Hi wana JF.
Naomba mtu yeyote mwenye tafsiri ya wimbo "muzina' ulioimbwa na Tabu Ley wa Congo (DRC).
Tafsiri hiyo inaweza kuwa kwenye form ya lyrics, etc.
Thanks in advance.
Hi wana JF.
Naomba mtu yeyote mwenye tafsiri ya wimbo "muzina' ulioimbwa na Tabu Ley wa Congo (DRC).
Tafsiri hiyo inaweza kuwa kwenye form ya lyrics, etc.
Thanks in advance.
"Basi yeye ajuaye kutenda mema, wala hayatendi, kwake huyo ni dhambi. " - Yakobo 04:17
Mtu hawi na tafsiri. Mtu akutafsirie!!!
Kwa kifupi huo wimbo ni sala!
kwa jina la baba na mwana na roho mtakatifu.
Follow Us Here