitengo cha kuzuia dawa za kulevya ndani ya jeshi la polisi (sio tume).
      Natanguliza shukrani zangu na mwenye kufahamu anisaidie hayo, na baada ya kukamilisha story na kupanga script naahidi kuiweka hapa baadhi ya Scene wadau mnisaidie tuweze kuisogeza tasnia ya filamu Nchini.


    2. #2
      paulss's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th August 2009
      Posts : 3,639
      Rep Power : 4411
      Likes Received
      1106
      Likes Given
      986

      Default Re: Natangaza nia yangu juu ya kutengeneza filamu ya kipelelezi, ila naomba msaada wa yafuatayo...

      Mkuu kwanza nikupe hongera kwa wazo lako
      Pili hivi ndivyo wenzetu mbele wanavyotengeneza movies zao kwa kutafuta washauri kutokana na aina ya movies

      Naamini JF ni kisima cha maarifa utapata wajuzi toka kona hizo kwa ushauri zaidi

      Nahisi ningeijua stori kamili ningekuwa katika nafasi nzuri ya kukushauri maana nimewahikupitia moja ya vitengo ulivyotaja
      Magembe R. Malima likes this.

    3. #3
      sifongo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th June 2011
      Posts : 983
      Rep Power : 603
      Likes Received
      369
      Likes Given
      283

      Default Re: Natangaza nia yangu juu ya kutengeneza filamu ya kipelelezi, ila naomba msaada wa yafuatayo...

      Kiongozi asante kwa kunipa matumaini ukweli ni kwamba nimekuwa na hili wazo muda mrefu na tayari hata location nimeshaandaa kwani sehemu kubwa ya upigaji picha itakuwa studio (Blue au Green screen), kwa ufupi story inahusu mmoja wa wahamasishaji wa mauaji ya kimbari kule Rwanda baada ya kutafutwa kwa muda mrefu bila mafanikio hatimaye TISS wakapata taarifa kwamba yupo Nchini Tanzania na wakati huo huo BOT wakapokea taarifa kutoka bank kadhaa hapa Nchini kwamba kuna mzunguko fulani wa hela usio wa kawaida hivyo ikabidi BOT watoe taarifa sehemu husika (NDIO HICHO KITENGO CHA FEDHA HARAMU NINAPOTAKA KUKIJUA) na tayari kukawa na matukio kadhaa yaliyotokea yanayofanya watu wa usalama washtuke.
      Lengo la huyo mhalifu hasa ni kufanya biashara haramu na kutaka kuichonganisha Tanzania na Mataifa mengine jirani ili ionekane Tanzania tunawasaidia waasi wa Nchi fulani, bado naendelea kuhangaika na mtiririko wa story lakini kama nilivyosema nitataka sana ushauri wa wadau kama nyinyi ili angalau tuukaribie ukweli wa filamu, asante Mkuu.
      Vp ulishaipata Glory na kuiangalia?

    4. #4
      paulss's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th August 2009
      Posts : 3,639
      Rep Power : 4411
      Likes Received
      1106
      Likes Given
      986

      Default Re: Natangaza nia yangu juu ya kutengeneza filamu ya kipelelezi, ila naomba msaada wa yafuatayo...

      Ok mkuu nimekupata, nipo napoza kiu mida hii natumia simu nikitulia home kwa pc ntajaribu kukupa kaushauri

      BTW nimeiangalia GRORY majuzi tu mkuu, niliipenda sana hasa Denzel alivyo act mtata fulani hivi
      Lakini it has a very sad ending aisee
      Magembe R. Malima likes this.

    5. #5
      NasDaz's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th May 2009
      Location : Ushenzini
      Posts : 3,348
      Rep Power : 5407
      Likes Received
      1574
      Likes Given
      1876

      Default Re: Natangaza nia yangu juu ya kutengeneza filamu ya kipelelezi, ila naomba msaada wa yafuatayo...

      Quote By sifongo View Post
      Kiongozi asante kwa kunipa matumaini ukweli ni kwamba nimekuwa na hili wazo muda mrefu na tayari hata location nimeshaandaa kwani sehemu kubwa ya upigaji picha itakuwa studio (Blue au Green screen), kwa ufupi story inahusu mmoja wa wahamasishaji wa mauaji ya kimbari kule Rwanda baada ya kutafutwa kwa muda mrefu bila mafanikio hatimaye TISS wakapata taarifa kwamba yupo Nchini Tanzania na wakati huo huo BOT wakapokea taarifa kutoka bank kadhaa hapa Nchini kwamba kuna mzunguko fulani wa hela usio wa kawaida hivyo ikabidi BOT watoe taarifa sehemu husika (NDIO HICHO KITENGO CHA FEDHA HARAMU NINAPOTAKA KUKIJUA) na tayari kukawa na matukio kadhaa yaliyotokea yanayofanya watu wa usalama washtuke.
      Lengo la huyo mhalifu hasa ni kufanya biashara haramu na kutaka kuichonganisha Tanzania na Mataifa mengine jirani ili ionekane Tanzania tunawasaidia waasi wa Nchi fulani, bado naendelea kuhangaika na mtiririko wa story lakini kama nilivyosema nitataka sana ushauri wa wadau kama nyinyi ili angalau tuukaribie ukweli wa filamu, asante Mkuu.
      Vp ulishaipata Glory na kuiangalia?
      Seen this useful post very late but i think i'll something!!
      I am a free thinker! It's only my free thinking that leads me, to what am commenting. Thus, I've no doubt that today I can be your fellow but tomorrow your enemy, and the agent between us being my comments!! So, If today we agree with cheers, tomorrow we'd not disagree with jeers!



    6. #6
      kingxvi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th February 2011
      Posts : 883
      Rep Power : 599
      Likes Received
      134
      Likes Given
      1

      Default Re: Natangaza nia yangu juu ya kutengeneza filamu ya kipelelezi, ila naomba msaada wa yafuatayo...

      vipi naweza pata nafasi kucheza hiyo movie?

    7. #7
      Bryson Mbeula's Avatar
      Member Array
      Join Date : 25th September 2011
      Posts : 44
      Rep Power : 399
      Likes Received
      3
      Likes Given
      3

      Default Re: Natangaza nia yangu juu ya kutengeneza filamu ya kipelelezi, ila naomba msaada wa yafuatayo...

      hongera mkuu kwa hiyo idea, wishing u all luck..

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...